DOTTO MAGARI amlipua DIAMOND ALIKIBA KUZIDUA REDIO aache kuvimba KIBA havimbi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 03. 2024
  • East African number one CZcams channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
    KANUNI NA MUONGOZO
    Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
    NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
    WeAreEverywhere
    #entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande
  • Zábava

Komentáře • 200

  • @saula_brand
    @saula_brand Před 3 měsíci +15

    King kiba fans hapa na wanao muunga mkono DOTTO MAGARI hapaaaa

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Před 3 měsíci +20

    Waandishi mia3 wanakosoa maswali ya kumuhoji Dotto hadi anawachamba😂😂😂😂😂😂😂 Dotto hoyyeeeeeee

  • @user-xq5mx9if4w
    @user-xq5mx9if4w Před 3 měsíci +6

    Kama unamjua mtoto wa doto magari like hapa

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 Před 3 měsíci +7

    Asante sana Dotto Magari , hao waandushi wa habari ni makanjanja hawana weredi wowote ktk kuuliza maswali , umewashushua vizuri ni wapuuzi sana

  • @nicholausmukoji9720
    @nicholausmukoji9720 Před 3 měsíci +43

    Tatizo ni pale kila kitu mnataka kuwafananisha Ally na Diamond. Hawa ni binadamu, Mungu kawaumba tofauti na hivyo hawatokuja kufanana hata siku moja

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Před 3 měsíci +11

    Hatuna waandishi hapa. Mnashindwaje kumuuliza maswali muhimu

  • @Sadikisack-ey2tu
    @Sadikisack-ey2tu Před 16 dny +1

    King

  • @jigwafrankie9420
    @jigwafrankie9420 Před 3 měsíci +11

    Hakuna swali mtakaloliuliza likaonekana la maana kwake, mmekubali kumhoji kubalini yote, kuna namna anawadhalilisha.

  • @omaryjuma5204
    @omaryjuma5204 Před 3 měsíci +13

    Mngekua mnamuoji kitaaluma angewajibu vizuri sema mmemuoji kisela na yeye anawajibu kisela hakuna mlicho hoji hapo wala mlicho jibiwa 😮😮😮

    • @erickmbilinyi2056
      @erickmbilinyi2056 Před 3 měsíci

      😂😂😂😂

    • @erickmbilinyi2056
      @erickmbilinyi2056 Před 3 měsíci

      Siomeona ilo swali la nn wazimgatie kajibu vzr

    • @hashimsultan6760
      @hashimsultan6760 Před 3 měsíci +2

      Bro hiyo ndio wandishi wa bongo wana maswali hata mtoto mdogo anajibu hawana point hata moja ya kuliza yaani bado kabisa wana maswali ya kijinga sana

    • @moheregetema4136
      @moheregetema4136 Před 3 měsíci

      Dotto anakuhudumia jinsi unavyokuja

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Před 3 měsíci +3

    👑👑👑 king kiba respect kwake ##Dotto magari na hapa ipo😂😂😂

  • @JacksonJosephat-my6dg
    @JacksonJosephat-my6dg Před 17 dny +1

    Saf dotto magar

  • @moudy4realibrahim601
    @moudy4realibrahim601 Před 20 dny +1

    Na hapa ipoo

  • @AmaniHusseni-gz3xq
    @AmaniHusseni-gz3xq Před 2 měsíci +1

    Safi sana doti ma gari

  • @abubakarrajab4265
    @abubakarrajab4265 Před 2 měsíci

    TeamKiba for life 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊💯

  • @charleskadikilo1969
    @charleskadikilo1969 Před 3 měsíci +5

    BANGEEEE

  • @Kingstyvesayjj
    @Kingstyvesayjj Před 2 měsíci +2

    Dotto kaongea ukweli kbs

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 Před 3 měsíci +3

    😂😂😂😂😂😂 dotto magari hatari kwa kuogea ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 3 měsíci +7

    Na kweli kabisa king Kiba ni mstaarabu Sana

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 3 měsíci +7

    😂😂😂 Leo wandishi mume patikana yani nyote mwashindwa na doto mumoja tu 😅😅😅

    • @user-jk8qn4zi5t
      @user-jk8qn4zi5t Před 3 měsíci +3

      Yan huyu doto kama vile yeye ndo mwandishi🤣🤣

  • @benbest3095
    @benbest3095 Před 3 měsíci +5

    Ukimuuliza na wew unayo😂😂😂😂

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 3 měsíci +7

    Leo waandishi mmepatikana mnao penda kuchonganisha Adabu yenu Leo mnapenda Sana kufananisha na kuchonganisha 😅

  • @issaswalehe200
    @issaswalehe200 Před 3 měsíci +3

    nyinyi washamba hiyo ndiyo habar tofaut
    na wengin na nishavu kwa wandish...

