Kanuni Za Kuwa Na Furaha Siku Zote: 40/10/50

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 8. 04. 2018
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 146

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 Pƙed 5 lety +61

    huyu ni mwalimu wa uhakika sana kama umemkubali gonga lake hapa

  • @saidirajabu5182
    @saidirajabu5182 Pƙed 5 lety +7

    Sijutii kuijua akaunt yako big u

  • @djumaassu1982
    @djumaassu1982 Pƙed 2 měsĂ­ci

    Asante saana,Kaka Joël,nimejifunza mengi kupitia somo hili.
    Mwenyezi Mungu akuzidishie uhai,uendelee kutuelimisha.

  • @omaryshafii50
    @omaryshafii50 Pƙed 5 lety +49

    Mimi furaha yangu ni kumsikiliza Mwalimu J Nanauka.. Kama na wewe ulikuwa huna furaha nadhani umepata mtu sahihi wa kukupa matumain kwa kuwa anamahusiano na Mungu gonga like hapa

  • @vailetmapunda106
    @vailetmapunda106 Pƙed 5 lety +2

    Dahh we kaka ubarikiwe sana jmn!ohoo lord mpe maisha marefu kaka joel.

  • @petermasong9052
    @petermasong9052 Pƙed 5 lety +1

    Mungu akuongezee maisha marefu...bado tunamengi tunahitaji kujifunza kutoka kwako....Joel Nanauka

  • @esterlyatuu9263
    @esterlyatuu9263 Pƙed 6 lety +6

    Nanauka anasema ukwel Mungu azidi kukuinua kaka somo zur sana

  • @stephanogabriel2526
    @stephanogabriel2526 Pƙed 6 lety +5

    Darasa nzuri sana.
    God blessing you Brother Joel nanauka

  • @annaupendo4768
    @annaupendo4768 Pƙed 6 lety +12

    katika maisha usiruhusu furaha yako ikashikiliwa na watu wengineđŸ’Șnimekuelewa bro

  • @az888vietnam
    @az888vietnam Pƙed 3 lety +1

    Asante kaka Joel kwa speech zako maana zinanijenga na kunitia moyo sikati tamaa nakaza mwendo nasonga mbele kila nikusikilizapo

  • @velurakawiche5338
    @velurakawiche5338 Pƙed 2 měsĂ­ci

    Yaan hili somo ni la viwango vya juuu daaah be blessed baba

  • @salareu4763
    @salareu4763 Pƙed 5 lety +7

    Asantr mwalimu Joel ,,,ila kuna watu wanakwaza sana duniani,,unaweza kuwa na amani zako ghafla MTU anakutumia hata SMS kesha kupotezea amani yani Mungu atusaidie kwa kweli,,,,

  • @florachanga6983
    @florachanga6983 Pƙed 5 lety +3

    Nashukuru nimeweza kukufuatilia Asante mungu

  • @gregorymmasi3442
    @gregorymmasi3442 Pƙed 5 lety +3

    Hiyo Genetic Sensitivity nimeielewa mnoooo@ Tanzania watu wengi wamekua hawana raha sababu ya mambo yafuatayo; Ugumu wa maisha, Magonjwa mbalimbali, kukosekana kwa wanapsychologia nk

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Pƙed 4 lety +1

    Namshukur pita,amenifanya kuwa jasiri,Mungu atakulipa

  • @estertuyahole6799
    @estertuyahole6799 Pƙed 2 lety

    umenifurahisha sana juu ya hilo Mungu akubariki uendelee kunibariki zaisiđŸ„°đŸ’žđŸ’•

  • @honestmushi9461
    @honestmushi9461 Pƙed 6 lety +2

    Nimeanza kukufuatilia Mr Joel Nanauka nahisi mabadiliko na Luna uwezekano wa kufika mbali.Mungu atutie nguvu

  • @anastasiamainaministries2700

    Wow.
    Thanks Joel..i thank God i found you uve changed my life be blessed...Kenya is following

  • @kizajacqueline8583
    @kizajacqueline8583 Pƙed rokem

    Baba mungu mungu akubariki sana 🙏

  • @suzanemwambe6320
    @suzanemwambe6320 Pƙed rokem

    Asante kaka yangu,mimi najifunza vingi kutoka kwako,ninapona tu,Mungu wa mbinguni akupe mafunuo mapya kila siku.

  • @racheljosephat3463
    @racheljosephat3463 Pƙed 3 lety +1

    Unanipa nguvu sana thanks for that

  • @ellybrown8899
    @ellybrown8899 Pƙed 6 lety +2

    Kweli,kwenye amani na utulivu,mmh!asilimia ya watu wengi hakuna amani ndani ya mioyo, wala utulivu,ni kwa nje tu.Asante kwa somo zuri.Barikiwa!

