HII BALAA!!!!...Mbunge aruka sarakasi bungeni ''Mimi ni mtaalamu wa sarakasi''
Vložit
- čas přidán 22. 05. 2022
- Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay akiwa amebinuka sarakasi ndani ya ukumbi wa Bunge alipokuwa akichangia mjadala wa kupitia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 jijini Dodoma leo.
Flatei alichukuwa uamuzi huo ikiwa ni njia ya kuonyesha hisia zake kwa kero ya kutokuwa na barabara ya lami katika jimbo lake.
Uko vizuri Mbunge tena mkakamavu kama magufuli kupiga pushapu..
Fratei unatupigania sana mungu akupe miaka mingi
Hongera mungu akubarki Joseph m.
Uko vizuri mbunge
My hero ever waambie bhn
Hawa jamaa wana injoye maisha mshahara,magari,nyumba marupurupu ya pesa nakadhalika wache wafenye mas hara katika bunge tukufu.
wabunge wote wangekuwa vichaa bungeni tungefika mbali wananchi
Eh mungu
Big up kiongozi alietumwa na watu🤜🏾
Aaaaaaaaaaahhhhhh
Good bless you Mach
Hongera sana
Wewe2🎉🎉
Hahahahaha
Burudani kidogo
🌿
duh hy barabara yavumbi kuelekea mbulu lostete hospitali akun mpk karat mjin wat wanavamiw nawanyam akun lami xhd san jamn
Aisee kiongozi inauma kama chama chako kinakusalit ahadi zake ni ngum siasa ya tz siwezi shiriki waachie ccm maana mimi chadema pure
Haaa haaa kiukweli ina uma
Nb kama lami Hydom-to-mkalama-sibiti-Ccm-na waziri-wa-ujenzi-hakuna-kura-hata-mmoja-2024/25
Thanks-fratey-massay-na-wabunge-mkalama/na-meatu"""
Haahahaha hii nchi unahama unaenda wapi unaacha burudani kama hzi
Mtu anakipaji cha salakasi chaajabu anapewa ubunge..🤣🤣
Sasa mbunge awe siliaz wakat maishayake uhakika mall paL nakula vzl anagal nzuri awazenn kwahalihii wanyonge maskin machinga wanafunzi tutashindwa kunikumbuka baba yeti magufuli mmm ka ipoo
Hahahahahahaha umekasilika bbaba piga salakasi kwani mbona hela zetu za kodi mnadai kwauwaminifu mnazhidagani lakin wizala ya balbala na huyo xpika wen wabunge Kwan laIma awe yy mteuwen mwingin mbn tupo
Hoi
Aaaaa😂😂iiiatari.
😂😂😂😂bungen kuna wabunge wapo chachuchachu😂
🌳🌲🌿✅
Hahahahaha
Hii Hatareeeee
😂
Balaaa 😂
Aaaassss noma
Ila mbunge tunaomba vipajivyenu
😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
Upo vzri
Nyoka 😀🙄🙄🙄mm.mmme
Azam vs yanga
Wabunge wote wakiwa ivi lazma kilakona yamkoa lazima balabala zijengeke
Hao ndo viongozi
Sio huko mburu tu, hata Barbara ya bupu kise Ni mtihani kwakweli, yaani mlevi akikojoa tu barabarani Basi haipitiki, muitazame hii!
Balaaa tupu mama umeona
Ukovizur mbunge. Kwanza ungewagawia chai
Uko vizr mp
Naam
wakiingia hapo wanatakiwa wazime simu..
Ukosawa baba
Matukio ya molotonga
ukosawa mbunge kwakupigania
Maendeleo yawananchi
Bogo feva
Ko
انت ليس عندك مشكل
Fitness level ya mheshimiwa ipo juu sana
Mpuuzi
😹
Hii bara
mda wenu yarukeni tu
We pigs babaaaaaaaaaa hahahahahahah hakuna muheshiwa wewe pigaaa ukifukuzwa bungeni njoo nikupe mtaji wa duka la vipodozii pg baxiiii
Masay jiunge chadema utapiga sarakasi utachoka toka nje Kama wale wa chadem, alaf usinge hoja mkono
Xxxx
Hapa ndiyo namlaumu mheshimiwa tu kwa kutletea watu wa hovyo kama hawa bungeni, halafu amepelekwa na wananchi kweli?
We chizi,,wewe,,kwani bungeni unaenda kutetea tumbo lako? Au watuwaliokuchagua vilio vyao?
Watu wa HOVYO kiajw
laiti ungepit maeneo ya mbulu mpk uko sehem kunalam nimwixh wageti langorongor mpumbavu ww ujui xhd ilioko uko
Ana haki
Anaongea kwa uchungu, anatetea wananchi, yuko sahihi sana!!
ukosawa mbunge kwakupigania
Maendeleo yawananchi