Video není dostupné.
Omlouváme se.

NAIBU WAZIRI APOKEA MABEHEWA YA GHOROFA DAR, "MABEHEWA HAYA NI MAJIBU YA MASWALI YA WANANCHI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 06. 2023
  • NAIBU WAZIRI APOKEA MABEHEWA YA GHOROFA DAR, "MABEHEWA HAYA NI MAJIBU YA MASWALI YA WANANCHI"

Komentáře • 41

  • @benjaminsendama6215
    @benjaminsendama6215 Před rokem +5

    Daaaaah magufuri huyu angekuwepo angalau akashuhudia kazi alizoziazishaaa daaah , lakin hata musa hakufika nchi ya ahadi ila aliowaongoza walifika wengine na wengine hawakufika

  • @keloseko8415
    @keloseko8415 Před rokem

    Saafiii, saaagii saana

  • @timo.5449
    @timo.5449 Před rokem +3

    Mabehewa hayo yamerekebishwa kabisa, na sidhani yana zaidi ya miaka 10 hadi 15. Hakuna kitu kibaya kwao. Mabehewa mapya yana gharama kubwa kwa sasa, kwa hivyo hii ndiyo hatua sahihi kwa sasa. Baadaye, baada ya TRZ kukomaa na kupata faida fulani kwenye uwekezaji, basi tutazingatia mapya. Kwa hivyo kwa wale ambao hupenda kufanya chochote isipokuwa kulalamika, ketini mahali fulani na mupumzike. Tutafika huko tukifika.

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 Před rokem

      Ukweli baba

    • @ritamutoka7768
      @ritamutoka7768 Před rokem

      Lies, lies and more lies. You lie and this level of lie telling is pathological. Mbona ndege zinanunuliwa mpya ? Hii hoja yako ni ya juu juu. Je serikali ina maelezo yapi kuhusu ununuzi wa mabehewa mazee ? Magufuli aliita kupigwa na ndilo lililofanyika kwenye hili jambo. Stop playing with our intelligence 😮

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 Před rokem

    Kwahizi nawapa mkono wa kongore viongozi wangu naombeni muuenderee kuieshimisha nchi yetu hizi behewa ni nzuri sio kama yare ya mwanzo.

  • @bensonotiende751
    @bensonotiende751 Před rokem +1

    Kwani ni ya gorofa waaah

  • @kulwamadirisha-bs5wx
    @kulwamadirisha-bs5wx Před 5 měsíci

    Hahahahaha mtumba wa German umepakwa langi kwa umakini duuuuh hii nchi inaahida sana

  • @shuwebmohamed
    @shuwebmohamed Před rokem

    Hi hello my dear sir shuweb Mohamed subscription

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 Před 4 měsíci

    Mkao wa siti za kizamani bana mambo yakutazamana ya kishamba

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 Před rokem

    Ni German sioo... Congratulations...

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před rokem

    MH RAIS HONGERA HONGERA SANA MAMA HONGERA BEHEWA NZURI TUAOMBA ZIONGEZWE JAPO 90 AU 120

  • @vicentmigodela190
    @vicentmigodela190 Před rokem

    Rangi mbayaaaa kwanini wamechagua hiyo rangi au mmechaguliwa

  • @sultandihomba4359
    @sultandihomba4359 Před rokem

    Used German

  • @user-rv3ml6cf7e
    @user-rv3ml6cf7e Před 5 měsíci

    Hee kumbe uchaguzi unakalibia acheni izo zaukoloni

  • @vintagemusicgroup9236

    Porojo nyiiiingi, Dar - Moro safari zinaanza lini?

  • @GMShifo
    @GMShifo Před 4 měsíci

    Rangi mbaya, Rangi ya Jela 😢

  • @InnocentAlfred-ro1nx
    @InnocentAlfred-ro1nx Před rokem

    Kilo changu yasje tokea. Kama yaliuojtokeza ktka mardi wa mabasi ya mwendo kasi Hao sekta bnafsi wakae pembeni wapewe jeshi wasmamie

  • @bentaomari4272
    @bentaomari4272 Před rokem

    Ndiyo kazi iliyobakia ni kupiga picha na mabehewa tu ila bongo bhana 🤣🤣🤣

  • @hazmanriess8949
    @hazmanriess8949 Před rokem

    Colour not good enough.

  • @user-xg4ew2mz1c
    @user-xg4ew2mz1c Před 8 měsíci

    Nikijaaliwa nitaipanda adi kwetu kilosa

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před rokem +3

    Ni mapya au takataka kwa wazungu Tanzania Ni mapya?

  • @nth3512
    @nth3512 Před rokem +2

    Tatizo rangi zenu ndo mbaya, yani uzi wa kijani ni muhimu, alafu hiyo rangi ya udongo iwe kwa asilimia chache hata msitari tu. Lakin white, green na hiyo chocolate ndo ziwe kwa wingi. Au huo udongo uwe sehemu ya chocolate na chocolate iwe kwa wingi kwa niaba ya hiyo ya udongo

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před 7 měsíci

      Hamna kitu unachokijua, we shukuru tu!!

    • @nth3512
      @nth3512 Před 7 měsíci

      @@user-cw8zn2dn6m We unachokijua kimekusaidia nn? Mpuuzi kweli. Sa mbona wamebadilisha kweny vichwa vipya

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před 7 měsíci

      @@nth3512 shukuru kwa yote!! Hata hiyo kidogo we shukuru tu!! Mtu wa Mungu huwa kazi yake ni kushukuru tu!! Upo mzee!! 🤣🤣🤣🤣🤣 Mjinga ww!!!

    • @nth3512
      @nth3512 Před 7 měsíci

      @@user-cw8zn2dn6m Nyie ndo wajinga mnaojifanya watu wa mungu, hamtumii hata akili mnafata tu mambo kiupofu. We nani aliekwambia Mungu anazuia maono ya watu?? We fala kweli unashukuru tu km kondoo. Na izo akili ulizopewa za kazi gani. Acha ufala we mshamba, tumia icho kichwa mshenz, sio tu unakibeba km mzigo na punda

    • @alfinmbilinyi5985
      @alfinmbilinyi5985 Před 7 měsíci

      Sasa Hawa wajerumani wametuuzia mabehewa vichwa vya Kuvuta haya magorofa hawajaleta au kwa vichwa hivi vya mkorea?

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Před rokem +2

    Hakika hizi ndo behewa ndo tunazitaka kwa SGR yetu,, za mwanzo zileee duuuh

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před rokem

    Bandari iliishauzwa huko

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před rokem

    Kumbe mitumba hio, kikosi kazi cha wauza nchi kinaendelea na upigaji

  • @InnocentAlfred-ro1nx
    @InnocentAlfred-ro1nx Před rokem

    Kilo changu yasje tokea. Kama yaliuojtokeza ktka mardi wa mabasi ya mwendo kasi Hao sekta bnafsi wakae pembeni wapewe jeshi wasmamie