Video není dostupné.
Omlouváme se.

#BREAKING

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 08. 2024
  • #BREAKING: LATRA WATANGAZA NAULI za TRENI ya MWENDOKASI - DAR HADI MORO ni ELFU 13 - SHWAAA!
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 142

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 2 měsíci +4

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 Před 2 měsíci +13

    Usimamizi Usimamizi Usamamizi!!! Namwoomba mungu atusaidie tuweze KUSIMAMIA hii huduma inavyopaswa Kusimamiwa..Amen!

    • @calvintemba2236
      @calvintemba2236 Před 2 měsíci +2

      mabasi ya mwendokasi yametushinda, Mungu atausimamie tuweze treni.

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu Před 2 měsíci

      Mtu alieshindwa kusimamia vitu vidogo atawezaje vikubwa mabasi yakushinde uweze treni

  • @omarymkamba3045
    @omarymkamba3045 Před 2 měsíci +15

    Nauli is affordable

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 Před 2 měsíci +7

    Wawoooo! Tanzania yangu oyeeeeeee 🎉🎉🎉

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw Před 2 měsíci +2

    Mm nakupongezeni sana sana sana ila mjipange hasa kuepuka ubadhilifu ili mradi huu usaidie nchi yetu hongeleni sana

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami5224 Před 2 měsíci +6

    TRAINI NZURI BEI NZURI TATIZO NI SEHEMU MBILI TU, WASIMAMIZI NA SISI ABIRIA KWENYE KUTUNZA

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 Před 2 měsíci +1

      Waweke sheria na faini zakutunza

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 Před 2 měsíci +1

    Thankyou

  • @JustinePatrinius
    @JustinePatrinius Před 2 měsíci +3

    Safi sanaaa latra izo bei NJ sawia kabisa.... 🙏🙏

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Před 2 měsíci +9

    ONGERA NYINGI KWA JPM NA NYINGI KWA MAMA NA WATZ WOTE WANAO PENDA MAENDELEO YA NCHI

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 Před 2 měsíci +2

    Bei ni rafiki safi utakaelalamika basi fanya kazi Kwa bidii utafute Hela

  • @ladytanzania6595
    @ladytanzania6595 Před 2 měsíci +2

    Kwa Kweli these are fair prices! Watanzania tutaenjoy train yetu 💕👌

  • @charleskibiki217
    @charleskibiki217 Před 2 měsíci +4

    Hilo litreni linaanza lini tuwahi tuanze kugogodea mapema maana isoje tupita vizazi vyetu hatujawahi pand , maana mabombadier ni ya matajiri huku mwendokas ni kwaajili yetu sisi

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 Před 2 měsíci

    Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake asante sana Viongozi wetu mambo poa kwelikweli

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 Před 2 měsíci +8

    Affordable

  • @husseinhamisimwindadi2211
    @husseinhamisimwindadi2211 Před 2 měsíci +2

    Nauli ni yakizalendo,shukrani kwa serekali yetu!

  • @RamadhaniWaziri-ut9ti
    @RamadhaniWaziri-ut9ti Před 2 měsíci +1

    Hatarii

  • @YugoAlly
    @YugoAlly Před 2 měsíci +1

    Bei rafiki sana

  • @user-nf9cc1hi1t
    @user-nf9cc1hi1t Před 2 měsíci +1

    Mungu utisaidie wahujumu wasitokee

  • @jovinrwambari9517
    @jovinrwambari9517 Před 2 měsíci +2

    hongereni....nauli zinvumilika

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 2 měsíci +7

    SAF SANA SAFARI ZIANZE SAS TUMESUBIR SANA

  • @stevenchawala5316
    @stevenchawala5316 Před 2 měsíci +3

    Muweke na kukata tiket online kama napandia zangu moro kwenda nakutopora fresh

  • @mamodelmam
    @mamodelmam Před 2 měsíci +1

    Very affordable

  • @khadijashabani5509
    @khadijashabani5509 Před měsícem

    ❤❤❤❤❤❤

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 Před 2 měsíci +1

    Tunawakaribisha KIMBINYIKO,ABOOD,SHABIBY,KATARAMA na wengine wengi Mje Ifakara mpk Mahenge road iko wazi

