LIFE WISDOM : JIFUNZE HILI ILI UPATE MSAADA - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 51

  • @bina2557
    @bina2557 Před 21 dnem +13

    Ubarikiwe sana kaka Joel hata mimi kuna majira nilipita peke yangu lakini hayo mazingira yalinifundisha sana kujenga uwezo wa kujisimamia mpaka leo sjawahi kurudi nyuma

  • @SimonyMsigwa
    @SimonyMsigwa Před 21 dnem +6

    Nashukulu kukujua umenibadili maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana mungu akupe maisha malefu

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Před 18 dny +1

    Kaka nimekuwa nikikufatilia sana,umenisaidia sana,hta sasa nimesimama na Mungu,wanadamu niwanafki tu yaan

  • @officialbachako
    @officialbachako Před 19 dny +1

    Ni kweri kabisa ni kitu chenye hata mimi kimenitokia kipindi najifunza pikipiki alikuwa nani fundisho brother nikiwa nae hata ikizima ananielekeza lkn siku nilipo endesha pekee Ang ndo siku niliyo jua kuendesha vzl maana niligundua niko pekee Ang na niko mbali inabidi nirudi nyumbani asante

  • @NeemaMrema-vq7kb
    @NeemaMrema-vq7kb Před 21 dnem +2

    Mwenye Mungu akubariki sana Mr.Joel kwakwel nimejifunza kitu kikubwa kupitia story yako naami ntaafanikiwa kuishinda hofu ndani yang🙏

  • @Alex-wq4pg
    @Alex-wq4pg Před 19 dny +1

    Nashukuru Sana kwa mafunzo...lakini kunawakati mtu nakosa kabisa sio ati nikupenda ni kukosa nafasi kabisa kunawakati na kataa tamaa kabisa

  • @Omymadam6266
    @Omymadam6266 Před 17 dny +1

    Nimejifunza kujitegemae mm mwenyewe na kuacha kutegemea watu.

  • @ShadrackMabera
    @ShadrackMabera Před 18 dny +1

    Ubarikiwe kaka Joel

  • @tfashy_hub9156
    @tfashy_hub9156 Před 11 dny

    Kaka joel Naomba uongeze sauti kwa video. Sauti ipo chini sana. ❤

  • @user-je2qo8cp9e
    @user-je2qo8cp9e Před 21 dnem +3

    Mungu akubariki sana kaka hakika msimamiz wa maisha yetu ni sisi wenyewe.

  • @PhinerGreyson
    @PhinerGreyson Před 18 dny +1

    Asante sana kwa sababu wakat wote nikikusikiliza nahisigi kabsa wazungumza na mm unanijenga sana na nazidi kujifunza asante mollah akubariki na akuweke sana

  • @monicakauky8914
    @monicakauky8914 Před 21 dnem +1

    Nimejifunza kutokutegemea Sana watu,mambo mengine natakiwa niyafanye mwenyewe.

  • @imanimwashiuya223
    @imanimwashiuya223 Před 20 dny +1

    asante sana kaka joer na mungu akupemaisha marefu

  • @DanielSamwel-j5k
    @DanielSamwel-j5k Před 20 dny

    Asante sana bro joeli na mimi napitia wakati huu sasaivi Asante kwa kunifa maarifa Mungu akubariki

  • @josephtesha872
    @josephtesha872 Před 21 dnem +1

    Kaka nashkuru asanteee nimejifunzaa🙏

  • @DorethMselem
    @DorethMselem Před 18 dny

    Asantee sana imenisaidia

  • @WINNERBOYKE
    @WINNERBOYKE Před 21 dnem +1

    Mwalimu ❤❤

  • @EdwinaJeremia-do1bs
    @EdwinaJeremia-do1bs Před 21 dnem +1

    Ubarikiwe sana🙏🙏

  • @denisdawson6231
    @denisdawson6231 Před 20 dny +1

    Uko sahihi Joel

  • @vanessasalema6087
    @vanessasalema6087 Před 17 dny

    Amen. Be blessed

  • @user-vx5rb6rg1v
    @user-vx5rb6rg1v Před 16 dny

    Be blessed bro🎉

  • @eliasludamila4600
    @eliasludamila4600 Před 21 dnem

    Nakubal Mwamba,,upo vzr sana 🙏

  • @humphureyurasa8424
    @humphureyurasa8424 Před 21 dnem

    Joel ur the great person on the earth, may God help u to stay strong forever.

