UTAJIRI WA DJ ALLY B ANAYE-TREND KWA MIZUKA NDANI YA GARI, KASIMULIA MAISHA YAKE "NIMEISHIA LA SABA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 01. 2023
  • Ally Seleman Simba maarufu kama Professor, DJ Ally B… aliyejipatia umaarufu kutokana na mizuka ama Vibes zake Kwenye kazi yake na haswa hivi karibuni akiwa ndani ya Gari zake za kifahari.
    Ameanza kazi toka mwanzoni mwa mwaka 2000 baada ya kumaliza Darasa la Saba… shule haikuwa kipaumbele chake.. hakupenda shule wala hakupenda kusoma, ikamlazimu kufanya kazi ngumu za ukibarua ili apate pesa.. ya kujikimu Maisha… na haikutosha akafanya mpaka kazi Kwenye Daladala na bado mambo hayakuwa mazuri..

Komentáře • 324

  • @dannysengata2298
    @dannysengata2298 Před rokem +60

    Vijana wengi hawaamini kua kufanikiwa kupo that's why tukiona mtu amefanikiwa tunasema huenda Kuna njia mbadala .... Wakati wengine wapo kwenye ku hustle hatuongei lakini mda wanakuja kutoboa ndio tunabonga...... But because we don't trust the process
    Mafanikio Yapo watu wapambane

  • @yohanasport5929
    @yohanasport5929 Před rokem +22

    Kwakuwa ww unefanikiwa basi namm nitafanikiwa blessed brother I appreciate you more

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Před rokem +58

    Daah hizi story za mafanikio from zero to hero huwa zinanipaga mizuka sana aisee

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 Před rokem +1

      Ndio hivyo babu

    • @amanimanase8798
      @amanimanase8798 Před rokem +4

      @@jrsaid4270 broo maisha yanatufunza mengi sana hasa sisi tuliotokea kwenye familia duni

    • @ahmadnassor6004
      @ahmadnassor6004 Před rokem

      @@amanimanase8798 Umeongea point kbs

    • @amanimanase8798
      @amanimanase8798 Před rokem

      @@ahmadnassor6004 real mzazi

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Před rokem

      Yaan acha unawez jikut unapambn mpk unasem tena hapn mengine mpango wa Allah

  • @crecensiaanthony6012
    @crecensiaanthony6012 Před rokem +18

    Vijana acheni Wivu 'kaka amepambana pekee yake wakat nyie mna enjoy maisha ya baba na mama sasa hiv maisha yamewageukia mnamuonea Wivu Dj Ally'achen uvivu fanyen kazii..

  • @neemamkemae2580
    @neemamkemae2580 Před rokem +17

    Ila Lina misifa Fran hv Amaizing!!!!

  • @dbwaxvevo5780
    @dbwaxvevo5780 Před rokem +17

    Achumaaaaaaaaniiiiiiiiiiiii, Professor, Pesa nyingi Maneno kidogo, Asumani Tajiri, hahaha DJ ALLYBI 🔥🔥🔥

  • @Kabi_47
    @Kabi_47 Před rokem +8

    MAISHA BASEMENT YA MWANZA SIKU ILIYOFUNGULIWA DJ ALLY B ALIFANYA MATUSIII HII SHOOO HAIWEZ SAHAULIKAAAAAA🔥🔥🔥🔥🔥

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před rokem +25

    Ameeen maisha ni kupambana wangu

  • @salimamani6672
    @salimamani6672 Před rokem +38

    Namkubali sana mnyamwezi wangu maneno kidogo pesa nyingi acheni wivu wa maisha tupambaneni

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo3615 Před rokem +36

    TRUST THE PROCESS OF SUCCESS , PRAY HARD WORK HARD EVERYTHING IS POSSIBLE.

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 Před rokem +31

    Ndo maana wenye hela uwa wanakaaga kimya hawajioneshi wala kujitangaza maana kuna mtihani wa maneno ya watu kila mmoja uwa anaongea lake inapofikia hatua ya kuonesha mafanikio yako na kuzungumza njia ulizopitia wengi uamini kuna namna nyengine nyuma ya pazia yaupatikanaji wa hayo mafanikio na kupelekea kumueka kwenye matatizo yule aliyeonesha au kuzitaja njia za mafanikio yake ,usikute hata serikali wataanza kumfuatilia kiundani zaidi ili kufahamu kipato chake kinapatikana kwa njia gani ukiacha na hii anayoitaja.

