MJENGO ANAOISHI DJ ALLY B NI NOMA, ATUMIA MILIONI 200 KUUKARABATI TUU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 01. 2024
  • MJENGO ANAOISHI DJ ALLY B NI NOMA, ATUMIA MILIONI 200 KUUKARABATI TUU
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 57

  • @worldtrends8183
    @worldtrends8183 Před 6 měsíci +4

    Renovating a rental house for 200 million is absurd, that amount is enough to build a classic house of your own...

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 6 měsíci +2

    ally, usijali kaka yetu Mungu bado anakaa kweny Kiti cha Enzi Atakusaidia wee mtumanini kila siku na Kumtukuza. Atakupa

  • @Igauf3
    @Igauf3 Před 6 měsíci +1

    Bibi ! Mama ! Mjukuu ! Let the uncles and aunties handle. That’s not his responsibilities. Dj Ally B -the best entertainer. Kudos to Kayla said it well, you can’t build for everyone.

  • @geraldguda
    @geraldguda Před 6 měsíci +4

    Ila wasanii🙌🙌

  • @kingmorhano189
    @kingmorhano189 Před 6 měsíci +3

    Good inspiration

  • @eliahmbano2414
    @eliahmbano2414 Před 6 měsíci

    Fact sana

  • @josephlugala3182
    @josephlugala3182 Před 6 měsíci +3

    Waswahili wa mtandaoni ,,hawezi kujengea ukoo acheni upuuzi

  • @MateiPs-kr9tg
    @MateiPs-kr9tg Před 6 měsíci +1

    Ally b n 🔥🔥🔥 wakuotea mbali kataa2 w mwenyew

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly Před 6 měsíci +15

    Hii nyumba n yake bwana hongera dj mafanikio yanatakiwa kua sir ukija kujionesha umejipata haswa kma hivi waroz n weng .......

    • @hassansalum2572
      @hassansalum2572 Před 6 měsíci

      Yake kaipata wapi?

    • @GiftAbduly
      @GiftAbduly Před 6 měsíci

      @@hassansalum2572 unataka kujua Kila kitu kinakuhusu??

  • @ngido255
    @ngido255 Před 6 měsíci +8

    Hii nchi Kwan Hawa watu wanatuchukuliaje😢 eti milion 200 kuongeza unyama nyumba ya kupanga

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před 6 měsíci +1

      Umasikini na wivu na hasadi huwezi fanikiwa kwanini uteseke tafta pesa

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 6 měsíci +1

    200 Akili Matope Wakati Nyumba Mjiji Baada Ya Miaka Michache Mbele Utaingiza Zaidi Ya 500 Au 600 Nyumba Na Kiwanja Ujui Kuwekeza

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 Před 6 měsíci

    Athumaniiiiiiiii
    😊

  • @MOVIEZONE-uy7yu
    @MOVIEZONE-uy7yu Před 4 měsíci

    Ukiongelea 200M its enough for having a house hapo jamaa kaficha ila mjengo ni wake tu huu sema nimejifunza kitu ni bora uonekane low always

  • @strong8534
    @strong8534 Před 6 měsíci +3

    Innovation eti ukarabati

  • @chingaboy1149
    @chingaboy1149 Před 6 měsíci +2

    Bibi babu ndio mujiambie maisha yawatu yanasiri kubwa hamjui mtu hela anapataje

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 6 měsíci +2

    Tajiri anasafisha uwanja

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 6 měsíci +2

    Trend ya nyumba sasa hivi ,baada ya kutoka kwene Jet

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 6 měsíci +3

    Nachukia uongo wa watu maarufu

  • @padlockofficial9384
    @padlockofficial9384 Před 6 měsíci +3

    Wakifa hatutaki millady ayo apost wanaomba msaada kukamilisha matibabu 😅😅😂

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 Před 6 měsíci +1

    Nyumba yake mim ndio Dalal nliyemtaftia eneo

  • @abubakarikasamwa5792
    @abubakarikasamwa5792 Před 6 měsíci +2

    Sf sanaaa dj allyB

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 Před 6 měsíci +3

    Ukipata kazi wcb lazima uvae jisuliali kubwa

  • @nyagimkama2181
    @nyagimkama2181 Před 6 měsíci +1

    Icho nichuma

  • @vanessajumawarotwa8615
    @vanessajumawarotwa8615 Před 6 měsíci +6

    Yani u renovate a rent house for 200M while you can building your own 🙄 Niuongo gani huu mweupe please give us a break

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Před 6 měsíci +4

      Ukiona hivyo ni ya kwake na ajapanga ila Kuna watu awapendi kujionyesha km wanamiliki ml, sio km akina mwijaku, kujitangaza kuwa una ml Kuna madhara asikuambie mtu, tena kwa Dunia hii ya Leo.