  • @fatumatandika5849
    @fatumatandika5849 Pƙed 2 lety

    Yaani uko vizuri saana

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz Pƙed 6 lety +6

    Nina hasira sana kumbe haifai , mungu nisaidie ipoteee hasira inanikosesha Amani.

  • @frankamosi7413
    @frankamosi7413 Pƙed 2 lety

    Ujumbe mzur Sana...MUNGU akutunze

  • @mobilesolution2413
    @mobilesolution2413 Pƙed 6 lety +2

    kaka joel ubarikiwe sana unatutengeneza kimwili na kiroho mafundisho yko.ubarikiwe sana

  • @shamilaomar3724
    @shamilaomar3724 Pƙed 6 lety +9

    mashaallah nimeipenda hii nanimejifunza mengi asante my kk

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety

      Shamila Omar karibu sana ahsante kwa kutembelea channel yetu

    • @shamilaomar3724
      @shamilaomar3724 Pƙed 6 lety

      +Joel Nanauka pamoja ndugu daima lnshaallah

    • @fofomohammed6253
      @fofomohammed6253 Pƙed 6 lety

      Shamila Omar Mimi pia

    • @deusjohn1107
      @deusjohn1107 Pƙed 4 lety

      Nimejifunza pale ulifyosema mazingira ukiwa na mazingira mazury unaweza ukawa na furaha zaidi

  • @ednaednamillanzinia2826
    @ednaednamillanzinia2826 Pƙed rokem

    Asante nimefaidika,ubarikiwe

  • @fofomohammed6253
    @fofomohammed6253 Pƙed 6 lety +2

    Asante Sana Kaka nimejifunza mengi God bless you

  • @ramaabuu1958
    @ramaabuu1958 Pƙed 5 lety +1

    Raha sana kukusikiliza!!!

  • @lilydickson740
    @lilydickson740 Pƙed 3 lety

    Upo sahihi sana kaka

  • @paulociza5601
    @paulociza5601 Pƙed 3 lety

    Ubarikiwe saaaaaa nitumie nambo za whasp

  • @gudanemma1459
    @gudanemma1459 Pƙed rokem

    Napenda Sana kufatilia mafunzo yako yananipa ujasiri na nguvu mpya

  • @mwanamkasihabibu9915
    @mwanamkasihabibu9915 Pƙed 5 lety +2

    shukran kwa somo Kaka mungu akujalie afya uelmshe na vzaz vyetu

  • @ericsaul4186
    @ericsaul4186 Pƙed 6 lety +4

    God bless you and your family Joel, somo zuri sana gratitude, social support, Spiritual attachment ni vitu muhimu ingawa majority hawafuatili. Siku yangu nimeanza vizuri sana leo# Blessings

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety +2

      Eric Saul ahsante kwa mrejesho na hongera kwa kusikiliza

  • @saidbaiya9524
    @saidbaiya9524 Pƙed 5 lety +1

    Mashallah brother

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w Pƙed měsĂ­cem

    Thanks Joel

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Pƙed rokem

    Ubarikiwe

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 Pƙed 3 lety

    Eeeh tena Jaman

  • @deuslongino4918
    @deuslongino4918 Pƙed 6 lety +2

    kaka Joel asante kwa kutupa mwanga amina sans

  • @vinceh8120
    @vinceh8120 Pƙed 2 lety

    Shukran kaka Joel Kwa SoMo la maisha ju ya furaha

  • @alihassanhaiba6937
    @alihassanhaiba6937 Pƙed 5 lety +1

    Ahsante sana kaka Joel nimejifunza mengi

  • @johnluhwa8342
    @johnluhwa8342 Pƙed 6 lety +1

    Asante broh unatufahamisha vtu vingi sana, ubarikiwe na Mngu aendelee kukupa upeo mkubwa zaid

  • @saidirajabu5182
    @saidirajabu5182 Pƙed 5 lety +1

    Mungu akubariki sana

  • @nereaigogo4442
    @nereaigogo4442 Pƙed 6 lety +3

    Wewe ni level nyingine kabisa
    21:30' nimeielewa sanaa

  • @albinoentreprises2176
    @albinoentreprises2176 Pƙed 5 lety +4

    UKO TOFAUTI NA WATZ WENGI WANAOJIFANYA PUBLIC SPEAKERS. UNASOMA SANA VITABU INAMAANA UGENIUS WAKO WA DARASANI UNAKUSAIDIA. UTAFIKA MBALI SANA. HONGERA

  • @jorumzacharia352
    @jorumzacharia352 Pƙed 5 lety +1

    Hongera kaka kwa mafunzo mazuri mungu akubariki

  • @professorjoma2364
    @professorjoma2364 Pƙed 6 lety +2

    Nanauka ni msomaji mzury sana wa vitabu love you brother

    • @user-qs9rn2je4c
      @user-qs9rn2je4c Pƙed 6 lety

      asante sana kaka ama kwel najifuza mambo mhimu mengi ubarikiwe sanaaaaaaaa

  • @azizahasani4614
    @azizahasani4614 Pƙed 6 lety +4

    MASHAA ALLAH

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 Pƙed 6 lety +1

    Asante sana kwa somo maana kuna mambo yamenigusa sana na especially hiyo genetic sensitivity

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Pƙed 5 lety +4

    we become what we think about.

