BILA UOGA MBUNGE AINGIA NA POMBE BUNGENI "Mimi siyo kichaa nakuheshimu | MBUNGE MSUKUMA AMTETEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 05. 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Komentáře • 225

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Před rokem +29

    Mbunge wananchi wa jimbi lako wakuongeze mitano tena umetuwakilisha vyema sana MUNGU akutunze

  • @georgemboneko9163
    @georgemboneko9163 Před rokem +12

    Dada umekitumia vyema kiti chako cha ubunge kwa mawazo chanya. Ubarikiwe

  • @charleschacha4076
    @charleschacha4076 Před rokem +9

    Hongera sana sana dada una kipaji waambie ukweli japo ukweli unauma

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 Před rokem +21

    Mbunge ameongea point mpaka Mimi niliyopo huku Arusha imebidi nimpigie makofi,hongera sana kwake.nami naunga mkono hoja

  • @fatmaissa5685
    @fatmaissa5685 Před rokem +14

    Tunauwezo wa kutengeneza wine hata katika ngazi ya kijiji kupitia sido

  • @rubensokoine6647
    @rubensokoine6647 Před rokem +6

    Safi sana endelea kumshika yesu mama wangu

  • @bahatisimfukwe3834
    @bahatisimfukwe3834 Před rokem +7

    Uko vizur mh wangu by simfukwe chole

  • @olesambekelaizer1117
    @olesambekelaizer1117 Před rokem +6

    Daah HUYU Mama amenissimua kwa Hoja yake natamani nimuhagi 😂😂😂 kwa pongezi Gongo letu safi san😂😂😂😂😂 tuboreshe ili iwe na tija kwa Taifa letu

  • @mossesisaack5066
    @mossesisaack5066 Před rokem +18

    Dada Umeubariki sana moyo wangu kwa kusema ukweli ,Mungu akubariki . Niwaombe wabunge tuige mfano huu kuongea mambo ya kujenga nchi yetu kama huyu dada

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před rokem +1

      kuongea ukweli kabsa ila utekelezaji kwa huyo rais wake utafsnywa maana awam hii maongezi tu hamna utekelezaji kabsa

    • @km4km437
      @km4km437 Před rokem

      Ama kweli tupo wachache wenye uwezo wa kuongea mambo yasiyo faa kwenye jamii dadaangu mungu akupe ujasiri kesho iwe njeema kwetu sote sio kwao tu yamoyoni yamenitoka nawachukia watu kama huyo alievaa kibakuli kichwani hajui hata kuonya wala kufundisha anataka aitwe mwalim cheeeee

    • @saitotimollel-8995
      @saitotimollel-8995 Před rokem

      Dada umeubariki sana moyo wangu kwa kusema ukweli mungu akubariki niwaombe wabunge

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi5800 Před rokem +11

    Mheshimiwa Asante.Mimi siyo mnywaji, Lakini nimefurahishwa na mchango wako. Aidha nimefurahishwa sana ,tena sana jinsi ulivyo mjibu Huyo mzee. Majibu yako na mheshimiwa Tulia, yamemfanya ajue ana Akili na uelewa kiasi gani.Barikiwa mama.

  • @darusinganziulenge9363
    @darusinganziulenge9363 Před rokem +2

    Mungu akupe maisha mrefu akuondolee usda na hasada msema kweli mpenzi wa Mungu kila anayesema kweli anawekwa kundi la kichaa je uyo anayeweka wenzake kundi la wakichaa je yeye anayoyafanya kijamii yanampendezesha Mungu ukweli wamtu upo ndàni ya nafsi yake kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe

  • @rehemashayo5024
    @rehemashayo5024 Před rokem +2

    Tungekuwa na kumi kama wewe nchi ingekuwa zaidi ya ulaga ❤❤

  • @jovinmancomedytz
    @jovinmancomedytz Před rokem +3

    Nimekuelewa sana mawazo yako nimakubwa sana mh Mungu akubariki sana

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Před rokem +5

    Hongera sana hawataki kupima tbs yetu

  • @user-ju2tp5dv6i
    @user-ju2tp5dv6i Před 9 měsíci

    Naomba moja hapo nizimue mueshimiwa Asante sna ukweli umewapa waache kukualili maisha yakaisali apwe kaisali na ya mungu pew e mungu

  • @frankrevelian6919
    @frankrevelian6919 Před rokem +13

    kuna watanzania wana akili kinoumaaa yaan....

