Nikimuangalia na kumckiliza Musukuma huwa namuona John Pombe Magufuli anakuja upya Tanzania. Mwenyezi Mungu akubariki na akupe moyo huo huo usije kudanganyika na siasa ukasahau utu wetu
Msukuma huwa umeongea point sana na nikuhakikishie 2025 hautakuwa na mpinzani kabisa maana wewe kwenye ukweli unaongea ukweli bila kuyumbisha maneno,we Ni 🔥
Hongera sana Msukuma, umeongea vizuri sana, na wabunge muwe waastarabu, heshimu mawazo ya wengine, halafu kila muda taarifa! Ya nini? Subirini muda wenu, taarifa.. taarifa mna kera sana. Acheni mbunge amalize kuongea halafu baadaye mtoe hizo taarifa zenu.
Msukuma,wenzako wa kanda ya ziwa wanachumia matumbo yao mfano mbunge wa Bukoba vijini hasemagi chochote wananchi wake ni masikini wa kitupwa wakipewa ,2000 imetoka hana cha lujivunia kwenye jimbo lake.
Nshu ya mahindi ambayo selikari mmekopa kwetu mbona hela zinatoka kwa mawaziri tu! waliojiingiza kwenye biashara ya mahindi, lakini wakulima ambao mvua zimeanza hata kutuongelea bungeni haipo ndio nini!😢😢😢
Hata nyumba za watu zinauzwa hivi hivi mtu anafungua kesi anajifanya anakudai inauzwa nyumba kiujanja ujanja kimya kimya utasikia kulikuwa na mnada wa hazara
yani msukuma mungu amekupa hekima kubwa sana elimu una kubwa laikini hekima mungu amekupa tofauti ni uyo mnyaturu asiyekua na adabu anayelindwa na hawo waliomuweka hapo ila mungu yupo
Niliwai kujiuliza, mitungi iliyowekwa kwny magari yanayotumia gesi yametengenezwa kwa Carbon fibre... vipi kuhusu uimara wa material ya carbon fibre kwny kuimili pressure ya ile gesi? Kwasbb cases za carbon fibre na pressure zimeripotiwa nying hapa duniani. Ni mawazo yangu tu🙏
Hivi mbunge wa Mwanga yupo bungeni kweli, mwambie huku Kuna tembo wanasumbua wananchi, changamoto ya maji, lkn pia jimbo linahitaji kiongozi awe mbunifu kwa kugundua mbinu za kuinua vyanzo vya mapato vitakavyoinua kipato Cha wananchi
Hawa ndugu zangu Wamasai wanateseka sana, utafikiri sio Raia wa nchi hii, Ukweli haya machozi ya Wafugaji hayataenda bure, Sio km yale ya Samaki lazima familia zao Mungu awapiganie watoto wa maskini
Asante Msukuma kuwasemea wa tanzania.Mungu akupe nguvu.
Nikimuangalia na kumckiliza Musukuma huwa namuona John Pombe Magufuli anakuja upya Tanzania. Mwenyezi Mungu akubariki na akupe moyo huo huo usije kudanganyika na siasa ukasahau utu wetu
Msukuma huwa umeongea point sana na nikuhakikishie 2025 hautakuwa na mpinzani kabisa maana wewe kwenye ukweli unaongea ukweli bila kuyumbisha maneno,we Ni 🔥
Hongera sana Msukuma, umeongea vizuri sana, na wabunge muwe waastarabu, heshimu mawazo ya wengine, halafu kila muda taarifa! Ya nini? Subirini muda wenu, taarifa.. taarifa mna kera sana. Acheni mbunge amalize kuongea halafu baadaye mtoe hizo taarifa zenu.
Wana Kanda ya ziwa 2025 pigeni chini wabunge wote abaki musukuma anayetutetea tunawasiwasi na kimya Cha serekali kwenye uwanja huu wa ndege
😂😂😂Hii ya kanda ya Ziwa hivi mnatuona sisi ni Waganda au 😂😂
Wanataka kutuhamisha Hawa😁
Namkubari Sanaa msukuma, stay blessed my brother
Msukuma,wenzako wa kanda ya ziwa wanachumia matumbo yao mfano mbunge wa Bukoba vijini hasemagi chochote wananchi wake ni masikini wa kitupwa wakipewa ,2000 imetoka hana cha lujivunia kwenye jimbo lake.