  • @rafaelmwanyila33
    @rafaelmwanyila33 Pƙed 5 lety +1

    Uko vyema sanaaa mkuu,nayakubali sanaa mafunzo yakoooo

  • @denisdidas5090
    @denisdidas5090 Pƙed 3 lety

    Thks broo

  • @kindyuba8140
    @kindyuba8140 Pƙed 5 lety +1

    Asante xana kaka yangu kwa kutoelimisha

  • @damiankimaro8919
    @damiankimaro8919 Pƙed 2 lety

    I'll make TANZANIAN people Happy

  • @mossyahmada8430
    @mossyahmada8430 Pƙed 6 lety +6

    Kaka Mungu akuzidishie uwezo ulionao

  • @zarunaamwanajimba1950
    @zarunaamwanajimba1950 Pƙed 6 lety +1

    Nimejifunza kitu kaka barikiwa sana

  • @enockmpagike3012
    @enockmpagike3012 Pƙed 5 lety +1

    Ahsante sana bro

  • @user-gy1lb9fo2b
    @user-gy1lb9fo2b Pƙed 9 měsĂ­ci

    Thanks

  • @subiraomar4771
    @subiraomar4771 Pƙed 5 lety +1

    Asante sana kwa kutujuza

  • @eastboy1331
    @eastboy1331 Pƙed 2 lety

    Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hili

  • @stelafrancisshenkunde9045

    Huuu ukweli

  • @vinceh8120
    @vinceh8120 Pƙed 2 lety

    Ni kweri ulivyo taja ugomvi wakati wa ujauzito ujangia sana

  • @theaficanone6894
    @theaficanone6894 Pƙed 6 lety +1

    ubarikiwe sana bro napenda kukufatilia sana

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz Pƙed 6 lety +1

    Unaeleweka sana Kaka unamafunzo mazuri

  • @estersijaona403
    @estersijaona403 Pƙed 5 lety +3

    napenda sana kaka unachofanya and i really appreciate xo much and one thing 4m napenda kufanya ki2chatofaut bt inform of ur style.

  • @norbertsam5430
    @norbertsam5430 Pƙed 5 lety +2

    Genius

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Pƙed 3 lety

    I like you Br Joel Nanauka.....Noted!!

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Pƙed 3 lety

    Kweli kabisaa yaani ukiwa na kitu moyoni inaathiri sana na inaumiza kwelikwelii asaa... Na ukijaribu kumwambia mtu hua unajiona kama umeshusha mzigo...

  • @cresensiandimbo4195
    @cresensiandimbo4195 Pƙed 5 lety +5

    Daaa kweli ulikuwa unailasababu ya kuwa TO,upeo wako mkubwa sana bro.

  • @ezrommkambati2948
    @ezrommkambati2948 Pƙed 5 lety +1

    Ni kweli kaka, hata mimi sina furaha kwa sababu ya kile ninachokiishi siyo passion yangu!

  • @kassimngakonda4748
    @kassimngakonda4748 Pƙed 6 lety +1

    thnks so much bro,nmekupata vzr sn.

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 Pƙed 3 lety

    Nimekuelewa sana baba

  • @danielmollel2513
    @danielmollel2513 Pƙed 6 lety +2

    Kaka umefanyika msaada mkubwa kwene maisha yangu. kila nikikusikiliza napata nguvu mpya. Isipokuwa kutafuta aman kwa mtu ni ngumu, inakua iv, ukiwa umetofautiana na mwezi au wakwe hanakuwa na chokochoko zisizoisha. leo uko nao vzr kesho ina kuwa shida. ulosema yote yanawezekana, isipokuwa iyo point moja ni ttz kubwa

  • @neemaeppah2992
    @neemaeppah2992 Pƙed 3 lety

    Aisee somo zuri sana sanaaaa tuu

  • @anjelakisoka4140
    @anjelakisoka4140 Pƙed 3 lety

    Mimi sinaga furaha kabsa

  • @joeljoseph1124
    @joeljoseph1124 Pƙed 5 lety +2

    Mwl Joel umenifanya nijijue furaha yangu nitanzaa kuimiliki mwenyewe

  • @stephenshimwela2140
    @stephenshimwela2140 Pƙed 6 lety +1

    Ahsnte bro upo vzr!