  • @ombenikweka7222
    @ombenikweka7222 Před 2 měsíci +3

    Panda basi Hadi Moro uone karaha yake ya foleni

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei Před 2 měsíci +6

    Watoto watakuwa wanatumwa dodoma mizigo na kurudi

    • @ladytanzania6595
      @ladytanzania6595 Před 2 měsíci

      😂😂😂😂

    • @davidanselmo4041
      @davidanselmo4041 Před 2 měsíci

      Umeshafeli tayari 😅

    • @Assu89Ma2ly-xt4np
      @Assu89Ma2ly-xt4np Před 2 měsíci +1

      Ukipenda lah kama hutaki unaweza lipia na kutuma mzigo (kifurushi) aliye upande wa 2 akapokea ndani ya muda mchache

  • @latifalayla9990
    @latifalayla9990 Před 2 měsíci +3

    Madaraja mengine vp? Bei yake pia wekeni wazi.

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 Před 2 měsíci +1

    Nauli ni nzuri, nadhani wengi wetu tutazimudu, ila madaraja ya juu hayo yana wenyewe, na zile EMU (mchongoko) hizo tutapanda tukishatajirika 😂😂😂😂 ILA KWA HIZI ZA KAWAIDA, BEI NI NZURI

  • @user-sk3hg5by5c
    @user-sk3hg5by5c Před měsícem

    Tanzania imeendelea

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 Před měsícem

    Nashangaa kichwa cha train kinaonekana pich mchongoko lakin kinacho tembea hakifanani na pocha

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem

    RIP JPM

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Před měsícem

    Ni sawa tumepata usafiri mZuri lakn serikali imetupiga kwenye aina ya treni waliotuletea si ile ambayo tulikuwa tunaambiwa na kuonyeshwa

  • @user-oh3cn2bi5l
    @user-oh3cn2bi5l Před měsícem

    Jinsi ya kukata tiket online

  • @nissanmarch656
    @nissanmarch656 Před 2 měsíci +2

    Eti kunajitu linasema nauli kweli watanzania hamnashukrani😮😮😮

    • @hassanlikwenangu8471
      @hassanlikwenangu8471 Před 2 měsíci

      Kuna watu hawajawahi kusafiri, Mwanza to Dar yapo Mabasi nauli mpaka 120,000/=

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 Před 2 měsíci +1

    Mmetaja nauli Je tozo yamizigo mf: ndugu zetu wakilosa kwakufungasha maroba yamichere au nauli tu mizigo bure

  • @ombenikweka7222
    @ombenikweka7222 Před 2 měsíci +2

    Nauli sio kubwa kuna hadi nauli ya elfu 18 hadi singida unakwama wapi

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl Před 2 měsíci +1

    Apo sasa tumewapata vizur kabisa nauli lafiki sana

  • @JustinMwashilindi
    @JustinMwashilindi Před 2 měsíci

    Nauli rafiki sana

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 Před 2 měsíci +2

    Nauliza pugu buku buku mabehewa yatachakaa haraka mtu wa lugu dala dala kibao utaarabu utakuwa mdogo utaarabu utakuwa mdogo sana

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před měsícem

    Bona hamjasema mtoto mchanga nauri shigapi

  • @babajay3445
    @babajay3445 Před 2 měsíci +3

    Abood kwaheriniiiii

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 2 měsíci +1

    Utasikia eti treni wamepewa waraabu tena. Maana huyo mama shida kwelikweli. Kila kitu anawapa warabu. Bandari waarabu , kiwanja cha KIA warabu, misitu hekta milion tisa na ushehe , kawapa waraabu, bunga za wanyama kawapa warabu. Kila mahari wanachi wanafukunzwa kwenye aridhi zao maeneo hayo badaye wanapewa wangeni. Watanganyika tuamuke.

  • @benedictodaniel1842
    @benedictodaniel1842 Před měsícem

    Kutoka Dar mpka mwanza itakuwa Elfu 90000/ kasolo kwabei hizo Mabasi yataendelea kujichukulia Point yakubeba Abilia

  • @jesuslivegospel-sb7yd
    @jesuslivegospel-sb7yd Před 2 měsíci

    daaaaaaah...bei kubwa mno

  • @Official83640
    @Official83640 Před 2 měsíci

    Jaman Soga elf 4 natapanda maana kupita Ubungo shughuli pevu😂😂😂😂

  • @stapinuswilliam860
    @stapinuswilliam860 Před 2 měsíci

    Time vp

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 Před 2 měsíci

    Yalini hii

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze9776 Před měsícem

    NCHI ZA AFRICA NI NGUMU KUWA HURU BILA MSAADA WA URUSI,.NATUKILITAMBUA HILI NAKULIAMINI TUTAKUWA BEGA KWA BEGA NA URUSI KUPATA MAALIFA,NA NGUVU.

