SIKIA DHARAU ZA DOTTO MAGARI BAADA YA KUTOKA CHINA / AWASAMEHE BILLNASS NA LAVALAVA / SIENDI POLISI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 01. 2024
  • SIKIA MWANZO MWISHO ALICHOKISEMA DOTTO MAGARI BAADA YA KUTOKA CHINA AWALETEA DHARAU BILLNASS NA LAVALAVA AWASAMEHE HAENDI MAHAKAMANI TENA TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
    #manaratv #hajimanara #diamondplatnumz #dottomagari #lavalava #billnass
  • Zábava

Komentáře • 61

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Před 6 měsíci +2

    Na Hapa Ipo Kizimkaz🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DoriceSawaki-vg4sb
    @DoriceSawaki-vg4sb Před 6 měsíci +10

    I wish nkutane na doto ananiinspire kufnya kazi San. Ofsi zake zikowap Kwa wanaowapafaham

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 6 měsíci +5

    Haaaaa dotto auna baya ishi maisha yako

  • @asiliyetuonlinetv5063
    @asiliyetuonlinetv5063 Před 6 měsíci +4

    Mwandishi ongeza misamiati ya kingereza by the way zinakuwa nyingi sana

  • @LaurentMadembwe-tm7qr
    @LaurentMadembwe-tm7qr Před 6 měsíci +1

    Uyuu mwamba mbunifu sana na hapa hipoo ukihitajika utaitwa

  • @ahmedclassic9590
    @ahmedclassic9590 Před 5 měsíci

    Wasengeeeee maviiiii

  • @softtlipssTv
    @softtlipssTv Před 6 měsíci +3

    Kujeni KENYA 📺🏃‍♂️🇰🇪

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 Před 6 měsíci +6

    Huko japani utaenda kuzama kwenye tetemeko 😂😂

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před 6 měsíci +3

    Jamaa kawafunika kina mwinjaku

  • @mkudesimba9518
    @mkudesimba9518 Před 5 měsíci

    Yani hao waruguru no watoto wamama kizimkazi ! Na hapa IPO nao !

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Před 6 měsíci +5

    Dotto keto😂😂😂😂.

  • @suleimankitango
    @suleimankitango Před 6 měsíci +3

    nakubali kk

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 6 měsíci +3

    Huyu msenge siku atoingia ikulu hhhhh😂😂😂 heee heee heeeee Tanzania itakaa juu chini hii

    • @stn4873
      @stn4873 Před 6 měsíci +1

      Pale Akihitajika ataitwa kwa Mama kizimkaz na apa ipo.

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 Před 6 měsíci +2

    Kuishi mjini ni akili tu jamaa anapepea huyo

  • @allymbwana1264
    @allymbwana1264 Před 6 měsíci +1

    Kweli mzaramo ujasoma lakini makini sana

  • @BarakaAndipa
    @BarakaAndipa Před 6 měsíci +1

    Njoo mtumba utamkuta dodoma dotto ypo

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 Před 9 dny

    China ni mji??

  • @josephatmaruka4612
    @josephatmaruka4612 Před 6 měsíci +1

    By the way ........

  • @jumamalembekasaidi4335
    @jumamalembekasaidi4335 Před 6 měsíci +1

    Mr by the way 😂 Kila swali By the way

  • @aminiayubu4199
    @aminiayubu4199 Před 6 měsíci

    Iyo inaitwa TOYOTA Fj CRUISER

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 6 měsíci +2

    dotto mtu bingwa sana

  • @henry1933
    @henry1933 Před 6 měsíci

    na hapa ipo

  • @mrsab303
    @mrsab303 Před 6 měsíci +1

    Funny guy love it ❤❤❤

  • @mitv90
    @mitv90 Před 6 měsíci +2

    Hata Mimi ni mtoto wa mama Kizimkazi

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před 6 měsíci +3

    😂😂😂😂😂😂

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Před 6 měsíci +2

    Ila uyu jamaa😂

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 6 měsíci

    doto magari 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm Před 6 měsíci +3

    Kote umeweza sasa fanya zoezi la kutafuta nyumba ya maana kule unapokaa uchochoroni kunakushushia hadhi hama huko,wenzako wanaoenda China wanaishi nyumba za maana

  • @veronicapatrice436
    @veronicapatrice436 Před 6 měsíci +2

    😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏

  • @mkudesimba9518
    @mkudesimba9518 Před 5 měsíci

    Acha kuwaponda waruguru ! Hao ndio baba zako kama hujui waulize wakubwa watakuelimisha ! Hats kizimkazi wapo pamoja na mama !

  • @user-dc3di5gu8d
    @user-dc3di5gu8d Před 6 měsíci

    Kila siku umnamuhoji uyo uyo

  • @Victor-rb8yc
    @Victor-rb8yc Před 6 měsíci

    Huyu mwandishii kila siku dotto huna mtu mwingine

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Před 6 měsíci +4

    Machawa mna shida

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 Před 6 měsíci +1

      Ndiyo hivyo wanatoboa kimaisha we endelea kuwaita chawa

    • @ticia950
      @ticia950 Před 6 měsíci +1

      We Selina UNAONEKANA unaumia sana NAWE c utafute KITU Chako kaaah mwaka mpya na chuki ndio Mungu kampangia mwenzio njia ya kupata ridhiki we dada jishtukie basi chuki za Nini ukute we huna chochote HAPO ulipo

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 Před 6 měsíci

      ​@@ticia950asante kwa jibu zuri jina lenyewe la kuja hilo selina 😂😂😂

    • @ticia950
      @ticia950 Před 6 měsíci

      @@zulekhasaud483 yaani MTU anatumia jasho lake kula AFU MTU mwingine akasirike kama raisi NAE atafute uchawa tumuone humu binadamu tuna chuki sana ndio maana hatufanikiwi Kwa kweli mwaka mpya ndio kwanza januari tarehe 3 MTU anaaza na chuki Ivi December itakuwaj nyie

  • @badymedia9648
    @badymedia9648 Před 6 měsíci +2

    chini ni mji 😂😂

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 Před 6 měsíci +1

    Dotto hio Tshirt naipataje mkuu..??

  • @ASALABOY
    @ASALABOY Před 6 měsíci

    Wewe Ndugu mwandishi umeanza kufanya Comedy , kwanin aulizi Mambo y msingi

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Před 6 měsíci +3

    Mbona una kaa Kari bu na Choo sifa kib ao

    • @ticia950
      @ticia950 Před 6 měsíci

      We unakaa karibu na Nini mbwa wewe Kazi KUSEMA watu makwenu mmepaficha nyooo

    • @zabibukayunga1912
      @zabibukayunga1912 Před 6 měsíci

      Chuki za kiswahili kwani wewe upo mbali na choo !yatenge Basi makalio

    • @ticia950
      @ticia950 Před 6 měsíci

      @@zabibukayunga1912 yaaani watu adi mwaka mpya wanaaza na chuki utafikiri ashawai fika Kwa UYO doto kama huna huna tuu badala ya kuomba Mungu mwaka uanze vzr anaanza na chuki

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 Před 6 měsíci

      Mbona sie tuna lala na choo ndani acha makasiliko ww wakuja na basi ubungo mwaka mpya wa anza nachuki duh aibu mtt wakike .Pole sanaaa ngoja niwahi kwa mwamposa mie😂😂😂

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Před 6 měsíci

      Hatufeki Maisha. Tuliaaaa

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Před 6 měsíci +2

    Umemuiga baba lev o na mwijaku