MWAKINYO: SINA CHA KUJIFUNZA KWA MFAUME, TWAHA KIDUKU/SIO WATU ZURI KWANGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Mwakinyo #RaytonOkwiri #Mfaume

Komentáře • 107

  • @sadunabdallah7303
    @sadunabdallah7303 Před rokem +7

    Mwakinyo is supper ster the world

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 Před rokem +6

    Nafuraha Sana Kuona Hekima Na Busara Na U OG wake Huyu Champion 🔥

  • @omarymwigula9826
    @omarymwigula9826 Před 11 měsíci +5

    True unajiandaa kupigana mwaka mzima unapigana siku moja na unachoka vile vile

  • @user-rg3vy8ml3z
    @user-rg3vy8ml3z Před 11 měsíci +5

    Mwenye uelewa mdogo pekee ndie atakae mtafsiri mwakinyo tofauti...lkn mwenye uelewa mpana zaidi ndie atakae elewa nini mwakinyo anakimaanisha...na anachokimaanisha kikiwa kwenye uhalisia kitakua na matunda kiasi gani

  • @samsonnyihita3985
    @samsonnyihita3985 Před rokem +14

    Viumbe vingine bhana ivi leo hii unamlinganisha mwankinyo na kiduku au mfaume kwa vigezo vp kwa mfano mwankinyo kaweka historia kubwa africa dunia inamfahamu leo kiduku anajulikana wp au hao wengine kwa ufupi mabondia wakaze watengeneze rekodi na si kupauka ovyo ovyo dah!

    • @waziriuledi6322
      @waziriuledi6322 Před rokem

      Acha sifa ipo siku utapigwa mpaka uitee mama

    • @gwajimagwajima
      @gwajimagwajima Před 11 měsíci

      Historia gani alioiweka?

    • @IddKasabe-kf2wk
      @IddKasabe-kf2wk Před 11 měsíci +1

      Mwakinyo ananyota mbili kiduku mbili kaangalie wangap saivi Tanzania na afrka wangap hata uko ulaya kashinda pambano moja tu

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 Před rokem +7

    Mwaki kaongea utumboweeee mwishoni ndio kasema ukweli kua serikali inazngua...haitaki kuwekeza seriously kwenye michezo lkn ikitokea umejipambania mwenyewe ukatoboa ndio wanakutafuta na kujikomba komba hii inatupunguza sana Uzalendo sisi kama wana michezo tunao peperusha bendera ya Tz nje ya nchi....
    Lkn MWAKI.. anatakiwa kuwaomba radhi viwete kwa kuwadhihaki kwa kusema eti mtu hupaswi kua mchafu unanuka kama soksi ya kiwete...NO hii sio uungwana kwa nduguzetu

  • @gweja882
    @gweja882 Před 11 měsíci +2

    Jamaa mkomavu sana,afu ilo Bango nyuma ni mwakinyo au mwanyiko

  • @hassankuka1104
    @hassankuka1104 Před rokem +5

    Msema ukwer unataliwa ..piga kazi mwakinyo

  • @user-yt2li4hv1f
    @user-yt2li4hv1f Před 11 měsíci +2

    MWAKINYO anaenda kupotea kwenye game,majivuno sana mzee

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 Před rokem +4

    Mwknyo me nakupenda tu unavyojibu maswali upo makn sna ktk kjib maswali

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před rokem +5

    Mtangazaji wangu pendwa…maswali yakitaalamu sana

  • @mohdomar3766
    @mohdomar3766 Před 6 měsíci

    Umeongea jambo kubwa ambalo asinge ingea bondia yoyote mwakinyo ww kunakitu mungu kakubariki naendelea kujueshim kwa kulisemea taifa ukweli wahusika wasikie hili 🧏🧏🧏🧏

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem +5

    MTANGAZAJI ANATEKENYA KIUFUNDI ZAIDI,,NICE.

