Msukuma mm hapa nina degree tangu 2015 lakn nilishaweka pemben na nikaanza kupambana kuanzia chin machimbon hadi leo huku mozambique na nilipo namshukuru Mung. Namuelewa msukuma vjana to chukuen lisk kutoboa ni inawezekana.
Wewe uelewa wako uko kwenye Kiingereza kukosoa kaongea Kiingereza cha namna gani badala ya kutazama mafanikio yake. Kiingereza kukijua sio kufanikiwa, badilika
@@jamesnyakia-um7iu na ndo shida una elimu ya juu inakujengea dharau kwa walio na elimu ya chini yako,tuangalie mafanikio ya kuishi maisha yenye maendeleo
Acha kuongelea darasa la Saba unaweza kusababisha watoto waache shule kisa wewe kusoma lazima mshukuru Mungu kwenye maisha Kuna watu automatically wanaakl akiwepo wewe ila mtu akiishia la Saba wachache Sana wenye akl iliyochangamka
Hakika unatupa moyo wenye darasa la saba ili tukaze kumbe inawezekana kutoboa maisha na lasaba langu asante mungu akusaidie kwenye uongozi wako
Nakukubali sana Msukumaaaa akili kubwaaa
Msukuma mm hapa nina degree tangu 2015 lakn nilishaweka pemben na nikaanza kupambana kuanzia chin machimbon hadi leo huku mozambique na nilipo namshukuru Mung. Namuelewa msukuma vjana to chukuen lisk kutoboa ni inawezekana.
Risk - Lisk
Degŕee holder 2015 😂
Wewe uelewa wako uko kwenye Kiingereza kukosoa kaongea Kiingereza cha namna gani badala ya kutazama mafanikio yake. Kiingereza kukijua sio kufanikiwa, badilika
@@swafiirbulbul819😂😂😂 Lisiki
@@jamesnyakia-um7iu na ndo shida una elimu ya juu inakujengea dharau kwa walio na elimu ya chini yako,tuangalie mafanikio ya kuishi maisha yenye maendeleo
Degree na lisk kweli aaaa tushusheni
I'm proud of you msukuma Kuna kitu nilijifunza KUTOKa kwako now naona matunda yake
Good
Wewe tuseme na kutusahau tunafurahi kaka yetu kwa maisha ya zamani
Namkubali sana jamam
Nakuerewa sana
Big up sana
Nakuelewa sana ngosha
Naombaa msaada niongee na huyu mzee jamn
Big up Msukuma
Natamani kuwa kama wewe kaka hakili nyingi na hakili ya utaftaji
💪🏾fact
Daa dimamu Kwa mzeeh shosi manunfu apooo
Manen Yako yaelimixha sana
Kiukweli nafatulia sana history ya msekuma
👏👏👏👏👏👏👏
Clouds mmefanya lamahn sn lkn mpangilio sio mzr kbx na vyombo ni vibovu sijui kuweni mkn asant
Nikweli asilimia 90 mabosi wa tz nidarasa la 7 au hawajasoma kabisa nanimabosi
🐄😄😄😄😄"wotee mlimaliza ng'ombeeee za wazazii "
💪
👏
Ni kwel kabixa kaka mim binafsi nakufatilia sana
Acha kuongelea darasa la Saba unaweza kusababisha watoto waache shule kisa wewe kusoma lazima mshukuru Mungu kwenye maisha Kuna watu automatically wanaakl akiwepo wewe ila mtu akiishia la Saba wachache Sana wenye akl iliyochangamka
Huyu jamaa Ni hatari
Ila mjomba unakoroga maneno sana
Big up jah bress you nakwaminia mchapa kazi
Kaka Seema Elimu muhimu Elimu IPO mbele Africa tuna Elimu bado 1970 chaina au America washavuka hivoooo
Kweli unaelim yamaisha halis
Mimi uliniudhi eti unapigia upatu bandari wakati mikataba ni kichaa Tu anaweza kusaini
Vunja bei mbona kasoma
Ml 300 kontena mbili za ngano jamani hiyo ngano ilikua inauzwa bei gani?.
Tupe ushauri