  • @user-th7lj2nj4b
    @user-th7lj2nj4b Před 21 dnem

    Najiuliza kwanini nilicheleawa kukujua your the best 🙏

  • @BiregeyaSabune
    @BiregeyaSabune Před 21 dnem +1

    asante sana Joel mimi ni mufwasi wako wakilasiku na natamani sana venye naeza pata vitabu vyako

  • @veronicamwautenga7394
    @veronicamwautenga7394 Před 21 dnem

    Asante sana

  • @NickGamba-ft8tl
    @NickGamba-ft8tl Před 21 dnem

    ASANTE MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏🙏

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 Před 21 dnem

    Some zuri Sana coach Joel nimejifunza uko Sahihi barikiwa sana

  • @happinessosango8378
    @happinessosango8378 Před 21 dnem

    Umeongea ukweli kabisa .Asante kwa kunifungua nimepata kitu.

  • @simplismrosso5084
    @simplismrosso5084 Před 21 dnem

    Asanteh sana kaka Joel nmejifunza kitu

  • @estherkeba24
    @estherkeba24 Před 20 dny

    🙏

  • @eleneosindano5633
    @eleneosindano5633 Před 21 dnem

    Asante sana kakaa nimejifunza kitu hapaa

  • @GraceSteven-qq5hn
    @GraceSteven-qq5hn Před 20 dny

    Asant

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain9618 Před 21 dnem

    Asante Kaka 🎉🎉🎉🇨🇩

  • @ezekielanthony296
    @ezekielanthony296 Před 21 dnem

    Exactly 🧭

  • @beatricemwita4380
    @beatricemwita4380 Před 21 dnem

    Kutokutegemea watu,nilimaliza shule nikiwa Sina ramani ili nimepambana na ninamshukuru Mungu kwa hapa nilipofika japo safari Bado ni ndefu sana
    See me at the Top

  • @lodrickolaph6640
    @lodrickolaph6640 Před 21 dnem

    True story about me, nimejifunza kitu

  • @AmericoSimao-gq8cn
    @AmericoSimao-gq8cn Před 21 dnem

    Napokea

  • @user-gt2dg5gy2h
    @user-gt2dg5gy2h Před 21 dnem +1

    Nimejifunza kitu kikubwa sasa😊😊nashukuru kwa hili naamin mbaka kufika hapa kwa sababu niliowategemea wanisaidie wakaniacha 😊hii ndio iliyonivusha
    Sitalaum kwa yeyote atakae Acha kunisupport 🙏maisha yangu yapo mikononi mwangu

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 Před 18 dny

      Kiukweli haya maisha simama na.Mungu,wanadamu ni hatari bora.mnyama

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 Před 16 dny

    Funzo *** ona kama hamna mtu WA kukusaidia,hakika utaweka JUHUDI kwenye jambo husika
    ***Usiwachukie watu ambao wameshindwa kukusaidia ,wakati Wanao uwezo wa kufanya hivyo ___msaada NI hiari ✊

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Před 18 dny

    😅😅😅😅

  • @AbdulkadirHaji-dd4uu
    @AbdulkadirHaji-dd4uu Před 21 dnem

    Nimejifunza lakini sijaridhika na nilichojifunza. HIVI IKAWAJE BAADA YA KUJUA KUENDESHA BAISKELI? KWA RAFIKI ZAKO WALIOKUWA WANAKUCHEKA?

  • @veronicamwautenga7394
    @veronicamwautenga7394 Před 21 dnem

    Asante sana

  • @eleneosindano5633
    @eleneosindano5633 Před 21 dnem

    Asante sana kakaa nimejifunza kitu hapaa