Changamoto ni njia nzuri za kuboost ufahamu wako na kukufanya uwe IMARA. Kwakweli huwa sipendi kukaa au kuishi mahali ambapo hapana changamoto. Kwa upande wangu kila iitwapo leo nazidi kuwa bora zaidi ya jana yangu,na kinachonifanya niwe bora zaidi ni changamoto nazozipitia. Najifunza vingi kupitia changamoto.
Asante sana kaka❤ kuna muda nakata tamaa kutokana na changamoto ninazopitia kwenye kazi yangu, ila nageuka nyuma naangalia familia yangu watoto wangu na nikikuskiliza na wewe nafunga jeraha jeramba lina endelea ubarikiwe sana❤
😭😭😭 nimepambana sana kwa kwakutumia nguvu zangu, akili yangu na kutegemea binadamu lakini kwasasa kwa hapa nilipofika bila YEHOVA MUNGU sitoboi, mambo mengi sana nmepitia, nmetapeliwa sana lakin sitakata tamaa nitaendelea kupambana
Kuna kuinuka tena brother anglia mbele unakoenda marufuku kukata tamaa mimi mwenyewe nmefeli mara nying lakini siwezi kukata tamaa ilimradi bado napumua bado naiona kesho yangu kubwa
Asante sana kaka Joel mimi pia mwaka jana nilivunjika moyo baada ya kumuamini dada yangu na kuanzsha nae mladi. Wa kilimo mimi niko mbali yeye alikuwa ananitumia picha za mashamba ya watu mwisho wasiku nothing done Ila saivi nmefunga jaraha zangu na nmejifunza kitu
Kuna nyakati nilikuwa napitia changamoto mbalimbali kazini kwangu ila kutokana na maneno yako yalinijengaa sana ninaushuhuda mwingi kutoka na maelekezo yako ambayo niliyafanyia kazi uzidi kubarikiwaa bro joel
Changamoto ni njia nzuri za kuboost ufahamu wako na kukufanya uwe IMARA. Kwakweli huwa sipendi kukaa au kuishi mahali ambapo hapana changamoto. Kwa upande wangu kila iitwapo leo nazidi kuwa bora zaidi ya jana yangu,na kinachonifanya niwe bora zaidi ni changamoto nazozipitia.
Najifunza vingi kupitia changamoto.
Barikiwa sana
Asante sana kaka❤ kuna muda nakata tamaa kutokana na changamoto ninazopitia kwenye kazi yangu, ila nageuka nyuma naangalia familia yangu watoto wangu na nikikuskiliza na wewe nafunga jeraha jeramba lina endelea ubarikiwe sana❤
😭😭😭 nimepambana sana kwa kwakutumia nguvu zangu, akili yangu na kutegemea binadamu lakini kwasasa kwa hapa nilipofika bila YEHOVA MUNGU sitoboi, mambo mengi sana nmepitia, nmetapeliwa sana lakin sitakata tamaa nitaendelea kupambana
Kuna kuinuka tena brother anglia mbele unakoenda marufuku kukata tamaa mimi mwenyewe nmefeli mara nying lakini siwezi kukata tamaa ilimradi bado napumua bado naiona kesho yangu kubwa
Mungu Ndio kila kitu endelea kumtengemea Mungu
Asante sana kaka Joel mimi pia mwaka jana nilivunjika moyo baada ya kumuamini dada yangu na kuanzsha nae mladi. Wa kilimo mimi niko mbali yeye alikuwa ananitumia picha za mashamba ya watu mwisho wasiku nothing done
Ila saivi nmefunga jaraha zangu na nmejifunza kitu
Kuna nyakati nilikuwa napitia changamoto mbalimbali kazini kwangu ila kutokana na maneno yako yalinijengaa sana ninaushuhuda mwingi kutoka na maelekezo yako ambayo niliyafanyia kazi uzidi kubarikiwaa bro joel
Asante Joel amenitia moyo.
Nina maumivu fulani lkn kwa neno hili nimepona.
Mungu akubariki sana kaka. Huwa napata sana nguvu za kuendelea mbele ninapokusikiliza.
Ahsante kaka kwa ushauli wako umenipatia nguvu.
Shukran joel nimefunga jeraha ili kuzuia damu❤❤❤
You are a blessing to this society
Shukran sana ndugu
Barikiwa zaidi kaka Joel ❤❤
Asante sana Mimi niliacha kutegemea watu saii
Good morning top team academy
Nilimic sana maoni yako
Nimeludi nazidi kufurahi kazi ya mikono yako Mungu azidi kukubariki🙏
Kaka naomba unisaidie kampuni ambazo unaweza kununua issa
Asante sana
Asante Sana
Ahsante sana
Asante sana.
Shukrani kaka ❤
Asante kaka Joel mungu azidi kukubariki nimejifunza kitu
❤❤❤❤
Asante kaka
❤
🎉
Nipo tayari kaka Joël kulipiya mi niko nchi Congo RDC 🇨🇩
Ahsante sana