JIONEE STESHENI YA TRENI YA KISASA ILIYOPO MOROGORO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 03. 2021
  • Stesheni ya Reli ya Kisasa (SGR) Morogoro imekamilika kwa asilimia 98 na itakuwa na uwezo kuhudumua zaidi ya watu 400 kwa wakati mmoja, migahawa minne na ina uwezo wa kuegesha magari180 madogo, mabasi 6 na malori matano.

Komentáře • 200

  • @ababuumwanazanzibar4908
    @ababuumwanazanzibar4908 Před 3 lety +44

    Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 Před 3 lety +25

    Mashallah hakika kwetu kumenoga jamani hongera Rais wetu 👏👏👏👏👏

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 3 lety +1

      Kama nje wallah! Halafu ndo kaenda wala hajavitia machoni duh! Inauma kweli
      Naomba Mungu, isitokee mijizi ikaanza wizi oooh tubinafsishe ili wakatiwe kitu kidogo.

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma7581 Před 3 lety +17

    Vip ndo nitakuwa naingia mie
    Mungu ibaraki Tanzania na watu wake 🇹🇿
    Mungu mbariki Rais wetu JPM 🇹🇿

  • @tronadc7
    @tronadc7 Před 3 lety +31

    Hongera nyingi kwa Rais Magufuli 👏👏👏

  • @raymondmboyi8459
    @raymondmboyi8459 Před 3 lety +17

    Kongole kwa Raisi Dr. John Magufuli! Hii ni kubwa kuliko 🙌🏽💪🏽

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 3 lety +11

    Woooow mashaAllah nzuri sana. Mola ibariki Tanzania,Mola mbariki raisi wetu mh.john pombe Magufuli Mola tubariki watanzania tuendele kushikana katika maendeleo.
    AMIN

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Před 3 lety +1

      Tanzania ya Magufuli achana nayo inakuja kwa kasi ya 4B nakaribia kusema ndio Taifa la Africa linalokuja juu kwa kasi sn ya kutisha ndio maana majirani zetu kila siku hutafuta sababu za chokochoko kabla tuliaminishwa kua sie masikini wa kutupwa ukweli wa Mambo tumeona black and wait kua sie ni matajiri magu katwambia kwa vitendo na kauli big up sana Mzee Bagu

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 Před 3 lety

      @@ahmedzahor2975 nikikwambia huu ni mkopo yani misaada ya wahisani cjui utajiskiaje na maelezo yako yote uliyotoa

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Před 3 lety +1

      @@maujanjatv24h41 masikini husaidiwa hakopeshwi kwa kuwa hana uwezo wa kulipa hivyo ukiona mtu anakopeshwa basi huyo ni tajiri ana uwezo wa kulipa kwa hiyo Tz ni tajiri huwezi kupinga hilo 🇹🇿💪🙏

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 Před 3 lety

      @@aminasittusaid3830 hivi unajua tz inadaiwa shing ngapi mpaka sasa? Waulize kenya kilichotokea hakuna nchi tajiri inapokea mikopo acha akili mbovu 🥱mikopo inakuja na terms na condition zake we unajua kwnn mpaka leo tanzania haijawai pinga ushoga? Naona unalopokwa tu ata nchi yako huijui

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Před 3 lety

      @@maujanjatv24h41 sasa kumbe umeona naropokwa kwa nini usinipotezee basi ili udeal na wenye akili wenzio. Akili nyingi mbele kiza mmhh

  • @josephkauki6094
    @josephkauki6094 Před 3 lety +23

    The first one to watch this ...from Egypt

  • @abubakarmalinza9339
    @abubakarmalinza9339 Před 3 lety +18

    Maendeleo makubwa kwa mkoa wetu wa Morogoro. Viva JPM

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 Před 3 lety +18

    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿💙💚🖤

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 Před 3 lety +16

    Tukubali au tupinge yote tunayo yaona ni maono ya jpm kazi nzuri mm sikutegemea kwa miaka hii ya karibuni Tz tungekuwa na Reli nzuri kiasi hiki ata mradi ulivyoanza bado wengi walikuwa awaamini Kama kweli tutaweza kujenga tukumbuke ss tulikuwa nchi masikinia alafu Rais anasema tutajenga reli ya kisasa kidogo dunia ilituona Kama tuna tania ila Sasa tunaeleweka