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před rokem

      Acha mawazo hasi, hana pesa za kuishtua serikali

    • @RobbyDejan1234
      @RobbyDejan1234 Před rokem

      @@mcback4384 Sikia nikupange mdogo wangu sumbufu upo wa aina nyingi unapoonesha mafanikio yake Kuna kuhisiwa unajihusisha na mambo ya drugs, Ujambazi, sio mpaka usumbuliwe na TRA tu nafikiri bado haujaijuwa vizuri Tanzania sisi tuliyopo mbali na Nyumbani tunaielewa nje ndani...

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 Před rokem +9

    🤣🤣🤣 jamaa ametrend Sana Namkubali Sana huyu mwamba ....🤣🤣🤣 Safi Sana 🔥🔥

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před rokem +11

    Enjoy mwamba ....maisha mafupi mwanya enjoy Sana nani kasema kusoma ndio kufanikiwa piga Kaz yeyote Ile

  • @yakoboesenga5754
    @yakoboesenga5754 Před rokem +12

    Watu wana kuita jambazi utazani umesha wai kuwa uwa watu na roho za umaskini bana 🙌🙌

  • @gabrielndile1290
    @gabrielndile1290 Před rokem +11

    Uyo ndo professor athumaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥maneno kidog pesa nyingiiiiiii mwamb binafsi namkubali sana ukichek post zake insta dah lazim utajifunz kutokat Tamaaa.

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Před rokem +22

    Ndio maana umefanikiwa kama uliweza kukataa mwana asifukuzwe kazi. Nahakika MUNGU alifurah Sana hiyo.

  • @godfreysudi7264
    @godfreysudi7264 Před rokem +11

    Kwenye miaka ananipoteza 😂😂 sema ngoja tumsikilize kwa sababu anaongea.

  • @oliviermaeshi3666
    @oliviermaeshi3666 Před rokem +9

    Much respect brother Man ongera saana

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 Před rokem +7

    Yaani mtu ukifanya kitu Kwa kukupenda na ukakitilia manani utafanikiwa ila wengi wao ufanya kama wanalazimishwa

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 Před rokem +12

    Uyu mwamba nilikuwa namwona kichaa kumbe ana akili xn cz ANAONGEA real life yake cz mtu kwa shv kusema kaishia la sabaa

  • @johnohando2390
    @johnohando2390 Před rokem +27

    Lessons learnt:
    Education is not the keys to success.
    Follow your dreams.
    Never give up in life.
    Lastly stay humble 🙏.

    • @davis6692
      @davis6692 Před rokem +5

      Education is the key to success.
      Education isn't limited to school, hata hio kujifunza uDJ ni Education pia...

    • @willygraphics360
      @willygraphics360 Před rokem +1

      🙌🏾

    • @willygraphics360
      @willygraphics360 Před rokem +2

      Say "Go to school" it would be more better

    • @ashamahmoud3895
      @ashamahmoud3895 Před rokem +1

      Kwahiyo watoto wako hautawapeleka shule utawambia hayo maneno

    • @atupelesonko38
      @atupelesonko38 Před rokem

      @@davis6692 true bro elimu ni Pana sana

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 Před rokem +4

    Always be happy jamaa raha sana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +5

    Wowo hongera sana

  • @gracendumbaro5196
    @gracendumbaro5196 Před rokem +14

    Jilie pesa zako,maisha haya yapo

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Před rokem +5

    Mwenyezi Mungu humpa amtakae

  • @Kimbururu
    @Kimbururu Před rokem +3

    Huyu dogo alikua anakaa sana Saluni pale Msasani pia alikua ana DJ club ya Buckets

  • @stewartrichard1316
    @stewartrichard1316 Před rokem +12

    Tukiwa watoto nakumbuka sana tulikuwa tukikuangalia ukicheza brake dance liberty club yaan club ulikuwa unafunika sana

