DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO JUMA LOKOLE / NAWAPELEKA POLISI / WAMENIDHALILISHA SANA
Vložit
- čas přidán 3. 08. 2024
- SIKIA MWANZO MWISHO DOTTO MAGARI ALIVYO WAWASHIA MOTO JUMA LOKOLE NA KWISA BAADA YA KWENDA KUONESHA ANAPOISHI / NAWAPELEKA POLISI / WAMENIDHALILISHA SANA TAZAMA HAPA FULL ENTERVIEW
#manaratv #dottomagari #jumalokole #hajimanara #wasafifm #wasafitv - Zábava
Njooo Zanzibar muwaone matajiri WANAPO kaaa ....na wanaranda na ndaraaa wakati pesaa ipoo kwenyee mkobaaa WA ukiliii
Umeonaeeeee yaan wale wazee WA kutokea Nungwi😊😊😊😊😂😂😂😂😂
Dotto naomba nikushauri mdogo wangu interview zako fanya mara 3kwa wiki mfano jumatatu, jumatano na ijumaa,hiyo itakuweka kwenye game kwa mda mrefu,interview za kila siku watu watakuzoea utapoteza umaarufu,huo ni ushauri tu
Dotto Ketto, oya oya , yaani brand ndo linazidi kupepea jambazi langu...!..big up
Huyu jamaa hata kama una stress zinaisha hapo hapo
0:48 0:48 0:48 0:48 0:48
Kabisa babu
Daaaaah kweli kabisaaaa
😂😂😂
Mikono ya dotto na binzari zake mimi hoiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna brand ilochafuka wakeee ni watumwaaatuu maishaa ni popote hivii mmnazani tajri yake hawezi mpaaa pakukaaa pazuri lakn huenda kashataka kumpaaa lakn mwamba hapendi hayo mambo ....na walaaa usiwashtaki ndugu ukigombana na wanawakee na WW itakuaaa mwanamke ...tukopamoja sanaaa
Huyu mtu ashaanza kunitoa stress saii,mchawi bando tuu apa😂😂😂😂
MTU mhimu sana huyu doto stress hazina nafasi
Dotto magari 🦁🦁
Dotto ❤🔥
Jamaa Dotto magari kabananishwa ndio maana kapawa.
Uyu jamaa ilimuuma sana
Ila doto❤❤❤
Sasa kama unapesa ndo mke wako akae pabaya ivo mwanamke unaependa mmmh mungu akufanyie wepesi
Jaa yupo frexh ila By the way nying sana kila wakat lazima aziweke aaaah aiko ivo
ulijiskia vby walivyopajua kwako dotto
eti yondo sister😂😂😂😂
Infolensa❌ influencer☑
We fala siulikataa siyo kwako ni kwa mama mkwe wako😂😂😂😂😂
You are just a hater leave Dotto alone 😏
Hizo pete alipewa zawad nn maana anahojiwa akili yake yote inawaza ahojiwe kuhusu pete
khaaa kumbe kuna masaki ya chini daa nilikuwa sijui
Kama ulifuatwa yawezekana hata chief Godluve sio yake ile nyumba
Ile ya chief NI yake mzee...tulipaka rangi ndani Ile nyumba na yy ndo alitulipa
Namkubali Sanaa kizimkazi
Kwa nn asiandike nimeleft group😅😅
Kwa mama kizimkazi😂😂😂😂😂😂😂
Ehhh
Pakulala ana anajiona zalau adi Kwa wana
Hapa ipoo😅😅😅😅😅
Huyu mdgo ake Bambo 😂
Fanya yako ila epuka kumtajataja ovyo Rais itakuja kukugharimu
Uzuri wake hamjasema Vibaya
Sasa kitamgalimu nn Si raisi wake au nikosa kisheria kumtaja raisi kwania njema
Hapo sasa
Kweli juma kaenda kufirwa akapata renji na hata chuma cha chuma kasema hana muda ataachia saiti za juma akiwa maeneo nabaya kwaio doto kusema juma kahalibiwa duniani nikweli kabisa
Unaongea sana, unaishi pabaya. Uza magild utengeneze unapoishi. Unaongea sana utafikiri babu kubwa. Uwapeleke police kwanini? Punguza kujidai tengeneza unapoishi.