  • @nakijwamoses1002
    @nakijwamoses1002 Pƙed 28 dny

    Umenifanya nijione wasamani sana

  • @geniusmruma651
    @geniusmruma651 Pƙed 3 lety

    💯💯💯

  • @aishajeshemtengea9884
    @aishajeshemtengea9884 Pƙed 6 lety +1

    Nice kaka

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 Pƙed 6 lety +2

    You're absolutely right sir...thanks

  • @rubengerald4535
    @rubengerald4535 Pƙed 6 lety +4

    Your great bro.. I feel so proud for you

  • @zakiakhatib8254
    @zakiakhatib8254 Pƙed 6 lety

    Ahhhh... Joel nanauka ww nikichwa shukran sana

  • @paulociza5601
    @paulociza5601 Pƙed 3 lety +1

    Leo nimesikikiza mafundisho zako nyingi ila hii umenibariki sanaaa

  • @gloryomary8481
    @gloryomary8481 Pƙed 5 lety +2

    Ubarikiwe sana

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Pƙed 3 lety

    Bless you always Ameen

  • @assamwakasanga3570
    @assamwakasanga3570 Pƙed 6 lety +1

    Thank you so much Mr jeol Arthur nanauka

    • @assamwakasanga3570
      @assamwakasanga3570 Pƙed 6 lety

      Ninahitaji kitabu cha kughailisha mambo kak Joel nanauka Niko mbey.....

    • @maselekwiligwa3850
      @maselekwiligwa3850 Pƙed 5 lety

      Tangu mwaka Jana nilianza kukufuatilia kwenye CZcams na Facebook page Yako.nimefanya mambo makubwa sana ikiwemo kuondokana na stresses, madeni mabaya, nimekuwa na ratiba ya kununua vitabu na kuvisoma, Kupanga malengo na kuyaishi,kepukana n.a. vitu vinavyopoteza muda,Kununua Assets badala ya liability, Kuipenda kazi na kufanya kazi yenye passion Yako.Naomba orodha ya vitabu unavyosoma ili nivipate .

    • @naomyerasto1305
      @naomyerasto1305 Pƙed 4 lety

      Mungu aendelee kukutunza my kaka,kwa somo hilo mi naendelea kuimarisha furaha yangu

  • @godnesskwayu4959
    @godnesskwayu4959 Pƙed 5 lety +1

    Nimefurah sana kaka sikuwa nakujua ila taangia jana nimejikuta nafurahia kuangalia video zako

  • @barakajulius7147
    @barakajulius7147 Pƙed 5 lety +1

    Axnte kwa kunfndsha,

  • @ellybrown8899
    @ellybrown8899 Pƙed 6 lety +2

    Yes!I am the CEO of my life!

  • @jonaskanyelele274
    @jonaskanyelele274 Pƙed 5 lety

    Kaka mungu azidi kukubariki

  • @abdialasow62
    @abdialasow62 Pƙed 5 lety +1

    Hiyo ya pili ndio inankosesha . Kufanya nisichokipenda japo kinakipato

  • @pauloropian8116
    @pauloropian8116 Pƙed 4 lety

    Right thanks

  • @mwanaharusialifakifaki8716
    @mwanaharusialifakifaki8716 Pƙed 5 lety +1

    Mm nimtu ambae nakufatilia mno maana huenda nkawa mm si mtu mzuri kwa baadhi ya watu ila sina dhambi ,wala sijafanya baya duniani lolote .ila sina furaha nataka furaha wakati wote mm binafsi sipendi kuwa sina furaha

  • @zubedakaluli6638
    @zubedakaluli6638 Pƙed 4 lety

    Ubarikiwe Kaka ww ni zaidi ya daktar maana Hakuna ugonjwa mkubwa Kama kukosa furaha

  • @faidaruzamuka6997
    @faidaruzamuka6997 Pƙed 3 lety

    Merci

  • @barikinihataringira5113
    @barikinihataringira5113 Pƙed 6 lety +1

    Nimekuelewa an bro

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Pƙed 3 lety

    Jamani tumejiharibia mambo mengi kwa hiyo 40%

  • @khadijabakosa2286
    @khadijabakosa2286 Pƙed 3 lety

    JOEL..Umekuwa Mwl mzuri kwenye Maisha yangu...umenipa ujasir kwa kupitia mafundisho yako...Nahitaji kujua ratiba yako ya Seminal live...Nahitaji kuhudhuria seminal zako live...