Video není dostupné.
Omlouváme se.

KARAKANA KUU YA TRC, JIONEE VICHWA VIPYA VYA TRENI, MPAKA JIKO CHUMBA CHA DEREVA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 01. 2022
  • KARAKANA KUU YA TRC, JIONEE VICHWA VIPYA VYA TRENI, MPAKA JIKO CHUMBA CHA DEREVA

Komentáře • 108

  • @ernestsinje7887
    @ernestsinje7887 Před 2 lety +23

    hichi kipindi kilikuwaga kitamu sana enzi za MAGU

  • @saidothmani7522
    @saidothmani7522 Před 2 lety +3

    Watanzania mbona hamuelewi.
    Umeambiwa hivi vichwa ni vya reli ya kati cyo ya umeme.muckilize kitu kinachoongelewa.cyo mnapayuka tu.

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro6817 Před 2 lety +10

    Je, unafahamu ukweli kuwa mradi wa sgr na ule wa JNHP ni miradi pacha? Na kwamba kwamba treni ya sgr haitoweza kuanza Safari zake Hadi kukamilika na kuanza uzalishaji umeme huko bwawa la JNHP

  • @athumaniabdi4122
    @athumaniabdi4122 Před 10 měsíci

    Hongera kwa kazi nzuri@ShirikalaReliTanzania

  • @TwalibuAlbaamiryShoka

    Hivi ni kwa ajili ya reli ya kati na sio train ya umeme hivi ni kwa ajili ya mizigo

  • @championtv255
    @championtv255 Před rokem +1

    Asante sana jpm love u

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Před rokem

    Hao watoto wata iba kila kitu

  • @erastomaro7145
    @erastomaro7145 Před 2 lety +2

    Safi

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Před 2 lety +1

    Kichwa hichi ajaleta jpm jamani!!ni samia

  • @htvtanzania3483
    @htvtanzania3483 Před 2 lety +1

    Ange kuwepo magu tusinge letewa ya hivi

  • @andrewcheyo6470
    @andrewcheyo6470 Před rokem

    Hongereni

  • @saidkipango6772
    @saidkipango6772 Před 3 měsíci

    Kitaalam rocomotive zote za sasa ukitoa zile za stima ,vinatumia umeme tofauti yake hvyo vinatumia umeme wa dizeli injini ikifanya kazi inakua kama genereta inazalisha umeme ili undeshe treni.hizi za sasa hivi ndio zinatumia umeme wa grid ya taifa

  • @yawepetro2049
    @yawepetro2049 Před rokem

    Jaman sasa iyo mwendo kas kwel duuh tumepingwa nakitu kizuto

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 Před 2 lety +2

    Wonderful 🇹🇿

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 Před 2 lety +1

    Vichwa vya treni na mabehewa ya SGR lini yanakuja. Maana maneno yamekuwa mengi sanaaaaaa. Tumechoka na story

  • @olenyghosho7008
    @olenyghosho7008 Před 2 lety +1

    RIP jpm

  • @celebtv942
    @celebtv942 Před 2 lety +4

    Tanzania kupata treni za umeme imekuwa ndoto isiyo timia. Kila siku stori tu.mara hivi mara vile,,Bure kabisa

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin Před 2 lety

      Hapana kaka Frank, changamoto zimekuwa nyingi na changamoto hizo zinasababisha kunakuwa na delays, this will happen na nikuhakikishie tu kwamba Tanzania sio nchi ya kwqnza kuunda reli hata wenzetu walioendelea wamepitia changamoto nyingi, ni miradi michache sana Duniani ya reli imetekwlwzwa kwa wakati , railway conatruction is very complex na miradi kuwa nje ya muda mara nyingi ni inevitable

    • @geofreymtasingwa742
      @geofreymtasingwa742 Před rokem

      Kujenga reli sio kama kujenga choo

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Před 2 lety +1

    Nilitegemea kuwa hata na " microwave" !

  • @lugwaja
    @lugwaja Před 2 lety +1

    Karabatini basi angalau majengi hayo ya karakana

  • @geraldgm1217
    @geraldgm1217 Před 2 lety +1

    Kongole!!!!! Hongera!!!!

  • @abbumwaipopo2940
    @abbumwaipopo2940 Před 4 měsíci

    Nami naja kukagua

  • @mikelelo8567
    @mikelelo8567 Před 2 lety +2

    Je hivyo vichwa ni kwaajili ya mizigo tu

  • @polsopheaphd6458
    @polsopheaphd6458 Před 2 lety

    Trains

  • @betterdecorationlights1781

    Rangi mbayaa

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před 2 lety +1

    Mungu ni mwema sana siku zote then kazi iendelee

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 10 měsíci

    Hivi vichwa je tayari vilishaanza kazi ama bado?