  • @asifiwemichael4408
    @asifiwemichael4408 Před 7 měsíci

    kaka unauelewa mkubwa kuliko wanavo dhania big up broo

  • @user-nm2xh4pm4g
    @user-nm2xh4pm4g Před 8 měsíci

    Upo OK sana umenyooka sna

  • @rukydaudy3005
    @rukydaudy3005 Před 9 měsíci

    Mwenyez Mungu atuepushe na kibri ,nadhani nimeeleweka

  • @hamisiyusuph2362
    @hamisiyusuph2362 Před 11 měsíci +1

    🙏🙏

  • @toney..
    @toney.. Před rokem +1

    Hassan Mwanyiko X
    HASSAN MWAKINYO 👍

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Před rokem +3

    hakuna cha ajabu hapo, watanzania mmezoea kulinganisha, mbona mnamlinganisha diamond na hamonize, diamond ni wakimataifa huwezi mlinganisha

  • @user-zz9yn9sj4z
    @user-zz9yn9sj4z Před 11 měsíci +1

    Mwakinyo safi sana kutoa ukweli kuhusu support kwenye boxing

  • @herypinda
    @herypinda Před 4 měsíci

    mwakinyo namuelewa sana anachosema anachofanya pia

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ Před 11 měsíci

    Ukimsikiliza kiundani zaidi
    Jamaa anakiburi sana
    Acha makasiriko msikilize mara mbili mara tatu

  • @barikislaa80
    @barikislaa80 Před 11 měsíci +1

    Mwakinyo una akili sana umemkimbia twaha kiduku kipindi akiwa wa moto na baada ya kiduku kupoteza umepata ujasiri wa kumtaka kiduku.. hongera sana 😂😂

  • @user-ci3gi8ic4x
    @user-ci3gi8ic4x Před 11 měsíci

    Good hasani from zanzibar iddy bwinoo

  • @iamchusse
    @iamchusse Před 11 měsíci

    point

  • @Paplick9
    @Paplick9 Před 11 měsíci

    Main point zifanyiwe kazi 📌📌📌

  • @feroozrajab4391
    @feroozrajab4391 Před 11 měsíci +1

    Bongo Mwakinyo na Ibrahimclass ndio mabondia wastaarabu.Wengine ni watemi tuu wa mitaani,Na ndio maara mashabiki zao wote ni vijana wa mitaani wanao ishi kwa wizi mitaani.

  • @user-re8jc1oc6v
    @user-re8jc1oc6v Před 11 měsíci +1

    Aliyesikia drafti uliwe kete mbili ili ule Sita tupeane like 🙏🙏

  • @dugabeachonline4493
    @dugabeachonline4493 Před rokem +4

    MWANYIKO...NANI KAONA BANGO LIMEKOSEWA JINA

  • @M3MEDIA07
    @M3MEDIA07 Před 11 měsíci

    Fact my brother gavement tz ni miyeyusho.

  • @benosilwani5208
    @benosilwani5208 Před 11 měsíci

    Mwakinyo ni bondia MZURI SANA, ila ajitahidi sana kutafuta manene yasiyomuongezea maadui.
    Mfano " UNANUKA KAMA SOKSI YA KIWETE " viwete hatapenda sentensi hii.

  • @user-kc3ux2oz8m
    @user-kc3ux2oz8m Před rokem +4

    Mwankinyo ndoa bingwa wa ngumi tz,,,,,,,,,,,ila kule ulaya aliangalia maslah

  • @hassanraphael3565
    @hassanraphael3565 Před 8 měsíci

    Sawa wajina

  • @philipomwasha5325
    @philipomwasha5325 Před rokem +6

    Jifunze namba ya kuongea kihekima we ni mkubwa,tatizo hamna taasisi inayoweza kufundishia mtu akiwa mkubwa basi ajiwakilisheje mbele za watu

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Před rokem +1

    Nakukubali lakini umeongea vitu vya uongo vingi

  • @mubamoyo44-zc4rc
    @mubamoyo44-zc4rc Před 11 měsíci

    Halaf kweny hiyo picha hapo nyum ya mwakiny ndiy wameandik nn sasa yan badal waandike mwakinyo wameandik MWANYIKO

  • @user-kd4oo5ey5z
    @user-kd4oo5ey5z Před 8 měsíci

    Wa tz wanaakili ndogo watakuja kufia ulingon

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 Před 11 měsíci

    Bondia bora ninae kukubali hapa Tz

  • @BabafahadFahad
    @BabafahadFahad Před 11 měsíci

    💪💪💪💪🔥🔥🔥

  • @islamicreligiontv2718
    @islamicreligiontv2718 Před rokem +1

    "Mwanyiko" Alie ona tujuane hapa

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Před rokem +8

    Kama ulikuwa haujui ni kwamba tangie uhuru Hadi leo mwakinyo ndo bondia mwenye record Bora

