Video není dostupné.
Omlouváme se.
#BREAKING
Vložit
- čas přidán 12. 08. 2024
- #BREAKING: LATRA WATANGAZA NAULI za TRENI ya MWENDOKASI - DAR HADI MORO ni ELFU 13 - SHWAAA!
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Usimamizi Usimamizi Usamamizi!!! Namwoomba mungu atusaidie tuweze KUSIMAMIA hii huduma inavyopaswa Kusimamiwa..Amen!
mabasi ya mwendokasi yametushinda, Mungu atausimamie tuweze treni.
Mtu alieshindwa kusimamia vitu vidogo atawezaje vikubwa mabasi yakushinde uweze treni
Nauli is affordable
Wawoooo! Tanzania yangu oyeeeeeee 🎉🎉🎉
Mm nakupongezeni sana sana sana ila mjipange hasa kuepuka ubadhilifu ili mradi huu usaidie nchi yetu hongeleni sana
TRAINI NZURI BEI NZURI TATIZO NI SEHEMU MBILI TU, WASIMAMIZI NA SISI ABIRIA KWENYE KUTUNZA
Waweke sheria na faini zakutunza
Thankyou
Safi sanaaa latra izo bei NJ sawia kabisa.... 🙏🙏
ONGERA NYINGI KWA JPM NA NYINGI KWA MAMA NA WATZ WOTE WANAO PENDA MAENDELEO YA NCHI
Viva MAGU alithubutu
Ulipo kosea Ulipo mtaja mama Ila ulianza vzuri😂😂😂
@@majalaworldwidemama anapiga kazi si mtu wa maneno lakini kazi inaonekana na inafanyika kimya kimya..
Bei ni rafiki safi utakaelalamika basi fanya kazi Kwa bidii utafute Hela
Kwa Kweli these are fair prices! Watanzania tutaenjoy train yetu 💕👌
Hilo litreni linaanza lini tuwahi tuanze kugogodea mapema maana isoje tupita vizazi vyetu hatujawahi pand , maana mabombadier ni ya matajiri huku mwendokas ni kwaajili yetu sisi
Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake asante sana Viongozi wetu mambo poa kwelikweli
Affordable
Nauli ni yakizalendo,shukrani kwa serekali yetu!
Hatarii
Bei rafiki sana
Mungu utisaidie wahujumu wasitokee
hongereni....nauli zinvumilika
SAF SANA SAFARI ZIANZE SAS TUMESUBIR SANA
Si ndio
Muweke na kukata tiket online kama napandia zangu moro kwenda nakutopora fresh
Very affordable
❤❤❤❤❤❤
Tunawakaribisha KIMBINYIKO,ABOOD,SHABIBY,KATARAMA na wengine wengi Mje Ifakara mpk Mahenge road iko wazi
Panda basi Hadi Moro uone karaha yake ya foleni
Watoto watakuwa wanatumwa dodoma mizigo na kurudi
😂😂😂😂
Umeshafeli tayari 😅
Ukipenda lah kama hutaki unaweza lipia na kutuma mzigo (kifurushi) aliye upande wa 2 akapokea ndani ya muda mchache
Madaraja mengine vp? Bei yake pia wekeni wazi.
Nauli ni nzuri, nadhani wengi wetu tutazimudu, ila madaraja ya juu hayo yana wenyewe, na zile EMU (mchongoko) hizo tutapanda tukishatajirika 😂😂😂😂 ILA KWA HIZI ZA KAWAIDA, BEI NI NZURI
Tanzania imeendelea
Nashangaa kichwa cha train kinaonekana pich mchongoko lakin kinacho tembea hakifanani na pocha
RIP JPM
Ni sawa tumepata usafiri mZuri lakn serikali imetupiga kwenye aina ya treni waliotuletea si ile ambayo tulikuwa tunaambiwa na kuonyeshwa
Jinsi ya kukata tiket online
Eti kunajitu linasema nauli kweli watanzania hamnashukrani😮😮😮
Kuna watu hawajawahi kusafiri, Mwanza to Dar yapo Mabasi nauli mpaka 120,000/=
Mmetaja nauli Je tozo yamizigo mf: ndugu zetu wakilosa kwakufungasha maroba yamichere au nauli tu mizigo bure
Nauli sio kubwa kuna hadi nauli ya elfu 18 hadi singida unakwama wapi
Singida 18??