  • @KuhaniMbarikiwahalisi-nr7ih

    Dada hongera sana kwa kusisitiza kuthamini vya kwetu alikuumba akubariki kwa kusema kweli

  • @user-ur8cz7ls3s
    @user-ur8cz7ls3s Před 3 měsíci

    Asante sana dada umeongea point kubwa sana na Nina uunga mkono hoja yako Asante sana na ubarikiwe sana dada💛💚💚💚💚

  • @samoramollel
    @samoramollel Před rokem +7

    Mwanamke unaakili sana.

  • @JudithJackson-we6iu
    @JudithJackson-we6iu Před rokem +1

    Umeongea vizuri sana dada ubarikiwe sana

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf Před 28 dny

    Wanywaje mupo twendezetu bungeni nimewapenda sana

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před rokem +2

    Gongo ibotreshwe iwe na viwango...Ajira zipatikane na tuviheshimu vya kwetu

  • @seriousmovie
    @seriousmovie Před rokem

    Daa!! Barikiwa sana mama momba hongereni

  • @LizzLissah-vg2tk
    @LizzLissah-vg2tk Před rokem

    Such amazing topic

  • @abatinkalango4571
    @abatinkalango4571 Před rokem +1

    Well said

  • @ombayemangare3088
    @ombayemangare3088 Před rokem +3

    Hii habari inastahili kujadiliwa katika bunge la Kenya.....napenda hoja hii

  • @nangugu1657
    @nangugu1657 Před rokem

    Dah ama kweli wanaichi wa momba wanamuwakilishi bungeni dada hongela sana upo vizuli hakika mungu akuzidishie miaka na miaka Ijayo wanaichi wa momba watambue uwepo wako bungeni

  • @StevenSinkonde-w5r
    @StevenSinkonde-w5r Před 25 dny

    Hongera sana kwa kusema ukweli

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb Před 2 měsíci

    Yes sister 👏 🙌

  • @medardkalinjuma5503
    @medardkalinjuma5503 Před rokem

    Dah mbunge wetu leo umejadili uovu kweli. Umeiudhi mbingu sana kwanafasi alokupa Mungu, umeitumia vibaya leo. Unywaji na wanywaji niuovu na hakuna mbingu kwa walevi.

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 Před rokem

      Imemaanisha ni kwanini tuthamini vya wenzetu wakati vyetu vipo ?? KAMA NI DHAMBI BASI VIPIGWE MARUFUKU KABISA NA SIYO KURUHUSU VYA NCHI ZA KIGENI.

  • @user-xl6vf4nb8y
    @user-xl6vf4nb8y Před 9 měsíci +1

    Kenya can never explain such 😅😅😅

  • @estherkibajiro3480
    @estherkibajiro3480 Před rokem

    Dada kaongea point,, Big up my Dada 👊

  • @TundaEmanuel-ns8kj
    @TundaEmanuel-ns8kj Před měsícem

    🔥Hawa ndio aina yawabunge tunawaitaj sio wale wanaoenda kula mpk wananenepa hovyo 😊

  • @infoman0909
    @infoman0909 Před rokem +3

    Dear gambe

  • @rubensokoine6647
    @rubensokoine6647 Před rokem +3

    Jamani wabunge pombe nidhambi sana Mungu awa saidie sana

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 Před rokem

      Kama ni dhambi kwanini zinaruhusiwa na Kama zinanunuliwa kwanini tuwaungishe mataifa ya mbali?? NADHANI HII NDIYO HOJA YAKE

  • @user-lo1ub5sv1t
    @user-lo1ub5sv1t Před rokem

    Hongera sana

  • @Nanata1995
    @Nanata1995 Před 8 měsíci +1

    Bakukubali

  • @andrewshirima6332
    @andrewshirima6332 Před rokem

    Upo sawa Mh.