    • @ivaniavianarodrigo7201
      @ivaniavianarodrigo7201 Před 3 lety +1

      kifo cha huyu mzee jpm nimeumia sana, ningekua na nauli ningekuja kuzika

    • @djrichsingelifreva8245
      @djrichsingelifreva8245 Před 3 lety +1

      Raisi wetu alisema sisi Ni matajiri ila utajiri wetu ulikaliwa na Watu wachache kwa manufaa yao Magufuli Mungu akulaze mahala pema peponi

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před 2 lety

      Na alisema pia Tanzania sisi sio masikini ila awamu zilizopita ukitoa ya NYERERE walikuwa wana tudanganya sisi wananchi ya kwamba Tanzania ni masikini na ni taifa changa kumbe ni uongo wa mchana kweupee na ndio maana wamemuuwa mzee baba wetu Magufuli kwa kuwa mkweli na kuwaamsha watanzania kwenye usingizi wa samaki pono RIP mzee baba 🙏Magufuli 😭😭😭😭😭🏃🏃🏃🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Před 3 lety +4

    Wow, this is amazing. You can't imagine this is Tanzania. Hongera sana watanzania Acha majirani wawaonee wivu. Pigeni kazi

  • @nicksonpius6128
    @nicksonpius6128 Před 3 lety +19

    Jpm namba moja Tanzania na duniani

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 3 lety +10

    Kazi nzuri sana kwrli tanzania inekuwa kama ulaya kabisa tumewazidi mno tuweke kifua mbele jamani Rais kafanya kazi tuzidi kumuombea Rais awe afya njema ajenge taifa mbarikiwe wote

  • @barakanestory7366
    @barakanestory7366 Před 3 lety +13

    #ayoo unapambana hongera na hongera kwa #JPM kwa uchapaji kazi wako

  • @estermichael1322
    @estermichael1322 Před 3 lety +11

    Mungu tunakuomba mlinde Rais wetu

  • @gabrieldenicc4502
    @gabrieldenicc4502 Před 3 lety +14

    Ahsante ayo ,mnatuonyesha kwa uzuri kabisa mim napenda mweshimiwa jpm anavyo pambana kwaajili ya vizazi na vizazi lkn tumebakia na kigugumizi upande wa. Nssf hatutendewi haki yaani

  • @nurulugongo4324
    @nurulugongo4324 Před 3 lety +6

    Naipongeza sana Serikali yetu cheni ya Rais wetu mpendwa kwa miradi mikubwa ya kimkakati ya kuwakomboa wananchi kuondokana na umasikini

  • @fredricjames774
    @fredricjames774 Před 3 lety +18

    Yaani pamoja na jitihada zote zinazofanywa na serikali hii ya awamu ya tano lkn bado kuna watu wanabeza haya mnayoyaona, kweli nimeamini kwenye msafara wa mamba kenge pia wamo

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 Před 3 lety +1

      Sio kenge tu Bali na mijuisi wapo, mijusi wengine ndo wanapiga mdomo kule ubelgiji

    • @ibrahimngurungu5607
      @ibrahimngurungu5607 Před 3 lety

      @@highvoltages4169 mwenyezi mungu amtie nia na amuongezee uzalendo zaidi rais wetu na watendaji wake pamoja na afya njema

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 Před 3 lety

      Wasikupe shida ni wachache saana sio wengi kabisa ndio maana wanasikika usisahau mabaya huwa yanavuma saana kuliko wema ndio sawa na hilo kundi la watu wa chache

    • @mohamnedsalum2150
      @mohamnedsalum2150 Před 3 lety

      Ni chuki tu zinasumbia

    • @claudiangowi9585
      @claudiangowi9585 Před 3 lety

      @@highvoltages4169 yule wa ubelgiji safari hii risasi haitamkosa kichwani. Watanzania tumpende Rais wetu jamani

