Video není dostupné.
Omlouváme se.

HII NDIO STESHENI YA SGR KILOSA, ILIPOFIKIA MPAKA SASA NA UTOFAUTI WAKE NA STESHENI NYINGINE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 08. 2024

Komentáře • 28

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 Před 2 lety +11

    I wish taasisi zote za serikali zingekuwa na vitengo vya habari vinavyotoa updates kwa wananchi kama hiki kitengo cha TRC

  • @husseinloyy1912
    @husseinloyy1912 Před 2 lety +6

    jpm mungu akupe makazi mema kwa wema wake..na allah pia mpe afya njema raisi wetu kazi hii iishe

  • @sometimes5621
    @sometimes5621 Před 2 lety +18

    Ndoto za JPM R.i.p.

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 Před 2 lety +5

      JPM ilikuwa Kama zawadi iliyoshushwa na Mungu , Tumepoteza Rais aliyekuwa na Ndoto Ya kuifanya Tanzania Yetu Nzuri iwe Kama Ulaya

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 2 lety +2

      Wafitini hawakufurahia ujasiri, ushujaa, maono na uzalendo wake

  • @michaelsiweya4969
    @michaelsiweya4969 Před 2 lety +7

    Safi sana kwa update nzuri... Tunaelekea mwishoni.. Kazi ni nzuri sana... ILa nimependa sana mandhari reli inamopita... Mazingira yanavutia sana.. Nadhani baada ya reli kwisha miji ya kisasa itajengeka sana ..Na tutasahau kama kuna barabara za lami

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 Před 2 lety +6

    Asante JPM wetu Mzalendo Kwa Hii zawadi Uliyotuwchia r.l.p JPM wetu Mzalendo

  • @sabbob574
    @sabbob574 Před 2 lety +4

    Ongera sana TRC bila kumsahau JMP. Vipi Mwanza- Isaka mbona kimya hamuonyeshi chochote?

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 Před 2 lety +9

    Kinaoneka kidogo lakini Siyo kidogo Ni kikubwa Hiyo video tuu ukifika Hapo hutaamini

  • @salumjuma324
    @salumjuma324 Před 2 lety +6

    Kwa kweli tutafarajika sana mradi huu kuendelea utatunufaisha sisi wananchi wa Tanzania
    Hongera Mkurugenzi Kadogosa
    Hongera sana Mheshimiwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
    Ki ukweli huu ni mradi mkubwa wenye tija kubwa kwa jamii

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 Před 2 lety +2

    Msituletee train za mafuta, kwanza haitakuwa na spid 160 tuliyoitaka, pili mafuta yataharibu mazingira na kuharibu reli yetu

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Před 2 lety +5

    R. I. P. Baba Magufuli Tingatinga Jembe mjeshi jiwe mwongoza njia pumzika pumzika pumzika pumzika pumzika pumzika pumzika 😭💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 love you forever daddy Magufuli. 💔💔💔💔🙆🙆🙆

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 3 měsíci

    Hi station imejengwa vizuri bila blabla maanake hawakuwepo wakwamishaji itaipa heshema taifa letu

  • @stephenknutson6256
    @stephenknutson6256 Před 2 lety +2

    Thank you for this presentation. C C in English doesn't work. It's rather interesting reading the comments. Many wishing for a fancier design. I suspect that is because of the station in Dar, which is truly beautiful. But isn't a practical design for further expansion which will come. Railroad stations need to be foremost, utilitarian. The design of this building does that. Waiting to see what Dodoma station will look like. Thè people of Tanzania should be proud of what they are accomplishing.

  • @risktaker4111
    @risktaker4111 Před 2 lety +1

    Home sweet home

  • @mkude
    @mkude Před 2 lety +4

    Hongera mama samia suluhu kwa kuendeleza kazi nzuri

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před 2 lety

      Huna lolote kazi ipi anayo indeleza wakati miradi yote mmfuu mwendo wa kinyonga mbona BWAWA LA UMEME linamshinda wakati anajuwa fika hizo trains haziwezi kwenda bila ya huo UMEME 🤣🤣🤣 ndio maana tunasema hakuna wa kuziba pengo la mzee baba Magufuli 🏃🏃🏃🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @mkude
      @mkude Před 2 lety

      @@shinipapaya846 wivu mbaya sanaaaa utaumia sanaa kwa wivu wako,hakuna mradi hata mmoja aliefeli kuufanya hilo bwawa linaendelea kama kawaida kwa taarifa yako na bado kuna miradi mingi mipya kainzisha na inafanyika,poleeee

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před 2 lety

      Kwenda zako na uongo wako wa mchana kweupee na kama umefunga ni bora ule tu mimi nakaa karibu kabisaa ni hili bwawa huku Morogoro kisha unanambia ujinga wako 🤣😂🏃🏃🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @mkude
      @mkude Před 2 lety

      @@shinipapaya846 wewe ndo hujielewi ngoja siku likishafungukiwa ndo utaelewa,wewe unajifanya kiziwi hali yakuwa unasikia unajifanya kipofu hali yakuwa unaona,ila ipo siku utadhuhurishiwa

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Před 2 lety +6

    Kwa kweli am disappointed 😞☹️, kwanza kazi ni pole pole sana. Kuna mmoja ame comment amesema " warehouse" . Kwa kweli amepatia, inaonekana kama " warehouse. Kwanini msiaangalie sehemu nyingine!! Na kuona how creative walivyo 😞 . If we are poor in terms of materially doesn't mean that we are equally poor in terms of thinking be there creative. Annoyed 😠 Halafu hawa wahandisi, with due respect, wanatuangusha 😞😞😞 namsikiliza..!!

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Před 2 lety +1

    Station ni nzuri ,,,lakini kwanini wanajenga majengo mafupi hususani jengo hili la kirosa na Ile station ya morogoro ,,majengo mafupi mpaka linapunguza uzuri wa muonekano wa jengo

  • @hajiiddi1085
    @hajiiddi1085 Před 2 lety

    Wewe Mtangazaji unaongea saana!tuoneshe Video ya mradi umefikia wapi?

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 Před 2 lety

    Toka jpm atutoke mmekosamvuto naniwazembe

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 Před 2 lety +1

    Treni station kama warehouse ya kutunzia mazao au vyombo vya kulimia masamba.