  • @SYLMASVISIONFORSCIENCE
    @SYLMASVISIONFORSCIENCE Před rokem +7

    Umetengeneza point japo haikuwa imenyoooka mwanzo

  • @josephgurti7321
    @josephgurti7321 Před rokem +1

    Uko sawa

  • @BatroNgilangwa
    @BatroNgilangwa Před rokem

    Asante sana dada yangu Kwa hoja thabiti.

  • @williamjohn7907
    @williamjohn7907 Před rokem +1

    safiiiiiiiii

  • @gospelguest694
    @gospelguest694 Před rokem

    Mungu kutunze uendelwe kutetea wanachi wako waliokupa kibali na ukumbuke pia kuna taji yako mbinguni kaza mwendo ingawa utapigwa vita ila mungu hajawahi kuacha kuwalinda mashujaa wake

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před rokem +2

    Gongo Nchi zingine ni pombe ya asili Namibia gongo inauzwa sokoni mpaka kwenye baa ndogo ndogo.

  • @naomipanja5768
    @naomipanja5768 Před 5 měsíci

    Mbunge wetu be blessed

  • @vitalismarunda6760
    @vitalismarunda6760 Před rokem

    Wabunge kama hawa kwenye Bunge letu ni wachache sana Safi sana Dada Anguu unaupiga mwingi aiseeee

  • @danfordmbilinyi1138
    @danfordmbilinyi1138 Před rokem

    Nice say

  • @wilbartwilliam
    @wilbartwilliam Před rokem

    Well said madam

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Před rokem

      Hivi inakuaji mtu mzima Tena msomi anatamka maneno kisengere nyuma?
      Mfano:
      1 dhambi mtu anasema zambi
      2 R ( Ara ) mtu anatamka L ( ELO )
      3 serikali mtu anatamka selikali
      4 Brother eti blaza!
      5 Road eti load!
      6 light eti right
      7 Right eti light !!!! Duh, aibu sana.
      Kiukweli nawashangaa sana
      8. Kura eti kula!

  • @isamony58
    @isamony58 Před rokem +8

    nimependa iyoo mada tupewe uhuru tu gongo nipombe peke yakitaalamu mtwara oyeeeeee

  • @hamzajafary
    @hamzajafary Před rokem

    mungu akulinde usem ukwel

  • @khamisihamadi629
    @khamisihamadi629 Před 2 měsíci

    Asante sana pombe niharamu kwenye vitabu vyote

  • @HassanNyawange-xj2cp
    @HassanNyawange-xj2cp Před 8 měsíci

    Katika wabunge ambao wapo bungeni kwajili yakuijenga icho hii wewe upo miongoni mwao! Msukuma pia dada uyo ongozen maisha mtupambanie wakipato Cha chin.

  • @ZakayoIbrahim
    @ZakayoIbrahim Před rokem +3

    Fantastic

  • @Worldunite
    @Worldunite Před rokem +4

    Waafrika tuna kasumba mbaya sana, tunathamini vya nje tunadharau vya kwetu.

  • @danielshekiyao706
    @danielshekiyao706 Před rokem +3

    Yani hili binge la sasa Lina vioja Yani wamekunywaaaa usiku mzima pombe zikawatuma waingie nazo wakazitetee

  • @josephwachira-jz4bt
    @josephwachira-jz4bt Před rokem +2

    Dada yangu mheshimiwa umenena, mimi ni mkenya na nimefurahishwa na economic mindset ya mheshimiwa. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🇹🇿

  • @euphrasiantawatawa1510
    @euphrasiantawatawa1510 Před rokem +3

    Hivi
    wanini msimuache huyo mh Kondesta aongeee,mnakatisha katisha nini?

