Presenters wanapaswà wajifunze kwa huyu jamaa asee anauliza questions professionally woow havuki mipaka wala nini brother sky God bless you mtu una enjoy hata kuangalia interview
Yani navy kenzo ni wasanii ambao pesa wanayo lakini hawajioneshi, very low key sio hawa wengine ambao pesa hawana ila kuvimba kwingi, ebu cheki hayo maproject kibao na sidhani kama kuna wadhamini zaidi yao wenyewe so pesa wanayo ila hawana upuuzi wakuvimba ovyo and thats gud!
Hawa watu nawakubali mnooooo, sijawahi ona ma star wanao jielewa kama hawa. Yaan mambo yao ni kimya kimya tu huku wakiendelea kutusuwa. Kumbe maisha bila kiki inawezekana bhana!
Aseeeeh jawa jamaaa ni majiniaz sana aseee Wametengeneza brand now wanakula faida hata waseme kwa mwezi ni 250k katika hyo akademy bado order zitawazidi
Sky i like that your not bias to any artists navy kenzo they are on top but the people who offer those are completely bias although we know those awards don't define good artists
I real admire the couple.
Hard working, nice.
Niwaombe mbariki ndoa yenu ili kile nachokiona kwenu kikazidi kuongezeka in Jesus name Amen
Presenters wanapaswà wajifunze kwa huyu jamaa asee anauliza questions professionally woow havuki mipaka wala nini brother sky God bless you mtu una enjoy hata kuangalia interview
Mnajieshimu sana na kupendana sana najua mapungufu yapo ila Mnasimama Pamoja na kuchukuliana kwa Upendo 👏🏼👏🏼👏🏼Hongerani sanaaa
It is very refreshing to see and hear intelligent wasaniis.
Best couple in Tanzania 🇹🇿 artists
Yani navy kenzo ni wasanii ambao pesa wanayo lakini hawajioneshi, very low key sio hawa wengine ambao pesa hawana ila kuvimba kwingi, ebu cheki hayo maproject kibao na sidhani kama kuna wadhamini zaidi yao wenyewe so pesa wanayo ila hawana upuuzi wakuvimba ovyo and thats gud!
Hiii couple ni Nzuriii mnoo kwa vijana wajifunze kupitia hii couple
Hawa watu nawakubali mnooooo, sijawahi ona ma star wanao jielewa kama hawa. Yaan mambo yao ni kimya kimya tu huku wakiendelea kutusuwa. Kumbe maisha bila kiki inawezekana bhana!
Kweli bila kiki mambo yanaenda
Uthubutu mkubwa kuanzisha academy ya mpira hongera sana.
Sky, you are so unique.I appreciate a lot
Strong and lovely couple❤❤😘🇨🇭
Aseeeeh jawa jamaaa ni majiniaz sana aseee
Wametengeneza brand now wanakula faida hata waseme kwa mwezi ni 250k katika hyo akademy bado order zitawazidi
Yani hakuna couple imedumu kw wasanii km hii kw tanzania mungu awalinde mmoja amzike mwezake ....Ilove you 🥰🥰🥰😘😘🌹⚘⚘⚘
Kweli imetudu Sana hii couple
🤣🤣🤣
@@jumamshana3417 imedumu "imetudu
@@linahsemindu9575 kukosea kupo... kwani weye hukosei ?
@@chalababy4419 ndo Mana nimekukumbusha mpz
Wow Mashallah 😍😍😍
Sky i like that your not bias to any artists navy kenzo they are on top but the people who offer those are completely bias although we know those awards don't define good artists
The couple is waooo!!! Demwaaa!!! So admireble
Nawapenda sana Kwa kweli ni mfano kwa wengine
Jamani hebu kuweni kama hawa tumechoka kuona wandawazimu wajinga wapumbavu. Washanzi. Waoneni wenzenu wametulia mashaallah. Mungu awabariki
Lovely couple & the interview was dope
My favourite Tanzanian artists
Best couple in Africa 🙌😍😍
Napendaa mpira kuliko kitu chochote kile naomb munisaidie nijiunge na navykenz academy pia naomb nipate namb zenu
Nahreel on the beat 👑
Nice couple in east Africa 🔥🔥🥰🥰nawakubali kinyama🔥
¹kra star
The best couple I love them
Jaman man u inamilikiwa na family moja ko msishangae navykenzo wakaja na timu yao
Keep it up navy kenzo 🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Nawapenda Sana sema hamjuagi tu
My ppl 💯🎶🇹🇿
Wahuni wako hambo sana mungu bless zao biashara
Wanaa elaa ndefuu
Hongereni
Sky Walker nakuona Mzee ulivyonenepa maswali yako mazuri Sana hongera
Nawapendaga sana jamoni
Nawakubali sana hawa watu.
Gud interview
Safiiii
Safi san
My peoooople😍
Wow
Nimejifunza kitu leo asante Aika
Is this guys from Tanzania woow they are good 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Mungu aibariki ndoa yenu na kuwekana PETE pia,pia mubarikiwe na academy ya shule chekechea hadi chuo kikuu,kwani kwa Mungu yote yawezekana🌞🙏.
@Kenya
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Nawakubal xan💪
👍👊✌️.
Roll mood wangu hawa
Ame anza kitu mpiyaa endeleya
ah
Nahili ninamdogo wangu anakipaji sana cha kuzeza mpira
wapigie kwa namba hii 0783469067
🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱
Mm jaman hawa watu na wapenda sana maana nimekua nawasikia toka mdogo hawa watu
Ads nyingi baraa atakama ndo pesa zenyewe ila inakuwa bored
Ads kwasababu vpn
CHEKA NA VUTUKO VYA..... USWEGEczcams.com/video/rAA71GERQ4E/video.html
Aika hayo makamasi puani vp??!!
😹😹😹😹😹😹😹😹 makamasi
Gan jmn kavaaa kipini
😃😃we aika em vua Hilo li heren puani shenzi wewe😂
Kwani mpaka utukane ndio ujisikie raha? Si umwambie kikawaida tu
Hayo ni maamuzi yake na wewe ukiamua unaweza weka
Mjufunze kueshimu maisha ya watu wengine
Mume wake anapenda hiyo heren
Shenzi na ww weka full pic dp🤣🤣🤣
iko kimwanamke kibaya kweli
Safi san