  • @sabrinamkinga901
    @sabrinamkinga901 Před rokem

    This Broo bhanaa Yani juzi nilimwona he was so amazing

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 Před rokem +120

    so defenition yake kwamba anahela na hajaenda shule.. sikilizeni kuna matajiri wengi hawana shule na wasomi wengi hawana pesa. shule ni muhimu sana mtu asiyesoma maamuzi yake huwa yakunyongonyesha wengine, ila mtu amesoma na amejifunza lakini hana pesa anamaamuzi ya chanya mno.. pesa ni jitihada tu lakini bado shule muhimu sana. Shule inakupa limitation na staha. Kujenga nyumba yako kunakufanya wewe kusettle pia ni assets ila bro hataki hicho kitu. All in all kazi zake nzuri Mungu ampe nguvu na mafanikio zaidi.

    • @rashid1860
      @rashid1860 Před rokem +4

      bro umeongea nn

    • @rashid1860
      @rashid1860 Před rokem +3

      amna kitu bana ukishamiliki ella n sawa kuwaekea wanao mipango mizur kma jamaa alf nyingine n kuka bata tu akuna shule itakupa akili sijui nn akuna bana ukishashka ella basi bata tu kujenga watajenga wengine ai tutapanga

    • @rashid1860
      @rashid1860 Před rokem +3

      amna kitu bana ukishamiliki ella n sawa kuwaekea wanao mipango mizur kma jamaa alf nyingine n kuka bata tu akuna shule itakupa akili sijui nn akuna bana ukishashka ella basi bata tu kujenga watajenga wengine ai tutapanga

    • @Untoldafricanstories
      @Untoldafricanstories Před rokem +5

      facts

    • @talekmiplang1092
      @talekmiplang1092 Před rokem +2

      Pumba😢

  • @duthedj
    @duthedj Před rokem +7

    Never give up

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 Před rokem +8

    Sitaki kujua sanaa nn kinampa pesa mchizi ila naheshimu maamuzi yake ya utafutaji iwe ni njia ya kulia au kushoto!!

  • @hashimally3874
    @hashimally3874 Před rokem +12

    Dah kumbe naweza fanikiwa kwaupandanaji wangu kam umeanza pambana me ndo nazaliwa

  • @vangiftshine
    @vangiftshine Před rokem +3

    Wooow ,number ya uo dingiii manzee ,frm 254 ,,, ,🤣🤜

  • @barakajuma2024
    @barakajuma2024 Před rokem +28

    Mtu yyte mwenye mafanikio huchukiwa na wengi kuliko wanaompenda,ndo mana wengi wanamwita jambazi

    • @berthatz
      @berthatz Před rokem +1

      Kabisa…Watanzania tupambane tutoke typunguze majungu na roho ya kwanini.

    • @davychelsea6461
      @davychelsea6461 Před rokem +1

      @@berthatz i thought hii tabia hukua na wakenya kumbe tz pia😹😹

    • @berthatz
      @berthatz Před rokem

      @@davychelsea6461 wee..Ipo Tanzania sana tu ndugu yangu..

  • @Atb300
    @Atb300 Před rokem

    Really blood ishi sana ❤️❤️❤️❤️

  • @waltergodwin2529
    @waltergodwin2529 Před rokem +2

    Gari ni liability not investment,anyways kila mtu anakipaumbele chake enjoy ur life dude.

  • @alicekishimbo4620
    @alicekishimbo4620 Před rokem +1

    Very creative interview big up @millardayo🏅🏅🏅

  • @johanesnixon5473
    @johanesnixon5473 Před rokem +4

    Nakubali CHUGALEEEE

  • @harrymorgan4387
    @harrymorgan4387 Před rokem +5

    Hamna mchaga fala mzee 🔥🔥🔥

  • @jrlamar8925
    @jrlamar8925 Před rokem +26

    Ila nimegundua familia nyingi za dini zinavipaji sana na watoto watundu sana.

  • @kombafesto5139
    @kombafesto5139 Před rokem +9

    😁😁😁et jambazi 😁😁 tutafute Ela

  • @VanShayokviewshoursago
    @VanShayokviewshoursago Před rokem +20

    RESPECT HOMIE MOSHI HAMNA FALA

  • @mkombozsanga
    @mkombozsanga Před rokem +8

    Safi sana

  • @barleescasira6176
    @barleescasira6176 Před rokem

    B born again...