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    kwa huyo mnae muita rais wenu hana akili wala moyo wa kuwajali wanainchi wa kawaida miaka mi 2 sasa mnaongea tu hamna utekelezaji hakuna hata faida ya bunge awamu ya samia hamna wakutekeleza anapenda maaovu sana huyo mama ndio maana anashindwa kuyazuia maovu na maaswi yupo kimya waiz wanaiba wapo tu

  • @jemxruni
    @jemxruni Před rokem

    Asant mama ❤❤❤❤

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Před rokem

    Mungu akulinde na husda maana umeongea mitano haitoshi

  • @MasterRugemalila-ze4ym

    Asante

  • @user-bl2vt6rk8m
    @user-bl2vt6rk8m Před rokem

    Duuuh nimeipenda iyoo

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 Před rokem +3

    Dada una Akilisana

  • @YohanaMabongo-no6rv
    @YohanaMabongo-no6rv Před rokem

    Mhe. Big up. Shida ni kwamba ukoloni umetulemea akilini. Tunakopi tu naku paste

  • @levinatesha5317
    @levinatesha5317 Před 5 měsíci

    Dada sio poa😂😂😂😂😂

  • @michaelmatemu3490
    @michaelmatemu3490 Před rokem +3

    Hili Jambo wakati mtu anaongea alaf mwingine anasema taarifa inakata sana

  • @ShomaMaganga-pm4mf
    @ShomaMaganga-pm4mf Před rokem

    Umenena sana

  • @neemajumanne458
    @neemajumanne458 Před rokem

    Ongera mtumishi

  • @user-fn8mz5le3c
    @user-fn8mz5le3c Před rokem +1

    I miss you amina chifupa

  • @user-ow6tx2is8b
    @user-ow6tx2is8b Před 5 měsíci

    V good gongo ililea nakutusomesha

  • @GilbertMuhandiki
    @GilbertMuhandiki Před 7 měsíci

    Kuna vitu navishangaaga sana ukiona wabunge wanavowaka bungen kweli utasema wamechukia kumbe ni nguvu ya soda Kwa ajili ya maandaliz ya uchaguzi wa 2023 ila wajue na njue sisi watanzania tunatumia Kwa maigizo hayo na mkumbuke sisi ndo walipa kodi tuliona hayo maigizo yanayoendelea tunatumia sana sana.Tupunguze masiara na tuache masiara.

  • @EvenEvarist-sk6ur
    @EvenEvarist-sk6ur Před 18 dny

    Dada mweshimiwa uposawa kabisa kabisa , wandugu watanzania .

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 Před rokem +4

    Hapo elimu inatakiwa hayo anayo Zungumza ni kweli kabisa kwa sisi tunao fanya kazi za hotel tunaelewa anachosema mbunge sema hapo tatizo wanao kunywa wanatumia vibaya gongo ni sprit kama hizo alizo nunua mh yaani ni elimu tu hapo ni pana sana

    • @farajamlenga2791
      @farajamlenga2791 Před rokem

      Nmependa majibu yako kwa uyo mzee na Mungu ajutunze umeongea ponti sana nchi ingekuwa na wabunge wa namna iih hakika tungefika mbali

  • @winepreneur7329
    @winepreneur7329 Před rokem +7

    Sista ukitoka tuonane unikabidhi huo mzigo

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před rokem

    Wabunge wa chama kimoja ni wa hovyo sana mnadhan tumesahu zile hela zilizoibiwa pesa zetu wananchi...msituletee propaganda tunataka mjadili kuhusu zile pesa hizo habari za pombe ..waambien walev wenzenu ..tunataka pesa zetu zirud mtaan maisha magumu sana

  • @user-gi6ye9fq5s
    @user-gi6ye9fq5s Před 5 měsíci

    🤝😘

  • @victorbakarweha5375
    @victorbakarweha5375 Před rokem

    Sawa

  • @maresianantibakazi-yh4qd

    Nimecheka kwa sauti

  • @JoachimMagori-vm9pg
    @JoachimMagori-vm9pg Před 2 měsíci

    KUNA sababu ya kuwa na taasisi ya kukusanya wabunifu bila kujali vyeti vyao ili kubaini vipaji na bunifu nzuri.

