🅻🅸🆅🅴 : DODOMA MSHINDI URAIS TLS ANATANGAZWA MUDA HUU..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 35

  • @eunho9529
    @eunho9529 Před měsícem +2

    Ahsante Mungu kwa kujibu maombi yangu, Hajashinda MWAMBUKUSI bali imeshinda Tanganyika, TLS na Watanganyika, ahsante Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya Mwambukusi.

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 Před měsícem +2

    Hongera Wanasheria wote.,,,Hongereni Watanzania.Hongera Mwabukusi.....
    Mimi ni mmoja niliyekuwa sina imani na wasomi hawa wmawakili baada ya Tanzania kungia vyama vya siasa vingi chini ya Katiba ya chama Kimoja.
    Nadhani sasa tunaingia chapter mpya...tumikieni Watanzania kwa kadiri ya taaluma yenu. Mungu ibariki Tanznia.

  • @michaelmeela-tn4ew
    @michaelmeela-tn4ew Před měsícem

    Eeeh Mungu Baba tunakushuru Kwa kutupatia huyu mtumishi wako wa haki wakili Bonifasi Mwabukusi huyu atatupatia halo Tanganyika iliyopotea Kwa miaka zaidi ya 60 iliyopita Asante Mungu tunakuomba uturudishie Tena Tanganyika yeti Asante Raisi B M.

  • @AmyeSanga
    @AmyeSanga Před měsícem +2

    Hongera baba nilisikiliza mahojiano mpaka mnamaliza nilitamani niwe moongoni mwa wanaochagua nikaomba tuu Mungu akupe nafasi hakika imekuwa.

    • @chesconkwera2005
      @chesconkwera2005 Před měsícem

      Mm nawashsuri Mawakili Msiruhusu Mtu Kutumia TLS kama kichaka cha Uchawa Kwa watawala

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 Před měsícem +2

    Mungu kajibu maombi yangu.
    Hongera sana Rais kaka mzalendo nakupenda sana.Mungu Akutunze na Akukupa Afya njema.Ila jambo moja Usimusahau Mungu.

  • @RobertMmole
    @RobertMmole Před měsícem +1

    Hongera sana Baba Mwabukusi

  • @phiniaswandiba3130
    @phiniaswandiba3130 Před měsícem

    Ahsante mungu eebaba niliomba mungu amuchague, Mwabugusi

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 Před měsícem +1

    Nimefunga kumuomba mungu akufanyie wepesi ee mungu acha uitwe mungu

  • @PeterKisiongo
    @PeterKisiongo Před měsícem

    Ni jambo kubwa Sana Hongera sana mwabukusi

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes Před měsícem +1

    THATS THE POWER OF TRUTH❤

  • @simbasimba4361
    @simbasimba4361 Před měsícem +1

    Hongera Viongozi, Wanachama Hongereni sana TLS

  • @aminimwasha
    @aminimwasha Před měsícem +1

    Yes. Bro.mwabukusi ongera kwa ushindi. Tupo new York city. Pia nengeomba hapewe ulinzi mkubwa maana maadui ni:wengi kwake.kuanzia kazini mpaka nyumbani kwake.ok wazo binafsi.ok

  • @emmanuelalute9036
    @emmanuelalute9036 Před měsícem

    Asante sana Mungu

  • @vincentjameskinogo3405
    @vincentjameskinogo3405 Před měsícem +1

    Hongera wakili msomi Mwambukusi

  • @user-no6sg5vc5z
    @user-no6sg5vc5z Před měsícem +2

    Hongera sana

  • @sangajaffar7419
    @sangajaffar7419 Před měsícem +1

    HONGERA SANA MWABUKUSI

  • @faza4023
    @faza4023 Před měsícem

    Hongereni Jambo Tv

  • @oam14l
    @oam14l Před měsícem

    Hongera sana Mwabukusi!

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 Před měsícem +1

    Hongera sana mh rais

  • @LevisDash-yl9mb
    @LevisDash-yl9mb Před měsícem

    Bravooo mwabukusi bravoooo

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 Před měsícem +1

    Mwabukusi amejipambanua vya kutosha kama mtetezi wa utawala wa sheria ktk nchi yetu. Kwa hiyo inapendeza kwake kupata fursa ya kuiongoza taasisi hii muhimu ktk utawala wa sheria, HONGERA NYINGI

  • @brunomeela1436
    @brunomeela1436 Před měsícem

    Hongereni sana.

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 Před měsícem

    hongera sana jembe

  • @ThomasMselle-rw5ej
    @ThomasMselle-rw5ej Před měsícem +2

    Naamini uongozi wako utaleta maana halisi ya TLS Hakika maombi yamejibiwa na yote mema yanawezekana tuendako kunaashiria kuleta nuru ya haki Tanzaniania

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya4077 Před měsícem

    Hongera mheshimiwa Mwabukusi

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c Před měsícem

    Mungu Mbariki Mwabukusi tupo Congo DRC

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 Před měsícem +1

    Huyu jamaa agombee urais wa nchi kqbisa

  • @LuganoMwakalo
    @LuganoMwakalo Před měsícem +1

    Muda umeongea

  • @WilhelmPetro
    @WilhelmPetro Před měsícem

    Wa Tanzania wanaimani na TRS

  • @WilhelmPetro
    @WilhelmPetro Před měsícem

    Tls

  • @KashumbaMshanzi
    @KashumbaMshanzi Před měsícem

    Ogera mwamba

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před měsícem +1

    MAMILIONI YA WATANZANIA WANATOA PONGEZI NA HONGERA KWA CHAMA CHA MAWAKILI KWA KUMCHAGUA WAKILI MWABUKUSI KUWA RAIS WA TLS.....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.