NYOMI LA STESHENI YA SGR DODOMA NI HIVI 🔥🔥🔥🔥🔥

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • ZAIDI YA ABIRIA 1000 WAMESAFIRI KUTOKA DODOMA KUELEKEA DAR ES SALAAM KWA TRENI YA SGR

Komentáře • 190

  • @queenmapunda7868
    @queenmapunda7868 Před měsícem +20

    RIP Baba yetu JPM leo tunafurahia kazi uliyoianzisha

  • @JombaTUncleT
    @JombaTUncleT Před měsícem +13

    JPM "Mtanikumbuka, si kwa mabaya, bali kwa Mazuri." Never forget you our Regend. Hongera Mama Samia Suluhu Hassani Ubarikiwe sana kwa kukimbiza kijiti ulichoachiwa pia. 🎉🎉🎉

  • @josephgermanosanga9265
    @josephgermanosanga9265 Před měsícem +30

    Jpm 🔥 pumzika salama baba mam amekazia ulipoishia

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 Před měsícem +48

    Hayo ni mabasi mengi sana ambayo ingebidi tutumie diesel toka nje, pesa za nyingi za kigeni tumeokoa

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před měsícem +9

      Akili kubwa ya Magufuli hiyo

    • @marwawilliam3648
      @marwawilliam3648 Před měsícem +1

      Na spea

    • @mduda_i
      @mduda_i Před měsícem

      @@marwawilliam3648kwani hayo mabasi hayatumii spea? watanzania sijui tunashida gani kwenye ufkiriaji wa mambo. Inshort ni kwamba tumeokoa fedha nyingi sana za kigeni na mafuta ndio huwa yanakula pesa nyingi sana

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 Před měsícem +2

      @@vintagemusicgroup9236 leoo ndioo umejuaaa hasara ya diesel kinyongaa mkubwa wakati mnabezaa na kusema haiwezekani leo mmekubali nguchiluuuu mkubwaa

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 Před měsícem

      Kabisa,good point👍👍

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 Před měsícem +15

    Hongera sana JPM ndoto yako imetimia baba Endelea kupunzika kwa amani

  • @andygastony5051
    @andygastony5051 Před měsícem +24

    Najivunia kuwa Mtanzania🙌🏾🇹🇿

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 Před měsícem +5

    Hongera sana jpm kazi yako tunaiona ngawa umetangulia mbele za haki

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před měsícem +30

    Hongereni sana viongozi mliofanikisha hili,kuna kitu cha kujifunza kwamba kila kitu tukiamua kinawezekana viongozi wangu tuipende nchi yetu tuweke sheria kali za kutokomeza rushwa na wizi wa pesa za umma wananchi wakiona haya hakuna mtu atalalamika kulipa kodi.

    • @edwinraymond3404
      @edwinraymond3404 Před měsícem +4

      Umeongea kwa hisia sana

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 Před měsícem +3

      safiii sanaa ukweli serikali iongezeee watendaji bora na ktk ajiraa zigawanywe kwa haki sikuhizi hakuna mbumbu tena

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před měsícem

      ​@@hemedrashid2921 wewe unavyo tizama kuna kiongozi wa sasa mwene maono makubwa kama hayo ,maana ramani yote JPM kaondoka nayo..ajira ni pamoja na kuweka mazingira wezeshi kwa watu wachini unaumeme mwingi kwanini usigeuze ajira kwa kupunguza gharama za unit iliumeme huo tutumie mashambani na kwene viwanda vidogo vya mikono majumbani ,lakini umeme unagoma kushusha unaimiza matumizi ya gas majumbani na unaimiza utunzaji wa mazingira,sera ya umeme vijijini inakua na tija ndogo .

    • @eliaspeter4017
      @eliaspeter4017 Před měsícem

      Kabisa Mkuu, umeongea ukweli mtupu

    • @gladysmsele4291
      @gladysmsele4291 Před měsícem

      Big up Madam president❤ samahani lkn mbona kama Iko juu sana wanapandaje watu wenye umri mkubwa