  • @user-mh6xv7wi7k
    @user-mh6xv7wi7k Před rokem +1

    Umesema kweli kabisa

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza Před rokem +1

    Kiwanda chibuku muekezaji alie kuwa anakiendesha amerudi kukihitaji baada ya Tbl kushindwa kukiendesha jiji wamekataa wakati mkuu wa mkoa wakati huo kabla ya Makala hakuwa na shida ila jiji wamekataa sababu wanaijuwa

  • @bausaluck6612
    @bausaluck6612 Před rokem +5

    Sasa izo zimemwangwa au waziri alitaka kujuwa laza ya KackDaniel

  • @christophersikaonga4412

    Safi kabisa

  • @HalfaSaid-vl6ki
    @HalfaSaid-vl6ki Před rokem +1

    Ilo ndo tatzo la TZ ukibuni bunduki unakamatwa ila wanatumia mamilion kuagiza Silaha nje daaa! bongo😂

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Před rokem +1

    Pombe za kienyeji haitakiwi kwa sababu viongozi hawapata asilimia 10 ndo mana wanadharau ili tu ije toka nje

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Před rokem +1

    Tena pombe yetu inalewesha vzur kweli...unabaki na akili.🤣🤣🤣🤣🤣akili ya kuanza nayo kesho.

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Před rokem +2

    We dada umetetea ijinga zaidi

  • @geeva99
    @geeva99 Před rokem +3

    Mbona kama kalewa ye mwenyewe, akisikia taarifa analeta attitude, kweli pombe ina frequency mbaya hata ukikaanayo karibu tu

  • @altenkiswaga2533
    @altenkiswaga2533 Před rokem +1

    Hayo maneno kwanini ubunifu wa Tanzania udidimizwe

  • @user-mp4hp7rv6j
    @user-mp4hp7rv6j Před 7 měsíci

    Amali

  • @peterkanza2207
    @peterkanza2207 Před rokem +1

    Hii nchi ukiwa mbunifu unaitwa muhuni?
    Kipanya kabuni gari,kisha watendaji wa wizara ya viwanda wanamuita muhuni.

  • @salimumohammedsalimu1720

    Kwahiyo ukimaliza show waenda kujitwika sharubati kuanguka😂😂😂😂

  • @user-rr1lw7sz6h
    @user-rr1lw7sz6h Před rokem

    Ni mbunge wa kwanza mwenye mawazo chanya mama mwaga cheche kututete wa pika pombe wanateseka sana

  • @user-rx6ey5ff3u
    @user-rx6ey5ff3u Před 5 měsíci

    Jamani kwetu moshi tunaitafuta kwa toch nakumbuka zamani mtambo nyuma ya nyumba

  • @saitotimollel-8995
    @saitotimollel-8995 Před rokem

    Oka

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Před rokem +1

    Mh Awaki lete mrejesho krt

  • @allyjola3568
    @allyjola3568 Před rokem

    Ongea dada🇹🇿🇹🇿

  • @user-kg7mc7ym1m
    @user-kg7mc7ym1m Před 6 měsíci

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @emazjassam2452
    @emazjassam2452 Před rokem +1

    Anapoint

  • @juliusmagheke1379
    @juliusmagheke1379 Před rokem

    😂😂 nasubiri siku mkijadili barabara na madaraja nayo myabebe kuyaingiza ndani ya bunge