Ahsante Mungu kwa kujibu maombi yangu, Hajashinda MWAMBUKUSI bali imeshinda Tanganyika, TLS na Watanganyika, ahsante Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya Mwambukusi.
Hongera Wanasheria wote.,,,Hongereni Watanzania.Hongera Mwabukusi..... Mimi ni mmoja niliyekuwa sina imani na wasomi hawa wmawakili baada ya Tanzania kungia vyama vya siasa vingi chini ya Katiba ya chama Kimoja. Nadhani sasa tunaingia chapter mpya...tumikieni Watanzania kwa kadiri ya taaluma yenu. Mungu ibariki Tanznia.
Eeeh Mungu Baba tunakushuru Kwa kutupatia huyu mtumishi wako wa haki wakili Bonifasi Mwabukusi huyu atatupatia halo Tanganyika iliyopotea Kwa miaka zaidi ya 60 iliyopita Asante Mungu tunakuomba uturudishie Tena Tanganyika yeti Asante Raisi B M.
Yes. Bro.mwabukusi ongera kwa ushindi. Tupo new York city. Pia nengeomba hapewe ulinzi mkubwa maana maadui ni:wengi kwake.kuanzia kazini mpaka nyumbani kwake.ok wazo binafsi.ok
Mwabukusi amejipambanua vya kutosha kama mtetezi wa utawala wa sheria ktk nchi yetu. Kwa hiyo inapendeza kwake kupata fursa ya kuiongoza taasisi hii muhimu ktk utawala wa sheria, HONGERA NYINGI
Naamini uongozi wako utaleta maana halisi ya TLS Hakika maombi yamejibiwa na yote mema yanawezekana tuendako kunaashiria kuleta nuru ya haki Tanzaniania
MAMILIONI YA WATANZANIA WANATOA PONGEZI NA HONGERA KWA CHAMA CHA MAWAKILI KWA KUMCHAGUA WAKILI MWABUKUSI KUWA RAIS WA TLS.....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.
Ahsante Mungu kwa kujibu maombi yangu, Hajashinda MWAMBUKUSI bali imeshinda Tanganyika, TLS na Watanganyika, ahsante Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya Mwambukusi.
Hongera Wanasheria wote.,,,Hongereni Watanzania.Hongera Mwabukusi.....
Mimi ni mmoja niliyekuwa sina imani na wasomi hawa wmawakili baada ya Tanzania kungia vyama vya siasa vingi chini ya Katiba ya chama Kimoja.
Nadhani sasa tunaingia chapter mpya...tumikieni Watanzania kwa kadiri ya taaluma yenu. Mungu ibariki Tanznia.
Eeeh Mungu Baba tunakushuru Kwa kutupatia huyu mtumishi wako wa haki wakili Bonifasi Mwabukusi huyu atatupatia halo Tanganyika iliyopotea Kwa miaka zaidi ya 60 iliyopita Asante Mungu tunakuomba uturudishie Tena Tanganyika yeti Asante Raisi B M.
Hongera baba nilisikiliza mahojiano mpaka mnamaliza nilitamani niwe moongoni mwa wanaochagua nikaomba tuu Mungu akupe nafasi hakika imekuwa.
Mm nawashsuri Mawakili Msiruhusu Mtu Kutumia TLS kama kichaka cha Uchawa Kwa watawala
Mungu kajibu maombi yangu.
Hongera sana Rais kaka mzalendo nakupenda sana.Mungu Akutunze na Akukupa Afya njema.Ila jambo moja Usimusahau Mungu.
Hongera sana Baba Mwabukusi
Ahsante mungu eebaba niliomba mungu amuchague, Mwabugusi
Nimefunga kumuomba mungu akufanyie wepesi ee mungu acha uitwe mungu
Ni jambo kubwa Sana Hongera sana mwabukusi
THATS THE POWER OF TRUTH❤
🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera Viongozi, Wanachama Hongereni sana TLS
Yes. Bro.mwabukusi ongera kwa ushindi. Tupo new York city. Pia nengeomba hapewe ulinzi mkubwa maana maadui ni:wengi kwake.kuanzia kazini mpaka nyumbani kwake.ok wazo binafsi.ok
Asante sana Mungu
Hongera wakili msomi Mwambukusi
Hongera sana
HONGERA SANA MWABUKUSI
Hongereni Jambo Tv
Hongera sana Mwabukusi!
Hongera sana mh rais
Bravooo mwabukusi bravoooo
Mwabukusi amejipambanua vya kutosha kama mtetezi wa utawala wa sheria ktk nchi yetu. Kwa hiyo inapendeza kwake kupata fursa ya kuiongoza taasisi hii muhimu ktk utawala wa sheria, HONGERA NYINGI
Hongereni sana.
hongera sana jembe
Naamini uongozi wako utaleta maana halisi ya TLS Hakika maombi yamejibiwa na yote mema yanawezekana tuendako kunaashiria kuleta nuru ya haki Tanzaniania
Hongera mheshimiwa Mwabukusi
Mungu Mbariki Mwabukusi tupo Congo DRC
Huyu jamaa agombee urais wa nchi kqbisa
Muda umeongea
Wa Tanzania wanaimani na TRS
Tls
Ogera mwamba
MAMILIONI YA WATANZANIA WANATOA PONGEZI NA HONGERA KWA CHAMA CHA MAWAKILI KWA KUMCHAGUA WAKILI MWABUKUSI KUWA RAIS WA TLS.....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.