MAANDALIZI YA MWISHO STESHENI YA SGR DODOMA KABLA YA KUANZA SAFARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024

Komentáře • 74

  • @user-pk5yi3gh3f
    @user-pk5yi3gh3f Před měsícem +15

    Magufuli hongera kwa kazi hii uliyoanzisha

  • @SATZ-news
    @SATZ-news Před měsícem +25

    Viva Jpm kwa maono ya kimataifa ungekuwepo Tanzania 🇹🇿 ingekuwa mbali sana aisee❤

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 Před měsícem

      Maneno yako ya ndoto😂

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 Před měsícem +1

      hizoo sio pesa za magufuli pesa yetu walipa kodi kuku wewe hongeraa mama samia kulinda ksimamia na kuendelezaa

    • @isackrichard6356
      @isackrichard6356 Před měsícem

      Aha kumbe Samia yeye zake anazitoa mfukoni mwake sio?​@@hemedrashid2921

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před měsícem

      ​@@hemedrashid2921issue sio pesa zetu ni jinsi alivyo wekeza kwa ubora na ushindani wa kimataifa sio uwekezaji wa kama watu wa pwani unaweza kitu kinakufa kesho

    • @SATZ-news
      @SATZ-news Před měsícem +2

      @@hemedrashid2921 Soma uelewe sijasema Pesa ya Magufuli 😏

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před měsícem +13

    The legacy of John Pombe Magufuli 🤝🇹🇿

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Před měsícem +4

    Hongera baba magufuli kwa hili na hongera mama kwa kukamilisha❤

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před měsícem +13

    Magufuri alikua na akili ya kipekee hakuna kiongezi yeyote kwa sasa mwene kufikia uwezo wake

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před měsícem +3

    Hongera mh Rais kwa kuendeleza miradi yote jambo jema mwenyezi mungu akulinde miradi inaenda vizuri kama ilivyopangwa🎉🎉🎉🎉

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před měsícem +5

    R.i.p Jpm tunaomba Mungu atupe rais mzuri kama Magufuli

  • @yesesalambwe9420
    @yesesalambwe9420 Před měsícem +3

    Hongereni sana! Matunzo ni muhimu sana! Hilo lizingatiwe na lipewe uzito unaoeleweka ili vitu vizuri kama hivi viweze kudumu!

  • @RobertMushi-ic1gc
    @RobertMushi-ic1gc Před měsícem +2

    Appreciate all progress of the project🎉🎉 I love 🇹🇿🇹🇿

  • @prezyb1699
    @prezyb1699 Před měsícem +3

    Hongera magufuli

  • @ahamadarashid8797
    @ahamadarashid8797 Před měsícem +1

    NASUBIRI KWA HAMU SAFARI ZA DAR TO DOM..can't wait

  • @iathumani
    @iathumani Před měsícem

    Asante TRC usafiri ni mzuri sana lakini kwa asili yetu watanzania na waafrika kwa ujumla huwezi watenganisha na mizigo wakiwa wanasafiri. Ushauri wangu kwa nini msiweke behewa moja la mizigo ya abiria wakiwa wanasafiri. Behewa lifungwe kwa treni huaika mtu akue akilipia mzigo wake unapakiwa kule kisha una kua labeled kwa kituo anachoshuka ili akifika afike na mzigo wake. Wengine wafanya biashara sasa haina maana unawahi fika Dar kufuata mzigo kisha huwezi kusafiri nao kwa haraka sababu tu ni mkubwa. Unalazimika kutafuta usafiri mwingine ambao unakuchelewesha sana. Naomba kuwasilisha.

  • @ahmedronga7583
    @ahmedronga7583 Před měsícem +2

    Pongezi kwake maguboy Allah ampe kauli thabiti uko kaburini

  • @anwaryabdallah7782
    @anwaryabdallah7782 Před měsícem

    Nakampeni imewekwa humohumo kwenye nyimbo😮😅 dah nchi hii siomchezo,Nchingumu hii!!!