  • @user-ms2kf3mf3q
    @user-ms2kf3mf3q Před 2 měsíci

    Sio kwenye treni hadi kwenye ndege kumenoga

  • @ibrahimsaid133
    @ibrahimsaid133 Před 2 měsíci

    Ratiba za safari zikoje au ni daily

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 2 měsíci +3

    Acheni lawama lazima quality ya usafiri uonekani hamuezi hamjalazimishwa pandeni mabasi

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 Před měsícem

    Sawa tutafika

  • @suleysafari798
    @suleysafari798 Před 2 měsíci +1

    Kwaheri mabasi, yaani bye bye

  • @ombenikweka7222
    @ombenikweka7222 Před 2 měsíci

    Ukitaka ufike chalinze kituo chake karibu ni wapi?

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 Před 2 měsíci

      Hapo hamna kituo maana kituo cha kwanza ni pugu

  • @user-nl9xe5bu1x
    @user-nl9xe5bu1x Před měsícem

    Hivi kweli mtoto WA MIaka minne alipe nauli kivipi,?

  • @mpegesaaswile6581
    @mpegesaaswile6581 Před 2 měsíci

    Nikajua train itakuwa rahisi kuliko mabasi,kumbe ujinga tu

  • @NammanaMobile
    @NammanaMobile Před 2 měsíci

    Kwaiyo ikifika kwenda Mwanza si itakuwa zaid ya nauli ya ndege

  • @user-hv7pw6ih5v
    @user-hv7pw6ih5v Před 2 měsíci

    Sijui ni kuite Mheshimiwa au Mhudumu unaongea mambo ya nauli usishangae nikalipa hiyo nauli uliyotagaza ukakuta mambo tofauti Mheshimiwa au Mhudumu uliyetoa tangazo hilo nakupa miezi miwili au mitatu utaniambia kuwa Mimi ni mwongo andika jina langu kwenye note book yako utakuta tangazo lako litakuwa the comedy kwetu sisi wabongo hatuna jeuri la kuheshimu hilo tangazo ulilolitoa yangu macho😮

  • @Jemesipiter
    @Jemesipiter Před 2 měsíci

    Mumetuaminisha kua tren haitakua na vituo vingi njiani ispokua morogo kisha Dodoma why pugu mara kirosa?

    • @nasibusaid4161
      @nasibusaid4161 Před 2 měsíci

      Hii ni daraja la kawaida,yaani ordinary class kutakuwepo na express hizi zitakuwa na vituo vichache watatangaza

  • @emmanuelaloyce932
    @emmanuelaloyce932 Před 2 měsíci +2

    Kwanini Arusha mnaitenga na angali ni jiji la kitalii?

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 Před 2 měsíci

    Tatzo pia mmetuletea makitu ya kishamba sanaa kitu cha mwaka 47

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 Před 2 měsíci

    .

  • @ProudNative
    @ProudNative Před 2 měsíci

    Treni itaanza kutoa huduma lini?

  • @J_Jeromy
    @J_Jeromy Před 2 měsíci +1

    Tukumbukena na Mbeya green city 🎉🎉🎉

  • @Masudi-pc7yp
    @Masudi-pc7yp Před 2 měsíci

    naurinafuu

  • @josegambi7149
    @josegambi7149 Před 2 měsíci

    Jengeni mpaka mbeya

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 Před 2 měsíci

    Sasa nitaoa dodoma mana ntakuwa natereza tu

  • @user-ub3xh7ug6c
    @user-ub3xh7ug6c Před 2 měsíci

    Nauli zamabc zitashuka

  • @user-vt3uq3xv3s
    @user-vt3uq3xv3s Před 2 měsíci

    Kidete 😂😂😂

  • @joramkishaluli9277
    @joramkishaluli9277 Před 2 měsíci

    Nauli ni kubwa mno, bado haijamsaidia mtanzania. Mfano Dar - Dom sh 31,000/-x2 = 62,000/-. Tulitegemea mtu atoke Dar kwenda kufanya kazi Dom na kurudi kama mataifa ya wenzetu kwetu sisi bado ni kitendawili bei hips.

    • @mduda_i
      @mduda_i Před 2 měsíci

      Ukipanda basi unatumia masaa7 hadi 8 dom to dar, utuambie huwa unalipa sh.ngapi????
      Treni unatumia masaa 3 hadi 4 sasa tueleze wewe ulitaka ulipe bei gani?