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel9576 Před rokem +1

    The wealthy of anybody has secret within the heart of the same person who is wealth....this world has many ideal candidates trust urself

  • @agaboy
    @agaboy Před rokem +3

    Nakubali

  • @JerryMolel-pc5ww
    @JerryMolel-pc5ww Před rokem

    I really agree with dj ally b

  • @Chidyboy77
    @Chidyboy77 Před rokem

    Upo vzr xan kak yaan unatufany vijan tuendelee kupamban

  • @Omarymsangi-w6i
    @Omarymsangi-w6i Před rokem +3

    Motown iconic

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Před rokem +9

    Umenikumbusha pia niliwahi Fanya kazi kampuni ya ki Japan KONOIKE mlima kitonga

  • @patrickjm9909
    @patrickjm9909 Před rokem

    Respect kwake

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 Před rokem

    Nakubali sana dj ally B

  • @mbelyterry1584
    @mbelyterry1584 Před rokem +9

    Napenda hii story ya jama natamani ihendele

  • @seniormahamed7481
    @seniormahamed7481 Před rokem +1

    Kassim Mkada 💪👏

  • @diamondplatnumz.148kviews5

    Safi sana aya ndo maisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @habybanks
    @habybanks Před rokem +4

    Unyama sana mangii

  • @DrMbonea
    @DrMbonea Před rokem +3

    Jamaa kama mimi sijawahi penda shule asiee niliamini katika kupambana nje ya shule
    lakini na lugha ndio kitu muhimu nilipenda kujifunza

  • @eminentafroking107
    @eminentafroking107 Před rokem

    Good bro

  • @tumainmasuki7110
    @tumainmasuki7110 Před rokem

    Tajiri 🔥🔥🔥

  • @justtheway111
    @justtheway111 Před rokem +5

    Part 2 muhimu,,,msipost nusunusu

  • @herrymboya5037
    @herrymboya5037 Před rokem +1

    Good

  • @nancymayogo7618
    @nancymayogo7618 Před rokem +2

    Uyu jamaaa nshakutanaa naye live haringagi mchanganfuu sanaaa

  • @alluabdallah6893
    @alluabdallah6893 Před rokem

    Nakubal blood

  • @user-di2zp9eo7z
    @user-di2zp9eo7z Před rokem +1

    Mwamba kajitafuta sanaaa

  • @issanofal2166
    @issanofal2166 Před rokem

    Story nzuri sanaaa wa2 wa Kilimanjaro tupamban no kukata tamaa respect 4 u DJ

  • @sandrabernard751
    @sandrabernard751 Před rokem

    Nakupenda tu

  • @rakiamohamed645
    @rakiamohamed645 Před rokem

    Shem lng la enzi hizo 😂nakumbuka mara ya kwanza naangalia movie ya apocalpyto naiyona kwako basi kila nikiiyona lazima nikukumbuke mara paap nakuona kwa mitandao hongera maisha yanaende kasi sana

  • @olabenne5519
    @olabenne5519 Před rokem

    Alivyosema tu Konoike..legit

  • @kombafesto5139
    @kombafesto5139 Před rokem +8

    Unyama sanaaa

  • @alfoncefidel5338
    @alfoncefidel5338 Před rokem +1

    mara nyingi sisi binadamu tunapo pata mafanikio tuna jisifu sana kuwa ni wachapakazi na kudhani wengine wavivu ila ni baraka za mungu ndio kinakufanya kila unacho gusa kinabadilika kuwa dhahabu na baraka za mungu chanua kama maua na kukufanya ung'ae...ukileta watu wanao pambana lakin hawajatoka kimaisha uenda haupo hata kwenye mia bora...