    • @chrissjapheth2803
      @chrissjapheth2803 Před 6 měsíci +1

      Dada amesema kwamba anampango wa kuinunua what if ameshalipia maybe 50% of it....

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 Před 6 měsíci +1

    Watu vyanzo vingi mjini Nyie

  • @raymondgikaro5818
    @raymondgikaro5818 Před 6 měsíci +2

    Baba tu wa boss wako anapokaa apaeleweki

  • @shahiduhamada9229
    @shahiduhamada9229 Před 6 měsíci +1

    Sasa ally.b.kama.hivo.si.mjengee.mama.pia.umtoe.kwenye lile.pagalaa

  • @godsson5954
    @godsson5954 Před 6 měsíci +4

    HUYU HANA HATA MIA NI MUIGIZAJ TU TUNAMJUA MAGARI ANAKODI NYUMBA ANAKAZO KAA SIO YAKE HAHHA

    • @cardozojonas9239
      @cardozojonas9239 Před 5 měsíci +1

      Sasa hana hata mia alf nyumba anakod gar anakodi imekaaje hiyo mbn sio unyama😅😅

    • @Tumain-Kulubone
      @Tumain-Kulubone Před 3 měsíci

      Tafta hela hizo chuki hazitakusaidia🤣🤣

    • @johnsilima1629
      @johnsilima1629 Před 2 měsíci

      Sasa hizo nyumba na gari anazikodi vp wakati umesema hana hela huoni na wew unatudanganya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha chuki bila hela huwezi kukodi chochote

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Před 6 měsíci +1

    Uko bongo na ilo joto jumper za kazi gani au ndio izo PR

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 Před 6 měsíci +2

    Milioni miambili si ungejengaaa Yako au

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 Před 6 měsíci

    Not hali b ni allyb

  • @kelvingauza703
    @kelvingauza703 Před 6 měsíci +1

    nimjengee mjomba haaaaaa

  • @issackathman850
    @issackathman850 Před 6 měsíci +1

    acheni uwongo bana sikuile yuko.kwa bibi yake yuko na shida

  • @chiriccmabobo8746
    @chiriccmabobo8746 Před 6 měsíci +1

    😂😂

  • @Mkinga_og
    @Mkinga_og Před 6 měsíci +1

    Wakuu ni hivi pesa za hawa jamaa ni za mmiriki tu. Ndugu hawez kuzifurahia pesa za hawa jamaa wako wengi sana nyie wafuatilien ndugu zao muone wanaishi maisha gani

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um Před 6 měsíci +1

    Itabaki kua yake x hai2husu

  • @jiiwolf2900
    @jiiwolf2900 Před 6 měsíci

    .mchaka ushaanza kuongea kama juma lokole😢

  • @henryminja3145
    @henryminja3145 Před 6 měsíci

    Adi renovation mna translate 😂

    • @johnsilima1629
      @johnsilima1629 Před 2 měsíci

      Unaumia ikiwa Kenya kijiji gani😂😂hutaki tutafsiriwe

  • @HajiHabibu-tf4ig
    @HajiHabibu-tf4ig Před 6 měsíci

    We mchaga kaza mdomo huo msenge wewe alafu bibi sio yule alie kuzalia mama ata alie kuzalia baba nae bibi mshenzi wewe uyo dada ndo ana takiwa alegeze mdomo sio wewe au umesha legezwa nini

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 Před 6 měsíci

    Muchaga shoga nyooo kaniuzi

  • @mudibojaffar9269
    @mudibojaffar9269 Před 6 měsíci +2

    Huu mjengo Utamfunga Mdomo Mama Mwijaku..Mwijaku Njoo utazame Hii bw*ge

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain Před 6 měsíci +1

    13:08 mkaona mueke na nyimbo ya Simba kwa vile tu ni mkurugenzi🤔 kwanini msieki nyimbo ambayo Ally anapiga miluzi??😏