KAZI IMEPAMBA MOTO SGR MWANZA - ISAKA, RELI YAPITISHA KIBERENGE SHINYANGA - SIMIYU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 07. 2024

Komentáře • 48

  • @explorewithbertin
    @explorewithbertin Před 4 měsíci +15

    Can't wait to travel with electric train from Dar to mwanza

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 Před 4 měsíci +1

      Why ?😂 it seems you will not be alive by next year 😂

    • @HeradiusG
      @HeradiusG Před 4 měsíci +1

      @Bertin... I am eager to get there too! Thanks for your channel which help us tonget up dates...!
      Pamoja!😂

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 4 měsíci +2

    SAF SANA N KWEL MAPUNGUFU HAYAKOS ILA MNAJITAHID GOD BLESS

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution Před měsícem

    Hongereni sana kwa kazi nzuri

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 4 měsíci +6

    Hakuna kusifia kwani snalipwa pesa defu haya ya kusifia ndio wanasababisha kuharibu KAZI nchi za wenzitu wanasema amefanya nyanayostahili hizi za blabla sio Kazi hao wachina wanafanya KAZI hawana maneno maneno

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 Před 4 měsíci +1

      Siyo kama Waturuki, Dr-Morogoro mpaka sasa kila siku tunaambiwa mara asilimia 90 mara 98 mara 96 sasa tunashindwa kelewa ni nini maana yake ama ndiyo fuzzy maths?

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 4 měsíci +5

    Wangepewa mradi mzima hawa jamaa, maana Waturuki imebakia ni bla bla tuu. Dar-Moro imekuwa ni kizungumkuti!

  • @birianination7097
    @birianination7097 Před 4 měsíci +2

    Hii nikubwa sana

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 Před 8 dny

    KAZI iendelee

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 4 měsíci +3

    mchina arembagi kazi kaka

  • @donaldmartin-ps2ig
    @donaldmartin-ps2ig Před 4 měsíci

    Sait kwangu kabisa hapo

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Před 4 měsíci

    Kazi nzuri katika kipande hiki kina chonachojengwa na Wachina lakini kwa kipande no 3 na no4 vinavyojengwa na Waturuki kazi siyo nzuri kabisa na Serikali inabidi ifuatilie kwa karibu sana.

    • @michaelrweyemamu1068
      @michaelrweyemamu1068 Před 4 měsíci +1

      Lot 3&4 maokoto ya kulipa shida

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 Před 4 měsíci

      Mnachuki na waturuki... tunajua sababu

    • @255kwetu8
      @255kwetu8 Před 4 měsíci +1

      Mturuki kampuni yake mwenyewe inashindwa kujiendesha baada ya mmiliki kuaga Dunia(Kuna mgogoro)Ila serikali inatoa fedha kama inavyofanya kwa CCECC

    • @255kwetu8
      @255kwetu8 Před 4 měsíci +1

      Na habari njema ni kuwa hicho kipande Cha 4 kipo mbioni kupewa mchina

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 13 dny

    Mapungufu ya JPM sijui alikuwa na beef gani na Wachina! Angewapa mradi huu mzima Wachina, kwanza gharama ingekuwa ndogo, ubora maradufu na ungeifungulia Tanzania kuwa preferred state kwa China. Hata bwawa la Nyerere. Wachina wamewapita Wazungu mbali sana katika uhandisi. Taabu ya elimu ya Tanzania haitoi upeo wa dunia, maana hilo linataka kujua lugha.

  • @salvatorybakilana2378
    @salvatorybakilana2378 Před 4 měsíci +1

    Hiii reli inaisha lini mazee

    • @karimmkejina980
      @karimmkejina980 Před 4 měsíci

      Miradi mikubwa hiyo huwa aishi mapema kwa sababu kila siku inaanza tena

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 Před 4 měsíci

    Hawa Wachina wako fasta sana aisee

  • @user-yr3yi2yr6i
    @user-yr3yi2yr6i Před 4 měsíci +3

    Wachina wako fasta kuliko hao waturuki

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Před 2 měsíci

      Hao waturuki kutoka moro kwenda makutopora wamejenga haraka kuliko kutoka dar kwenda moro

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Před 22 dny

      Ni kweli kule Moro ni milima kuchonga miamba kazi ilikuwa kubwa​@@elinamilyatuu7337

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 Před 4 měsíci

    Watz wasomi wajifunze kupitia mradi huu

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 4 měsíci

    Huyu mkandarasi ana uwezo apewe reli yote

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 Před 4 měsíci

    Hiyo treni miakia 4 Sasa kipande Cha Moro dar teyari mbona hatu pandi

  • @profAKILI
    @profAKILI Před 4 měsíci +1

    Tuwache kuzungumza bila vitendo.... Hii reli bado haibebi abiria...kujeni kenya muone reli ya kisasa

    • @mkutamajuto1549
      @mkutamajuto1549 Před 4 měsíci

      Ili itusaidie Nini? Nyinyi bakini na reli yenu na sisi hii ndy yetu

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Před 4 měsíci

      Reli yenu ya diesel au! Pereka ushubwada wako huko

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 Před 4 měsíci

      Hatuna cha kujifunza kwenye hiyo treni yenu ya zilipendwa😂

    • @marcominja8850
      @marcominja8850 Před 4 měsíci

      Sasa si bado ipo kwenye ujenzi, wanaanzaje kubeba abiria?

    • @harounzuberi8179
      @harounzuberi8179 Před 4 měsíci +1

      Nyie na hiyo SGR au Gari moshi halafu kumbuka urefu wa hii SGR ya Tz ni ndefu mara tano ya hicho kimstari chenu kisichotumia umeme weeee Kenge Mkenya

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 Před 4 měsíci

    MBONA ISAKA HAIPITI TENA RELI HII YA SGR????? WACHINA WAMEKATAA KUPITIA ISAKA KWA AJILI MKUNJO WA NJIA YA ISAKA.

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo9138 Před 4 měsíci

    Majaribio hoeeee🤣🤣