DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO JUMA LOKOLE / NAWAPELEKA POLISI / WAMENIDHALILISHA SANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 08. 2024
  • SIKIA MWANZO MWISHO DOTTO MAGARI ALIVYO WAWASHIA MOTO JUMA LOKOLE NA KWISA BAADA YA KWENDA KUONESHA ANAPOISHI / NAWAPELEKA POLISI / WAMENIDHALILISHA SANA TAZAMA HAPA FULL ENTERVIEW
    #manaratv #dottomagari #jumalokole #hajimanara #wasafifm #wasafitv
  • Zábava

Komentáře • 95

  • @hajikhamis3288
    @hajikhamis3288 Před 8 měsíci +16

    Njooo Zanzibar muwaone matajiri WANAPO kaaa ....na wanaranda na ndaraaa wakati pesaa ipoo kwenyee mkobaaa WA ukiliii

    • @khamisbk8569
      @khamisbk8569 Před 8 měsíci

      Umeonaeeeee yaan wale wazee WA kutokea Nungwi😊😊😊😊😂😂😂😂😂

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 Před 8 měsíci +3

    Dotto naomba nikushauri mdogo wangu interview zako fanya mara 3kwa wiki mfano jumatatu, jumatano na ijumaa,hiyo itakuweka kwenye game kwa mda mrefu,interview za kila siku watu watakuzoea utapoteza umaarufu,huo ni ushauri tu

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 8 měsíci +1

    Dotto Ketto, oya oya , yaani brand ndo linazidi kupepea jambazi langu...!..big up

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 Před 8 měsíci +18

    Huyu jamaa hata kama una stress zinaisha hapo hapo

  • @sarafinatenga6466
    @sarafinatenga6466 Před 8 měsíci +5

    Mikono ya dotto na binzari zake mimi hoiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hajikhamis3288
    @hajikhamis3288 Před 8 měsíci +9

    Hakuna brand ilochafuka wakeee ni watumwaaatuu maishaa ni popote hivii mmnazani tajri yake hawezi mpaaa pakukaaa pazuri lakn huenda kashataka kumpaaa lakn mwamba hapendi hayo mambo ....na walaaa usiwashtaki ndugu ukigombana na wanawakee na WW itakuaaa mwanamke ...tukopamoja sanaaa

  • @maisarah6819
    @maisarah6819 Před 8 měsíci +2

    Huyu mtu ashaanza kunitoa stress saii,mchawi bando tuu apa😂😂😂😂

  • @kivuswahilitv6833
    @kivuswahilitv6833 Před 8 měsíci +4

    MTU mhimu sana huyu doto stress hazina nafasi

  • @DaimaMwasile-wm2ii
    @DaimaMwasile-wm2ii Před 5 měsíci

    Dotto magari 🦁🦁

  • @JacklineNamundengozi
    @JacklineNamundengozi Před 8 měsíci +1

    Dotto ❤🔥

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 8 měsíci +2

    Jamaa Dotto magari kabananishwa ndio maana kapawa.

  • @kaparohafidh2915
    @kaparohafidh2915 Před 8 měsíci +5

    Uyu jamaa ilimuuma sana

  • @mdmohammed9411
    @mdmohammed9411 Před 8 měsíci

    Ila doto❤❤❤

  • @VeroAkyoo-kr1tk
    @VeroAkyoo-kr1tk Před 8 měsíci

    Sasa kama unapesa ndo mke wako akae pabaya ivo mwanamke unaependa mmmh mungu akufanyie wepesi

  • @KhalimaSaid-hx4tc
    @KhalimaSaid-hx4tc Před měsícem

    Jaa yupo frexh ila By the way nying sana kila wakat lazima aziweke aaaah aiko ivo

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 Před 8 měsíci +1

    ulijiskia vby walivyopajua kwako dotto

  • @lweyendelabenito
    @lweyendelabenito Před 7 měsíci

    eti yondo sister😂😂😂😂

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 Před 8 měsíci

    Infolensa❌ influencer☑

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Před 8 měsíci +2

    We fala siulikataa siyo kwako ni kwa mama mkwe wako😂😂😂😂😂

  • @sadickshabankiloya4622
    @sadickshabankiloya4622 Před 8 měsíci +1

    Hizo pete alipewa zawad nn maana anahojiwa akili yake yote inawaza ahojiwe kuhusu pete

