VITUKO Vya RC MAKONGORO, AWAPA TUMBO JOTO Ma - DC, DAS - "UTEUZI wa RAIS SAMIA Unaendelea"
Vložit
- čas přidán 2. 06. 2021
- VITUKO Vya RC MAKONGORO, AWAPA TUMBO JOTO Ma - DC, DAS - "UTEUZI wa RAIS SAMIA Unaendelea"
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere, amefanya kikao na wakuu wa wilaya ambapo amewaeleza kuwa wwe tayari kwani uteuzi wa Rais Samia unaendelea na wanaweza kujikuta wamebadilishiwa kituo cha kazi...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Mungu Halali, Asante Mh. Kumteua Mkuu huyu wa Mkoa na kuturudishia Tabasamu na vichekesho vya Baba Wa Taifa vikiambatana na Uchapakazi.
Raha sana unakuwa na boss ambae muda wote mnacheka tu. But ukileta mzaha kwenye kazi utajuta.
Nakukubaligi sana Mheshimiwa..
Asante mama Samia kwa hii zawadi...
Huyu baba mdogo wataifa very charming. This is a great men.
Mkoa wa manyara utaongoza kwa watu wenye furaha Tanzania
Babu umeanza kuchekesha ongera sana 🙏🙏🙏👍👍👍🙏🙏
Mama Ndie Mtayarishaji Wa Kipindi 👏👏👏😁😁😁
Anacheka kama alivyokua akicheka baba yake, na ni mchekeshaji sana 🤣
Du mheshimiwa Makongoro unaporojesha hatari. Kazi njema mkuu
Namuona mwalimu Nyerere hapa..
"Mimi ni mtoto wa Mzee Nyerere lakini mimi sio Mzee Nyerere. Mimi ni Mkuu wa Mkoa wa Manyara, lakini mimi sio Rais wa Manyara. Nimekuja kumwakilisha Rais..." Kazi nzuri Kiongozi, Mungu akusimamie...
Nyerere ameludi tena
Mkuuu wetu ametuwacha vinywa wazi kwa furaha na vicheko kubwa ni kufanya kazi kwa umakini na uadilifu asante mkuu wa mkowa mhe makongoro nyerere
Anachangamsha Sana yaniii uchangamfu kama Baba wa taifa inapendeza Sana mama umetuludishia mzee
Aisee nairudia mala tank tano
mungu akubariki uwe Rais au makamu
Nzuri sana hiii, kazi nzuri
Kucheka raha,kiukweli tunahitaji sana ucheshi wa aina hii ktk zama hizi.
Na siyo wewe tu, bali kila Mkuu Wa Mkoa katika nchi hii, yeye ni Rais Wa Mkoa.
Huyu mh kama nyerere tu story za kuchekesha kwa wingi😁😁😁
Like father like son!!
Sio lazima kiongozi kila mara uwe serious tu lazima utengeneze team work nzuri yenye kujiamini na si uoga
Makongoro nyerere for presidency
Daa kizazi cha Nyerere hicho wanafanana mambo fulani fulani hivi
The Great Mwl Julius K Nyerere forever we love u!
What goes around, Comes around!!!! I see The Great Nyerere on you, Mungu akusaidie ukatumike vyema
Saw sawa Makongoro...unafaaa Sana man..ila zile tabia za Arusha uko hapana
Saaaafi sn, anacheka km baba
Wakiwa serious mnaanza kusema hawana social exposure, wakinuna wananyanyasa wananchi, Makongoro huyu sio wa kufundishwa kazi ya ukuu wa Mkoa , Mama Kamteua anamjua sana, kwa ufupi kama kama humjui Makaongoro anakuwajibisha huku anaendelea kucheka , kucheka kwake ni kama kipaji na upendo aliopewa na /Mwenyezi Mungu akiwa na public, tumwache anayo team kubwa ya watenda kazi.
Kweli kabisaa ni upendo tu
Sijui tusubiri !