Kwani wewe ni mtoto?
Apo sasa tumewapata vizur kabisa nauli lafiki sana
Nauli rafiki sana
Nauliza pugu buku buku mabehewa yatachakaa haraka mtu wa lugu dala dala kibao utaarabu utakuwa mdogo utaarabu utakuwa mdogo sana
Acha yachakae
Bona hamjasema mtoto mchanga nauri shigapi
Abood kwaheriniiiii
😂
😂😂😂
Kkkkkk
KIMBINYIKO njia ya Ifakara mpk Mahenge iko wazi
Utasikia eti treni wamepewa waraabu tena. Maana huyo mama shida kwelikweli. Kila kitu anawapa warabu. Bandari waarabu , kiwanja cha KIA warabu, misitu hekta milion tisa na ushehe , kawapa waraabu, bunga za wanyama kawapa warabu. Kila mahari wanachi wanafukunzwa kwenye aridhi zao maeneo hayo badaye wanapewa wangeni. Watanganyika tuamuke.
Kutoka Dar mpka mwanza itakuwa Elfu 90000/ kasolo kwabei hizo Mabasi yataendelea kujichukulia Point yakubeba Abilia
daaaaaaah...bei kubwa mno
Jaman Soga elf 4 natapanda maana kupita Ubungo shughuli pevu😂😂😂😂
Time vp
Yalini hii
NCHI ZA AFRICA NI NGUMU KUWA HURU BILA MSAADA WA URUSI,.NATUKILITAMBUA HILI NAKULIAMINI TUTAKUWA BEGA KWA BEGA NA URUSI KUPATA MAALIFA,NA NGUVU.
Sio kwenye treni hadi kwenye ndege kumenoga
Ratiba za safari zikoje au ni daily
Acheni lawama lazima quality ya usafiri uonekani hamuezi hamjalazimishwa pandeni mabasi
Sawa tutafika
Kwaheri mabasi, yaani bye bye
Ukitaka ufike chalinze kituo chake karibu ni wapi?
Hapo hamna kituo maana kituo cha kwanza ni pugu
Hivi kweli mtoto WA MIaka minne alipe nauli kivipi,?
Nikajua train itakuwa rahisi kuliko mabasi,kumbe ujinga tu
Kwaiyo ikifika kwenda Mwanza si itakuwa zaid ya nauli ya ndege
ndege ni sh.ngapi?
@@mduda_i Mwanza 95
Sijui ni kuite Mheshimiwa au Mhudumu unaongea mambo ya nauli usishangae nikalipa hiyo nauli uliyotagaza ukakuta mambo tofauti Mheshimiwa au Mhudumu uliyetoa tangazo hilo nakupa miezi miwili au mitatu utaniambia kuwa Mimi ni mwongo andika jina langu kwenye note book yako utakuta tangazo lako litakuwa the comedy kwetu sisi wabongo hatuna jeuri la kuheshimu hilo tangazo ulilolitoa yangu macho😮
Negative people hamkosekani🙄
Mumetuaminisha kua tren haitakua na vituo vingi njiani ispokua morogo kisha Dodoma why pugu mara kirosa?
Hii ni daraja la kawaida,yaani ordinary class kutakuwepo na express hizi zitakuwa na vituo vichache watatangaza
Kwanini Arusha mnaitenga na angali ni jiji la kitalii?
Train itafika Kila mkoa tulia kijana
Tupo kwenye mipango yakuleta kesho au kesho kutwa please
Mtavuta Bangi kwenye behewa
@@rogerabdallah439😂😂😂
Mama abduli.....
Tatzo pia mmetuletea makitu ya kishamba sanaa kitu cha mwaka 47
.
Treni itaanza kutoa huduma lini?
