Afu sjui kwann namkubali dot to margarita bro nakukubali tu yan you’re so really japo funny maker but ivo ulivo tu bro upo makin sana Mwenyezi Mungu akulinde
Mara ya kwanza kusikiya mwananchi wa Tanzania kusupport Rais wake 🇹🇿 . Ama kweli hutochukiwa na wote na hutopendwa na wote. Mr. Doto Mungu atakubarik kwa imani yako.
Kwani Diamond Platnumz kamnyanyapaa au kamsimanga au kajisifia kuwa yeye kawatoa wasanii kadhaa kwa kujionesha ukubwa wake na proud kwa alio watoa jamani
Usinde doto wao wanasoma wapate Kaz nzuli na mishahara mkubwa Sasa tayari mafungu unayo wachie degree zao waacha waamke alufajiri we subiri sim iiite uingize nyingi million
Hata unapomsaidia mtu utakiwi kujisifia kwa imani ya nasibu na rajabu 🙏🏻🙏🏻🤝🤝
Firauni mjaaalaanaa mange afe tu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥mpe dozi🔥🔥🔥🔥mchukue manyaunyau atimbe marekani atume kimbunga ajichinje bila kuchinjwa mamaeeeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥
Afu sjui kwann namkubali dot to margarita bro nakukubali tu yan you’re so really japo funny maker but ivo ulivo tu bro upo makin sana Mwenyezi Mungu akulinde
Doto. Unanichekesha sana.nimefurah. big up sana
Hapa Bongo bila Mondi hakuna kitu kinaenda 😮
Kweli kakosea sana kwani anakosagani mama samia mimi nampeda raisi wangu❤❤❤ i
Aweeeee mtoto wa mama kizimu kazi a.k dotto magari nakukubali mbk bc yani ❤
Dogo 24 nakubali kueneza k 100
Kaka nimekubali ww hatar Sana mungu akujarie maisha mema good san
Mamaaaaaaeeeeeeeee Doto love you bro❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣
Mara ya kwanza kusikiya mwananchi wa Tanzania kusupport Rais wake 🇹🇿 . Ama kweli hutochukiwa na wote na hutopendwa na wote. Mr. Doto Mungu atakubarik kwa imani yako.
Big brother
Kapendeza sana tatz nywele tu ndo zinamfanya awe ovyo🤣🤣
Masomo mengi kuliko ajira dah
Saluti kwako big up
Big up brother Dotto 💪💪💪
Nakutumia maji ya kunywa🥤maana koo limekauka😂😂. Well done D. Magari👏👏💪
upo sahihi broo
Chawa mwny akili nyingi big up Bro una point Sana....
Kwani Diamond Platnumz kamnyanyapaa au kamsimanga au kajisifia kuwa yeye kawatoa wasanii kadhaa kwa kujionesha ukubwa wake na proud kwa alio watoa jamani
Mbn davido hajproud hvyo au kusema kwny interviews zke kwamba alimtoa diamond kimataifa
Apooo chachaaaa dotooo nakukubariii uyuuu mangee kaikanyagaaa
Nakukubali sana kaka angu❤
Nakubali doto
Hahaha nimecheka bila kupenda wallah 🤣🤣🤣🤣
Dotto upo sawa kabisa.huyu mange kavuka mpaka
Kk 🎉🎉🎉🎉🎉uko point sana
Big up xan brother😂😂😂
Ukweli
😂😂😂😂kweli huyu ndo kiboko ya mange ,tupo pamoja
Upo sahihi Doto,,Fidodido kazidi
Asante
sema doto mkweli sana
Unanifurahishaga sana kaka Doto wacyokpnda ww haziwatoshi aisee
Doto kakazania kuoneshwa maumbile yake😂😂😂
Jump jump who are you some people they 🙌
Ndoto magari aaaaaa unasubuwaaaaaaas
😂😂😂😂 ila dotto noma sanaa nakubali sanaa🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Wazee wa kitaaa lazima tumuelewe really gangster
😂😂😂😂😂ajifiche voo❤
Kweli amezinguwa bana ninmshenzi sana yule mtt
Nimecheka jmn anavyochambwa mangi😂😂😂😂😂😂
Kusikia kibamia mie hoi 😄😃😀😃😄😃😀😃😄🤣🤣😅🤣😅🤣😅
Unabaya dotto
Ditto mweu sana
Jamani wa TZ Muna maneno muwe kama ss wa congo
Kongo mavita mutaongea wakati gani