Wabunge wengine bhana,Taarifa taarifa taarifa ,msikilizeni bhana
Wazee wa ngada mnasemaje point ya msukuma😮
Nshu ya mahindi ambayo selikari mmekopa kwetu mbona hela zinatoka kwa mawaziri tu! waliojiingiza kwenye biashara ya mahindi, lakini wakulima ambao mvua zimeanza hata kutuongelea bungeni haipo ndio nini!😢😢😢
King himself proud of you're contributions.🙏
ANA SURA HUYUUU
mfalume msukuma nakushukuru sana.tena nakupongeza kwa kututetea na kupeperusha. bendera ya sisi wana kanda ya ziwa
Proud of lakezoon
Mabura yy nimshangiliaji tu hiv ulienda bungen kushangaa viti na mail humo bungen, kisesa mna mbunge ila nyamagana tuna mbung'o
Hakuna chozi liendalo bure.wabunge muunge mkono Msukuma kwenye mfumo wa gas.
Hapa ndipo najua kusoma SIO AKILI, MSUKIMA WEWE NI PHD. MUNGU AKUSIMAMIE
😅😅😅 Mr Msukuma anaongea point exam wazir wafedha
Namkubali sana Mh Msukuma
Akili kuvwa sana. So critical and minded mind. Truely msukuma you deserved and honoured to be the Doctor
Msukumaaa love you so much nchi hii ni ya matajiri tu tunateseka mahakama ovyo kabisaaa
Mungu akupe maisha marefu msukuma
Hata nyumba za watu zinauzwa hivi hivi mtu anafungua kesi anajifanya anakudai inauzwa nyumba kiujanja ujanja kimya kimya utasikia kulikuwa na mnada wa hazara
Upo vzr sana kuwasemea watu wa chini, natamani ungetoka jimbo la mwanga - Kilimanjaro
Kwa hoja ya gesi nakuunga mkono 👍
SHIDA YETU SISI NI KUIGA NJE;HATUJUI HAO TUWAIGAO WANAKUA TAYARI NA TEK KWA KILA WAKIFANYAHO;SISI TUNARUKIA THE REASON TUNAFELI KILA KITU
yani msukuma mungu amekupa hekima kubwa sana elimu una kubwa laikini hekima mungu amekupa tofauti ni uyo mnyaturu asiyekua na adabu anayelindwa na hawo waliomuweka hapo ila mungu yupo
Big brain
Msukuma mimi nakukubali saana .ni shauri.mawazo yako uwe unaweka kwenye vitabu yatauzika saana.kuliko wanavyokudhania
Hongera sana Muheshimiwa
Msukuma umenivunja mbavu..... Ngosha michango yako hiiiiiiiii.....