  • @rockeygarcia5865
    @rockeygarcia5865 Před měsícem +2

    Nampongeza sana Rais Samia kwa kuitimiza ndoto na malengo ya Legend Magufuli. ❤

  • @farajakwilasa471
    @farajakwilasa471 Před měsícem +3

    Asante sana MUNGU MWENYEZI kwa zawadi kuu ya KING JPM 🙏🏿🤝🏿✊🏿✊🏿

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Před měsícem +24

    Hongera sana Magufuli.
    Kama HUDUMA hii itadumishwa, maono ya Magufuli ni kuwa:
    1) TRC watawapa PESA Tanesco (PESA itabaki nchini).
    2) Kama nchi tutapunguza uhitaji wa PESA za kigeni (MADOLARI YA MAREKANI) kununua mafuta huko nje na kuyaleta TZ.
    3) Nauli hazitaponda hovyo hovyo, kwani treni hizi hazitegemei mi-mifuta

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 Před měsícem +5

      hongeraaa mama samia magufuli sio alieazisha mpago huoo uliratibiwaa mda mrefu sana

    • @mduda_i
      @mduda_i Před měsícem

      @@hemedrashid2921akili huna ndomana upo hapo ulipo. hao wengine waliasisi tu na wala sio kuanzisha ujenzi. tumia akili af kamskilize kikwete anavyosema afu ukakojoe ulale

    • @BabuGga-td3mg
      @BabuGga-td3mg Před měsícem +2

      ​@@hemedrashid2921😂😂😂

    • @lazarombuze9776
      @lazarombuze9776 Před měsícem

      ​@@hemedrashid2921😂😂😂

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 Před měsícem +4

      ​Sawa,lakini Magufuli ndiye aliyelazimisha hanse kutekelezwa,wengine ilikuwa ni maneno tu bila vitendo

  • @justinealistides5146
    @justinealistides5146 Před měsícem +7

    Mwenyezi Mungu awape hekima viongozi wetu ili wawe na nia thabiti ya kutoa huduma bora kwa watanzania

    • @justinealistides5146
      @justinealistides5146 Před měsícem

      Tunategemea usafirishaji wa mizigo kwa SGR uanze ili kupunguza msongamano wa malori unaopelekea kuwepo kwa ajali nyingi barabarani

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 Před měsícem +6

    Yani magufuli angekuwepo naamini treni hii ingefika mkoa wa katavi kupitia dodoma tabora mpanda naamini jembe angeweza yanibasitu magufuli hukouliko mungu akulehem ubalikiwe mwamba wa tanganyika

  • @ommy4k
    @ommy4k Před měsícem +9

    Hakuna Mtu atakuja kutokea hapa Duniani kama Magufuliii Aiseeeee Duh

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w Před měsícem +4

    Hapa niseme viva CCM viva John Pombe Magufuli viva Rais Samia Suruhu Hassan viva Tanzania . Viva TRC viva Masanja viva prof Makame.

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Před měsícem +14

    Mazingira ya nje maiyasahau mwagilieni maji majani na mpande miti mazingira yapendeze

  • @queenmapunda7868
    @queenmapunda7868 Před měsícem +3

    Hongereni sana viongozi wetu mkiongozwa na rais wetu Mama Samia Hassan Suluhu kwa kazi hii nzuri.Kazi iendelee

  • @GabrielMassawe-sd6yp
    @GabrielMassawe-sd6yp Před měsícem

    Kazi nzuri Sana,ongereni, pia msiweke foleni katka ukataji wa timeti.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před měsícem +14

    Hongera serikali kwa miundo mbinu na mradi mkkubwa dunia nzima inaona kazi nzuri wamenuna haswa😂😂😂

    • @salimrajab3984
      @salimrajab3984 Před měsícem

      Barabara yenyewe kutoka Dodoma Hadi Iringa Mbovu

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y Před měsícem +2

    Sipandi tena mabasi wakati upo usafiri wenye usalama wote kuliko hayo mabasi yanayoendeshwa na vichaa..hongera mama yetu

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Před měsícem +7

    Kazi iendelee mama. Tumkumbuke pia jembe la taifa JPM kwa uthubutu wake kuanzisha mradi huu ambao ulikuwa on the drawing board for so long.

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před měsícem +2

      Wewe umekuwa Muungwana kwa kusema ukweli wengi wao humtaja Magu tu .Wakati Magu kafa kauwacha mradi huu ukiwa na asilimia 25 tu 75 kamalizia mama lakini wala hapongezwi

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 Před měsícem

      ​@@user-oh6pc7zd4ssio kwel moro dar kaacha karibu 75%

    • @ImmanuelSeuta-zi2gh
      @ImmanuelSeuta-zi2gh Před měsícem

      Apongezwe nn bajet ilishawekwa na serikali ya magufuri kama anaweza anzishe wakwake tumsifie ​@@user-oh6pc7zd4s