Nikweli
Fidodidoooo😂😂😂
Ahhhhh doto jetii
Doto masifa tu
Usinde doto wao wanasoma wapate Kaz nzuli na mishahara mkubwa Sasa tayari mafungu unayo wachie degree zao waacha waamke alufajiri we subiri sim iiite uingize nyingi million
Masomo mengi kushinda ajiraaa😂😂😂😂ila dotto
Wazamo wanatabia yakujisifu kama wa congo 😂😂😂😂😂
Kitambi chaa minyoo😂😂😂
Jamaa kachemka ghafla tu😂😂 dah,ilah doto bana😅
Who are you some people day😂😂😂
Hahaha jamani hapo kwny Tanesco 😂😂😂😂
Jamani musikuze Jambo hajamtaja hermonize peke yke
😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉Mzaramo ashindwi wewe 😂😂apo kwenye kibichwa sasa 😂😂😂
Dotto magari 😂😂 wewe inafaa you join Bongo movie
Ety mafundi😂😂😂😂😂😂😂😂kwan si aseme waganga tu😂😂😂😂😂😂😂😂
Jina linashusha brand mafundi wanajitokeza watu wakiibiwa simu 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂akii
Mungu azidi kujificha tufanikiwe😂😂😂😂
Hii bigwa hii ya kinoko hii
Soma uandish wa habar kaka umeshafahamika rahis kupata Kaz kwenye redio hapo town ukaendeleza michongo yako
Kubali kasome, uongeze huu a yooo
English college 😂😂😂😂😂
Kaka doto njiti gani lakini😂😂😂😂
Mshamba mshamba tu
Doto wambiye ukweli siyokilasiku unamzungumziya mtu uliyemsaidiya atamungu apendi. Daimond aache tabiya iyo ata naweye ulisaidiwa mbona hujasemwa ukilala ukiamka unamuongeleya mwenzako
Shukrani sana kwakusema ukweli.. pia DOTTO anasema kweli na anaishi real sio fake life..namkubali sana Doto❤❤
hueleweki unachoongeaa ......SIMBA
Lini umemchoka mama yako kila siku anawaambia watu kakuzaa yeye??
@@MrTop-wj7no mama ni mama sio msanii huyo ni mama..hapa tunaongelea kumsaidia mtu nakumsema Kila wakati kuwa ulimsaidia
Kitumbo hicho kinakunyemelea. Fanya mazoezi utaumia.
Jmn kakq doto nimecheka cn leo kusikia icho kibamia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅🤣😅🤣😅🤣😅😂 ndio mange Ana Adabu mshenzi cn yule dada
Naona kaja kivengine
Dotto msenge malizia kichogo km zuchu😂😂😂😂
AKAUNTI YA MANGE IKIRUDI AKAENDELEA NA UO UNGESE,,NDO NTAAMINI HAMNA CHA KUMFANYA UYO NJITI
Manno mengi nasifu
Njiti kasikia😂😂😂
Magari ya bukoba tena😢 mi staki nimenuna
Nenda kasome baba angu
Doto mwsho 🤣🤣🤣🤣 nmechekaa 🤣🙌
Jiti hana adabu
Waandishi wa bongo bwana uchochozi mwingi,diamond hakusema kama jamaa lilivyosema
Kweli Mange alivuka mipaka kweli
Apo kwa raisi doto umenena point mange mjinga Sana marekani inamlea vibaya
Utaota hela
huyo jamaa a najuwa Mapezi kweli yake
Dele niuzi
Diamond haijantokea, uyo mwenhewe diamond ndio kaleta shobo
Aki nikweli kabisa doto😂😂
KASOME ELIMU HAINA MWISHO!!
Maisha yapo kama tanesco nimecheke sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dotto magari ukifa uozi😂😂😂😂
Derenyuzi
Nimecheka apo mwisho na nyie waandishi kwendeni uko....yaani uyu...ndio Dotto ...magari . ..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
Redio handred
We Doto nipo charambe unanivunja mbavu
Tafutaa pesaa
Haaa usiende dotto
kasome lugha ya kiingereza
Sasa kama tunaishi Kwa maelekezo kunaubaya gang kusema nimekutoa kipi kibaya apo dogo konde boy naye ana vimba Sana.
Punguza tumbo hilo suti zitakushinda
Doto mdogo wangu big up uko vzr huna unafki unaongea ukweli
We mgese unadharau wasomo ngoja uuguwe mmkee wanakusubiri mihimbili kwa utajuwa.hujui