BUNGE ZIMA LACHEKA🤣 MBUNGE MUSUKUMA AKICHANGIA kwa KINGEREZA - "YOU NEED TO BE VERY IGNORANT"...
Vložit
- čas přidán 2. 05. 2023
- BUNGE ZIMA LACHEKA🤣 MBUNGE MUSUKUMA AKICHANGIA kwa KINGEREZA - "YOU NEED TO BE VERY IGNORANT"...
Ni mkutano wa 11 kikao cha kumi na saba cha Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm
Big up sana Msukuma, wewe ni mtetezi wa wanyonge tangu zamani.
Mungu akubariki sana
Nyie wabunge wengine' igeni kutoka kwa msukuma,,,,,,,good points brother
Safi Sana nkoi Msukuma. Ogitula gezungu ja nguzu getegete.
Big up Msukuma umeongea kwa kuwatetea vizuri wafugaji,na Bunge litumie Hansard hizo kurekebisha yaliyo kinyume kwa sababu ndiyo maana ya kuwa na Bunge
Hama Kwa hakika nakukubali sana mbunge Joseph Musukuma una hoja za msingi sana Kwa serikali hongera sana
Wasukuma wa jimbo lako, wamepata mbunge, safi sana msukuma, unaonesha uzalendo.
Huo ndo ukweli baba🎉
Hongera Dk. Msukuma Kataza Hereni ni Upuzii tuu
Safi sana mh. Msukuma
SAFI SANA MBUNGE MSUKUMA.
Kweli kabisa mbunge msukuma umeongea point sana hongera sana,na hiyo ishu ya bagili ni dili la baadhi ya viongozi wakubwa
Nice speaking 👍👍
Huyu jamaaa ni kichwa snaa siku hiz anaongea point sana wanataka kututapel
Umeogea Sasa musukuma hivyo sasa 5:51
Kweli ndio madhara ya elimu za makalatasi
Upo Sahihi sana
Kwakweli watu kama msukuma ndani ya ccm wamebaki wachache
Huyu jamaa anaongea ukweli mtupu lkn kwa njia ya kuchekesha
Mau yako msukuma🎉🎉🎉🎉
Buku buku za kwenye umeme mbona wabunge wamezkalia kmya wananch wanaumia na pesa hazielewek znafanya kaz gan
Huyu angesoma!!!!!hatari
Tunahitaji wabunge kama huyu bila kujali ugumu wa ilani ya chama chake
Jamn sisi lupa mbungeame lala hatu jali
Sio kizungu sema kingereza
Hawatupei anjira hawawatu 😮😮
Msukuma nikupe zawadi gani jamani.unakuta mfugaji anahangaika kutafuta marisho na maji anapigwa najua anapauka ndani ya miaka 6 ndio ng'ombe awe amekomaa kuuzwa huyo waziri hana huruma na mfugaji.afanye majaribio kuchunga ng'ombe mwezi mmoja kwanza aone hiyo sela yake watakuwa amewatendea haki wafugaji?
♥💝😄👏
KUMBE Mh. MBUNGE MSUKUMA ALITABIRI KUWA WABUNGE WENGI 2025 ITAKUWA VIGUMU KURUDI? SUALA LA BANDARI LIMEKUWA MWIBA KWENU WABUNGE. Mhhhhhh? Bandari zetu zirudi.
😂
Raid ajae