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Před 8 měsíci

    khaaa kumbe kuna masaki ya chini daa nilikuwa sijui

  • @jaydenbedas5729
    @jaydenbedas5729 Před 8 měsíci +2

    Kama ulifuatwa yawezekana hata chief Godluve sio yake ile nyumba

    • @swissvany55
      @swissvany55 Před 8 měsíci

      Ile ya chief NI yake mzee...tulipaka rangi ndani Ile nyumba na yy ndo alitulipa

  • @AbdulMahmud-ut7ee
    @AbdulMahmud-ut7ee Před 8 měsíci +3

    Namkubali Sanaa kizimkazi

  • @beyondmediatz1607
    @beyondmediatz1607 Před 8 měsíci

    Kwa nn asiandike nimeleft group😅😅

  • @sarafinatenga6466
    @sarafinatenga6466 Před 8 měsíci

    Kwa mama kizimkazi😂😂😂😂😂😂😂

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 8 měsíci

    Ehhh

  • @user-on6eb7ty2r
    @user-on6eb7ty2r Před 8 měsíci

    Pakulala ana anajiona zalau adi Kwa wana

  • @furaiNvita
    @furaiNvita Před 7 měsíci

    Hapa ipoo😅😅😅😅😅

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Před 8 měsíci +1

    Huyu mdgo ake Bambo 😂

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 Před 8 měsíci +4

    Fanya yako ila epuka kumtajataja ovyo Rais itakuja kukugharimu

    • @chibudenga8977
      @chibudenga8977 Před 8 měsíci

      Uzuri wake hamjasema Vibaya

    • @JumaJuma-fu7ji
      @JumaJuma-fu7ji Před 8 měsíci

      Sasa kitamgalimu nn Si raisi wake au nikosa kisheria kumtaja raisi kwania njema

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Před 8 měsíci

    Hapo sasa

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Před 8 měsíci

    Kweli juma kaenda kufirwa akapata renji na hata chuma cha chuma kasema hana muda ataachia saiti za juma akiwa maeneo nabaya kwaio doto kusema juma kahalibiwa duniani nikweli kabisa

  • @user-ww9gd8pb7o
    @user-ww9gd8pb7o Před 8 měsíci +2

    Unaongea sana, unaishi pabaya. Uza magild utengeneze unapoishi. Unaongea sana utafikiri babu kubwa. Uwapeleke police kwanini? Punguza kujidai tengeneza unapoishi.

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow Před 8 měsíci

      Fanya kitu inapenda so utumwa achen mambo fake

    • @user-ww9gd8pb7o
      @user-ww9gd8pb7o Před 8 měsíci

      @@najmasalim-rg6ow ukimsikia anavyojimwambafai utrafili anaishi kwenye mention, kumbe uchocholoni. Wamwmkomoa, naungana I CU leo. Watu wa Jitahidi kimaisha sio maneno tu.

  • @saidirandon
    @saidirandon Před 8 měsíci +1

    Oya mtt wa kzmkaz aunabaya kaka🎉🎉

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Před 5 měsíci

    Mtangazaji kubali kuwa wewe mshamba. Kila vazi linamahali pake na kila mahali kuna vazi lake. Kila nguo inawakati wake na kila wakati una nguo yake. Utavaaje track suit ukiwa kazini kwani upo kwenye physical exercise. Kubali weeee bonge la mshamba na joto la Dar.

  • @user-fp4ru5qh3p
    @user-fp4ru5qh3p Před 8 měsíci

    😂kaharibiwa

  • @MSABAHATECH-lc4rk
    @MSABAHATECH-lc4rk Před 8 měsíci

    Doto kumbe ulikua unacheka Cheka wakati moyoni imekuuma

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Před 8 měsíci +1

    Anaonesha silaa

  • @Moosamly
    @Moosamly Před 8 měsíci

    DOTO MAGARI unayumba unavaa MSALABA

  • @changarawemichael5556
    @changarawemichael5556 Před 8 měsíci +1

    Infulensa mtoto wa mama kizimkazi😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @robinsonphilip7393
    @robinsonphilip7393 Před 8 měsíci

    kichaaaaa huyo

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 8 měsíci +1

    Hili jamaa shindikaanaaa

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 Před 8 měsíci

    Huyu mtangazaji bado kabiisa hajui kitu😊

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 Před 8 měsíci

    Kwaio Juma lokole aliharibiwa?

  • @user-on6eb7ty2r
    @user-on6eb7ty2r Před 8 měsíci

    Kifala tu akina mpango wwt

  • @witnesskagirigiri3763
    @witnesskagirigiri3763 Před 8 měsíci +1

    Usianzishe ugomvi wakati unaishi nyumba ya vioo .Dotto kaumbuka ukweli unauma .Kweli Mzee wa binzari anaishi kwenye Banda la kuku.

