Mimi furaha yangu ni kumsikiliza Mwalimu J Nanauka.. Kama na wewe ulikuwa huna furaha nadhani umepata mtu sahihi wa kukupa matumain kwa kuwa anamahusiano na Mungu gonga like hapa
Asantr mwalimu Joel ,,,ila kuna watu wanakwaza sana duniani,,unaweza kuwa na amani zako ghafla MTU anakutumia hata SMS kesha kupotezea amani yani Mungu atusaidie kwa kweli,,,,
Hiyo Genetic Sensitivity nimeielewa mnoooo@ Tanzania watu wengi wamekua hawana raha sababu ya mambo yafuatayo; Ugumu wa maisha, Magonjwa mbalimbali, kukosekana kwa wanapsychologia nk
God bless you and your family Joel, somo zuri sana gratitude, social support, Spiritual attachment ni vitu muhimu ingawa majority hawafuatili. Siku yangu nimeanza vizuri sana leo# Blessings
Kweli kabisaa yaani ukiwa na kitu moyoni inaathiri sana na inaumiza kwelikwelii asaa... Na ukijaribu kumwambia mtu hua unajiona kama umeshusha mzigo...
Kaka umefanyika msaada mkubwa kwene maisha yangu. kila nikikusikiliza napata nguvu mpya. Isipokuwa kutafuta aman kwa mtu ni ngumu, inakua iv, ukiwa umetofautiana na mwezi au wakwe hanakuwa na chokochoko zisizoisha. leo uko nao vzr kesho ina kuwa shida. ulosema yote yanawezekana, isipokuwa iyo point moja ni ttz kubwa
Tangu mwaka Jana nilianza kukufuatilia kwenye CZcams na Facebook page Yako.nimefanya mambo makubwa sana ikiwemo kuondokana na stresses, madeni mabaya, nimekuwa na ratiba ya kununua vitabu na kuvisoma, Kupanga malengo na kuyaishi,kepukana n.a. vitu vinavyopoteza muda,Kununua Assets badala ya liability, Kuipenda kazi na kufanya kazi yenye passion Yako.Naomba orodha ya vitabu unavyosoma ili nivipate .
Mm nimtu ambae nakufatilia mno maana huenda nkawa mm si mtu mzuri kwa baadhi ya watu ila sina dhambi ,wala sijafanya baya duniani lolote .ila sina furaha nataka furaha wakati wote mm binafsi sipendi kuwa sina furaha
JOEL..Umekuwa Mwl mzuri kwenye Maisha yangu...umenipa ujasir kwa kupitia mafundisho yako...Nahitaji kujua ratiba yako ya Seminal live...Nahitaji kuhudhuria seminal zako live...
huyu ni mwalimu wa uhakika sana kama umemkubali gonga lake hapa
Mimi na mkubali ila nahitaji kuwasiliana naye .
Sijutii kuijua akaunt yako big u
Asante saana,Kaka Joël,nimejifunza mengi kupitia somo hili.
Mwenyezi Mungu akuzidishie uhai,uendelee kutuelimisha.
Mimi furaha yangu ni kumsikiliza Mwalimu J Nanauka.. Kama na wewe ulikuwa huna furaha nadhani umepata mtu sahihi wa kukupa matumain kwa kuwa anamahusiano na Mungu gonga like hapa
Jamani na mimi pia siku yangu huwa inaanza vizuri
Ahsante Sana Omary tuendelee kujifunza
Dahh we kaka ubarikiwe sana jmn!ohoo lord mpe maisha marefu kaka joel.
Mungu akuongezee maisha marefu...bado tunamengi tunahitaji kujifunza kutoka kwako....Joel Nanauka
Nanauka anasema ukwel Mungu azidi kukuinua kaka somo zur sana
Darasa nzuri sana.
