EXCLUSIVE: STESHENI MPYA YA TRENI DSM KWA NDANI, NI KAMA AIRPORT, MIGAHAWA NA VIP

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 10. 2021
  • Stesheni ya Reli ya Kisasa (SGR) ya Dar es salaam imekamilika kwa 100% na itakuwa na uwezo wa kuhudumia Watu zaidi ya 3200 kwa wakati mmoja ambapo stasheni hii imeunganishwa na barabara ya juu yenye urefu wa KM 2.5 ambapo treni zitakua zinapita juu kwa juu hivyo hata ile foleni ya magari ambayo ilikua inakuwepo kutokana na kupisha treni kupita kwenye reli ya zamani haitokuwepo tena katikati ya Jiji, Thadei Paul ni Meneja Msaidizi wa Mradi wa SGR (DSM - Morogoro) katueleza kila kitu.

Komentáře • 522

  • @emmanuelmkama3000
    @emmanuelmkama3000 Před 2 lety +165

    Kuna watu wanakereka ni kwanini Magu hatoki akilini mwa Watanzania. Sababu moja wapo ni hii hapa. Watanzania tunampenda Magu sana, amefariki lakini nyuma ameacha jeshi kubwa kama mimi hapa. Tutamtetea siku zote.

  • @benedictkihombo348
    @benedictkihombo348 Před 2 lety +25

    Hii kazi ya Marehemu Rais J.P.M Mungu Mwenyezi ampumzishe kwa Amani huko aliko. Respect for you J.P.M.

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 Před 2 lety +148

    RIP OUR PANAFRICANIST, AFRICAN HERO AND PROPHET, MAGUFULI - YOUR ACTIONS CONTINUE TO SPEAK LOUDER THAN WORDS. IMPERIALISTS AND CAPITALISTS MANAGED TO KILL YOU, BUT THEY WILL NEVER KILL YOUR BRIGHT IDEAS…RESPECT FROM CONGO🇨🇩A LUTA CONTINUA…VIVA LUMUMBA, KWAME NKRUMA, BIKO, SANKARA, SAMORA, CHEIKH ANTA DIOP, MAGUFULI ETC.✊🏾

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 Před 2 lety +76

    Magufuli mungu akulaze mahali pema baba ,tunaona vision yako..

    • @patloveupdatestv1005
      @patloveupdatestv1005 Před 2 lety

      Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼
      czcams.com/channels/BGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg.html

    • @veronicascottmollel7897
      @veronicascottmollel7897 Před 2 lety +4

      Miaka mitano tu amefanya vingi je angemaliza kumi?

    • @gloryidelya9899
      @gloryidelya9899 Před 2 lety

      Balaaa Amesima mia Kazi yake ipasavyoo coz nchi yetu Tajir kwani isipendeze Tuna ripa kod kwanin tusipendezeshee nchi yetu Tajiri Jamani Tukipata kiongoz Msimamizi Boraa Lazi nchii Ipendeze Marehemu Alivunja Record Ya Uongoz Wake .Shujaa Mungu Ampumzishe kwa Aman

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 Před 2 lety

      Amiin

  • @raiderinfos1472
    @raiderinfos1472 Před 2 lety +30

    Nimeyatoa maisha yangu kwa ajili ya watanzania masikini ipo siku nikifa mtajua namaanisha Nini in magufuri's voice 🎤🎤R.I.P CHAMP 😔😪😪

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Před 2 lety +130

    Rest in peace our President JPM, tunakukumbuka kwa moyo wa shukrani🙏🙏🙏pumzika kwa amani🤲🙏🌺🌺🌺🌺🌺

  • @balilemwab.2542
    @balilemwab.2542 Před 2 lety +65

    R. I. P Magufuri 🙏You gone but you left Tanzania in the world map for short time... Always feel proud that your have been my President. 🙏🙏👏👏👏

  • @c75923
    @c75923 Před 2 lety +88

    RIP President Magufuli CHUMA!! Kuna wasenge flani kama wanataka kufuta historia kwamba kilichofanyika ni cha kawaida blablabla lkn HAWATOWEZA kazi ulizoacha hazikuwahi kufikiriwa toka Uhuru! Continue to Rest In Peace our Champion.