  • @bugaboympemba730
    @bugaboympemba730 Před 3 lety +15

    Kumbe maendeleo yanawezekana kabsa duuh

  • @johnmbugani6532
    @johnmbugani6532 Před 3 lety +8

    Mafunzo kwa wafanyakazi wote wa SGR ni muhimu, yaani polisi, watu wa usafi, kila anayehusika. Itakuwa dhambi sana Treni ikapendeza miezi sita, baadaye kila kitu kikawa km takataka

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 3 lety

      hilo alo neno,utakuta watu wanata kusafiri hata na mbuzi,lol

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 3 lety

      @@errydeo8865 🤣🤣

  • @johnmkude9911
    @johnmkude9911 Před 3 lety +6

    Magufuri Huyu. Ananipa Furaha.
    Anavyochapa. Kazi
    Nakupenda Tanzania🇹🇿

  • @isayasway6867
    @isayasway6867 Před 3 lety +18

    Magufuli mitano 5 tena jumla iwe 15

  • @onetwoem1808
    @onetwoem1808 Před 7 měsíci

    Dah kweli jamani kazi nzuri sana pamependeza sana. Hongera sana kwa wote waliohusika na mafanikio haya. Namuomba mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi raisi wangu JPM AMIN.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 3 měsíci

    Hongera sana Samia na mtangulizi wako JPM.

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 Před 3 lety +1

    Ayo, Asante sana na Muendelee na Kutuonyesha mazr kama haya tunaamin kodi zetu zinatendewa Haki Mbele ya Mwamba JPM Baba Muongoza Njia, Sasa hv natuma Kwetu Urambo Hadi Dar es Salama kwenye rami.

  • @tulibakomwafula9079
    @tulibakomwafula9079 Před 3 lety +1

    Mungu utukuzwe kwa mambo mazuri yanayofanyika Nchini Tanzania 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @hitlerpardon9308
    @hitlerpardon9308 Před 3 lety +1

    kazi zake JPM RIP Rais wetu pendwa mungu akubariki uko uliko

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 3 lety

    asante Magufuli na wasaidizi wako kwa kazi nzuri. shukrani zetu kutoka kwa Mungu wetu Alietupa John Magufuli

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 3 lety +6

    Sasa mshajua kwanini majirani wanaombea mabaya kwa Magu, maana Sio kwa speed hii ya Maendeleo

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 Před 3 lety

    Aiseee....Acha bwana...kituo ni kizuuuri kinavutia ile mbaya..kwa kweli nchi yetu inaweza kufanya mambo ya ajabu ya kuushangaza ulimwengu....Ahsante JPM...tulitamani tufurahie wote haya maono yako...umetangulia mbele za haki..vijana wako tutaendelea kukukumbuka na kushuhudia matamanio yako uliyoyaanzisha

  • @luciakimambo7085
    @luciakimambo7085 Před 3 lety +4

    Goood job

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Před 3 lety +1

    waooh my country nimetamani mpaka kurudi home maana kumenoga kira kona arafu kana watu awayaoni haya Mungu azidi kukupa afya njema rais wetu uzidi kutuongoza lnshallha

  • @estherpaul9550
    @estherpaul9550 Před 3 lety +1

    Naamin mradi uu utaajiri watu wngi sana...... Big up uncle magufuli

  • @pelesmwaipopo4382
    @pelesmwaipopo4382 Před 3 lety +1

    Inauma sana Raisi wetu umetufanyia mengi mazur lakina Umetutoka, R.I. tutakukumbuka daima

  • @beautycaren7257
    @beautycaren7257 Před 2 lety

    Hongera kwa kazi ulizoacha Rais John Joseph Magufuri MUNGU akupunguzie adhabu ya kaburi.