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 Před 11 měsíci

      😅unawajua akina magima.shabani,matumla bwana na rashid brother,Bruno tarimo vifua viwili na wengine😊

    • @mkanulamajid500
      @mkanulamajid500 Před 11 měsíci

      @@othumanlorenzo260 Sana tu ila mwakinyo number one

  • @DijaMriri-wc4qd
    @DijaMriri-wc4qd Před rokem +2

    Ntampataje mwakinyo anafanana mjomba wangu sana jaman😢alipoteaga mda sana nahisigi ni yeye afu alipoteleaga tanga

  • @josephmay4260
    @josephmay4260 Před rokem +4

    jamaa mwamba sana

  • @user-ci3gi8ic4x
    @user-ci3gi8ic4x Před 11 měsíci

    Fayaaaaaa

  • @binnassor-ls4dy
    @binnassor-ls4dy Před 11 měsíci +3

    Mi nilikuwa mshabik mkubwa sana wamwakinyo lakn tangia kubanwa nakiatu cna imani kabisa

  • @alonerider7164
    @alonerider7164 Před 11 měsíci

    Ivi ni Mwakinyo au Mwanyiko?

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Před 4 měsíci

    Kiatu kilikubanaa

  • @suleykilindi5117
    @suleykilindi5117 Před 11 měsíci +2

    sema uyu msenge ananyodo sana😅😅😅

  • @user-eg9ig6lp3b
    @user-eg9ig6lp3b Před 11 měsíci

    Kak komaa xana ao wengine Wana kuchangany tu

  • @madollarmadollar7097
    @madollarmadollar7097 Před rokem +1

    Ila kwa kweli tuongee uwazi bana kiduku hajui ngumi ni mashabiki tu kumbeba tu nae alivyo kavu bichwa limemvimba anataka pambano na mwakinyo acha umama wee

    • @IddKasabe-kf2wk
      @IddKasabe-kf2wk Před 11 měsíci

      Ajui ngumi wapigane sasa mbona anakwepa

    • @madollarmadollar7097
      @madollarmadollar7097 Před 11 měsíci

      Mwenye uelewa atakua anamuuelewa mwakinyo ni kwa nni hataki kupigana na kiduku coz mwakinyo lengo lake nikuenda international flight zaidi huyu jamaa wenu lengo lake mazoezi anayo fanya nikutaka akuje amupige tu mwakinyo sasa mwenye akili apo ninani coz hata mwakinyo akikubali hata leo kupigana na kiduku itakua haina faida yoyote kwake ispokua kwanyinyi mashabiki ndio mutakua mnafurahia tu

  • @aboubakarkamikaze-vr9gk
    @aboubakarkamikaze-vr9gk Před 11 měsíci +3

    Huyu jamaa hajiamini na maemo yake hayana fact

  • @isayaashangai1081
    @isayaashangai1081 Před rokem

    Ila somber somber konyoo Nakubali wee mwandishi, kila la heri Champez 🙌🏿

  • @2FlevaJin
    @2FlevaJin Před rokem +1

    We we Fredrick pembe ndio fala

  • @kitutujuma9602
    @kitutujuma9602 Před rokem +3

    Mwakinyo namuelewa hata ktk anachoongea

  • @machakumedia
    @machakumedia Před 11 měsíci

    Hilo Bango limeandikwa Mwanyiko. Ina maana hawajaliona au?