Like father, like son.....😂😂😂
Safi
Mh Rais wetu, Mama Samia Suluhu Hassan, Mwenyezi akulinde, Kumteua Makongoro nyerere, Kumteua mtoto Edward Sokoine, Hakika Sina cha kukupa zaidi Kukuombea Dua na Maombi kwa wingi, Na InshaAllah Mwenyezi Mungu atapokea Dua na Maombi yangu kwako, ikiwa ni Pamoja na Viongozi wote, Kusema Kweli Umetukumbusha mbali sana Watanzania, Mungu Ibariki Tanzania yetu, Aamina.
Hongera ..na pole sana.
Ndugu yangu.
Mungu akujalie kufa umezaa watoto wenye hekima na busara ni raha sana sasa hv mwl anafurah tu huko kila la heri makongoro iwakilishe mara
Hongera sana. Napenda
Hotuba yako.
Chapa kazi mkuu mungu akujalie kazi iendelee manyara oyee
Hoyeeee
Hadi raha
Sijui kwanini but mimi nahisi kama Charles Makongoro Nyerere anafaa kugombea Urais 2025
Mzuri tatizo anapenda pombe
He is strictly and firm but easy to get along with
Huwa nacheka Sana kila nikikusikiliza mh makongoro
Sanaa
Hata kama umenuna utacheka tu kwa huyu Babu 🤣🤣🤣🔥🔥🔥
Mtoto wa mwalimu
Una vitukoooo.
Hujawahi kuwa makuu
Wa mkoa..mbeleni...
Mzee oyeeeeeee
Raha sana
Kweli Mama kakujengea historia. U mcheshi lakini ndani ya ucheshi Kuna shukrani na unyenyekevu kwa wananchi. Unawatia moyo wananchi wa mkoa Wako.
I am happy to see the former first family playing a role in the adminstration of tanzania
Another Nyerere
The UNIVERSITY OF POLITICA
Makongoro ni Super Genius.
Maneno hayoooo!!!??
Hahahaha 😆😃😃😄😄 Ucheshi wake unafanana na mwalimu nyerere 🙏🙏🙏🙏
Mheshimiwa makongoro ni mchangamfu sana
You are fit to be comedy.
Mtoto wa mwalimu.
I enjoyed your hotuba.
Hongera Makongoro, kumbe unajua kuongea namna hii?
Keep it up
Umenipa kuongeza siku kwakwelii
Hongera SANA mh makongoro jmn mwenye namba za mh makongoro nyerere nakuomba plz nko Siriaz
Naiomba namba ya huyu boss wetu wa mkoa wa manyara JMN
Asante mama Samia kutuletea mkuu wa mkoa mwenyetabasamu watu wake mithili ya baba yake,
Hakuna kama mama jamani. Nimefurahishwa na kitendo cha kumuenzi Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa kumteua mtoto wake Makongoro Nyerere kuwa Mkuu wa Mkoa Manyara naona kama baba anaishi. Mungu amsaidie ktk kuongoza Wananchi.
Nimempenda bure
TATIZO HUYU MZEE HAJUAGI KUNUNA, AKINUNA AN ACT UKWELI NI KWAMBA HAJUAGI KUNUNA MZEE YULE.....M
Kama unatokea Rukwa 😁😁😁😁😁🤣🤣🤣
Sana mungu akutunze
Huyu bwana mkubwa alikua kwenye kamati ya maadili ya Ccm kipi kimetokea mpaka ashushwe kiasi hiki dah🤔
You're as charming as mwl Nyerere was but work hard
Hongera sana Mama yetu Rais Samia Suluhu kwa kutuletea mzee huyu kwenye uongozi. Hata kama mimi niko Kigoma nitakuwa namfuatilia kwenye mtandao ya kijamii ili nifuahi sana.
MAKONGORO NYERERE UBARIKIWE
Mh Makongoro namkubali sana
Makongoro hoyee mungu akusaidie ktk uwongozi wako
KWELI DAMU HAIPOTEI LIKE FATHER LIKE SON...✍
Ana passion
MAKONGORO NI MCHEKESHAJI NA SIO MWANASIASA
Akili nyingi sana Makongoro.