  • @alhajchakema8592
    @alhajchakema8592 Před 3 lety +4

    Mashaallah

  • @ZainaNampanga-zt7ex
    @ZainaNampanga-zt7ex Před 2 měsíci

    Kazi ni nzuri

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 Před 3 lety +1

    Ningependa hospital zetu ziwena kituo cha police hongera viongozi wetu wa tz mungu ibariki Africa

  • @princepiusmutaihwa9606
    @princepiusmutaihwa9606 Před 3 lety +1

    Ubarikiwe sana JPM

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Před 3 lety +6

    👏👏👏

  • @oman7710
    @oman7710 Před 3 lety +1

    Mungu akuhifadhi Rais wetu

  • @abdallahnamtuka4634
    @abdallahnamtuka4634 Před 2 lety

    safi Sana engineer

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 Před 3 lety +3

    Safi Sana!!

  • @samwelimaliseli4216
    @samwelimaliseli4216 Před 3 lety

    Vibaraka wa mataifa yasiyoipenda Tanzania, huchukia sana wanapoona maendeleo haya bora kwa ustawi wa taifa la Tanzania. Watanzania tuwe wazalendo kwa kulinda maslahi ya taifa letu.
    Mungu mbariki Rais John Pombe Magufuli,Mungu ibariki Tanzania

  • @kamwagamwanjale1575
    @kamwagamwanjale1575 Před 3 lety +3

    Furniture Luna haja Magereza kuchukua tender kuuzia vifaa ambavyo vinatokana mazao ya nchini kwetu tuna mbao nyingi na nzuri na Magerexa wameonyesha uwezo mzuri wa kutengeneza vitu vya kiwango vizuri ( high quality)

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 3 lety +2

    Chuki zidi ya rais wetu ni mambo Kama hayo mungu azidi kukulinda magufuli wetu wakakuombea mabaya lakini kwa mungu never

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 Před 3 lety +1

    Dah😢😢 kweli kizuri hakidumu mazuri mengi umetuachia jpm utakumbukwa daima

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 3 lety +3

    Mambo kama haya ndio yanafanya watuonee wivu saana watu wabaya kwahiyo tuwe makini vwatanzania uzalendo kwanza mengine baadae magufuli we kaa ikulu kaka fanya kazi

  • @giftkyando602
    @giftkyando602 Před 3 lety +4

    Tunao fahamu vizur notification ya Samsung imesikaka apaaa tujuwaneee😂😂😂

  • @jicholafursa7058
    @jicholafursa7058 Před 3 lety +3

    Goo tz

  • @mwajumaabeidy8137
    @mwajumaabeidy8137 Před 3 lety +1

    Mungu ailaze roho yake mahala pema.

  • @mjuba
    @mjuba Před 3 lety +3

    Shkamoo Magufuli

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 Před 3 lety

    Masha Allah mwenyezi mungu ni mkubwa maana vi2 kamahivi tulizoea kuviona kwawenzetu weupe hatimae vinapatkana tz yetu Allah ampe afya njema na umli mrefu rais wetu

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 Před 3 lety +2

    Wow kama Gare du Nord Paris.

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 3 lety

    Wow

  • @kamanda007
    @kamanda007 Před 3 lety +1

    Magufuli ametuonyesha tunaweza... RIP mwamba 🙏

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Před 3 lety

    Afu utasikia ma mbwa baadhi afe afe.sijui yatafanya menyewe😏😏😏 ilove my prsdaa MUNGU akulinde Tz bado inakujitaji mitano tena

  • @boaz9248
    @boaz9248 Před 3 lety +4

    Jengeni Tanzania wa afrika watoke south Africa, ninyi sio ma xenophobic, mungu bariki Tanzania

  • @jameskyando178
    @jameskyando178 Před 3 lety +1

    Nice

  • @um_185
    @um_185 Před 3 lety

    Kazi nzuri sana👏👏👏. Sasa, Watanzania tujitahidi kutunza hiyo miundombinu; Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki rais Magufuli na Watanzania wote, Amen!

  • @hamuayubu4231
    @hamuayubu4231 Před 3 lety

    Nampongeza jpm sna mchapakazi mungu akulinde popote ulipo japo atukuoni raisi wetu tunakuombe raisi. Wetu

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv2601 Před 3 lety

    THE BIGGEST BOSS NASRI.

  • @hoseastephen4508
    @hoseastephen4508 Před 3 lety

    Hongera kwetu kwa kuwa nchi ya tatu East Africa kuwa na SGR baada ya ETHIOPIA na KENYA.