  • @Starbrunodg
    @Starbrunodg Před 3 měsíci +13

    Komesha wandishi😂

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Před 3 měsíci +2

    Spendi Kufananisha Baina ya Ally Kiba na Diamond Plz
    Kila Mtu Anawapewa na Mungu na Kwawakati Wake

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 Před 3 měsíci +6

    Poleni sana anawadhalilisha ila ndio kazi kuwahoji watu kama hao kunahitaji busara

  • @sebastiankatalle2732
    @sebastiankatalle2732 Před 3 měsíci +3

    SEMA DOTTO NAWE UNABOA SANA

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Před 3 měsíci +1

    Hata mimi nimesafiri kuanzia mwaka 2011 brother it’s nothing kupanda ………?

  • @congratulationmayunga3833
    @congratulationmayunga3833 Před 3 měsíci +4

    Yani hiloo bichwa bhana etih mama mitano tenaa 🤣🤣 si tutakufa sasaa kwa mda huu tu tumeshanyooka 🤣🤣

  • @AbdulHassan-qz2ot
    @AbdulHassan-qz2ot Před 3 měsíci +1

    Unyama doto

  • @salimmtenzi1263
    @salimmtenzi1263 Před 3 měsíci +2

    Jamaa yuawatambia wanahabari kama watoto wake

  • @user-kd6vc6os2m
    @user-kd6vc6os2m Před 3 měsíci

    Sanaaa ditto magari nmekubalii sanaaa interview

  • @user-rd6od6fw5q
    @user-rd6od6fw5q Před 3 měsíci +1

    Nomaaa sana😂

  • @charletsada8779
    @charletsada8779 Před 3 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂nimecheka cz wamekipata leoo hawata mhoji tena,bt ameongea point sana.yaan hataki uchonganishi

  • @user-cz9zu7ur1h
    @user-cz9zu7ur1h Před 3 měsíci +1

    Wandishi wanaogopa ata kuhoji wasichezee vimondo😅

  • @jeykajimbo3191
    @jeykajimbo3191 Před 3 měsíci +2

    Yani Kila interview waonyesha hela😂

  • @mararegiononline3457
    @mararegiononline3457 Před 3 měsíci +1

    Jamaa anavimba sana amenikera

  • @raymondmango5128
    @raymondmango5128 Před 3 měsíci +2

    Tatizo doto ujasoma ata ukimtaja mama Kizimkazi mara 200 uwezi kupata kazi labda ubalozi nyumba kumi

  • @Hashkan22
    @Hashkan22 Před 3 měsíci +1

    Huyuu jamaa ni comedian bwanaa watu wasimchukulie serious anapenda kuongea sio kwamba anawadhalilisha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Před 3 měsíci +1

    😂😂😂😂😂doto magariii

  • @yadadkeybagenda5654
    @yadadkeybagenda5654 Před 3 měsíci +1

    Kama umefika mwisho alafu unagundua mtu muandishi anatafuna ulimi like apa 😂

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb Před 6 dny

    😂😂😂😂😂🎉 anawakomesha

  • @user-fc7mu9oj1f
    @user-fc7mu9oj1f Před 3 měsíci +1

    Wanaliya sana tu wamwache

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y Před 3 měsíci +1

    Ila Doto🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @summayessayah8584
    @summayessayah8584 Před 3 měsíci +2

    😂😂😂leo wamekutana na kiboko🤣🤣🤣🤣 yani Huyu 🤣🤣🤣🤣

  • @user-fc7mu9oj1f
    @user-fc7mu9oj1f Před 3 měsíci +1

    Kilasiku Niko nawambiya mkubwa nimkuba tu mashabiki acheni bifu Niko congo tunamkubali wala ajachelewa ok ajachelewa alikiba kazijema

  • @sirnyoniinspirationstv5327
    @sirnyoniinspirationstv5327 Před 3 měsíci +1

    Fikiria kama wote hatungesoma nani angefundisha mwanao na nani angekuwa daktari akutibu? Pesa si kila kitu, ukiweza ujanja ni kuwa navyo elimu na pesa na bado lazima utategemea