Fanya kitu inapenda so utumwa achen mambo fake
@@najmasalim-rg6ow ukimsikia anavyojimwambafai utrafili anaishi kwenye mention, kumbe uchocholoni. Wamwmkomoa, naungana I CU leo. Watu wa Jitahidi kimaisha sio maneno tu.
Oya mtt wa kzmkaz aunabaya kaka🎉🎉
Mtangazaji kubali kuwa wewe mshamba. Kila vazi linamahali pake na kila mahali kuna vazi lake. Kila nguo inawakati wake na kila wakati una nguo yake. Utavaaje track suit ukiwa kazini kwani upo kwenye physical exercise. Kubali weeee bonge la mshamba na joto la Dar.
😂kaharibiwa
Doto kumbe ulikua unacheka Cheka wakati moyoni imekuuma
Anaonesha silaa
Hana silahaaa anafurahishaaa tuu watuuu
DOTO MAGARI unayumba unavaa MSALABA
Ulitaka avae nn
Infulensa mtoto wa mama kizimkazi😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Na hapa ipo😂
kichaaaaa huyo
Hili jamaa shindikaanaaa
Huyu mtangazaji bado kabiisa hajui kitu😊
Anajua bhana
Kwaio Juma lokole aliharibiwa?
Kifala tu akina mpango wwt
Usianzishe ugomvi wakati unaishi nyumba ya vioo .Dotto kaumbuka ukweli unauma .Kweli Mzee wa binzari anaishi kwenye Banda la kuku.
Pambee tu Almuhim maokoto yapo
Ukaguzi wa slaha
Ujue watu awamjui doto magari maana doto ananyumba town alafu siyo mshamba alafu ataki kufosi maisha
Kujisifu silaha kila muda iko siku utauwa wewe
😅😂🤣akina lokole wampite mbali man dotto inaonekana ni mtu wakisasi
🤣🤣🤣🤣🤣
maisha ni kujikubali tu kwahiyo hamna shida popote kambi
Vinguo kama mkono wa gita
Achana nao doto juma lokole Kuna mtu yupo Dubai anateta posa mwanamke achana nae juzi hakuvaa suruwali kavaa chupi unajuwa yule ni mwanamke achana nae
Nashangaa kila muda silaha kuinadi shetani atakushawisho uuwe
Aaah wewe hio ni simu kitochi😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hana lolote huyu comedy
Mwamba Yuko sahihi hao ni washamba tu kwako ni kwako kwenu ni kwenu achana na hao mashoga
Mguu wa kuku ni kwa ajili ya wale wanaokuja nyumbani kwako bila taarifa,wamevaa vinguo vimewawamba.🤣😆🤣😆🤣🤣🤣🤣
Napenda kumsikiliza Dotto,ana vijimisemo na vinachekesha.
doto keto
Huyu ndiye Dotto magari hizo kunguni piga chini
Uķwapeleka polisi na wewe pia utakamatwa maana umemdhalilisha juma na maneno na kashfa zako,wakati wenzio wapo kazini,kwenda zako minywele kma kichaa
Ss kamzalilisha au kajizalilisha kwan alimuedit au kavaa mwenyew? Unajua kuzalilisha mtu au ndio wale wale
Huyu nae kapaniki mbona yeye anawadoboaga wenzie
@@nassleydady5783 Pia ICU hawaja shush brand yake au nini hapo Gadulo ndio kwake aache kupiga kelele anapesa wakati haana
@@scholamodestus9386 ss apo nan kapanik mm nimeuliza kazaliliswa au kajizalilisha mm natak kujua mana mtumzima kuvaa kinjunga alaf useme umezalilishwa kwel ni akil
@@nassleydady5783 hujanielewa....nimemaanisha doto kapaniki watu kujuwa anapokaa ila yeye kuwachamba wenzie anaona raha
Doto magar amenyooka
Tukoo pamojaaa pambaanaaa mzeee waachee haoo madooo ya fruit
Huyu jamaa anakaa chokora
Dotto ❤🔥
Kwa nn asiandike nimeleft group😅😅
huyu jamaa chizi zimejaa pumba kichwani. lembukeni tajiri huwa haonyeshi pesa ovyo.
Tatizo wewe huna, wewe kama ICU
Kweli. Alikuwa anajiona kumbe anaishi vibaya hivyo.
Aliyeee kwambiaa doto Tajiri nani yy hapo anagangaaa njaaa tuuuu
Kwa nn asiandike nimeleft group😅😅