MWAKINYO: TWAHA KIDUKU MPAKA PIKO YULE/SIJATAFUTA 'KIKI' KUMTAJA ILI PAMBANO LANGU LIONGELEWE
Vložit
- čas přidán 1. 01. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Nakukubali sana mwamba wangu mwakinyo alafu usimuweke akilini mwako yule mpaka piko wa Moro kasha kuwa expired Kwa Sasa....Big up mhuni wangu....🎉🎉🎉
Penda sana mwakimyo mm ❤❤❤
Daaah mwakinyo eeeh endelea kutufumbua mabondia wadogo tuzid kujua haki zetu tusipelekeshwe tuu
Nakubar sañ mwanang mwakinyo 2tongee shoga yule kelel zimezdy
😅mm namkubali sana mwakinyo na majibu yake
Shabiki namba 1 wa mwakinyo nakubali sana
Dah kiukwel mungu akubariki saaaan
Nakubali mwamba mwenyewe point tupu
Miaka mingi imepita mtoto wa kitanga kaja kuwafungua macho kwenye mchezo wa ngumi na kipaji kipo,upepo wako hata wakipinga ..kidunia umechafua vyombo vya habari,piga hela...
Taarabu nyingi kitendo 0,kaombwa mara ngapi ni muoga tu mtt wa kutanga,na ayuko levels za ju ...muingereza anaguswa kidogo aleta sababu ya viatu ndo bondia uyooo,asaini
Champez OneTyme Mwana wa ISOMBA, from MOGADISHU family nasir sana we mwanangu.
We jamaa una akili sana ata kuongea unajua
Mwamba sn huyu mwanangu💪💪
Somba usimfananishe mfaume kiduku na champez,,mwakinyo ni level nyingine kabisa ,,,ruler...uchawi pembeni..shabiki wa masumbwi mzalendo ni lazima umpende na kupenda kazi zake boxer anayefanya vizr..anayeiwakilisha nchi pia..mfano huu ni mfano hai kwan namzungumzia mwakinyo..mimpeheshima kubwa hapa tz...
Licha ya yote mwamba anaeongea fact
Nakubali
Jamaa akili nyingi sana inter vew yake hauwezi kuchoka
Huyo mwakinyo tunampa Mfaumemfaume cz Twaha kashuka kiuwezo
Mwamba anajua kuongea kinoma apew mau yake🎉🎉
Mimimwenyewe nakukubali nibingwawangumi
👑
Nakukubali sans mwamba
Nimemisi kuona champiz ❤❤
Bonge la interview Hasani mwakinyo ni mmoja tyu😅
Viva bro
💪
Nakukubali
Hahahahahahahahah😅😅😂😅😂😅😅😂😅😂😂😅😂😅😂 nimpenda sana apo mwisho kuusu mfaume na mwakinyo avomkazia macho somba, ikapidi Somba atoe shukrani iishe ivyoo tu 😅😅😅😂😂😅😅😂
Champion
Yeye ni nakozz wa mwili mzima
Wewe ni no 1
Tupigie uyo kiduku anatusumbua mashabiki wako kwamba unamuogopa ss tunajua umwogopi
Afu umevaa kilemba😢
Tatizo lako mwakinyo unavijineno kama mtoto wakike
Tunakukubali mtanga ila punguza ngenga unachonga saana
hapo hamna bondia mwimba taarabu
Gumii unajua rakini nakuombaa ongezaa mazoezii kwaenye ngumi irii ngumi zakoo ziwee na nguvuu azinaa nguvuu Sana kwa sisi watuu waa bokxx
Mgum pia anaweza
Nakozi siyo bondia LEVEL yake ndogo labda yule tembo
Wa morogoro kidogo siyo
Kwa mfaume mfaume hata mimi nikiingia mwezi kufanya
Mazoez hatoki namkalisha round ya 2 au ya 3
R.m.s fashion
Champres onetime.
Seema asikariri bro
Mwakinyo ni bondia wewe wacha kabisa
Huyu kaona Twaha kwasasa kashuka kimtindo ndio anajifanya anataka kupambana nae.
Heee! 😂😂😂 Sahivi umekubari?
Wewe ni bondia mzuri ila sema umeona kama kashuka kimchezo ila atakutoa jasho na anaeza kukupiga huyo mwamba
Usimchukulie poa
Uyu simba na mwakinyo ni washikaji sana
Wanafki Ile mbaya na wanaswali swala tano
Nipencial pia siyo piko😂😂😂😂
Ngumi hujui wanakuleteaga walevi ukiyakanyanga kwa mtoto wa moro utapotea kabisa kwenye ngumi we kwepakwepa tyu siku ukiyaganyaga utasimulia dunia
Mfalme wa mwili mzima 😂
Uyomtangazaji hanakuuliza manenoyakinafiki
JAMANI NIWAAMBIE KITU, KWASASA MWAKINYO MUSIMLINGANISHE NA MFAUME, MFAUME NGUMI ZAKE ZIPO KWENYE MDOMO,
KWASASA WAPIGANISHE MFAUME VC MBABE
MWAKINYO VC KIDUKU
MTANGO VC ???
KIDUNDA VC MAJIHA
Kiki
Duh umekwisha broo umeshuka kiwango sana umekubali kupigana na twaha 😂
Na pia kaona Twaha kashuka
Sasa naanza kuamini kuwa alikuwa anamuogopa
@@user-wu2er7go9jkwann twaha kakubar kushuka?
We mshamba tu nyumba mganga nyumb shogoro mbona unamkwepa yeye anakutaka ww unamkwepa
unajua mnapenda ushabiki wakishamba nyumba mganga nyumba shogoro ndionn TZ mashabiki mpo kama makuma ukiwa na kisimu Cha laki 2 unajikuta unaropoka washamba
huyu chalii yenu alisema hawezi kucheza na mabondia wa tz Sasa imekuwaje ameanza kujisogeza kwa twaha baada ya kuona ameshuka kiwango wewe jamaa unapenda miteremko 😅😅😅😅
Safi Sana mpe ukweli wake alafu mwambie uyu ni mlugulu asijichanganye
uyo kiduku si awatafute walevi apigane nao mwakinyo sio renk yake