    • @Abdul-ol5sm
      @Abdul-ol5sm Před 2 měsíci

      Hyo ya Kenya sio sgr ni panda twende😂😂😂😂

  • @omaringulangwa3085
    @omaringulangwa3085 Před 3 lety +2

    Alafu kuna mjinga mmoja anasema magufuri ajafanya kitu ivi kweli unazo akili kweli au unamavi kuchwani sio akili

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před 3 lety

    NEXT LEVEL 1🇹🇿✔✔

  • @josephmgeni208
    @josephmgeni208 Před 3 lety +1

    Sasa hiyo stand Mzee katujengea kwa wema tu lkn msipagawe itakapo funguliwa mkachukulia ni kitu flani kikubwa kiasi cha kushinda thamani ya Mtu sababu kitu kipya kinahitaji maelekezo mpaka waelewe msifunge Magari minyororo na kutaka faini kama tabia iliyokuwepo Mlimani city

  • @sahimiisshak4483
    @sahimiisshak4483 Před 2 lety

    OUAHHH MACHA ALLAH

  • @fadhakkirfoundation
    @fadhakkirfoundation Před 3 lety +1

    HUJAFA HUJAUMBIKA.VIDEO HII ITAWALIZA WALIO WENGI LAKINI TAFAKARI CHUKUA HATUA. 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 czcams.com/video/Lmf7YbD72Uw/video.html

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo5032 Před 3 lety

    Asante magufuli

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Před 3 lety +3

    Hizi wapinzani waga awaongelei

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 Před 3 lety

    Safi sana....!.....ila msiruhusu kuuza pombe ndani ya hizo Restaurant...!

  • @nicholasamosbakar6182
    @nicholasamosbakar6182 Před 3 lety +2

    mlioondoka kisa miundo mbinu rudin nyumban kumenoga.

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 Před 3 lety +1

    Pumzika kwa amani Chuma 💔💔

  • @carolinerichard8254
    @carolinerichard8254 Před 3 lety

    Khaaaa jaman Mungu angenisaidia nipate hata kazi ya usafi kwenye treni iyo

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 Před 3 lety +2

    Tundu lisu wlcm hom

    • @anthonynetto4503
      @anthonynetto4503 Před 3 lety +2

      Aje lissu tujenge Tanzania yetu mkataa kwao mtumwa kumpongeza magufuri anaona vibya wakati akiludi Tanzania air port imejengwa na mage standard. Gani kama hiyo anabakia uvumi amsifie magu tu kwa ubunifu wa hali ya juu kujenga Tanzania

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 Před 3 lety

      Kututoka huyu mzee ni pigo kubwa Sanaa hakika alidhamilia kulikomboa taifa

  • @vero57
    @vero57 Před 3 lety

    MAGUFULI TUTAKUKUMBUKA SANA,RIP PAPA magufuli

  • @missangatv1368
    @missangatv1368 Před 3 lety

    Good, tunaweza ila kunawatz kama Tundu Lissu nagenge lake hawana uzalendo zaidi yakuwaza kutawaliwa nahao Mabeberu,
    Mungu mubariki Dr. JpJ.Magufuli!

    • @kamanda007
      @kamanda007 Před 3 lety

      Upinzani sio uadui tuache chuki zisizo na msingi.. Magufuli ametuonyesha tunaweza na sisi sio maskini kama wengi wanavyofikiria, let's keep a good work kama Magufuli, RIP mwamba 🙏

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 3 lety

    Nafurahia kulipa kodi kwa sababu naiona imetumika vyema

  • @rumb5876
    @rumb5876 Před 3 lety +1

    Wow! Kazi nzuri

  • @hadijashabani890
    @hadijashabani890 Před 3 lety +1

    R I p baba tutakukumbuka daima😭😭

  • @johnmbugani6532
    @johnmbugani6532 Před 3 lety +1

    Watu wa Treni wajifunze kutoka kwa mwendokasi DSM kuhusu matumizi ya tiketi za mashine. Mwendokasi wamefeli 100%. Mashine hazifanyi kazi, Sasa walinunua za nini. Hivyo miradi mingine hatuhitaji mashine km hatuna uwezo wa kuzihudumia