  • @jessemwathi9386
    @jessemwathi9386 Před 3 měsíci

    From kenya napenda jinsi unazvyo wajibu mablogas hao,,they squeeze too much

  • @user-sb1fs7wf8q
    @user-sb1fs7wf8q Před 3 měsíci

    Dotto Magari anawafundisha waandishi kazi 😆😆😆😆😆 safiiii

  • @elizabethmwafongo7829
    @elizabethmwafongo7829 Před 3 měsíci

    Sema waandishi hawana hasira duu amewachamba

  • @athanaswilliam6940
    @athanaswilliam6940 Před 3 měsíci +2

    Sio Kila mtu wa kumuhoji.... Mnaharibu tasnia kwa kudhalilishwa. Hamjitambui nyi waandishi

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 3 měsíci +3

      Sasa wajitambue kwa lipi wakati hizi ni tv mbao na redio za udaku umeona hapo kama kuna ITV, BBC, CHANEL TEN, hata cloudas haipo hapo, maswali yenyewe wanauliza ya umbea na yasiyo na weledi wa kazi yao.

  • @jumajuma-fs1iq
    @jumajuma-fs1iq Před 3 měsíci +2

    Doto nawew kuw mxtarab ukiw kwa mtu ucmponde m2 mwngne ucwe chawa

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy Před 3 měsíci +2

    😂😂😂huyo ndio mswahili sasa

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg Před 3 měsíci +1

    Waandishi wa habari hawajui kuuliza maswali ukweli 😂😂😂😂😂😂..

  • @mvitahamad2126
    @mvitahamad2126 Před 3 měsíci +1

    😂😂 Eti kwann nmenihoji

  • @humphreymutange8165
    @humphreymutange8165 Před 3 měsíci

    swali ni mbona wasizungumze bila kumtaja Diamond ? ...Simba reigns banae

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před 3 měsíci

    DAH! WAANDISHI MNAJIZALILISHA HAKYAMUNGU!!

  • @fadhilidoza5639
    @fadhilidoza5639 Před 3 měsíci +1

    Huyu anawezaje kudharau waandishi na ndiyo wamemtangaza boya hili

  • @bibieghasia8277
    @bibieghasia8277 Před 3 měsíci +1

    kuna mwandishi anatafuna ulimi hadi raha

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Před 3 měsíci

    Watangazaji awana fact awa ndio mana kila siku Clouds Fm inakua juu watangazaji wao ni wabunifu