  • @aishamsemwa-zu3eo
    @aishamsemwa-zu3eo Před 2 měsíci

    Hiv dar kilosa 18 au nimasikio yanguu

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 Před 2 měsíci +3

    Nauli ni za kawaida kabisa Kazi iendelee

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t Před 2 měsíci

    Nauli kubwa.,her tupande mabasi

    • @hassanlikwenangu8471
      @hassanlikwenangu8471 Před 2 měsíci

      Acha kupotosha NGOSHA, Mwanza to Dar via Bus siku inaishia njiani. Unakula vitumbua na mahindi ya zaidi au sawa na nauli uliyolipa, unafuu uko wapi?

  • @swahibal-karama145
    @swahibal-karama145 Před 2 měsíci

    SIKU NGAPI UNAFIKA MORO?.

  • @kamazima11
    @kamazima11 Před 2 měsíci +1

    Jaman nauli sawa usimamiz mnaweza?? Mnatupa Uhakika gani ? Maana yasijekuwa mambo ya mabasi ya mwendokasi , maana mwendokasi walianza hivi hivi kwa mbwembwe ila kwa Sasa hivi haifai , binafsi nina wasiwasi na hii Treni isije tukasikia limezimika njian, na sijui kuna shida gani kwenye usimamizi wa hizi kodi za wanaanchi

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před 2 měsíci +1

    Yan si naul tu kuwa ni poa ila unafik mapema na hujachoka

  • @Official83640
    @Official83640 Před 2 měsíci

    Acheni wizi kwa watoto kwann msingeanza miaka 7 au 6

  • @pastorpetermageta6833
    @pastorpetermageta6833 Před 2 měsíci +1

    Bado nauli ni kubwa, bora tuendelee kupanda basi

    • @jumashedafa
      @jumashedafa Před 2 měsíci +1

      Kapande huku unasubir nn?

    • @AishaJanuary
      @AishaJanuary Před 2 měsíci +1

      Akili kibaba wewe

    • @muzneali4747
      @muzneali4747 Před 2 měsíci +4

      ​@@jumashedafaUKIONA HIVYO HUYO NI MWANACHAMA WA CHADEMA SI UNAJUA SERA YAO KUPINGA KILA KITU HATA INGEKUWA BURE BASI ANGEPINGA

    • @jumashedafa
      @jumashedafa Před 2 měsíci +2

      @@muzneali4747 Ndio ivy na ata ingekuw kubwa ni bora hiyo cz ipo haraka na hukerekwi ndan wala kubanana, hukuna folen...yan kama una samaki wako hawaozi ushafik dodoma chap...uwaandae uwakaange huend urud nao Dar tena...hahahahah

    • @user-zj4ii6uf7t
      @user-zj4ii6uf7t Před 2 měsíci +1

      Tunashukru sn kwa huduma mliyotuletea?Asanteni sn.lakini tunaomba mtufikiliye na sisi wenye kipato Cha chini,kwa maana kwa mtido huu mtakuwa mmetutenga wakulima na wenye kipato Cha chini!!!hatuwezi panda?maana hamjatutengea sehemu yetu, mtapanda peke yenu wafanyakazi na wafanyabiashara?maana nauli hamjaiweka rafiki,kwa wote?ili na sisi wa Hali ya chini, tuweze kupanda?Bora basi mungeweka hayo mabehewa bei tofauti ili Kila mmoja aemweze kupanda?,kusiwe na ubaguzi,kwa mwenye kipato tu?Na kwa wasiyo na kipato?wote tuweze kupanda?Mimi kwa tusiyo na kipato ningependekeza iwe sh 5000

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Před 2 měsíci

    Nauli bado iko juu,kwa Basi toka Dom hadi Dar bei 29,000 hadi 35000

    • @konshazikonsha6180
      @konshazikonsha6180 Před 2 měsíci

      Kwani laazima uingie business class
      Ingia economy 18,000 tuu!! Unataka iweje tena ndugu

    • @kemmymugele350
      @kemmymugele350 Před 2 měsíci

      Nauli ya treni haiwezi kua sawa na nauli ya basi.

    • @user-cn9br7en7w
      @user-cn9br7en7w Před 2 měsíci

      Ww kweli fala😅😅😅😅

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 2 měsíci

    Fikeni kigoma jamani

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Před 2 měsíci

    Wanapiga ela kwenye daladala huko wameweka nauli rafiki