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 Před 8 měsíci

    Ukaguzi wa slaha

  • @user-mz3vu5jm5f
    @user-mz3vu5jm5f Před 8 měsíci +1

    Ujue watu awamjui doto magari maana doto ananyumba town alafu siyo mshamba alafu ataki kufosi maisha

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 8 měsíci +1

    Kujisifu silaha kila muda iko siku utauwa wewe

    • @JumaJuma-fu7ji
      @JumaJuma-fu7ji Před 8 měsíci

      😅😂🤣akina lokole wampite mbali man dotto inaonekana ni mtu wakisasi

  • @nasraswakala
    @nasraswakala Před 8 měsíci

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @WycliffDonald
    @WycliffDonald Před 8 měsíci +1

    maisha ni kujikubali tu kwahiyo hamna shida popote kambi

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 8 měsíci

    Vinguo kama mkono wa gita

  • @user-nl5mm5pu1g
    @user-nl5mm5pu1g Před 8 měsíci +1

    Achana nao doto juma lokole Kuna mtu yupo Dubai anateta posa mwanamke achana nae juzi hakuvaa suruwali kavaa chupi unajuwa yule ni mwanamke achana nae

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 8 měsíci

    Nashangaa kila muda silaha kuinadi shetani atakushawisho uuwe

    • @allybobsaith
      @allybobsaith Před 8 měsíci

      Aaah wewe hio ni simu kitochi😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv Před 8 měsíci +1

      Hana lolote huyu comedy

  • @user-we2zc8sp7r
    @user-we2zc8sp7r Před 8 měsíci +1

    Mwamba Yuko sahihi hao ni washamba tu kwako ni kwako kwenu ni kwenu achana na hao mashoga

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před 8 měsíci +3

    Mguu wa kuku ni kwa ajili ya wale wanaokuja nyumbani kwako bila taarifa,wamevaa vinguo vimewawamba.🤣😆🤣😆🤣🤣🤣🤣
    Napenda kumsikiliza Dotto,ana vijimisemo na vinachekesha.

  • @user-yl8yp6vy8c
    @user-yl8yp6vy8c Před 8 měsíci

    doto keto

  • @davidrulobhavako8551
    @davidrulobhavako8551 Před 8 měsíci

    Huyu ndiye Dotto magari hizo kunguni piga chini

  • @DiabTutty-ke9bs
    @DiabTutty-ke9bs Před 8 měsíci +2

    Uķwapeleka polisi na wewe pia utakamatwa maana umemdhalilisha juma na maneno na kashfa zako,wakati wenzio wapo kazini,kwenda zako minywele kma kichaa

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 Před 8 měsíci

      Ss kamzalilisha au kajizalilisha kwan alimuedit au kavaa mwenyew? Unajua kuzalilisha mtu au ndio wale wale

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 Před 8 měsíci

      Huyu nae kapaniki mbona yeye anawadoboaga wenzie

    • @svt3
      @svt3 Před 8 měsíci

      ​@@nassleydady5783 Pia ICU hawaja shush brand yake au nini hapo Gadulo ndio kwake aache kupiga kelele anapesa wakati haana

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 Před 8 měsíci

      @@scholamodestus9386 ss apo nan kapanik mm nimeuliza kazaliliswa au kajizalilisha mm natak kujua mana mtumzima kuvaa kinjunga alaf useme umezalilishwa kwel ni akil

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 Před 8 měsíci

      @@nassleydady5783 hujanielewa....nimemaanisha doto kapaniki watu kujuwa anapokaa ila yeye kuwachamba wenzie anaona raha

  • @mohdmbarouk8116
    @mohdmbarouk8116 Před 8 měsíci

    Doto magar amenyooka

  • @hajikhamis3288
    @hajikhamis3288 Před 8 měsíci

    Tukoo pamojaaa pambaanaaa mzeee waachee haoo madooo ya fruit

  • @niyakhalid5650
    @niyakhalid5650 Před 8 měsíci

    Huyu jamaa anakaa chokora

  • @JacklineNamundengozi
    @JacklineNamundengozi Před 8 měsíci

    Dotto ❤🔥

  • @beyondmediatz1607
    @beyondmediatz1607 Před 8 měsíci

    Kwa nn asiandike nimeleft group😅😅

  • @salumhamad8949
    @salumhamad8949 Před 8 měsíci

    huyu jamaa chizi zimejaa pumba kichwani. lembukeni tajiri huwa haonyeshi pesa ovyo.

    • @allybobsaith
      @allybobsaith Před 8 měsíci

      Tatizo wewe huna, wewe kama ICU

    • @user-ww9gd8pb7o
      @user-ww9gd8pb7o Před 8 měsíci

      Kweli. Alikuwa anajiona kumbe anaishi vibaya hivyo.

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před 8 měsíci

      Aliyeee kwambiaa doto Tajiri nani yy hapo anagangaaa njaaa tuuuu

  • @beyondmediatz1607
    @beyondmediatz1607 Před 8 měsíci

    Kwa nn asiandike nimeleft group😅😅