SIKIA DHARAU ZA DOTTO MAGARI BAADA YA KUTOKA CHINA / AWASAMEHE BILLNASS NA LAVALAVA / SIENDI POLISI
Vložit
- čas přidán 2. 01. 2024
- SIKIA MWANZO MWISHO ALICHOKISEMA DOTTO MAGARI BAADA YA KUTOKA CHINA AWALETEA DHARAU BILLNASS NA LAVALAVA AWASAMEHE HAENDI MAHAKAMANI TENA TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #hajimanara #diamondplatnumz #dottomagari #lavalava #billnass - Zábava
Na Hapa Ipo Kizimkaz🎉🎉🎉🎉🎉
I wish nkutane na doto ananiinspire kufnya kazi San. Ofsi zake zikowap Kwa wanaowapafaham
Shuka kinondoni studio,ulizia kwa dotto magari
kinondoni studio
kinondoni studio
Haaaaa dotto auna baya ishi maisha yako
Mwandishi ongeza misamiati ya kingereza by the way zinakuwa nyingi sana
Uyuu mwamba mbunifu sana na hapa hipoo ukihitajika utaitwa
Wasengeeeee maviiiii
Kujeni KENYA 📺🏃♂️🇰🇪
Huko japani utaenda kuzama kwenye tetemeko 😂😂
Jamaa kawafunika kina mwinjaku
Yani hao waruguru no watoto wamama kizimkazi ! Na hapa IPO nao !
Dotto keto😂😂😂😂.
nakubali kk
Huyu msenge siku atoingia ikulu hhhhh😂😂😂 heee heee heeeee Tanzania itakaa juu chini hii
Pale Akihitajika ataitwa kwa Mama kizimkaz na apa ipo.
Kuishi mjini ni akili tu jamaa anapepea huyo
Kweli mzaramo ujasoma lakini makini sana
Njoo mtumba utamkuta dodoma dotto ypo
China ni mji??
By the way ........
Mr by the way 😂 Kila swali By the way
Iyo inaitwa TOYOTA Fj CRUISER
dotto mtu bingwa sana
na hapa ipo
Funny guy love it ❤❤❤
Hata Mimi ni mtoto wa mama Kizimkazi
😂😂😂😂😂😂
Ila uyu jamaa😂
doto magari 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kote umeweza sasa fanya zoezi la kutafuta nyumba ya maana kule unapokaa uchochoroni kunakushushia hadhi hama huko,wenzako wanaoenda China wanaishi nyumba za maana
😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
Acha kuwaponda waruguru ! Hao ndio baba zako kama hujui waulize wakubwa watakuelimisha ! Hats kizimkazi wapo pamoja na mama !
Kila siku umnamuhoji uyo uyo
Huyu mwandishii kila siku dotto huna mtu mwingine
Machawa mna shida
Ndiyo hivyo wanatoboa kimaisha we endelea kuwaita chawa
We Selina UNAONEKANA unaumia sana NAWE c utafute KITU Chako kaaah mwaka mpya na chuki ndio Mungu kampangia mwenzio njia ya kupata ridhiki we dada jishtukie basi chuki za Nini ukute we huna chochote HAPO ulipo
@@ticia950asante kwa jibu zuri jina lenyewe la kuja hilo selina 😂😂😂
@@zulekhasaud483 yaani MTU anatumia jasho lake kula AFU MTU mwingine akasirike kama raisi NAE atafute uchawa tumuone humu binadamu tuna chuki sana ndio maana hatufanikiwi Kwa kweli mwaka mpya ndio kwanza januari tarehe 3 MTU anaaza na chuki Ivi December itakuwaj nyie
chini ni mji 😂😂
😅😅😅😅 mbona mjiii😂
Mbona chinii 😂
Dotto hio Tshirt naipataje mkuu..??
Wewe Ndugu mwandishi umeanza kufanya Comedy , kwanin aulizi Mambo y msingi
Mbona una kaa Kari bu na Choo sifa kib ao
We unakaa karibu na Nini mbwa wewe Kazi KUSEMA watu makwenu mmepaficha nyooo
Chuki za kiswahili kwani wewe upo mbali na choo !yatenge Basi makalio
@@zabibukayunga1912 yaaani watu adi mwaka mpya wanaaza na chuki utafikiri ashawai fika Kwa UYO doto kama huna huna tuu badala ya kuomba Mungu mwaka uanze vzr anaanza na chuki
Mbona sie tuna lala na choo ndani acha makasiliko ww wakuja na basi ubungo mwaka mpya wa anza nachuki duh aibu mtt wakike .Pole sanaaa ngoja niwahi kwa mwamposa mie😂😂😂
Hatufeki Maisha. Tuliaaaa
Umemuiga baba lev o na mwijaku