    • @jamalmageser9390
      @jamalmageser9390 Před 3 lety

      Mashine zinashindwaje kufanya kazi aisee? Ni wizi wa mapato tu,ukiweka mashine hakuna wizi. Ukitoa mashine wizi ni mkubwa wa mapato

  • @geofreychambua2560
    @geofreychambua2560 Před 3 lety +2

    Itasaidia pia abiria kushukia mjini badala ya mbezi ..hapo na mwendo kasi pia wajipange maana ikimwaga usafiri uwepo

  • @tryphonraphael1646
    @tryphonraphael1646 Před 3 lety

    Tutamkumbuka daima raisi wetu kwa Mambo ambayo katutendea

  • @giftjoseph9664
    @giftjoseph9664 Před 3 lety +1

    Bongo kama ulaya now, MUNGU ibaliki Tz.

  • @aybkham5795
    @aybkham5795 Před 3 lety

    Safi kiongozi alikuwa na nia kubwa, VIP MSIKITI JAPO MDOGO MMEWEKA APO!? MUHIMU SANA

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo4973 Před 3 lety

    R I p JPM kazi umeifanya kwa moyo kwani ulikuwa mzarendo wa nchi yako mungu akihi fadhi na mema ulio kuwa uki yafanya kwa wanyinge wengi Leo nasi tuna azwa kutizamwa Kuna nchi tz 🇹🇿 Ina kuja kwa upepo wa kimbunga Ni juhudi zako chuma

  • @zuenanyutwa6043
    @zuenanyutwa6043 Před 3 lety

    Baba yetu magu umetuachia Mambo mazur

  • @AsiaSelemani-bj3nd
    @AsiaSelemani-bj3nd Před měsícem

    Hii stend ipo mororgoro sehemu gani?

  • @Mr_Ben255
    @Mr_Ben255 Před 3 lety

    Mambo ni Moto nitasafiri hatakama Sina safari maalum Magufuli ichuma kikolyumoto

  • @makusaro2289
    @makusaro2289 Před 3 lety

    Ubunifu wa Magufuli usichezee.Akiufungua Mh.Samia utapewa Jima lake Ccm hoyeeeeee.

  • @fatinajames5274
    @fatinajames5274 Před 3 lety

    Rip magufuli umeitendea haki nafasi ya urais nakuombea kila siku mungu akufungulie mlango wa peponi

  • @neydenyo6786
    @neydenyo6786 Před 3 lety +1

    Niseme nini basi kwa mpendwa wetu😖😭😭

  • @joshuakisanga9614
    @joshuakisanga9614 Před 3 lety

    Ayo tv siku nyingine mtuoneshe picha za juu pia

  • @Abdul-ol5sm
    @Abdul-ol5sm Před 2 měsíci

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️

  • @daudmtange8005
    @daudmtange8005 Před 3 lety

    Msikiti ama kanisa hakuna au JPM asinge weza kubali bila kua na ivyo vituu

  • @jacobstephanonaziadi4724

    Daaa kudadeki watanzania tunamsema vibaya tuu magu ila kazi anafanya kwakweli mambo hayaa mazuri MUNGU mwema ampe nguvu afanye makubwa zaidi.

  • @maryntukula8988
    @maryntukula8988 Před 3 lety

    Nawaombeni watanzania wote na viongozi tuweke utaratibu wa kutunza mandhari ya jengo hili la station na maeneo mengine aliiyotujalia kama zawadi ili tumuenzi mpendwa wetu hayati JPM.

  • @noelamtesigwa6819
    @noelamtesigwa6819 Před 3 lety

    Utunzaji sasa😢😢😢 stend ya mbezi tu pale ni majangaa hata mwez hujaishaa

  • @johnassilvester1600
    @johnassilvester1600 Před 3 lety

    Waukau karibuni moro

  • @jrsingham
    @jrsingham Před 3 lety +1

    Msikiti wapi