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 Před 2 lety

      Kweli kbs

    • @akahtaan7288
      @akahtaan7288 Před 2 lety

      Lugha chafu ni dalili ya kukosa malezi ya wazazi.
      Kijana unachafua sifa ya watanzania.
      Kuwa na adabu

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 Před 2 lety +72

    Dah...! Natamani sana JPM mwenyewe angekuwepo.
    #RIPJPM

  • @alphonceelias2551
    @alphonceelias2551 Před 2 lety +52

    Rest in peace baba yetu JPM.mzalendo no I wa nchi hii takatifu.

    • @temuemanuel4671
      @temuemanuel4671 Před 2 lety

      Amen. Nimependa comment yako kuhusu nchi yetu Takatifu ya Tanzania. Nimefurahi kuona mtu mwenye mawazo kama yangu kuhusu Tanzania

  • @shabanimwakalundwa2077
    @shabanimwakalundwa2077 Před 2 lety +22

    Amakwer makufuli ndo mtuu pee mwenye ficra zakipee sana ndugu zangu watanzania alitaka watanzania tuishi maisha mazuri nyumba kunonge bwana mweee DAAA AI MISS❣️♥️♥️♥️♥️ MAKUFULI🙏💌🤛💯 KIPEZ CHAWATU

    • @gloryidelya9899
      @gloryidelya9899 Před 2 lety

      😥😥😥😥😥😥Tunammisi mnoo MUNGU Ampunzishe kwa Amani

  • @ibrahimhemedi9079
    @ibrahimhemedi9079 Před 2 lety +40

    Very nice Kama mtoni vile RIP Magu homie kwa TZ uzarendo wako.

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 Před 2 lety

      Tunakushukuru mama Samia kwa umaaliziaji wa ujenzi huo wa tren watakao kuchukuia wavimbe wapasuke

    • @happyglorynnko602
      @happyglorynnko602 Před 2 lety

      @@abuuramadhan8093 hakuna upinzani kati ya magu na Samiha lkn kunautofauti kati ya mzalendo na fisadi ambaye yuko tayari kupokea fungu kwaajili ya kuwakandamiza wananchi wake kwa faida yake mwenyew bila kujali watu wake. Hii ndy tofauti tu

  • @yassersalleh8409
    @yassersalleh8409 Před 2 lety +49

    Aya yote ni maisha alio take tuyajue mzee wetu hayati magufuli mungu ampunguzie adhabu ya kaburi

    • @patloveupdatestv1005
      @patloveupdatestv1005 Před 2 lety

      Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼
      czcams.com/channels/BGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg.html

  • @laurentchimbirani5990
    @laurentchimbirani5990 Před 2 lety +16

    Zaidi ya 90% ya watoa comment wanamtaja Hayati Rais JP. MAGUFULI.., Hii inaonyesha ni namna gani mtoto wa Chato Geita alipendwa. Rest Easy BABA 😥😭

  • @hatibuyusufu4668
    @hatibuyusufu4668 Před 2 lety +17

    Ahsante sana Mzee Magu ahsante sana Mwamba Africa ahsante sana Mzalendo wa Kweli ,ahsante sana mama Samia ahsante sana super WOMAN ahsante sana kwa kuendeleza miradi ya mkakati

  • @siwonikewiliam5104
    @siwonikewiliam5104 Před 2 lety +19

    Kweli tutakumbuka daima kwa mema yako mungu akupe kauli thabit

  • @emmanuelmkama3000
    @emmanuelmkama3000 Před 2 lety +50

    Ingependeza kiongozi yeyote anaye anzisha mradi apewe heshima ya bonge la picha yake ya mradi. Hii it itawafanya viongozi wajao nao kujipiga kifua ili wakumbukwe. Hii miradi mikubwa inahitaji kiongozi maono. Asante JPM!

    • @allyhassan7522
      @allyhassan7522 Před 2 lety +6

      Kama hapo kwa Mwl.Nyerere naomba hiyo picha ibadilishwe na iwekwe ya JPM haraka sana kabla sijakasirika.

    • @temuemanuel4671
      @temuemanuel4671 Před 2 lety +2

      @@allyhassan7522 Waweke hapo picha mbili. Ya Baba wa Taifa na JPM wakishikana mikono huku kukiwa na treni ya zamani kama ilivyo kwenye picha na treni ya kisasa .. ili kuonyesha muunganiko wa tulikotoka na tunakoenda

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Rais alikuwa moja tu... Nyerere Baba wa Taifa indeed...