God blessing you Brother Joel nanauka
katika maisha usiruhusu furaha yako ikashikiliwa na watu wengineđȘnimekuelewa bro
Kweli
Asante kaka Joel kwa speech zako maana zinanijenga na kunitia moyo sikati tamaa nakaza mwendo nasonga mbele kila nikusikilizapo
Yaan hili somo ni la viwango vya juuu daaah be blessed baba
Asantr mwalimu Joel ,,,ila kuna watu wanakwaza sana duniani,,unaweza kuwa na amani zako ghafla MTU anakutumia hata SMS kesha kupotezea amani yani Mungu atusaidie kwa kweli,,,,
Nashukuru nimeweza kukufuatilia Asante mungu
Hiyo Genetic Sensitivity nimeielewa mnoooo@ Tanzania watu wengi wamekua hawana raha sababu ya mambo yafuatayo; Ugumu wa maisha, Magonjwa mbalimbali, kukosekana kwa wanapsychologia nk
Namshukur pita,amenifanya kuwa jasiri,Mungu atakulipa
umenifurahisha sana juu ya hilo Mungu akubariki uendelee kunibariki zaisiđ„°đđ
Nimeanza kukufuatilia Mr Joel Nanauka nahisi mabadiliko na Luna uwezekano wa kufika mbali.Mungu atutie nguvu
Wow.
Thanks Joel..i thank God i found you uve changed my life be blessed...Kenya is following
Baba mungu mungu akubariki sana đ
Asante kaka yangu,mimi najifunza vingi kutoka kwako,ninapona tu,Mungu wa mbinguni akupe mafunuo mapya kila siku.
Unanipa nguvu sana thanks for that
Kweli,kwenye amani na utulivu,mmh!asilimia ya watu wengi hakuna amani ndani ya mioyo, wala utulivu,ni kwa nje tu.Asante kwa somo zuri.Barikiwa!
Yaani uko vizuri saana
Nina hasira sana kumbe haifai , mungu nisaidie ipoteee hasira inanikosesha Amani.
Ujumbe mzur Sana...MUNGU akutunze
kaka joel ubarikiwe sana unatutengeneza kimwili na kiroho mafundisho yko.ubarikiwe sana
mashaallah nimeipenda hii nanimejifunza mengi asante my kk
Shamila Omar karibu sana ahsante kwa kutembelea channel yetu
+Joel Nanauka pamoja ndugu daima lnshaallah
Shamila Omar Mimi pia
Nimejifunza pale ulifyosema mazingira ukiwa na mazingira mazury unaweza ukawa na furaha zaidi
Asante nimefaidika,ubarikiwe
Asante Sana Kaka nimejifunza mengi God bless you
Raha sana kukusikiliza!!!
Kaka Joel Mungu AKUBARIKI kaka ila naomba mawasiliano
Upo sahihi sana kaka
Ubarikiwe saaaaaa nitumie nambo za whasp
Napenda Sana kufatilia mafunzo yako yananipa ujasiri na nguvu mpya
shukran kwa somo Kaka mungu akujalie afya uelmshe na vzaz vyetu
God bless you and your family Joel, somo zuri sana gratitude, social support, Spiritual attachment ni vitu muhimu ingawa majority hawafuatili. Siku yangu nimeanza vizuri sana leo# Blessings
Eric Saul ahsante kwa mrejesho na hongera kwa kusikiliza
Mashallah brother
Thanks Joel
Ubarikiwe
Eeeh tena Jaman
kaka Joel asante kwa kutupa mwanga amina sans
Shukran kaka Joel Kwa SoMo la maisha ju ya furaha
Ahsante sana kaka Joel nimejifunza mengi
Asante broh unatufahamisha vtu vingi sana, ubarikiwe na Mngu aendelee kukupa upeo mkubwa zaid
Mungu akubariki sana
Wewe ni level nyingine kabisa
21:30' nimeielewa sanaa
UKO TOFAUTI NA WATZ WENGI WANAOJIFANYA PUBLIC SPEAKERS. UNASOMA SANA VITABU INAMAANA UGENIUS WAKO WA DARASANI UNAKUSAIDIA. UTAFIKA MBALI SANA. HONGERA
Hongera kaka kwa mafunzo mazuri mungu akubariki
Nanauka ni msomaji mzury sana wa vitabu love you brother
asante sana kaka ama kwel najifuza mambo mhimu mengi ubarikiwe sanaaaaaaaa
MASHAA ALLAH
Makabila kumi yenye wanawake wazuri
Asante sana kwa somo maana kuna mambo yamenigusa sana na especially hiyo genetic sensitivity
we become what we think about.