  • @TuntufyeBrayson
    @TuntufyeBrayson Před měsícem

    Magufuri upumzike kwa amani peponi baba ulikuwa mwema namalizia kwa " ULALE SALA😢😢"

  • @salummkubwa
    @salummkubwa Před měsícem

    One love kwa nchi yetu TZ

  • @mkude
    @mkude Před měsícem +2

    Hongera mama Samia hongera TRC

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 Před měsícem +4

    Mkuu ungetuonyesha muonekano wa stesheni yote kwa details. Video ya dk 2 au tatu haitoshi. Chukua video ya dk kama 15 au 20 ukitupitisha kila sehemu bila ku-enterview watu bali ukiwa unatuonyesha na kutusimulia kila jambo. Huu mradi ni mkubwa sana na unahitaji kila mwananchi auone vizuri ili ajua kodi yake imetumika ipasavyo

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před měsícem +3

    Sasa kuna maana gani ya kupiga wimbo wa kampeni ya mama Samia wakati kampeni hazijaanza ?? Msiifanye SGR kuwa siasa tafadhali

  • @RehemaLyana
    @RehemaLyana Před měsícem +1

    Dodoma to dar ndo bureee eeeh

  • @abdallahsalim8475
    @abdallahsalim8475 Před měsícem

    hongera mama samia

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 Před měsícem +1

    MUNGU IBARIKI TANZANIA

  • @JamesmalesaMavere
    @JamesmalesaMavere Před měsícem +1

    Nyumbani kumenoga 🔥🔥🔥

  • @kisutabora5914
    @kisutabora5914 Před měsícem +8

    Hongera jpm na mama Samia. Mjitahidi SGR ifike Tabora kabla ya uchaguzi 2025

  • @mtotowamkulima275
    @mtotowamkulima275 Před měsícem +1

    Binaadamu, we acha tu. Kama Mama Samia angeiacha hii miradi akaanzisha yake, kuna watu wangemlaumu kwanini hakuiendeleza. Leo hii ameamua kuiendeleza kuna watu pia wanasema. Piga kazi Mheshimiwa Rais tupo nyuma yako. ❤

  • @alexissangali8650
    @alexissangali8650 Před měsícem

    Mashalaah....!!!!!

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem

    Hongera sana serikali yetu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před měsícem

    Mmeshindwa kuweka hata bustani safi maua kidogo tu jamani 🎉🎉🎉🎉🎉😂

  • @AliBakar-sx7lu
    @AliBakar-sx7lu Před měsícem

    Hongereni Tanzania 🇹🇿 kazi nzuri iendeleeeeeeeeeeeeeeee

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 Před měsícem

    👏👏👏👏

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 Před měsícem +1

    JPm😢

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    KIMYA KIMYAAA na MAMA TUNASONGAAAA!!!!

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 Před měsícem

    Shughuli iko ukingoni

  • @cinnamonstar808
    @cinnamonstar808 Před měsícem

    beautiful 🚅

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961 Před měsícem

    BAADA YA DODOMA, MBOKA MANYEMA TUNAISUBIRIA

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Před měsícem +1

    Huu wimbo wenu unasababisha tuache kuangalia video zenu. Sio kampeni

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před měsícem

    🇹🇿🫡🇹🇿

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Před měsícem

    Inapendeza sana,mujipange sasa kupereka train mpka kwenye kiwanja kipya na mji WA Serikari ❤

  • @AlbertSabo-hp3ss
    @AlbertSabo-hp3ss Před měsícem

    Sasa hilo neno.kuu, linabeba nini? Kwanini isiwe stesheni ya Dodoma tu. Ongereni sana kwa kufika Dodoma

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Před měsícem

      Nadhani labda wameandika hivyo kwa vile kutakuwa na stesheni nyingine Makutopora - anyway TRC wanajua zaidi.

    • @chumamasunga8855
      @chumamasunga8855 Před měsícem

      Wameandika hivyo kwa sababu hapo ndo TRC HQ

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před měsícem

      Kituo kikuu cha mabasi ya mkoa ni vituo vidogo vidogo vya wilaya

    • @denismoyo5551
      @denismoyo5551 Před měsícem

      dodoma vituo viko vingi hicho ni kikuu kwa dodoma

    • @charlesmwambinga4355
      @charlesmwambinga4355 Před měsícem

      Kwani Makao Makuu ni Wapi ? Pale ndo katikati

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 Před měsícem

    Mkuu, naomba usaidizi wako: kwenye bango lililoandikwa “Jukwaa la reili ya kiwango cha kawaida” kisha kwa kingereza wakaandika “SGR Platform” mbona kama wamechanganya? Reli ya kawaida sio MGR kweli? Naomba ufafanuzi wako Mkuu

    • @charlietz7125
      @charlietz7125 Před měsícem

      kumbe na wewe umeona? ni kweli hapo wamechanganya.

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před měsícem

    Wakusifia ni Mweshimiwa JPM aliekua akiwaimiza wakandalasi kufanya halaka samaahani msinilazishe kumsifia mamaenu nyoko nyie 😮😮

  • @abubakarmwasumilwe7070
    @abubakarmwasumilwe7070 Před měsícem

    Kongore my President Samia