  • @franciscobalenga7710
    @franciscobalenga7710 Před měsícem +13

    Wekeni behewa moja au mawili kwa ajili ya mizigo, mtu aweze kusafiri na mizigo yake....
    Mizigo itengwe kulingana na inaposhukia ili iwe rahisi kuishusha bila kupoteza muda
    Kama inawezekana kwenye ndege kwenye train haiwezi kushindikana

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Před měsícem

      Haha iyo ngumu

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Před měsícem

      Ngumu sana kaka, watadelay sana hasa kwenye ile ya kusimama kila kituo... Hakuna conductor... nadhani wameona itakuwa usumbufu sana

    • @emauf
      @emauf Před měsícem

      Za mizigo tupu zinakuja.

  • @peternyagonde5524
    @peternyagonde5524 Před měsícem +3

    Watanzania wengi wanafiki Sana,Sasa washuudue Mama anachofanya Mambo mazuri.Bravo Raisi wetu.

  • @nimbetebwangabwa8521
    @nimbetebwangabwa8521 Před měsícem +1

    It's was just a Dream,, God bless tz God bless Africa,Rip magu,

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Před měsícem +4

    Hongera sana wahusika, sasa na nje ya jengo mngeweka mazingira ya kuvutia kwa miti na mauwa bila hivyo jengo litaharibika na vumbi

    • @petermakubi
      @petermakubi Před měsícem

      Yeah watengeneze garden nzuri hapo ili mazingira yaendane na jengo.

  • @deborasalumtwa
    @deborasalumtwa Před měsícem

    Wekeni ratiba ya kutoka dodoma kaenda dr sàa kumi na moja sàsa mnaaza safar kutoka dodoma sàa tano soup hiyo inatakiwa tufike dar asbh tufanye mambo yetu jion turud

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 Před měsícem +12

    JPM

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před měsícem +2

      Haya hayakuwa maoni ya Jpm bali yalikuwa maono ya Mkapa na Kagame wa Rwanda.Ok?

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před měsícem

      ​@@user-oh6pc7zd4shata mbuzi ana mipango

    • @kss1113
      @kss1113 Před měsícem +1

      Maoni Yao ilikuwa ni ya diesel sio ya umeme

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 Před měsícem

      ​@@user-oh6pc7zd4sndoto bila vitendo ,it's a complete waste of time

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 Před měsícem

      ​@@user-oh6pc7zd4smustafa unakamdudu kabaya ka chuki wewe uliwaza ndege tungenunua km mtu anunuavyo Ist...Bwawa la umeme lilikuwa ono la Nyerere si wamepita marais wangapi hawakufanya Acha bana ugaidi mpe mauwa mwenda zake na mama yetu Samia😅

  • @jaroszakalia8947
    @jaroszakalia8947 Před měsícem +1

    Hakuna mwanaume kama magifuli daraja la jpm bwawa la mw nyerere frai over ukuta wa merelani kuhamishia selekali dodoma yan mbaka nishindwa kuongea nitamkumbuka jpm mbaka dunia iyakuja kufika mwisho mm jayros ndwaza kutoka chigandu dodoma 😂

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před měsícem +7

    sema mfumo wa kukatia tiketi bado wa kiboya kila ukienda unakuta mtandao una sumbua adi unakosa tikeki unagaili unabadilisha mda wa kusafili kama leo morogoro nimepata tabu kino kutoka saa 8 nimeuja kusafili saa 1 usiku

    • @abdulkarimshabanmhandeni847
      @abdulkarimshabanmhandeni847 Před měsícem +1

      Wanashauri kukata online. Mimi kwa Moro-Dar huwa ninakata leo ninasafiri kesho. Kadiri ukikata mapema ndiyo unajihakikishia safari.

    • @dullamkumba860
      @dullamkumba860 Před měsícem

      ​@@abdulkarimshabanmhandeni847ne unakataje maana wanataka kumbukumbu namba

    • @starjay3052
      @starjay3052 Před měsícem +1

      @@abdulkarimshabanmhandeni847gud

  • @paschaliganana8482
    @paschaliganana8482 Před měsícem +3

    Acheni kutumia mabox kubebea vinywaji ndani ya train.wahudumu tumieni tray za kisasa kubebea vinywaji

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA Před měsícem +1

    Wanao sema Tanzania haijaendelea warudi 1980 wajasema bado na watasema sana Aluta kunuwa MAMA

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před měsícem

    Hongera Mhe Rais kwkukamlish ujenz kwnz zinatunz mazingra kwkuepuka matumiz makubwa ya mafuta nguvu ielekezwe bwawa la kuzalisha umeme Nchi inaenda kubadilika kbs.