    • @luhanyamipawantobi6888
      @luhanyamipawantobi6888 Před 2 lety

      @@j.c.maxima816 kwani huyu alikosea kuijenga hii!!!? Au nayo niyanyerere?

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 2 lety +37

    "Heri atendaye mema mengi bila kutazamia malipo, maana vinywa vingi vitamsifu toka pande za mashariki hata magharibi naam kizazi hata vizazi". "Uhuru na kazi, Hapa kazi tu, kazi iendelee"

  • @mr.ab_officially6507
    @mr.ab_officially6507 Před 2 lety +32

    Tukipata viongozi kama JPM 10 tu wanatosha zidisha kwa miaka 50 TZ it ill be more than abroad

  • @jumaabdala7530
    @jumaabdala7530 Před 2 lety +19

    Mungu mlaze Pema Magufuli Aliipenda Tanzania mzalendo nambar( 1)

  • @andrewmashika3756
    @andrewmashika3756 Před 2 lety +21

    Fabulous! You shall always be in our heart,.. Tutakukumbuka, Tanzania kweli ni nchi tajiri👌🏾 ✨

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 Před 2 lety +1

    Hongera Mama Samia unaupiga mwingi kuendeleza mazuri ya Mtangulizi wako kazi iendelee

  • @ivanterence698
    @ivanterence698 Před 2 lety +4

    Stesheni linapendeza kweli. Tunaita "post-modern." Love from Kenya

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 Před 2 lety +52

    Swali ni kwamba rais wasasa na hao wajao wataanzisha miradi mikubwa kama hii maana inahitaji viongoz wenye maamuz magumu

  • @twalibmgagi1652
    @twalibmgagi1652 Před 2 lety +27

    Nakubali-nakubali-nakubali, mambo ambayo nilihisi sitowahi kuyaonaga Tz kumbe yanawezekana kama hiv

    • @angelamarlow510
      @angelamarlow510 Před 2 lety +1

      Yana wezekana kwa anae dhubut mpendwa kaz ya hayat Rais Magufuli

  • @derrickmutuma7185
    @derrickmutuma7185 Před 2 lety +6

    Good job Tanzania. Love and greetings from Kenya. Pamoja tusonge mbele!

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Před 2 lety +13

    Mungu ndio mwingi wa malipo kwa yote uliyoyafanya Magufuli, tulikuwa na kistesheni kiboovu umetuachia jumba hâta za ulaya aziingii, kwakweli msiba wako ni pengo kubwa kwetu

  • @nasrachaula9878
    @nasrachaula9878 Před 2 lety +25

    Daaaaaah nataman hata kulia why God Hakika vizur havidumu Hkn magufuli amejua kuibadilisha Tz na kuipa heshima LALA SALAAM BABA 💔💔

    • @patloveupdatestv1005
      @patloveupdatestv1005 Před 2 lety

      Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼
      czcams.com/channels/BGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg.html

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před 2 lety

      We kuma sio kila sehemu fungua ujionee fungua mwenyewe ujionee again kuma wee

    • @nasrachaula9878
      @nasrachaula9878 Před 2 lety

      @@shinipapaya846 😂😂😂imekuwaje Tena mbona mitus

  • @manenohongera7617
    @manenohongera7617 Před 2 lety +17

    Iv magufuli aliwazaga wapi daanh inalilah wainalilah rwajuni 😭😭

  • @sarahmsuya5416
    @sarahmsuya5416 Před 2 lety +9

    Nje kupo exactly and even more. I’m glad to see this here in my motherland 💪🏽👌🏾👏🏼👏🏼👏🏼

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 Před 2 lety +15

    Rip JPM Tutamkumbuka na tutamuenzi Daima 😭😭💔🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 Před 2 lety +15

    Big up magufuli huko ulipo.

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 Před 2 lety +8

    Shukrani kwa Engineer kwa maelezo mazuri

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Před 2 lety +45

    Ningependa sana kuona picha ya hayati Magufuli katika jengo hilo jmn, hivi kwanini baadhi ya watu hawampendi huyu hayati Magufuli??? Hili jengo na uzuri wake isingekuwa Magufuli jmn isingekuwepo.

