diamond kupata weekness haiwezekane kimziki... labda kupenda wanawake tu...ila kwa game ya mziki nyanja zote amezitwanga ...na stylr ya mziki yote kaipitiya ...hapa ni baba lao kupata mwingine kama diamond labda ajifiye
Tusifosi na ya Kiba kati hajafikia viwango, kama hujapafomu darasani ufaulu haukuhusu haijalishi ulikuwa unakuwa wa 2 au wa 3 darasani. Ko atabakia yuleyule akofaulu kujengewa sanamu ,Baba Lao.
Kweli watoto wa siku hizi huyu alikuaga mtangazaji wa radiofree anaitwa fredrik bundala au skywalker miaka ya nyuma kidogo then akaja dar akaanza na hizo mara sns mara bongo 5 cjui na vitu kibao lakini inabidi vijana pia mjue watangazaji wa zaman enzi hakuna you tube wala tv tangu enzi za kina taji liundi kina abubakali sadik kina kid bway kina sandu G na wengine wengi hawa wote ni bongofleva
Kuna aliesikia sky anasema kwa muda mrefu tumekuwa na msanii mmoja mkubwa, atupie like yake twende sawa!
Uyu bro anaongea ukweli mtupu akuna kama diomond namkubali sana baba lao.
Babalaooo
bro sky u'r legend
& diamond congrats for him
Sky Walker umeongea point Sana we jamaa 🙏🙏🙏
Mr Sky Umeongea vizuri sana ongera sana kwako bro Diamond platnumz Baba Lao chibu dangote
❤❤
Huwa napenda sana sky ama lil ommy wakihojiwa
Nimekubali majibu ya brother sky
Sky Walker. Nakubali sana sauti yako.
Toka nikiwa mtoto mpk sasa.
diamond kupata weekness haiwezekane kimziki... labda kupenda wanawake tu...ila kwa game ya mziki nyanja zote amezitwanga ...na stylr ya mziki yote kaipitiya ...hapa ni baba lao kupata mwingine kama diamond labda ajifiye
Mi mwenyew sionagi weakness ya mondi, sijui wasanii wafanye nn ili wapige bao!
Mshenzi weww baba ako apendi wanawake 😗😗
I totally agree with him. Dear...H...😀imitate Diamond without showing off 😀.
Diamond nitajiri bwana ,watahelewa tu
Polished man you are! Keep it up!
Sky is soo smart
Sky nakupenda sana Wala unamatimu
duh!bro sky we n genius xna ,yn unauelewa mkubwa xna,unamfany mtu hachoki kukusikiliza
sky worker ni mtu kwenye kuongea. bigup bro...I see something in you kk
Sana👍
huyu jamaa ni mnomaa sanaaa
Clouds inazinguwa Dana ndo media ya kishamba sana
jama namkubali sana
Jamani ayo Madimpoz😍😍😍😍😂😂bby sky sorry mamaaaa😊😊😊
😂😂😂😂
Nakubali
sammisago tv nakubali
Saf mzee baba
Team sky
TUFANYE IVI,, SANAMU YA DIAMOND TUWEKE PALE POSTA. YAAN KATI KAKI YA JIJI,,
AF YA ALIKIBA TUWEKE BAGAMOYO MAKUMBUSHO,,
hahahahaha
natania!!
Tusifosi na ya Kiba kati hajafikia viwango, kama hujapafomu darasani ufaulu haukuhusu haijalishi ulikuwa unakuwa wa 2 au wa 3 darasani. Ko atabakia yuleyule akofaulu kujengewa sanamu ,Baba Lao.
🤣🤣🤣🤣 kwel kabixa
🤣🤣🤣🤣
Au tufanye zote zibanane pale pale posta zichuane 😂😂😂
@@ilovejesus9303 hahahahaha,,
Ilo nalo neno
Sky 💥💥💥💥
Sky walker
Ur voice
Dah uyu jamaaa anajua xana dah simbaaaaaaaaaaaa babalao
Yoooo sky wewe ni mnoma
Sky
Kaz kaz
ulichofell jombaa unamuoji kmaa kilaa mtuu tunamjuaa hyoi jama first muintroduce tumjuee
Kwl
Kweli watoto wa siku hizi huyu alikuaga mtangazaji wa radiofree anaitwa fredrik bundala au skywalker miaka ya nyuma kidogo then akaja dar akaanza na hizo mara sns mara bongo 5 cjui na vitu kibao lakini inabidi vijana pia mjue watangazaji wa zaman enzi hakuna you tube wala tv tangu enzi za kina taji liundi kina abubakali sadik kina kid bway kina sandu G na wengine wengi hawa wote ni bongofleva
👑 👑
🔱
Sky
True
👏👏
Du
Sky dimpoz....
nime subscribe chanel yako kitambo sana na kumsubsribia mke wangu chanel ya SnS kwa sababu ya IQ kubwa uliyonayo. Sky i like ur everything
brother sky
Sky ndo Nani sasa mbona mtangazaji unafanya Kama tunamjua Wote?
Uyo ndo mwenye ile chanel ya sns
Ni Fedrik Bundala aliye kuwa mtangazaji wa redio RFA Mwanza
@@chibudonscott5807 siyo radio one ni radio RFA ya mwanza
Comment yako tu inaonesha unamjua
Asha Nalinga okey🙏🙏🙏 sisi wa mikoani bana😂😂😂
Hivi hii interview unahisi nini na kumuhusu nani au sijaelewa etii
ulichofell jombaa unamuoji kmaa kilaa mtuu tunamjuaa hyoi jama first muintroduce tumjuee