MWAKINYO: TWAHA KIDUKU MPAKA PIKO YULE/SIJATAFUTA 'KIKI' KUMTAJA ILI PAMBANO LANGU LIONGELEWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 01. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Komentáře • 63

  • @YasreArafat-kk9en
    @YasreArafat-kk9en Před 7 měsíci +12

    Nakukubali sana mwamba wangu mwakinyo alafu usimuweke akilini mwako yule mpaka piko wa Moro kasha kuwa expired Kwa Sasa....Big up mhuni wangu....🎉🎉🎉

  • @user-km8xp9gy8v
    @user-km8xp9gy8v Před 6 měsíci +2

    Penda sana mwakimyo mm ❤❤❤

  • @mdosephayta8075
    @mdosephayta8075 Před 6 měsíci +2

    Daaah mwakinyo eeeh endelea kutufumbua mabondia wadogo tuzid kujua haki zetu tusipelekeshwe tuu

  • @user-ge9je3hn6b
    @user-ge9je3hn6b Před 6 měsíci +2

    Nakubar sañ mwanang mwakinyo 2tongee shoga yule kelel zimezdy

  • @bwittozmjomba7019
    @bwittozmjomba7019 Před 7 měsíci +9

    😅mm namkubali sana mwakinyo na majibu yake

  • @jumaissa-tm1su
    @jumaissa-tm1su Před 6 měsíci

    Shabiki namba 1 wa mwakinyo nakubali sana

  • @mudrickikasigo
    @mudrickikasigo Před 7 měsíci +4

    Dah kiukwel mungu akubariki saaaan

  • @user-le6co6yv5i
    @user-le6co6yv5i Před 7 měsíci +4

    Nakubali mwamba mwenyewe point tupu

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 7 měsíci +12

    Miaka mingi imepita mtoto wa kitanga kaja kuwafungua macho kwenye mchezo wa ngumi na kipaji kipo,upepo wako hata wakipinga ..kidunia umechafua vyombo vya habari,piga hela...

    • @silvanusmahinda-ts3dx
      @silvanusmahinda-ts3dx Před 7 měsíci

      Taarabu nyingi kitendo 0,kaombwa mara ngapi ni muoga tu mtt wa kutanga,na ayuko levels za ju ...muingereza anaguswa kidogo aleta sababu ya viatu ndo bondia uyooo,asaini

  • @gallosstanslaus2825
    @gallosstanslaus2825 Před 7 měsíci +4

    Champez OneTyme Mwana wa ISOMBA, from MOGADISHU family nasir sana we mwanangu.

  • @dengeman4814
    @dengeman4814 Před 7 měsíci +10

    We jamaa una akili sana ata kuongea unajua

  • @lucasmdoya4390
    @lucasmdoya4390 Před 7 měsíci +3

    Mwamba sn huyu mwanangu💪💪

    • @WillsOffuture-ux5tf
      @WillsOffuture-ux5tf Před 6 měsíci

      Somba usimfananishe mfaume kiduku na champez,,mwakinyo ni level nyingine kabisa ,,,ruler...uchawi pembeni..shabiki wa masumbwi mzalendo ni lazima umpende na kupenda kazi zake boxer anayefanya vizr..anayeiwakilisha nchi pia..mfano huu ni mfano hai kwan namzungumzia mwakinyo..mimpeheshima kubwa hapa tz...

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 Před 7 měsíci +5

    Licha ya yote mwamba anaeongea fact

  • @hassanissa4145
    @hassanissa4145 Před 6 měsíci

    Nakubali

  • @nasraabdallah
    @nasraabdallah Před 7 měsíci +2

    Jamaa akili nyingi sana inter vew yake hauwezi kuchoka

  • @StevenMgassa
    @StevenMgassa Před 7 měsíci +2

    Huyo mwakinyo tunampa Mfaumemfaume cz Twaha kashuka kiuwezo

  • @user-ig7mj4ve9h
    @user-ig7mj4ve9h Před 6 měsíci +2

    Mwamba anajua kuongea kinoma apew mau yake🎉🎉

  • @SelemaKidundo-ii2pz
    @SelemaKidundo-ii2pz Před 7 měsíci +3

    Mimimwenyewe nakukubali nibingwawangumi

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve Před 6 měsíci

    👑

  • @HamisiMsami-ol3zk
    @HamisiMsami-ol3zk Před 7 měsíci +1

    Nakukubali sans mwamba

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Před 7 měsíci +1

    Nimemisi kuona champiz ❤❤

  • @jumaally8567
    @jumaally8567 Před 7 měsíci +2

    Bonge la interview Hasani mwakinyo ni mmoja tyu😅

  • @King-Buda
    @King-Buda Před 7 měsíci

    Viva bro

  • @user-pr7pz1pu2u
    @user-pr7pz1pu2u Před 7 měsíci

    💪

  • @OmaryMohamed-nr4nk
    @OmaryMohamed-nr4nk Před 7 měsíci

    Nakukubali

  • @abdillahnassir6646
    @abdillahnassir6646 Před 7 měsíci

    Hahahahahahahahah😅😅😂😅😂😅😅😂😅😂😂😅😂😅😂 nimpenda sana apo mwisho kuusu mfaume na mwakinyo avomkazia macho somba, ikapidi Somba atoe shukrani iishe ivyoo tu 😅😅😅😂😂😅😅😂

  • @user-bn6we3nj6t
    @user-bn6we3nj6t Před 7 měsíci

    Champion

  • @jumayahaya3001
    @jumayahaya3001 Před 6 měsíci

    Yeye ni nakozz wa mwili mzima

  • @EliaMwaijumba
    @EliaMwaijumba Před 7 měsíci

    Wewe ni no 1

    • @EliaMwaijumba
      @EliaMwaijumba Před 7 měsíci

      Tupigie uyo kiduku anatusumbua mashabiki wako kwamba unamuogopa ss tunajua umwogopi