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Před 2 lety +1

    Usafi ni muhimu sana wa nje na ndani katika jengo hili, tunawaomba ndugu zetu watanzania mzingatie sana usafi na kufanya check up ya kila siku, kuangalia kama mashine na vyombo vingine vyote ndani ya jengo viko salama, wizi, uaribifu, uchafu ni mwiko, hili jengo limegharimu pesa nyingi sana hela za kodi ya watanzania. Hongerani sana TRC kwa kazi kubwa sana mnayoifanya. Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿

  • @pelegrinmwamba1594
    @pelegrinmwamba1594 Před 2 lety +61

    Magufuli nakukumbuka baba

  • @trioyoung1389
    @trioyoung1389 Před 2 lety +45

    Kazi ya magufuli iyo

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Mama Samia atafanya kubwa zaidi! Muhimu, Taifa linasonga mbele 🙏🏽

    • @jumbemwajabu4006
      @jumbemwajabu4006 Před 2 lety

      Baba umelala mema umetuachia haaa ya Allah mpe pepo mja wako huyo

    • @abdichangalima3773
      @abdichangalima3773 Před 2 lety

      J.C hapa hatushindanishi maraisi,tunawamotivate tu ili wafanye vizuri kwa ajili ya nchi.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      @@j.c.maxima816 Atafanya nini hakuna ata dalili yeyote ujenzi wenyewe unasuasua

  • @wilfredmoshi6507
    @wilfredmoshi6507 Před 2 lety +30

    Tatizo letu Tanzania ni maintenance he baada ya miaka 5 litakuwa na hali gani. Tukumbushane mwendo kasi stand zilivyokuwa na sasa zinahali gani,tukumbushane zile post zilizowekwa na makonda dar es salaam kwenye maua.sasahivi zinazidi kuisha na hazijulikani zinapokwenda.shida hatuna plan ya maintenance.

    • @patloveupdatestv1005
      @patloveupdatestv1005 Před 2 lety +1

      Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼
      czcams.com/channels/BGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg.html

    • @abdulatiftu9836
      @abdulatiftu9836 Před 2 lety +1

      @@patloveupdatestv1005 fungua ujionee

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety +1

      Wazee wa vyuma chakavu

    • @gracerwegoshora3793
      @gracerwegoshora3793 Před 2 lety

      Yaani mimi nawapa hali vyoo itakuwaje? Hygene kwa wabongo ni shida

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      Hapo mchezo wa nyani mitini ukienda chooni unakutana na kitu kimeganda UTI nje nje mbongo pasua kichwa

  • @raujohn8238
    @raujohn8238 Před 2 lety +20

    Na ao wapumbavu walio muhuwa nao watakufa tu naizo mali wanazo zihiba wataziacha na mwenyezi mungu hanawasubilia tu kwa mungu yeye ni mweye kusubilia tu

    • @saidirashidi6522
      @saidirashidi6522 Před 2 lety

      Ndg we achaaa wadhani wataishii miaka 100000000000000000000

    • @pilirajabu6853
      @pilirajabu6853 Před 2 lety

      Unauhakika aliuliwa?? Au unaongea tu mtu akimwaga mboga unamwaga ugali acje akafikilia nakumwaga maji

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Covid 19 imemweza Mzee wa watu,,,

  • @tadyinkmussa2530
    @tadyinkmussa2530 Před 2 lety +15

    R.i.p jpm

  • @veronicascottmollel7897
    @veronicascottmollel7897 Před 2 lety +24

    Natamani Magufuli angekuwepo afungue mwenyewe 😭😭😭 Tutamkumbuka sana 😭😭😭😭R. I . P Magufuli

  • @alexmasinde2031
    @alexmasinde2031 Před 2 lety +8

    Hatuna budi kuwa wazalendo pindi mradi ukamilikapo🙏

  • @katan671
    @katan671 Před 3 měsíci +1

    BIG UP MAMA SAMIA KWA SPEED KUBWA YA UJENZI WA TRAIN HII.
    A VERY HIGH SPEED.

