MJENGO ANAOISHI DJ ALLY B NI NOMA, ATUMIA MILIONI 200 KUUKARABATI TUU
Vložit
- čas přidán 21. 01. 2024
- MJENGO ANAOISHI DJ ALLY B NI NOMA, ATUMIA MILIONI 200 KUUKARABATI TUU
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Renovating a rental house for 200 million is absurd, that amount is enough to build a classic house of your own...
ally, usijali kaka yetu Mungu bado anakaa kweny Kiti cha Enzi Atakusaidia wee mtumanini kila siku na Kumtukuza. Atakupa
Bibi ! Mama ! Mjukuu ! Let the uncles and aunties handle. That’s not his responsibilities. Dj Ally B -the best entertainer. Kudos to Kayla said it well, you can’t build for everyone.
Ila wasanii🙌🙌
Good inspiration
Fact sana
Waswahili wa mtandaoni ,,hawezi kujengea ukoo acheni upuuzi
Ally b n 🔥🔥🔥 wakuotea mbali kataa2 w mwenyew
Hii nyumba n yake bwana hongera dj mafanikio yanatakiwa kua sir ukija kujionesha umejipata haswa kma hivi waroz n weng .......
Yake kaipata wapi?
@@hassansalum2572 unataka kujua Kila kitu kinakuhusu??
Hii nchi Kwan Hawa watu wanatuchukuliaje😢 eti milion 200 kuongeza unyama nyumba ya kupanga
Umasikini na wivu na hasadi huwezi fanikiwa kwanini uteseke tafta pesa
200 Akili Matope Wakati Nyumba Mjiji Baada Ya Miaka Michache Mbele Utaingiza Zaidi Ya 500 Au 600 Nyumba Na Kiwanja Ujui Kuwekeza
Athumaniiiiiiiii
😊
Ukiongelea 200M its enough for having a house hapo jamaa kaficha ila mjengo ni wake tu huu sema nimejifunza kitu ni bora uonekane low always
Innovation eti ukarabati
Renovation...elewa
Bibi babu ndio mujiambie maisha yawatu yanasiri kubwa hamjui mtu hela anapataje
Tajiri anasafisha uwanja
Trend ya nyumba sasa hivi ,baada ya kutoka kwene Jet
Nachukia uongo wa watu maarufu
Wakifa hatutaki millady ayo apost wanaomba msaada kukamilisha matibabu 😅😅😂
Akifa anatibiwa VP tena
@@MatildeBjelland😂😂😂😂
Nyumba yake mim ndio Dalal nliyemtaftia eneo
Sf sanaaa dj allyB
Ukipata kazi wcb lazima uvae jisuliali kubwa
😂😂😂😂
Icho nichuma
Yani u renovate a rent house for 200M while you can building your own 🙄 Niuongo gani huu mweupe please give us a break
Ukiona hivyo ni ya kwake na ajapanga ila Kuna watu awapendi kujionyesha km wanamiliki ml, sio km akina mwijaku, kujitangaza kuwa una ml Kuna madhara asikuambie mtu, tena kwa Dunia hii ya Leo.
Dada amesema kwamba anampango wa kuinunua what if ameshalipia maybe 50% of it....
Watu vyanzo vingi mjini Nyie
Baba tu wa boss wako anapokaa apaeleweki
Sasa ally.b.kama.hivo.si.mjengee.mama.pia.umtoe.kwenye lile.pagalaa
HUYU HANA HATA MIA NI MUIGIZAJ TU TUNAMJUA MAGARI ANAKODI NYUMBA ANAKAZO KAA SIO YAKE HAHHA
Sasa hana hata mia alf nyumba anakod gar anakodi imekaaje hiyo mbn sio unyama😅😅
Tafta hela hizo chuki hazitakusaidia🤣🤣
Sasa hizo nyumba na gari anazikodi vp wakati umesema hana hela huoni na wew unatudanganya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha chuki bila hela huwezi kukodi chochote
Uko bongo na ilo joto jumper za kazi gani au ndio izo PR
Milioni miambili si ungejengaaa Yako au
Not hali b ni allyb
nimjengee mjomba haaaaaa
acheni uwongo bana sikuile yuko.kwa bibi yake yuko na shida
😂😂
Wakuu ni hivi pesa za hawa jamaa ni za mmiriki tu. Ndugu hawez kuzifurahia pesa za hawa jamaa wako wengi sana nyie wafuatilien ndugu zao muone wanaishi maisha gani
Sahihi kabisa
Itabaki kua yake x hai2husu
.mchaka ushaanza kuongea kama juma lokole😢
Adi renovation mna translate 😂
Unaumia ikiwa Kenya kijiji gani😂😂hutaki tutafsiriwe
We mchaga kaza mdomo huo msenge wewe alafu bibi sio yule alie kuzalia mama ata alie kuzalia baba nae bibi mshenzi wewe uyo dada ndo ana takiwa alegeze mdomo sio wewe au umesha legezwa nini
Muchaga shoga nyooo kaniuzi
Huu mjengo Utamfunga Mdomo Mama Mwijaku..Mwijaku Njoo utazame Hii bw*ge
13:08 mkaona mueke na nyimbo ya Simba kwa vile tu ni mkurugenzi🤔 kwanini msieki nyimbo ambayo Ally anapiga miluzi??😏