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před 2 lety

    Nyie simlisema hv sio vichwa vya umeme ni vya mafundi mbona mnatuvuruga

  • @betterdecorationlights1781

    Tren la makaa ya mawe

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před rokem

    Mkiisha kuvitengeneza mtuambie mmenunua korea bilion 2.3

  • @usamaahmed2624
    @usamaahmed2624 Před 2 lety

    Kazi nzuri lakini kwa uwelewa wangu Dunia sasa inapambania kwenye matumizi ya umeme na sio mafuta. Hilo linachukuliwaje? Kwanini nasi tusijiande kuelekea huko.

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin Před 2 lety

      Kuna technicalities nyingi sana hapo ila reli yetu ya SGR ni ya umeme, ya meter gauge(ile ya zamani) sio ya umeme na haitawekewa umeme

  • @makwaila23
    @makwaila23 Před rokem

    Ukiangalia kwa jicho la umakini sana utagundua hivyo vichwa ni Used na wala sio vipya

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Před rokem

    Lakini saranda vinashindwa kupanda mpaka viungwe viwili

  • @selemanshidda9688
    @selemanshidda9688 Před rokem

    Hata neno 'engineer' kwa kiswahili maana yake ni 'mhandisi'

  • @lama6310
    @lama6310 Před rokem

    Hivi Vitwa Mbna Kama Analog Jaman ..mbna Tunarud Kulekule..vichwa Vibayaaaaa

  • @chieflowasa7320
    @chieflowasa7320 Před rokem

    Hakuna kitu vichwa gani hivyo picha zingine mnaleta behewa za ovyo

  • @nassibabdallah3811
    @nassibabdallah3811 Před rokem

    🤭

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 Před 2 lety

    Where is MWANANTALA?

  • @khadhiriramadhan5984
    @khadhiriramadhan5984 Před rokem +1

    ndugu zangu tumepigwa hizi treni za mwaka 1995. speed.180😃😃 magu alisema analutea zenye speed 380.mpka 400 ..R.I.P. magufuli.

  • @morriskisesebe6541
    @morriskisesebe6541 Před rokem

    Tunashukuru mama tunashukuru mbeba maono

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa6970 Před 2 lety +1

    Pigeni rangi hayo mabati yameungua na jua

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 Před 2 lety

    Mambo yapoyapo tu🥴

  • @mitikasitv7326
    @mitikasitv7326 Před 2 lety +2

    Hivyo ndio vya mwendokasi

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 Před 2 lety

    Ben Mwanantala alienda Wapi?!

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před rokem

    Tunakubari

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 Před 2 lety

    kipindi kimekuwa bored

  • @mr.waziri9992
    @mr.waziri9992 Před 2 lety

    Najua ni mpya, kumbe ni vyakurekebisha🗿😟🗿

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin Před 2 lety

      Hakujawahi kuwa na system ambayo ni perfect, ndio maana kuna zoezi linaitwa commissioning, kila mtambo wowote duniani lazima ufanyiwe hiki kitu, kwani mara nyingi kunakuwaga na deviation na muda huo ndio hizo deviation zinarekebishwa, ikumbukwe kwamba vichwa ni tailor made products sio kama bidhaa nyingine ukikamilisha product moja nyingine zote mia zitakuwa zimekamilika.

  • @minmaxc485
    @minmaxc485 Před 2 lety

    Ila mbunifu wa rangi zenu zero kabisa

  • @emmicklamarofficial7974

    😂 mafuta tena ?

  • @abdalahally3113
    @abdalahally3113 Před 2 lety +2

    Walai watanzania washaapigwa tayari mzee magufuli alituambia ni umeme tena nimesikia haitumii mafuta mengi????

    • @alexvenas2699
      @alexvenas2699 Před 2 lety

      Brother hivi syo vichwa vya sgr,hivi vichwa ni Reli ya kati (mgr) ile ya zamani .vya umeme bado havijafika bro kuwa na amani hatujapigwa

    • @abdulmelele7322
      @abdulmelele7322 Před 2 lety +1

      Hivyo ni vya meter gauge ndugu siyo vya standard gauge tofautisha hapo mimi ndiyo napga kaz humo

    • @TwalibuAlbaamiryShoka
      @TwalibuAlbaamiryShoka Před rokem

      Hivi sio vya umeme hivi ni kwaa ajili reli ya kati train ya mizigo muhimu kusikiliza kinachoongelewa

  • @user-gq8ox7wb7f
    @user-gq8ox7wb7f Před 2 lety

    Mafuta tena sio umeme!!