  • @challobruno5768
    @challobruno5768 Před 2 lety +17

    Rip jpm

  • @imaryamjk2866
    @imaryamjk2866 Před 2 lety +5

    Woaw this is dope, We need more dope infrastructures like dic, Tz is gona be more better place🙏

  • @yunusabdulwallace3801
    @yunusabdulwallace3801 Před 2 lety +5

    Hongera mama samia kwa kusimamia vizuri miradi iliyoachwa na Magufuli.

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 2 lety +14

    Tatizo waafrica hatunaga service na miundombinu yetu, utashangaa baada ya miaka 5-7 pamechoka mataa hayawaki, vyoo vimeharibika no maintenance

    • @J4UPro
      @J4UPro Před 2 lety +2

      Siyo leo watu siku hizi wameelevuka lejea usafi wa miji siku hizi ni misafi.

    • @issakitallo8103
      @issakitallo8103 Před 2 lety +2

      Akili zako bado zimeganda. Daraja la kigamboni lina miaka zaid ya 5 mpaka sasa na bado pako vizuri

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      @@issakitallo8103 Akili wapi na anasema ukweli sasa wewe unatoa mfano wa daraja na pahala pa watu ukusanyika mbona ni mfano wa hovyo , Mbongo tangulini akatunza sehemu za mikusanyiko vizur kwani hauoni pale penye bus terminal mbezi ya kimara

    • @issakitallo8103
      @issakitallo8103 Před 2 lety

      @@Mpakauseme Akili zako zimeganda pia kwaiyo wewe peke ako ndo unajua kutunza mazingira.. Airports nazo ni sehemu za mikusanyiko, malls huko zinajaza watu daily na muda wote safi

    • @issakitallo8103
      @issakitallo8103 Před 2 lety

      @@Mpakauseme wanafunzi Udsm pale walikua hawakauki mlimani city ila pako safi muda wote. Mikusanyiko ipi unayosemea Mh. Enviromental Auditor

  • @leshaomatayian142
    @leshaomatayian142 Před 2 lety +3

    Well done Tanzania.Keep setting the pace for African infrastructure modernization.

  • @justinecleophas2950
    @justinecleophas2950 Před 2 lety +7

    Rest in peace JPM....TRUE LEADER ALWAYS PROVE HIS VISION

  • @samweliandrea7802
    @samweliandrea7802 Před 2 lety

    Duuu magufuli mungu akulaze mahali pema peponi maana ulicho tufanyia Tanzania hatuna chakukulipa bali tunasema Asante t

  • @katemachanda7035
    @katemachanda7035 Před 2 lety +27

    Tunajua Magufuli alikua Hana ubinafsi, lkn hapo ilipaswa ikae picha yake badala ya Babu...

    • @temuemanuel4671
      @temuemanuel4671 Před 2 lety +2

      Zingewekwa zote mbili

    • @pilirajabu6853
      @pilirajabu6853 Před 2 lety

      Mbona dalaja la kigamboni haikukaa picha ya kikwete ikakaa picha ya nyerere

    • @katemachanda7035
      @katemachanda7035 Před 2 lety +4

      @@pilirajabu6853 Ni kweli.
      Daraja la Kigamboni ilikua maono na ndoto za Nyerere. Hata Bwawa la umeme Hilo ni maono ya Nyerere so wakiweka mapicha yake poa.
      Lkn SGR mamangu, hayo maono na ndoto za Mzee baba Magu, alitamani halafu hapohapo akafanya maamuzi magumu ya kibabe.

    • @pilirajabu6853
      @pilirajabu6853 Před 2 lety

      Sawa ilikua maono ya nyerere mbona hakufa kipindi chake kikwete ndo akaja kufanya kipindi yy niwaziri wa miundombinu kaja kua rahic ndo kalifungua

    • @pilirajabu6853
      @pilirajabu6853 Před 2 lety

      Pia mbn uwanja huo akaita mkapa unazani watu hawaon bhn wamefanya hivyohivyo ndo sahihi bhn

  • @jicholafursa7058
    @jicholafursa7058 Před 2 lety +6

    Hongera serikali ya awamu ya tano chini ya Samia na Magufuli mlianza pamoja na sasa unaendelea peke yako mama yetu.