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce2072 Před 3 měsíci +2

    Hawa wapumbavu mnaenda kuwahoji ni changamoto tupu

  • @user-rd2of7sw9b
    @user-rd2of7sw9b Před 3 měsíci +1

    Sasa doto unajibu maswali au unatoa maelekezo

  • @robertcharles9975
    @robertcharles9975 Před 3 měsíci +1

    Saf Dotto

  • @kayjuma2629
    @kayjuma2629 Před 3 měsíci +1

    Kipanki ka mcheza x wa uturuki 😀😀😀

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve Před 3 měsíci +1

    R.m.s fashion

  • @tshibangumunyenza7383
    @tshibangumunyenza7383 Před 3 měsíci +1

    Mu shamba ajuwi kuongeaya na wandishi wa Habari 😂😂

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 Před 3 měsíci +1

    Ona km mazuzu masenge hayo aisee

  • @wilgrisernest2184
    @wilgrisernest2184 Před 3 měsíci

    Waandishi wa habari sikuizi wanazalaurika sana dah

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 Před 3 měsíci +1

    Ataka kama ni sifa basi isipiuilize

  • @user-yf1zj1vo1o
    @user-yf1zj1vo1o Před 3 měsíci +1

    Sasa mbona unshakable watu juuu hutaki wazungumze

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 3 měsíci

    Doto bangi kweli

  • @dogonoor8214
    @dogonoor8214 Před 3 měsíci

    Dotto amekuwa mjeuri sana

  • @user-sp2hu8lb1c
    @user-sp2hu8lb1c Před 3 měsíci +1

    Ila ndoto

  • @yahyawambura9884
    @yahyawambura9884 Před 3 měsíci +1

    UMESOMA MASOMO YAJION😅

  • @kauzubanda3150
    @kauzubanda3150 Před 3 měsíci +1

    Waliwaambia wanashindana? Au midomo yawawasha

  • @Amanikizota
    @Amanikizota Před 11 dny +1

    😂😂😂

  • @erastobenedicto3652
    @erastobenedicto3652 Před 3 měsíci +1

    Dotto kanikomeshea wandishi

  • @Mina.15
    @Mina.15 Před 3 měsíci

    Umezaliwa kwa makusudi unaishi kwa bahati mbaya 😂😂😂😂😂

  • @nouraalharthy5509
    @nouraalharthy5509 Před 3 měsíci +2

    Alikiba no moja kwelli nilisema ilo

  • @shabzismail2747
    @shabzismail2747 Před 3 měsíci +2

    Acha ujinga wewe doto tajiri atakuwa wewe na minywele yako micchafu

  • @user-jk8qn4zi5t
    @user-jk8qn4zi5t Před 3 měsíci +1

    🤣🤣ila doto mbona kam wewe ndo mwandishi🥰🥰🥰

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Před 3 měsíci +1

    Alie sema atatembea uchi xai ako wapi....ajipange kutombwa xaxa...hii dunia kila kitu cha wezekana😅😅

  • @Kibiriti_Sports
    @Kibiriti_Sports Před 3 měsíci +1

    Dotto haelewi chochote 😂😂 ,yeye ni Hela na hapa ipo ,mitano tena 😂😂😂😂

  • @sundaymushi9640
    @sundaymushi9640 Před 3 měsíci +1

    Mcheza x wa uturuki😅😅😅😅😅

  • @Kibiriti_Sports
    @Kibiriti_Sports Před 3 měsíci +1

    Huwezi kumuuliza dotto swali muhimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hajui kuchanganua

  • @Kibiriti_Sports
    @Kibiriti_Sports Před 3 měsíci +1

    Nilikuwa siamini kama dotto hajui kusoma ila leo ndio nimejua 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 3 měsíci +6

    Ally kiba sio kama ni mstarabu huyu jamaa anadharau sana na anakibri

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před 3 měsíci

    Hao waandishi na huyo doto akili zao sawa sawa maswali ya hovyo majini ya hivyooo 😁😁😁

  • @user-bq4ck4qw2y
    @user-bq4ck4qw2y Před 3 měsíci

    Mzaramo ana baya

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 Před 3 měsíci +2

    We umetokea mkoa gani kichogo ka mti denge 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @augukambale2949
    @augukambale2949 Před 3 měsíci +1

    Mim sio mtanzania alakin naona nyiny watanzania muko naunjinga San

  • @alexsikab6433
    @alexsikab6433 Před 3 měsíci

    Diamond 💎 siku zote anakuwaka mbali sana na kila siku huwa yuko mbele ya kila msanii tanzania

    • @muhydinaden552
      @muhydinaden552 Před 3 měsíci

      To describe a horse you explain it's features..... that's Ali Kiba for you .....ukitaka kumjua mtu tazama watu waliomzunguka ...big politicians from Kenya & Tanzania those are called connections ...watch his space "Mfalme Kiba"

  • @isaacskylar5232
    @isaacskylar5232 Před 3 měsíci +1

    Mondi ni mondi tu.... Nandy mond, harmonize mond, alkiba mond

  • @alisalim5103
    @alisalim5103 Před 3 měsíci +1

    Mbea kifani sijapata ku ona. Weeeh. Shilling yatafutwa.

  • @zainulabideen6955
    @zainulabideen6955 Před 3 měsíci +1

    😂😂😂😂

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians Před 3 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 Před 3 měsíci

    Doto maninaa😂😂😂akili zakooo

  • @ChidiTz
    @ChidiTz Před 3 měsíci +1

    Mi ningekua reporter nisingemuhoj huyo sijui doto kwanza hajielew anatukana waandishi kama hivyo alivyokua chizi analeta siasa anajua sijui anajua yupo ktk campeni Yan jamaa ni hovyo sana

  • @user-rn6gf3my7j
    @user-rn6gf3my7j Před 3 měsíci +2

    Kazi hiyoo 😂😂😂😂

  • @kasmilmkalawa9715
    @kasmilmkalawa9715 Před 3 měsíci

    Mcheza x wa uturuki😂😂

  • @amosymwema4844
    @amosymwema4844 Před 3 měsíci +1

    Huyuu ni kingwenduu mtupuu hata msipo nipa likes