    • @aminarajabu5795
      @aminarajabu5795 Před rokem +1

      Ila bidii ndo kila kitu na Mungu hupitia hapohapo 98%

  • @simonjongoja
    @simonjongoja Před rokem +3

    Nawez kuhesa moja mpak 90

  • @nicholassimon3054
    @nicholassimon3054 Před rokem +1

    Wadogo zangu mkipata nafasi ya kusoma na unahisi una uwezo wa kufanya hivyo nakushauri uende shule ukasoma..Elimu ukichanganya na husstle inakuwa rahisi zaidi kuliko kutokuwa na elimu kabisa

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 Před rokem

    Minaona angesoma kiasi angekua n Akili y kujenga nyumba mahali ila si kuiishi kw nyumba z kupangu , kaka haujui yakesho kumbuka wanao ipo siku nguvuu itakuishia n utaitaji sehemu y kujistiri utakua unalala kw gari kumbuka katika maisha kuna pandashuka 😢utanikumbuka baadae n c kw ubaya haya yalitokea kw mzazii wngu n hatupo naye kw sasa tunajutia sn kw sasa lau angekua hata n kibanda duu

  • @mozamagaya8618
    @mozamagaya8618 Před rokem +4

    Hahahahaha ila we kaka

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem

    Angesoma angekuwa mwajiriwa masikini tu

  • @oscarmaulid5906
    @oscarmaulid5906 Před rokem +3

    Boss anajua huyo

  • @xpinmgodechrispin8050

    kusoma, kulima, kuchimba madini kote ni kutafuta. we tafuta elimu yako, wengine watafute ela zao. wivu utafanya watu wadiss sana. lakini kama elimu yako ina kusidia wewe its up tu you.. wengine dreams zao ni kuzalisha pesa nyingi. wakilifanikisha hilo its over kwao.

  • @frankkanuth6747
    @frankkanuth6747 Před rokem +2

    hatujuw kujengaaa

  • @Moresa196
    @Moresa196 Před rokem +2

    Millard block comment section kuna mwamba anaitwa kabwela suti viraka anataka kuleta shida kwenye nchi yetu tulivu ya jamhuri ya comments...

  • @yrwa313
    @yrwa313 Před rokem

    All b anataja sana 1900+

  • @mosesbarnabas3379
    @mosesbarnabas3379 Před rokem +3

    Simba scratching academy

  • @amirikoshuma6022
    @amirikoshuma6022 Před rokem

    Oohhhhhhhhh

  • @hosianaeliud243
    @hosianaeliud243 Před rokem

    Mwana mke mwenzangu ukipata mwamba anapambaba achagui kazii jua uyo mwamba atafanikiwa tuu

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 Před rokem

    Background makelel music

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před rokem

    Acha ale maisha kapambana sanaa

  • @n7428
    @n7428 Před rokem

    Ni u Dj tu au kuna mengine maana wauza unga wote wana. Jificha kwenye vitu

  • @comics3437
    @comics3437 Před rokem

    Udijey tu ndo ana hela ivo au😂😂?? Mhhh

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 Před rokem

    Dah kweli kuna masela wanaroh mbaya so ilinikuta kufungiwa nche

  • @emmanuelmosha05
    @emmanuelmosha05 Před rokem

    Hakikaa

  • @ishaqthkr
    @ishaqthkr Před rokem +2

    Ukisikia muislamu jina ndo huyu.

  • @azanyboy
    @azanyboy Před rokem +2

    🔥🔥🔥🤗🤗🤗🤗🤗

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 Před rokem +3

    Aisee hii story bado tu mwendelezo wake?

  • @hamadihamadi6000
    @hamadihamadi6000 Před rokem

    Waukaee zaramoboy na kubalii

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +2

    Eeeen🙄🙄🙄🙄Makubwa aya

  • @lewiskombole2917
    @lewiskombole2917 Před rokem +1

    Mze umevuka red light😁

  • @justinecom7461
    @justinecom7461 Před rokem

    Daaah😂😂😂😂😂

  • @ivanf.lekule5618
    @ivanf.lekule5618 Před rokem

    Mtu hawezi ishi nje ya ndoto za watu wengi wacha Mungu. Ukiona yuko tofauti basi jua kuna kitu au pesa zake za msharti. Mwisho wa kunukuu😁

  • @isacknyaga104
    @isacknyaga104 Před rokem +1

    Hiyo nayo story ila nyie Dunia. Hii sasa pesa si zake aenjoy kwa wakati wake

  • @asyafatma532
    @asyafatma532 Před rokem

    Bro kiswahili cha kichaga hakijaisha hahahaha

  • @nicksonamon5960
    @nicksonamon5960 Před rokem +1

    Vp dj lyata