LIFE WISDOM : FUNGA JERAHA, ZUIA DAMU - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 31

  • @thegoldenmindtz
    @thegoldenmindtz Před měsícem +4

    Changamoto ni njia nzuri za kuboost ufahamu wako na kukufanya uwe IMARA. Kwakweli huwa sipendi kukaa au kuishi mahali ambapo hapana changamoto. Kwa upande wangu kila iitwapo leo nazidi kuwa bora zaidi ya jana yangu,na kinachonifanya niwe bora zaidi ni changamoto nazozipitia.
    Najifunza vingi kupitia changamoto.

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Před měsícem +2

    Barikiwa sana

  • @HalimaAmadi
    @HalimaAmadi Před měsícem +3

    Asante sana kaka❤ kuna muda nakata tamaa kutokana na changamoto ninazopitia kwenye kazi yangu, ila nageuka nyuma naangalia familia yangu watoto wangu na nikikuskiliza na wewe nafunga jeraha jeramba lina endelea ubarikiwe sana❤

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 Před měsícem +17

    😭😭😭 nimepambana sana kwa kwakutumia nguvu zangu, akili yangu na kutegemea binadamu lakini kwasasa kwa hapa nilipofika bila YEHOVA MUNGU sitoboi, mambo mengi sana nmepitia, nmetapeliwa sana lakin sitakata tamaa nitaendelea kupambana

    • @bina2557
      @bina2557 Před měsícem +6

      Kuna kuinuka tena brother anglia mbele unakoenda marufuku kukata tamaa mimi mwenyewe nmefeli mara nying lakini siwezi kukata tamaa ilimradi bado napumua bado naiona kesho yangu kubwa

    • @miriammadolo7192
      @miriammadolo7192 Před měsícem +2

      Mungu Ndio kila kitu endelea kumtengemea Mungu

  • @bina2557
    @bina2557 Před měsícem +2

    Asante sana kaka Joel mimi pia mwaka jana nilivunjika moyo baada ya kumuamini dada yangu na kuanzsha nae mladi. Wa kilimo mimi niko mbali yeye alikuwa ananitumia picha za mashamba ya watu mwisho wasiku nothing done
    Ila saivi nmefunga jaraha zangu na nmejifunza kitu

  • @CatherineJacob-yt5sy
    @CatherineJacob-yt5sy Před měsícem +1

    Kuna nyakati nilikuwa napitia changamoto mbalimbali kazini kwangu ila kutokana na maneno yako yalinijengaa sana ninaushuhuda mwingi kutoka na maelekezo yako ambayo niliyafanyia kazi uzidi kubarikiwaa bro joel

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 Před měsícem +1

    Asante Joel amenitia moyo.
    Nina maumivu fulani lkn kwa neno hili nimepona.

  • @MsafiriSaidi-e3k
    @MsafiriSaidi-e3k Před měsícem

    Mungu akubariki sana kaka. Huwa napata sana nguvu za kuendelea mbele ninapokusikiliza.

  • @avodianamapunda7861
    @avodianamapunda7861 Před měsícem +1

    Ahsante kaka kwa ushauli wako umenipatia nguvu.

  • @user-qv3eo5pb3g
    @user-qv3eo5pb3g Před měsícem +1

    Shukran joel nimefunga jeraha ili kuzuia damu❤❤❤

  • @LucyMachibya
    @LucyMachibya Před měsícem +3

    You are a blessing to this society

  • @teamchawote9610
    @teamchawote9610 Před měsícem +2

    Shukran sana ndugu

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před měsícem +1

    Barikiwa zaidi kaka Joel ❤❤

  • @user-ei3sh3uo5k
    @user-ei3sh3uo5k Před měsícem +1

    Asante sana Mimi niliacha kutegemea watu saii

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 Před měsícem +3

    Good morning top team academy

  • @CatherineJacob-yt5sy
    @CatherineJacob-yt5sy Před měsícem

    Nilimic sana maoni yako
    Nimeludi nazidi kufurahi kazi ya mikono yako Mungu azidi kukubariki🙏

  • @user-yd1zh4pe7q
    @user-yd1zh4pe7q Před měsícem +1

    Kaka naomba unisaidie kampuni ambazo unaweza kununua issa

  • @MonicaMlowe-es9il
    @MonicaMlowe-es9il Před měsícem +1

    Asante sana

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před měsícem +1

    Asante Sana

  • @Maidaadinani
    @Maidaadinani Před měsícem

    Ahsante sana

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 Před měsícem +1

    Asante sana.

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 Před měsícem +1

    Shukrani kaka ❤

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 Před měsícem +1

    Asante kaka Joel mungu azidi kukubariki nimejifunza kitu

  • @ViviKitchen23
    @ViviKitchen23 Před měsícem +1

    ❤❤❤❤

  • @MsafiriSaidi-e3k
    @MsafiriSaidi-e3k Před měsícem

    Asante kaka

  • @user-zl5mt6lk4n
    @user-zl5mt6lk4n Před měsícem +1

  • @michaeljm730
    @michaeljm730 Před měsícem +1

    🎉

  • @KalabaKlb
    @KalabaKlb Před měsícem +1

    Nipo tayari kaka Joël kulipiya mi niko nchi Congo RDC 🇨🇩

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv Před měsícem +1

    Ahsante sana