  • @user-ee9kl1ob3v
    @user-ee9kl1ob3v Před 8 měsíci

    Acha ujinga pigana kilasiku umejianda😂vizuli mbona upigani😂 alikumbatia taisoni ww nn pigana ww

  • @JacklineArsone
    @JacklineArsone Před 4 měsíci

    Champenz

  • @user-jn3bd2vp2v
    @user-jn3bd2vp2v Před 11 měsíci

    Kak we ndo mwamba wasikuumize kichwa waseng wanatak kukushusha

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před 11 měsíci

    Mfaume mfaume bangi zinamsumbua hana jipya

  • @user-ke2xk8wd6y
    @user-ke2xk8wd6y Před 11 měsíci

    Namkabal sana

  • @edwardsinkonde9878
    @edwardsinkonde9878 Před 11 měsíci

    Acheni utoto ivi kwanini wa bongo hampendani 😂

  • @ibrahimkilete7132
    @ibrahimkilete7132 Před 11 měsíci

    BANGO LIMEANDIKWA MWANYIKO 😅😅

  • @HamisKalulumbe-fv8hc
    @HamisKalulumbe-fv8hc Před 11 měsíci

    Sisi tupo kwenye bango

  • @ManAbuu-vc8hf
    @ManAbuu-vc8hf Před 11 měsíci

    Champez

  • @RichardCossan-rk1ub
    @RichardCossan-rk1ub Před rokem +1

    Mwakinyo ana tofaut na fei toto stori zao zinafanana broh sopa Amin kwamba uyoo jamaa miyayusho saana alafu sio shujaa wa ukweli ila we mwandishi chukua tyuu habar basi 😊😊

    • @ahmadsalim8990
      @ahmadsalim8990 Před rokem +2

      Acha kuropoka champez Hassan mwakinyoooooo ndo icon ya boxing Tanzania

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 Před 11 měsíci

      Wewe ulio ludia kauli ya mwakinyo alivo sema soksi ya kiwete unaona ndo inshu sana kwako mkundu wako

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa Před 11 měsíci

      We choko nini

    • @ahmadsalim8990
      @ahmadsalim8990 Před 11 měsíci

      @@Rolemodel_wa_taifa choroko mbaazi

    • @RichardCossan-rk1ub
      @RichardCossan-rk1ub Před 11 měsíci

      Wewe naic mtanga na wtt wa tanga unawajua Awana marinda🖕

  • @chingychingy2066
    @chingychingy2066 Před 11 měsíci

    ukipigwa nitafurai

  • @abuuda4754
    @abuuda4754 Před rokem

    Soksi za kiwete... Mmmh chunga kauli, your growing up mjinga wewe

  • @HamisiSalumu-ze3ce
    @HamisiSalumu-ze3ce Před rokem +1

    Box unae pg gananae
    Mbona uwezo wa lenki yupo chin
    Una tua minishia nn
    Kama ww Ni bora kaka

  • @tonnyelias9454
    @tonnyelias9454 Před 11 měsíci

    Mjinga mmoja tu uyu maneno kibaoaa

  • @user-hp5ep5jd2n
    @user-hp5ep5jd2n Před rokem

    Mnafiki mkubwa kafili wewe

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Před rokem +2

    Ndio mana ukaona uze pambano lako huko nchini England ili uje kutamba kwamba wewe ni bondia mzuri kijana wewe bado sana ila kwakuongea tu hujambo sana ndio mana wahenga walisema mjinga akipata utaona majigambo yake wewe mwakinyo ni fara tu

    • @abiboseleman1649
      @abiboseleman1649 Před rokem +2

      Kama vp uingie nae tuu ulingoni bob tujue nani muongeaji

    • @BakariGoba-hh6go
      @BakariGoba-hh6go Před rokem +1

      Kwani akiuza pambano linakuuma nn

    • @ahmadsalim8990
      @ahmadsalim8990 Před rokem +1

      Kabla hujamuongelea vbaya champez Hassan mwakinyoooooo jifunze silabi sio fara Ni fala boya ww Hassan mwakinyoooooo ndo icon ya boxing Tanzania

    • @JeremiahMyrosse-qb1yj
      @JeremiahMyrosse-qb1yj Před rokem +1

      @@BakariGoba-hh6go Atakuwa alimuuzia bibi yake mjinga huyo asitu muongelee vibaya Mwakinyo

    • @kichenjewillian5720
      @kichenjewillian5720 Před rokem

      Acha ujinga kiukwel ..unazingua uza na www

  • @KisofaOg-wv8ex
    @KisofaOg-wv8ex Před 11 měsíci

    czcams.com/video/aVaia6YaW-Y/video.htmlsi=x58znitIflbBNC3N kalibu