Yuko sawa na baba yake nyerere kicheko tu
Sana Yani
Eti mtayarishaji wa kipindi 😂 😂 😂
Nakukubal kiongoz
Mzee manyara imemfaa amependeza kweli
Anatengeza good mood ya kazi, watu wafanye kazi kwa confidence na bila uwoga wa kazi tunategemea kazi nzuri kwako na watendaji wako congratulations Mak.
Huu mkoa baada ya mwaka 1 kutakuwa na comedy nzr
Hahaaaa a
Shida ya bongo ukionyesha meno tu umekwisha. Ukweli ni kwamba hapa bongo ukitaka kuwa kiongozi mwenye mafanikio lazma ufanye maamuzi magumu na njia pekee ni kuhakikisha huonyeshi meno kizembe
Watu hawaongozwi hvyo
Mbona haichekeshi sasa hawa wanacheka nini
Duh
Yeye kama baba ake
Hahaha yani uyu daah mama mtaalishaji WA kipindi😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaaaaaaaaa uwiiiiii
Apa unaona utafauti Kati ya viongozi na wababe uyuu mzee anabusara na hekima mtizame sebaya ubabe tu kwa watu wake hajajua kama uongozi ni mapito
Sabaya angeweka watu lupango
SSHV NI RAHA
Kazi ndo itatuaminisha zaid japo ni mcheshi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌
Anacheka kama baba yake kabisa
Huyo mzee mcheshi sana
Makongoro nyerere nakupendaga sana, kwa jinsi ulivyo unapendeza sana ukiwa ni muislam, una hekima, subira na utu, unapenda haki, unachokikosa ni uislam tu ili Allah akuridhie na aje akupe maisha ya kudumu huko mbele za haki.
duh, hapo alivyo hapendexi co
At nn
Nonsense
Kuna watakao kukwamisha, wanatoa mamzi ya kuwatengeneze na kuwasababishia migogolo wana nchi.
Joseph Rutogomba ivo
Kila ukisimama Ni kuchekesha tu.sijaona akiongea mikakati ya kimaendeleo kimkoa kwa nchi yetu hapa tulipofikia na ukipewa nafasi kubwa kam hiyo inabidi uwe siliasi kidogo ili Mambo yaende.huwezi kusimamia watu kwa kuchekesha watakudharau.
Hakuna cha maana hapo hata kidogo. Kweli huu ndiyo uongozi ???? Eti watu wanacheka.
Ila kweli umesema. Achekeshe kweli ila awe serious. Mf Magufuli nimcheshi sana ila jamaa alikuwa hapendi mchezo na kazi labda nakosea nisahihisheni jmni
@@chaomadedo hapana hujakosea na hata wasaidizi wake walimfahamu hivyo siyo kila mahali ukienda wew Ni kuchekesha tu.
gombania urahisi tutakuchagua
Hp maendeleo nac vicheko
Nadhani makongolo anafaa kuwa Rais
Mmmhh, cjuw kama kuna kaz hapa
Hamna kazi hapo kuna vicheko mambo binafisi yanazungumzwa hakuna kitu hapo
Makongoro angefa kupewa naibu rais
Tufanyieni mpango wa kupata Rais kutokea ukoo wenu maana naona ni watu wenye akili nyingi kiuongozi.
😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Sasa nenda ufanye kazi.
Mtoto was nyoka ni nyoka tu
We chekesha tu uache kazi then waseme watoto wa mwl hawakumbukwi
Hahahaha
Nashindwa kuelew kila akisimama Ni kuchekesha tu sijaona anaongea mikakati ya kimaendeleo na kwa nchi yetu hapa tulipofikia ukipew nafasi kam hiyo inabidi uwe siliasi kidogo siyo kuchekesha
Angalia na nafasi yake kwanza
@@nusrathussein521 Rc sio mtu mdogo au unamaanisha
@@simongalahenga6858 kabisa yani
Huyu sipendagi nimuone akiwa ngazi kama hizi zaidi ya urais watu wametoka umakondeni,usukumani,ukweleni,upembani wanaongoza nchi lakini mtoto wa mpambanaji wa kupambania taifa unabaki kuteuliwa daaah huwaga inaniuma sana Kama vile mzee wangu