  • @abdalahally3113
    @abdalahally3113 Před 2 lety

    Mafuta tena sio umeme

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593 Před 2 lety +2

    Kukagua vichwa vitatu inwachukua muda wote huo? Tuacheni mzaha jamani. Hiyo ni kazi ya week moja tu kama mtu anajua anachokifanya.

    • @amriharuna4236
      @amriharuna4236 Před 2 lety

      Kabisa hata mimi nimeshangaa

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin Před 2 lety

      Ukaguzi unapofanyika kunabainika mapungufu ambayo yanarekebishwa, mapungufu hayo huchukua muda tofauti tofauti, na marekebisho hayo yanapokamilika ukaguzi unaanza tena ndio maana yanachukua muda mrefu

    • @makongorowassira6593
      @makongorowassira6593 Před 2 lety

      @@kimariokelvin kuna uzembe mkubwa sana kwa watenda kazi wetu, unachokisema kinaweza kutokea ila sio muda wote, na hata kama kuna hiyilafu sio lazima ichukue muda wote huo kurekebisha.

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Před 2 lety

      Hahaha wiki tatu alaf mkipakiwa siku 2 mmepata ajali iwe zogo

    • @ramadhanichembellah7849
      @ramadhanichembellah7849 Před 2 lety

      Kazi nzuri, Mama Samia ,kazi nzuri TRC lakin pia tusisahau kumuenzi na kumkumbuka mzee Magufuli aliyethubutu mpaka tukaweza fikia hapo.

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 2 lety +1

    Kwa hiyo mlivipokea bila kuvikagua?

    • @kibongobongo4608
      @kibongobongo4608 Před 2 lety +1

      Kuvikagua nadhani anamaanisha kupata mafunzo ya matumizi kwasababu ni system tofauti na yazamani tupo kidigitali kwa sasa...

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin Před 2 lety

      Kukagua ni muhimu sana, na ni sehemu ya mkataba, hivyo vichwa vinafanyiwa majaribio ya tripu za kubeba mizigo zisizopungua 3 vikiyokea DSM kwenda Tabora, katika safari hizo mapungufu yakibainishwa yanarekebishwa na kama hayajarekebishwa basi TRC haivipokei mpaka vitakavyokuwa sawa

  • @dannysengata2298
    @dannysengata2298 Před rokem +1

    Mafuta tena 😁😂🤣🙌🏾 sio umeme 😂😂

  • @geophreyalkado8242
    @geophreyalkado8242 Před rokem

    injinia mbona unajikanyaga maelezo yako siyo sahii ebo.jifunze jinsi ya kutoa maerezo unatwaibisha

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Před 2 lety

    Mutaongea mengi mulisema religion aitakamilika sasa mebadilisha kauli.munasema kzi ya jpm.iwe ya jpm iwe ya nani.tunachotaka ni maendeleo

  • @nth3512
    @nth3512 Před 2 lety +2

    Rangi zenu (color code) si nzuri, jaribu kuchanganya na kijani hapo. Combination hyo haivutii zimekaa kiukame hivi

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 Před 2 lety

      Rangi sio za Tanzania kabisa

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Před 2 lety

      @@rasheedabby2871 yani wa tz kwa ujinga wenu hamkosi la kusema wewe kwenu kuna rangu ya tz

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 Před 2 lety

      @@mudighurayra Tuongeze mafuta usiumie

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 Před 2 lety

    Mafuta ya nini sasa kama itatumia umeme.?? Au wameshakula fedha wakanunua diesel trains

    • @masterkratos2
      @masterkratos2 Před 2 lety

      Hii ni kwa reli ile ya zamani.

    • @TheProvidencefilms
      @TheProvidencefilms Před 2 lety

      Vichwa vya treni huitwa diesel-electric yaani hutumia diesel kutengeneza umeme ambao una drive mitambo ya magurudmu, mortars.

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Před 2 lety

    Muwe munasikuliliza sio Muba comment tu.

  • @geey7893
    @geey7893 Před rokem

    RIP mwamba JPM. Ufunguzi wa SGR ilkua ifanyike mwaka jana mwezi wa 11. Tena kwa ubora. Sahizi kuna Mbwa zinapenda Sifa tu na Quality ya kazi yao ni 0.0011. Speed yao konokono na upigaji. Mungu yuko kazin

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 Před 2 lety

    Nyie nao karabatini na mabehewa ya second seat na first class.
    Yale ya India yanakera.

  • @molig8489
    @molig8489 Před 2 lety

    Magu allilipia kitambo hivi

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 Před rokem

    Kwani hivyo vichwa vilinunuliwa na kinanan siselekali yenu wenyewe msituone wajinga yote mnafanya wenyewe ccm naselekali yenu Koo kma vyazaman nivuzur au nivibaya nyinyi ndoo mlinunua