  • @user-dr2lk7im7r
    @user-dr2lk7im7r Před měsícem +2

    Treni iwekewe ulinzi wakutosha isije ikahujumiwa. Wabaya wapo.

  • @marysona9999
    @marysona9999 Před měsícem

    Jamani dodoma sasa kuna zile ngazi za kujizungusha!!!!!!?😂😂😂😂😂😂😂😂😂mimi nitakwenda stesheni ili nikapande hizo ngazi tu!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Hongereni watanzania

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli1478 Před měsícem +6

    Ulale kwaaman mbeba maono wetu Jonh Pombe Magufuli

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před měsícem +1

      HAYO HAYAKUWA MAONI YA MAKUFULI BALI YALIKUWA MAONI YA MKAPA NA KAGAME WA RWANDA.

    • @salamSalehhhhh
      @salamSalehhhhh Před měsícem

      Amiina

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 Před měsícem

      ​@@user-oh6pc7zd4s Acha husda na wivu huu mradi maua anapewa Magufuli kama mkapa alikuwa na maono basi angeujenga huu mradi acha wivu mzee

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 Před měsícem +1

      kikubwa hao wote sio wenye mali hii ya tren hii nimali yetu ss watazaniaaa na ndio utakaoulipa mkopoo huoo acha mawazo ya ubaguziii au wewe mkimbiziiiiii😂😂😂😂

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 Před měsícem

      Kuna kaudini kananyemelea nchi yetu kwa hakika Abinger anzisha mwenda zake tungekuwa na story yote kwa yote tunamshukuru mama kwa kuendeleza maono ya ccm😅

  • @user-zx6fy8gc5r
    @user-zx6fy8gc5r Před měsícem +2

    Hongera JPM Hpngera SSH Hongera Watanzania

  • @israelsimba4954
    @israelsimba4954 Před měsícem +3

    TRC tumieni drones kama wenzuni wa Zimbabwe kulinda reli

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 Před měsícem +1

      Awesome point 👏, natamani viongozi wa TRC wasome hii na watekeleze mara moja.

    • @fredducaunt
      @fredducaunt Před měsícem

      Fafanua zaidi hii pointi

  • @Samweli-vw8ji
    @Samweli-vw8ji Před 12 dny

    Juzi nimeenda kukata tiketi kwenda Moro nikaambiwa Treni imejaa nikakuuliza Treni inajaa kweli au watu wakiwa wengi unaongeza mabehewa mengine maana huwezi huo upo duuuuu biashara zinawashinda,angaliaa idadi ya watu ongeza behewa nyingine SIo Tren imejaa SIo kweliiiiii

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před měsícem +6

    tuwekeeni mfo ukikata tiketi mala moja siku zengine unakua unalipia tu au mbadilishe mfumo mana ni usumbufu mbaka kelo

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před měsícem

    Mungu ibariki SGR yetu. Hatuna haja kuiuzia wageni ila tahadhari tuitunze kama ndege. Kamera za kutosha zifungwe.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před měsícem

    Sema nn keep bongobongo pongezi kwenu

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před měsícem

    Bila kiongozi kariba ya Magufuli hii nchi tutabaki kuwa nyuma sana

  • @AtwaaussalaamKaluta
    @AtwaaussalaamKaluta Před měsícem +2

    Pia tungeomba mboreshe mtandao wa kukatia ticket. kwa sababu mtu anaweza kufika stesheni na kufeli kukata ticket kwa sababu ya mtandao. hivyo mara nyingi sana treni inaondoka kabla ya kujaa ilhali abiria wako wamebaki wengi sana.

  • @mkude
    @mkude Před měsícem

    Hongera mama Samia hongera TRC

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze9776 Před měsícem +1

    Ikifika kigoma mwanza na Rukwa uchumi wa nchi na wananchi wake utaongezeka

  • @section8ight174
    @section8ight174 Před měsícem

    Congratulation TRC for accomplishing such an audacious feat thought as an impossible task! Only gripe with that station is the surroundings, we need to see greenery on either side of the train track, trees 🌳 grass and shrubbery so the place looks welcoming & easy on the eye, that is all but congratulation once again!

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před měsícem

      Dodoma is semi arid, you can't dictate nature

    • @section8ight174
      @section8ight174 Před měsícem

      @@mcback4384 lol it’s 2024 dummy! They are greening Saudi Arabia, go figure!