Msukuma ni mtu na nusu,kaka Mungu akusimamie uishi sana utaikoa sana nchi hii wa kanda ya ziwa yunajivunia kuwa mwakilishi wetu makini
Nakukubali Musukuma
Mheshimiwa Msukuma tusaidie sana wanyama sikuhizi ni Bora kuliko watanzania mbona tanapa inajitapa kama kwamba wao ndio Mungu
Tuanze na gali za Mawaziri kweli na wabunge
Hakika ..........Msukuma mwenye kusikia na asikie
Safi sana mkuu
Msukuma huwa hakosei hata cku moja mungu katubarik sana
king king viva viva
Niliwai kujiuliza, mitungi iliyowekwa kwny magari yanayotumia gesi yametengenezwa kwa Carbon fibre... vipi kuhusu uimara wa material ya carbon fibre kwny kuimili pressure ya ile gesi? Kwasbb cases za carbon fibre na pressure zimeripotiwa nying hapa duniani. Ni mawazo yangu tu🙏
POINT
Kila nikimsikiliza msukuma uwa namuelewa sana uyu baba ana akili kuliko hata ma profesa,Wanasheria na wasomi wote
Dah,huyu jamaa ni jembe aisee
Wewe ni mbunge wa maisha msukuma asante ntakupigia kura tena.sema nisaidia hata milion nipo hoi
Hivi mbunge wa Mwanga yupo bungeni kweli, mwambie huku Kuna tembo wanasumbua wananchi, changamoto ya maji, lkn pia jimbo linahitaji kiongozi awe mbunifu kwa kugundua mbinu za kuinua vyanzo vya mapato vitakavyoinua kipato Cha wananchi
🤣🤣🤣🤣 eti ukija na swaga ahahah
😂😂 Msukuma Huyo 👍🏻
Kwaili msukuma nimekuelewa sana
Kings Msukuma chukaa Maua yako
Asanteni wabunge tumeiona dhamira yenu nasema ya kutaka kushughulikia ufisadi na mafisadi sasa tusubiri s
dhamira ya rais
Hawa ndugu zangu Wamasai wanateseka sana, utafikiri sio Raia wa nchi hii, Ukweli haya machozi ya Wafugaji hayataenda bure, Sio km yale ya Samaki lazima familia zao Mungu awapiganie watoto wa maskini
Mungu akufanyie wepes 2 wakushindwe watu wajinga kwa kusema ukwel
Msukuma unaongea vzr lkn nakushangaa kuunga mkono swala la Bandari au kwa vile unamuogopa Rais wk
Ukiwa na pesa unaeza ongea Kwa kujiamin hapo bungen wengine ndo wanaanza Saka maisha inabidi wajifiche fiche
Huo mtangi na mm hua nauwazia sana...
Nimemuelewa Msukuma Hakika Wananchi wa Jimbo lake Walifanya maamuzi sahihi.. CCM Hoyeee
😂😂😂dah huyu jamaa
Dalili ya taifa la Tanzania ni hatari zaidi
Viongozi wamakinike vizuri?
Msukuma leo kaongea kwamasrai yawanyonge kweli
Huyu ndio tunasema msomi tengemexi
Kwenye Technologia ya kijiweni nmepapenda sana
uchaguzi umekaribia ...wanatuigizia tu
Daras la sb nimoto
Hee ng'ombe chini ya laki moja mhmm ni Tz au nchi gani
Kweli wewe DR KASHEKU
Niwatendaji waleo wanaofilisiwananchi masikini.wanajiongezeawao niutajiri uliojaalaana.
Huyu mwamba ana point sana
Nataman msukuma ungekiwa mbunge wetu kibamba huku makabe barabara imejengwa kipande hakieleweki kabisa
Chakushangaza kwao hakuna lami ni vumbi tu
Msukuma unaona mbali.
🔥🔥🔥🔥🔥
MSIDANGANYWE KUWA MSUKUMA HAJASOMA,,,ANAENDELEA KUSOMA,,,WE KAA UONE SHULE HAINA DILI...UAMBULIE ULICHOPANDA.
Watu wasipopata posho wanakuwa na akili sanaaa
Dakika 10 point za muhimu tuuu
Teknologia za kijueni😂😂😂
Wafugaji tumeungana kuchangia hela ya kampeni 2025 nchi nzima
Kichwa iki, elimu sio akili.
Namkubali sana kweli kusoma sio kupewa maono😂
Wafugaji wapewe maeneo kama swala na nyati wanavyojinafasi
Tatizo unafki mwingi unaongea kwa uchungu dakika ya mwisho, WANASEMA SIYO 2 WENGINE WOTE ndiyooooooooo. MANINA SIASA
Brother sukuma simamia unachokiamini hadi mwisho tatizo unajigeuka mwishoni na kukubali kila kitu unachokipinga sasa 😂😂😂😂
Braza tuliza basi....😂😂😂😂🚮
Msukuma uko poa sana nyie BDO saut zetu achA kabisa
😂😂