Mwezi wa Saba tarehe 27
Tukumbukena na Mbeya green city 🎉🎉🎉
Tupo kwenye mpango uo msijali
Njooni mpaka mbeya kwakweli mtakuwa Mme tukomboa
Mbeya yenu ni Tazara
@@edwardmwambene3748kuna tazara
naurinafuu
Jengeni mpaka mbeya
Kabisa iyende mpaka zambia uko
Sasa nitaoa dodoma mana ntakuwa natereza tu
Nauli zamabc zitashuka
Kidete 😂😂😂
Nauli ni kubwa mno, bado haijamsaidia mtanzania. Mfano Dar - Dom sh 31,000/-x2 = 62,000/-. Tulitegemea mtu atoke Dar kwenda kufanya kazi Dom na kurudi kama mataifa ya wenzetu kwetu sisi bado ni kitendawili bei hips.
Ukipanda basi unatumia masaa7 hadi 8 dom to dar, utuambie huwa unalipa sh.ngapi????
Treni unatumia masaa 3 hadi 4 sasa tueleze wewe ulitaka ulipe bei gani?
Hiv dar kilosa 18 au nimasikio yanguu
Yeah 18000
Masikio yako yamesikia vzr. Wasalimie Kimamba na Ilonga
Ntawasalimia aisee siwezi pitwa @@hassanlikwenangu8471
Nauli ni za kawaida kabisa Kazi iendelee
Nauli kubwa.,her tupande mabasi
Acha kupotosha NGOSHA, Mwanza to Dar via Bus siku inaishia njiani. Unakula vitumbua na mahindi ya zaidi au sawa na nauli uliyolipa, unafuu uko wapi?
SIKU NGAPI UNAFIKA MORO?.
Jaman nauli sawa usimamiz mnaweza?? Mnatupa Uhakika gani ? Maana yasijekuwa mambo ya mabasi ya mwendokasi , maana mwendokasi walianza hivi hivi kwa mbwembwe ila kwa Sasa hivi haifai , binafsi nina wasiwasi na hii Treni isije tukasikia limezimika njian, na sijui kuna shida gani kwenye usimamizi wa hizi kodi za wanaanchi
Yan si naul tu kuwa ni poa ila unafik mapema na hujachoka
Acheni wizi kwa watoto kwann msingeanza miaka 7 au 6
Bado nauli ni kubwa, bora tuendelee kupanda basi
Kapande huku unasubir nn?
Akili kibaba wewe
@@jumashedafaUKIONA HIVYO HUYO NI MWANACHAMA WA CHADEMA SI UNAJUA SERA YAO KUPINGA KILA KITU HATA INGEKUWA BURE BASI ANGEPINGA
@@muzneali4747 Ndio ivy na ata ingekuw kubwa ni bora hiyo cz ipo haraka na hukerekwi ndan wala kubanana, hukuna folen...yan kama una samaki wako hawaozi ushafik dodoma chap...uwaandae uwakaange huend urud nao Dar tena...hahahahah
Tunashukru sn kwa huduma mliyotuletea?Asanteni sn.lakini tunaomba mtufikiliye na sisi wenye kipato Cha chini,kwa maana kwa mtido huu mtakuwa mmetutenga wakulima na wenye kipato Cha chini!!!hatuwezi panda?maana hamjatutengea sehemu yetu, mtapanda peke yenu wafanyakazi na wafanyabiashara?maana nauli hamjaiweka rafiki,kwa wote?ili na sisi wa Hali ya chini, tuweze kupanda?Bora basi mungeweka hayo mabehewa bei tofauti ili Kila mmoja aemweze kupanda?,kusiwe na ubaguzi,kwa mwenye kipato tu?Na kwa wasiyo na kipato?wote tuweze kupanda?Mimi kwa tusiyo na kipato ningependekeza iwe sh 5000
Nauli bado iko juu,kwa Basi toka Dom hadi Dar bei 29,000 hadi 35000
Kwani laazima uingie business class
Ingia economy 18,000 tuu!! Unataka iweje tena ndugu
Nauli ya treni haiwezi kua sawa na nauli ya basi.
Ww kweli fala😅😅😅😅
Fikeni kigoma jamani
Umeona
Punguzeni uchafu kwanza 😅
@@davidanselmo4041😂😂😂😂😂😂😂
Wanapiga ela kwenye daladala huko wameweka nauli rafiki