    • @section8ight174
      @section8ight174 Před měsícem

      @@mcback4384 I said, Green up the place! It’s semi arid not arid, use sprinklers it’s not rocket science!!

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem

    Sasa nchi yetu Tanzania inang'aa sana

  • @KennyJuakali
    @KennyJuakali Před měsícem +1

    Huduma nzuri sana

  • @edwinraymond3404
    @edwinraymond3404 Před měsícem +2

    ALAFU CAG AJE ATUAMBIE TUNAENDESHA MRADI KWA HASARA SAFARI HII TUTAMUACHISHA KAZI

  • @MichaelDanny-ge2qz
    @MichaelDanny-ge2qz Před měsícem

    Nauli bei gani

  • @JoachimPhilipo-zh4vg
    @JoachimPhilipo-zh4vg Před měsícem

    Congratulations TRC.🎉

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray8700 Před měsícem +1

    Waiting rooms zote bado sio za kutosha

  • @Mtenda-eq3jp
    @Mtenda-eq3jp Před měsícem

    Dom to dar nauli ni kiasi gani cha fedha

  • @paschaliganana8482
    @paschaliganana8482 Před měsícem +2

    Wekeni ndo za kisasa za uchafu kwenye train

  • @queenmapunda7868
    @queenmapunda7868 Před měsícem

    Jamani watanzania wenzangu tutunze rasilimali zetu.Mabehewa,reli zetu ziwe katika hali nzuri na usalama.tusiaribu miundo mbinu.hatu ufadhiri wa mzungu ni kodi zetu zinahusika.

  • @samsonmwijage1869
    @samsonmwijage1869 Před měsícem +1

    Ansbert Ngurumo upoooo ? Haya nayo ni mafanikio pia katika nchi yetu. Usiwe na mitazamo hasi pekee hata haya nayo uyaseme na kuwapongeza watanzania.

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Před měsícem

    Kwa hili MUNGU awe nanyi

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 Před měsícem +2

    SWALI KUBWA JE, MABASI YANAENDELEA DAR - DOM????

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před měsícem

    Ongezeni behewa acheni maneno

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před měsícem +1

    Rip dady jpm

  • @abubakarjumakhamisi370
    @abubakarjumakhamisi370 Před měsícem

    Tutunze sas miondo mbinu......uzalendo uwepo

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 Před měsícem

    Safi hongereni sana

  • @ceciliaonyango5367
    @ceciliaonyango5367 Před měsícem

    Magufuli hoyeee !!

  • @felickngao1167
    @felickngao1167 Před měsícem +1

    JPM daima nawe

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu Před měsícem +1

    Naipenda nchi yangu Tanzania 🇹🇿 ushauri tutunze Mali zetu pia Natuleni ya mizigo iletwe

  • @godwinmrema8239
    @godwinmrema8239 Před měsícem

    Safi sana.

  • @godwinmrema8239
    @godwinmrema8239 Před měsícem

    Pongezi kwa serikali na viongozi

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 Před měsícem +2

    Shabiby sasa wamekosa wateja

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před měsícem +1

      Keshatuvuna sana WaTZ, mpaka kajenga ghorofa kubwa sana pale Morogoro

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před měsícem

      @@mimiraia2531 yani,acha tuifadishe na serikali sasa

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Před měsícem

      ​@@mimiraia2531hawez kukosa watu ni wengi Tanzania

  • @goodluckeliahu3046
    @goodluckeliahu3046 Před měsícem

    Watu wa mabasi tunawaombeni please msije mkahujumu treni hii, mambo yalishabadilika, tufikirie namna ya kwenda na wakati,

  • @eliudmbange2278
    @eliudmbange2278 Před měsícem +2

    Nataman iringa pia mpaka mbeya iwepo reli ya Sgr

    • @charlesmwambinga4355
      @charlesmwambinga4355 Před měsícem +1

      Mirimaa mingii..pandeni mchape..ngaselee na Nani kaonaa😂😂😂😂

    • @wilsonjoshua6209
      @wilsonjoshua6209 Před měsícem

      ​@@charlesmwambinga4355 iliyopo ni sgr ila si treni ya umeme ...sgr ni standard ya njia ya treni yani reli

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 Před měsícem +1

    Kuna watu walisema hayo mabehewa plus vichwa ni mabovu yaani sio mazuri wakati yanashushwa bandarini sasa sijui ilikuwa ni sababu ya ushamba au chuki binafsi

  • @aliyahmed9328
    @aliyahmed9328 Před měsícem +6

    Wapuuzi wakubwa wekeni treni za kutosha acheni ushamba ,wekeni machine za ticket ,wekeni mawakala huko mitaani...