  • @luifdls6217
    @luifdls6217 Před 2 lety +2

    ewaaa pazurii sana..naona maendeleo ya nchi yanapamba..Tanzania oyeee🔥🎉🎉🙌

  • @clinton6688
    @clinton6688 Před 2 lety +3

    Long live in our heart.... Our honorable president Mangufulii💯💫

  • @amiria.mustafa9859
    @amiria.mustafa9859 Před 2 lety +5

    Tanzania mpya, najivunia kuwa mmoja kati ya mafund wanaoendelea na ujenz huu🙏

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +8

    Mkapa na kikwete walituangusha sana na wizi ulikuwa mwizi sana wakati wa uongozi wao.Magufuli ametufanyia makubwa sana na kwa kipindi kifupi sana.RIP Magufuli

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 2 lety +7

    Magufuli❤️r.i.p

  • @adellahjonas7008
    @adellahjonas7008 Před 2 lety +2

    najivunia kua mtanzania kwakweli mungu wabariki viongoz wetu uwape hekima km za mfae sulemani

  • @Boss_Zenjboy_7
    @Boss_Zenjboy_7 Před 2 lety

    Jasiri aliumaliza mwendo, Jemedari Tingatinga Big up

  • @ukweli255
    @ukweli255 Před 2 lety +1

    Hongera sana kwa Walipa kodi
    Hii ni pesa ya Watanzania ndio imelala hapo..uwezo wa kufanya miladi mingi kwajili ya Watanzania upo ni swala la viongozi wetu kutambua wajibu wao na kuheshimu Mali za Umma
    Tanzania ni Tajiri ila ukosefu wa uzalendo na uwajibikaji ndio unafanya Nchi inaonekana ya ovyo

  • @edwintouches
    @edwintouches Před 2 lety +5

    Kazi nzuri, ila sasa maintainance kwa Watanzania ndo tatizo. Wazee wa Vyuma chakavu dah sijui itakuaje the next 2 years. I hope tutalitunza Jengo. Kazi nzuri, pia nimependa kuona Mdada kashika Camera hahaha! 😀👏

  • @kakabaraka1058
    @kakabaraka1058 Před 2 lety

    nimekuelewa sana jamaa unae guide tour, i can tell you're an intelligent and articulate person na hujameza tuu haya maelezo.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 2 lety +3

    Eeeeeh Tanzania hapo au🙄🙄mashallaha magu weee 😪💦

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 Před 2 lety +4

    GOD bless TANZANIA 🇹🇿

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 Před 2 lety +8

    Ulaya ndani ya Dar es salaaam waaoh wow

  • @phoncechriss
    @phoncechriss Před 2 lety

    Tadei paul ameelezea vizuri sana, huduma zikianza rasmi tujitahidi kutunza miundombinu hii idumu

  • @kubyjuma4843
    @kubyjuma4843 Před 2 lety +5

    That's Magu legacy

  • @bienvenumasali2548
    @bienvenumasali2548 Před 2 lety +1

    Nji zingine zanipa Tamara bro. Yaani yavutiya. From drc

  • @jlyimu1990
    @jlyimu1990 Před 2 lety

    Ila tulivyo hatujui kutunza after 2yrs pamechakaa very nice ..hongera Eng kwa maelezo mazur

  • @edwinemrod3933
    @edwinemrod3933 Před 2 lety +3

    Kilicho Baki ni kuitunza hii project. R.I.P Magufuli 💔

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 Před 2 lety +1

    Tutakukumbuka sana kwa mengi mazuri na heshima uliyoipa Tanzania RIP Commred Magu

  • @williammsigala6950
    @williammsigala6950 Před 2 lety +4

    Maono ya chuma kilichopita!!

  • @bryyazz8313
    @bryyazz8313 Před 2 lety +5

    Natamani huu utaratibu uwepo kama ulivyowasilishwa na ENG. Huwa tunajisahau ,maana unakuta utaratibu unafatwa kwa mwezi mmoja tu, baada ya hapo tickets zinachanwa kwa mkono kma vile ilivyo DART (mwendokasi)

    • @abdichangalima3773
      @abdichangalima3773 Před 2 lety +1

      Nafikiri waziri mkuu atalitilia manani ili yastokee ya "mwendo kasi"