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před 7 měsíci +2

    Afu umevaa kilemba😢

  • @user-sv6oh4up9s
    @user-sv6oh4up9s Před 6 měsíci

    Tatizo lako mwakinyo unavijineno kama mtoto wakike

  • @user-qz5yh1dl1n
    @user-qz5yh1dl1n Před 6 měsíci

    Tunakukubali mtanga ila punguza ngenga unachonga saana

  • @user-kd6xn7ux4v
    @user-kd6xn7ux4v Před 7 měsíci +1

    hapo hamna bondia mwimba taarabu

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Před 7 měsíci +3

    Gumii unajua rakini nakuombaa ongezaa mazoezii kwaenye ngumi irii ngumi zakoo ziwee na nguvuu azinaa nguvuu Sana kwa sisi watuu waa bokxx

  • @user-ig7mj4ve9h
    @user-ig7mj4ve9h Před 6 měsíci

    Mgum pia anaweza

  • @KimbilimaSocial-dy9cl
    @KimbilimaSocial-dy9cl Před 7 měsíci

    Nakozi siyo bondia LEVEL yake ndogo labda yule tembo
    Wa morogoro kidogo siyo
    Kwa mfaume mfaume hata mimi nikiingia mwezi kufanya
    Mazoez hatoki namkalisha round ya 2 au ya 3

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve Před 6 měsíci

    R.m.s fashion

  • @mrishongwikwi6448
    @mrishongwikwi6448 Před 7 měsíci

    Champres onetime.

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 Před 7 měsíci

    Seema asikariri bro

  • @emmanuelcharles5613
    @emmanuelcharles5613 Před 7 měsíci +4

    Mwakinyo ni bondia wewe wacha kabisa

  • @user-ls5iu7bf2e
    @user-ls5iu7bf2e Před 7 měsíci

    Huyu kaona Twaha kwasasa kashuka kimtindo ndio anajifanya anataka kupambana nae.

  • @user-wu2er7go9j
    @user-wu2er7go9j Před 7 měsíci

    Heee! 😂😂😂 Sahivi umekubari?
    Wewe ni bondia mzuri ila sema umeona kama kashuka kimchezo ila atakutoa jasho na anaeza kukupiga huyo mwamba
    Usimchukulie poa

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 Před 7 měsíci

    Uyu simba na mwakinyo ni washikaji sana

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 Před 7 měsíci

    Wanafki Ile mbaya na wanaswali swala tano

  • @chawalive
    @chawalive Před 7 měsíci

    Nipencial pia siyo piko😂😂😂😂

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 Před 7 měsíci +1

    Ngumi hujui wanakuleteaga walevi ukiyakanyanga kwa mtoto wa moro utapotea kabisa kwenye ngumi we kwepakwepa tyu siku ukiyaganyaga utasimulia dunia

  • @Semtoto
    @Semtoto Před 7 měsíci

    Mfalme wa mwili mzima 😂

  • @allykarupa1411
    @allykarupa1411 Před 7 měsíci

    Uyomtangazaji hanakuuliza manenoyakinafiki

  • @tnt5965
    @tnt5965 Před 7 měsíci

    JAMANI NIWAAMBIE KITU, KWASASA MWAKINYO MUSIMLINGANISHE NA MFAUME, MFAUME NGUMI ZAKE ZIPO KWENYE MDOMO,
    KWASASA WAPIGANISHE MFAUME VC MBABE
    MWAKINYO VC KIDUKU
    MTANGO VC ???
    KIDUNDA VC MAJIHA

  • @allyjuma4896
    @allyjuma4896 Před 7 měsíci

    Kiki

  • @hamisyeo1365
    @hamisyeo1365 Před 7 měsíci

    Duh umekwisha broo umeshuka kiwango sana umekubali kupigana na twaha 😂

    • @user-wu2er7go9j
      @user-wu2er7go9j Před 7 měsíci

      Na pia kaona Twaha kashuka
      Sasa naanza kuamini kuwa alikuwa anamuogopa

    • @kipupwefedede7130
      @kipupwefedede7130 Před 7 měsíci

      ​@@user-wu2er7go9jkwann twaha kakubar kushuka?

  • @hemediMbilikila-bc4gj
    @hemediMbilikila-bc4gj Před 7 měsíci

    We mshamba tu nyumba mganga nyumb shogoro mbona unamkwepa yeye anakutaka ww unamkwepa

    • @wazirimokiwa
      @wazirimokiwa Před 6 měsíci

      unajua mnapenda ushabiki wakishamba nyumba mganga nyumba shogoro ndionn TZ mashabiki mpo kama makuma ukiwa na kisimu Cha laki 2 unajikuta unaropoka washamba

  • @yasiniselemani8672
    @yasiniselemani8672 Před 7 měsíci

    huyu chalii yenu alisema hawezi kucheza na mabondia wa tz Sasa imekuwaje ameanza kujisogeza kwa twaha baada ya kuona ameshuka kiwango wewe jamaa unapenda miteremko 😅😅😅😅

    • @user-kw1ms4nz3q
      @user-kw1ms4nz3q Před 7 měsíci

      Safi Sana mpe ukweli wake alafu mwambie uyu ni mlugulu asijichanganye

  • @Khery-hi7rg
    @Khery-hi7rg Před 6 měsíci

    uyo kiduku si awatafute walevi apigane nao mwakinyo sio renk yake