Uko vyema sanaaa mkuu,nayakubali sanaa mafunzo yakoooo
Thks broo
Asante xana kaka yangu kwa kutoelimisha
I'll make TANZANIAN people Happy
Kaka Mungu akuzidishie uwezo ulionao
Nimejifunza kitu kaka barikiwa sana
Ahsante sana bro
Thanks
Asante sana kwa kutujuza
Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hili
Huuu ukweli
Ni kweri ulivyo taja ugomvi wakati wa ujauzito ujangia sana
ubarikiwe sana bro napenda kukufatilia sana
Unaeleweka sana Kaka unamafunzo mazuri
napenda sana kaka unachofanya and i really appreciate xo much and one thing 4m napenda kufanya ki2chatofaut bt inform of ur style.
Genius
I like you Br Joel Nanauka.....Noted!!
Kweli kabisaa yaani ukiwa na kitu moyoni inaathiri sana na inaumiza kwelikwelii asaa... Na ukijaribu kumwambia mtu hua unajiona kama umeshusha mzigo...
Daaa kweli ulikuwa unailasababu ya kuwa TO,upeo wako mkubwa sana bro.
Ni kweli kaka, hata mimi sina furaha kwa sababu ya kile ninachokiishi siyo passion yangu!
thnks so much bro,nmekupata vzr sn.
Nimekuelewa sana baba
Kaka umefanyika msaada mkubwa kwene maisha yangu. kila nikikusikiliza napata nguvu mpya. Isipokuwa kutafuta aman kwa mtu ni ngumu, inakua iv, ukiwa umetofautiana na mwezi au wakwe hanakuwa na chokochoko zisizoisha. leo uko nao vzr kesho ina kuwa shida. ulosema yote yanawezekana, isipokuwa iyo point moja ni ttz kubwa
Aisee somo zuri sana sanaaaa tuu
Mimi sinaga furaha kabsa
Mwl Joel umenifanya nijijue furaha yangu nitanzaa kuimiliki mwenyewe
Ahsnte bro upo vzr!
Umenifanya nijione wasamani sana
đŻđŻđŻ
Nice kaka
You're absolutely right sir...thanks
Mungu azidi kukulinda Joel ur very bright
Wao this so lovely nimejifunza vitu vingi kaka ubarikiwe
Nimejifunza kitu
Your great bro.. I feel so proud for you
Ahhhh... Joel nanauka ww nikichwa shukran sana
Thanks brother
Leo nimesikikiza mafundisho zako nyingi ila hii umenibariki sanaaa
Nashukuru Sana, tuendelee kujifunza zaidi.
Namba
Ubarikiwe sana
Äąlory
Bless you always Ameen
Thank you so much Mr jeol Arthur nanauka
Ninahitaji kitabu cha kughailisha mambo kak Joel nanauka Niko mbey.....
Tangu mwaka Jana nilianza kukufuatilia kwenye CZcams na Facebook page Yako.nimefanya mambo makubwa sana ikiwemo kuondokana na stresses, madeni mabaya, nimekuwa na ratiba ya kununua vitabu na kuvisoma, Kupanga malengo na kuyaishi,kepukana n.a. vitu vinavyopoteza muda,Kununua Assets badala ya liability, Kuipenda kazi na kufanya kazi yenye passion Yako.Naomba orodha ya vitabu unavyosoma ili nivipate .
Mungu aendelee kukutunza my kaka,kwa somo hilo mi naendelea kuimarisha furaha yangu
Nimefurah sana kaka sikuwa nakujua ila taangia jana nimejikuta nafurahia kuangalia video zako
Axnte kwa kunfndsha,
Yes!I am the CEO of my life!
Thankx bro kwa kutuelewesha
Kaka mungu azidi kukubariki
Hiyo ya pili ndio inankosesha . Kufanya nisichokipenda japo kinakipato
Right thanks
Mm nimtu ambae nakufatilia mno maana huenda nkawa mm si mtu mzuri kwa baadhi ya watu ila sina dhambi ,wala sijafanya baya duniani lolote .ila sina furaha nataka furaha wakati wote mm binafsi sipendi kuwa sina furaha
Ubarikiwe Kaka ww ni zaidi ya daktar maana Hakuna ugonjwa mkubwa Kama kukosa furaha
Merci
Nimekuelewa an bro
Jamani tumejiharibia mambo mengi kwa hiyo 40%
JOEL..Umekuwa Mwl mzuri kwenye Maisha yangu...umenipa ujasir kwa kupitia mafundisho yako...Nahitaji kujua ratiba yako ya Seminal live...Nahitaji kuhudhuria seminal zako live...