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Před měsícem

    Utunzaji ni muhimu sana

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Před měsícem

    ❤️❤️🇹🇿🇹🇿💪💪

  • @ShirazySong
    @ShirazySong Před měsícem

    🇹🇿 tunajivunia na maendeleo Tanzania

  • @ignatusrogerslema8650
    @ignatusrogerslema8650 Před měsícem

    Tuwe waangalifu hata Kenya SGR Train ilipo anza watu walipanda sana kupiga picha ili na wao waonekana wanapanda treni baada ya miaka 2 imebaki ikibeba watu wachache sana..

  • @TuntufyeBrayson
    @TuntufyeBrayson Před měsícem

    Na ikiwezekana litandazwe nchi nzima

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 Před měsícem

    Kulinda ndo kitu juzi ilibidi train isimame kulikuwa na mwingiliano na kifaa cha matengenezo sijui km kulikuwa na mawasiliano kwa sababu ngozi zetu nyeusi..kuwe na mfumo wa kuangalia njia ya SGR tusipofanya hivyo sitaki kumalizia kwa sababu ya uafrica tulionao umakini wa hali ya juu unatakiwa ufnyike mapema

  • @user-rk9jb4eb6p
    @user-rk9jb4eb6p Před měsícem

    Mama Samia hoyeeeeeeee

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 Před měsícem

    Stesheni nzuri sana❤🎉😂❤🎉🎉🎉🎉

  • @deohaule8161
    @deohaule8161 Před měsícem

    Toeni punguzo la kukata ticket online ili kupunguza foleni ya kukata ticket madirishani. Pia wekeni ongezeko la nauli pale ticket inakatwa karibia na muda wa kusafiri ili kupunguza foleni za kukata tiketi kwenye train station

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    ONGERA MAMA SAMIA KAZI NZURI UMEWEKA HISTORIA

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před měsícem

      Kaweka historia mbeba maono Magufuli,

  • @jrlamar8925
    @jrlamar8925 Před měsícem

    ABOOD ATAFUTE RUTI SASA

  • @GulatoneMasiga
    @GulatoneMasiga Před měsícem

    Tunajivunia

  • @shukranismaely6045
    @shukranismaely6045 Před měsícem

    Bei gani Dodoma tu dar

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973 Před měsícem

    Kampuni za mabasi ni bai bai

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 Před měsícem

    RIP JPM

  • @MursalLusinde
    @MursalLusinde Před měsícem +1

    #TRCRELITV kutoka dodoma mpka dar ni mwendo wa masaa mangapi kwa treni yetu mpya ili tujue

  • @user-fm4tw9ik3t
    @user-fm4tw9ik3t Před měsícem

    Nauli mpaka Dodoma sh ngap

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 Před měsícem +2

    Shida haizoweleki Kila mtu anapenda Raha. Mtu hatizami Pesa anataka Roho ipowe kupunguza Stress.

  • @AishaKassim-fh3fz
    @AishaKassim-fh3fz Před měsícem

    Dodoma stesheni yake ipo maeneo gani?

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Před měsícem

    Online system ipo down au imerudi... tangu kuzinduliwa safari ya Dom to Dsm

  • @frankmnyaga9699
    @frankmnyaga9699 Před měsícem

    Hii ndo faida ya mikopo sasa

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 Před měsícem

    Mbona Kuna mwanamke amebeba begi (Shangazi kaja,,,) 😢

  • @paschaliganana8482
    @paschaliganana8482 Před měsícem

    Ongezeni viti vya kukalia kwenye station na kuwasha Viyoyonzi wakati wa Pick hours mfano hapo morogoro wakati wa pick hours hakuna hewa.

  • @user-bk2uq2sx5u
    @user-bk2uq2sx5u Před měsícem

    Natamani kusafiri

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 Před měsícem

    Biashara ya mabus inaenda kupungua

  • @jameselias5277
    @jameselias5277 Před měsícem

    ❤❤❤

  • @emauf
    @emauf Před měsícem

    Kwanini mlikwama Morogoro saa zima?

  • @kss1113
    @kss1113 Před měsícem

    Mimi naulizia yale mabehewa ya doble decker mbona hayaanzi kazi au kuna tatizo?