  • @mudikiongozi9505
    @mudikiongozi9505 Před 2 lety

    Hongeren kwa kaz mlioifanya

  • @ibrahimayoubdhahabu984
    @ibrahimayoubdhahabu984 Před 2 lety +2

    Kazi ya Magufuli, R.I.P Mkuu JPM

  • @lande7510
    @lande7510 Před 2 lety +4

    safi 👏👏👏👏

  • @deborahjackson1059
    @deborahjackson1059 Před 2 lety +5

    Rest in peace Magufuli😭😭

  • @fadhilmtunha4070
    @fadhilmtunha4070 Před 2 lety

    Thanks ayo kwa kuonesha Mambo mhim na ya faida kwetu

  • @yusufrajabu8425
    @yusufrajabu8425 Před 2 lety +5

    Magufuli alikuwa anafanya vitu vya maana na vinaoneana, mama wa kambo😕

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Huyo unayemwita hivyo atawashangaza! Na mtabaki midomo wazi! 😂😂Tuombe uhai tu! Kazi iendelee!

  • @princemercury5824
    @princemercury5824 Před 2 lety +3

    Magufuri for life

  • @dorisimwenda6279
    @dorisimwenda6279 Před 2 lety +3

    Mungu akulaze peponi
    Magu wetu. Ona hii miradi, mtanikumbuka kwa mazuri! Alisema Magu,

    • @gloryidelya9899
      @gloryidelya9899 Před 2 lety

      Amina Dunia Nzima walimsha ngaa kiongoz Waa Ajabuu mwenye msimamo na Nchi yake 😭

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 2 lety +1

    Hongereni Tanganyika kwa maendeleo 👊👊

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Před 2 lety +5

    RIP MAGUFULI

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 2 lety +1

    Ninaomba niwapongeze Sana wale wote walio comment kwa kumpongeza marehemu Dr.Pombe Jonh Magufuli,alisema tutamkumbua kwa mazuri wala sio mabaya.kweli amekufa tumemzika lkn matendo yk yanaishi.

  • @tusaamon3216
    @tusaamon3216 Před 2 lety +2

    R. I. P Magufuli mungu akulaze mahali pema peponi mwendo ukimaliza tz tunakukumbuka kwa mengi

  • @giftmeela6250
    @giftmeela6250 Před 2 lety +1

    Hii ni mall mazee 🔥🔥🔥🙌🙌🙌

  • @gsninetz5019
    @gsninetz5019 Před 2 lety +1

    R.I.P Jpm msukuma Mwenzangu Mwendo umemaliza

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 Před 2 lety +12

    R.i.p magu umeenda baba umeenda😭😭😭😭

  • @poncan1133
    @poncan1133 Před 2 lety +3

    RIP our president MAGUFULI

  • @josephmsabila2592
    @josephmsabila2592 Před 2 lety

    Kama ulikuwa unamkubali Hayat Dk magufuli gonga like hapa tujuane

  • @wakalafundi4387
    @wakalafundi4387 Před 2 lety

    Mungu akupumzishe kwa Aman rais wawa nyonge

  • @assimmhamed1851
    @assimmhamed1851 Před 2 lety +1

    Maa shaa ALLAH

  • @princesumary7356
    @princesumary7356 Před rokem

    Machozi ya Watanzania badohayajakauka!!! Pumzika kwaamani shujaa namzalendo wakweli John Magufuli Amen!!!

  • @leonardmayunganyamfanka9623

    Daa! Mungu akutangulie Jpm aisee jaman

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Před 2 lety +1

    Hakika kazi karibu inakwisha

  • @DAMUSAFI
    @DAMUSAFI Před 2 lety +5

    VITI NAVYO MVIWEKEE PAKUJAJI SIMU KAMA UWANJA WA NDEGE ITAPENDEZA ZAIDI “hilo Ni wazo langu”

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv9620 Před 2 lety +1

    Daah ameenda kweli kuwaongoza malaika polepole.pumzika kwa AMANI DADDY

  • @jescagodwin2732
    @jescagodwin2732 Před 2 lety +1

    Asante Mungu for our Magufuli please raise him again we will receive him with 2 hands

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao Před 2 lety +1

    Jamani ni maendeleo ya mradi sio msiba … nimekuja kwa amani tu.😎

  • @raymondjeremiah5857
    @raymondjeremiah5857 Před 2 lety +3

    Magufuli hakwepeki ni km kanuni za hesabu utamuchafua weeeh mwisho utamusafisha