Kitale 'Niliambiwa Sharo Milionea ananiloga kwa mafuta ya uso'
Vložit
- čas přidán 25. 01. 2016
- Kitale a.k.a Mkude Simba ni mwigizaji/mchekeshaji Tanzania na amechukua sifa nyingi kutokana na zile sauti zake za kuchekesha na video fupifupi zilizotambaa Whatsapp akiigiza kama Teja, kwenye hii video hapa chini kaongea jinsi imani za kishirikina zilivyotaka kumkosanisha yeye na Marehemu Sharomilionea pamoja na mengi ya maisha.
- Zábava
Wew Braza upo makin sana yaan unajib bila kuruka swali...Unajibu vizur mpak anayeuliza swali anatabasamu.( ANARIDHIKA)
Huyu kitale mzuri mashallah 😍
Huringi Kama wengine uko simple Hadi Raha unaongea kwa heshima Mungu akubariki
Safi sana Kitale. Mahojiano haya yanaonyesha busara zako. Mungu atasaidia fanya kazi utafanikiwa. Usishiriki ushirikina kwa sababu itakuwa anguko lako. Kazi na kujituma bila kukata tamaa ndiyo kila kitu.
inshallah mwenyezimungu atakubariki katika maisha yako pia mwenye zimungu amwondoshe adhabu ya kaburi pia mwenye zimungu akujaliye mapumziko mema sharo
Ameen
waho kitale napenda movie nzake sana Mimi n mkenya nafuatilia movie za mbongo sana coz nazipenda big up
Allah avaricious kazi ya mikono yako Mussa,bora yako umeambiwa shalo anakuroga hujaamini na ukampambania,
Sahii tuna wasanii sio kuambiwa fulani anakuroga wao wakiambowa fulani anashindana na ww/fulani atakupita vita inaanzia hapo
nakukubali sana kaka kitale,inahusunisha sana.ila endelea na huo moyo,mungu atakulipia.nakupenda sana bro.ila pole kuondokewa na kakako wa karibu sharo,r.i.p
I love you kitale from Kenya 🇰🇪
Duh! ALLAH AKUTANGULIE BR. KITALE KWA KUWA MKWELI.
Dah kitale hakika umeongea vzr sana
this guy is humble..... i just love.... his atitude
kumbe kitale n bonge la handsome😍😱😱 😂😂😂😂
Winie Ramadan 😂😂😂😂 hapo sasa
ahmed alminshad mfikishie ujumbe kaa unamfaham mwambie kuna bidada halali kisa ww kama hajaoa anitafute aise 😀😀😀😀😀😀😀
Winie Ramadan Kitale ana mke maybe akuowe uwe mke wapili
Winie Ramadan kweli ni chopa
Acheni ushamba wa kushobokea wasanii ma star ndiyo Mana mnaishia kuzarishwa na kuachwa na watoto mlehe
nice nakupendaga sana kitale mungu azidi kukupa imani zaidi
dah kweli binadamu hatufanani inshallah kitale broo uwe na imani hiyo hiyo na uwe mfano kwa wengine Allah amrehmu shoro sote njia moja kila mtu na muda wake
mashaallah kitale munguatuwekee kumbe hensam
Nakupenda kitale,,,,🙏🙏
Daa kitale kumbe mziri hivi
Kitale I salute you from Kitale Kenya+154.
Marafiki wa kweli kiasi hiki ni wachache sana. Loh, mungu akubariki
inshallah nakutakia kila kheri kitale nakuombea mungu mungu akubari akuzidishiye imani ameeb
INTERVIEW yenye akil nayahuzunisha.
Kitale uko vzr ktk kujb maswal.
Nakupenda bure km hujaoa karibu kwetu
MashaaAllah,leo nasema nikuone unavyo ongea ukiwa freshi, Kwa kweli nimekukubali vibaya sana,kwa upole,uongea na kujibu ukiwa makini,na yote unayo uongea yatoka moyoni,na macho yako kuonesha ukweli wa yote unayoongea,kweli dunia ni nyumba cha mtihani,na mitihani nyingi umepitia na kujifunza mengi kuhusu wanadamu,na muomba Allah azidi kukuongoza na kuifanya nyota yako in'gae zaidi duniani na Kesho akhera,kila la kheir in Shaa Allah
Kitale .napenda sana move zako...Big up sana
nice interview.. safi sana kaka kitale unajua kufanya mahojiano kila la kheri kwenye kazi zako
walsi
asante Millard kwa kazi nzuri
Kaza buti bro kitale, wabongo tunaweza maneno tu na sio kazi.. "R.I.P Sharo"
Dah Kaka kitakele Allah ayafikishe malengoyako na Allah amsamehe marehem Sharon uko aliko InshaaAllah
happy born day to u milard wangu allah akupe una chotaka hapa duniani na akhiira. mad love from canada . keep doing good work
kaka yangu katale unaogea vizuri sana nakukubari kaka mungu atakupa mwanga mzuri ishalla
lisa medy llp1ľlplp"lll"lllllľllľ0pp0qat 1ppplľl
lisa medy mane
Millard hii interview duhhh.....kitale ameongea ya moyoni thanks Millard thank kk Kitale niko Finland hawa wazungu hapa wa nakupenda sana kitale japo hunitamani mm kama translate wao ww na marehemu usife moyo bro sote njia moja piga kazi bro duniani kuna chuki na upendo chuki ipo kumfanya anaechukiwa akaze zaidi thanks Millard thanks bro Kitale I hope ipo cku ntakuja Dar kukuona Live.....
OMAR MWINYI kwel
mh very touching story we luve u kitale n RIP sharo
mungu akupe maisha malef kitale
Nimekufuatilia sana mahojiano yenu na millard.nimependa sna na mwambie Millard interview zake Zina mashiko sijaona.big up sana.na linguine Sharon alishatangulia mbele za haki Sasa hao aliowalog mbona hawapandi wanazidi kupotea me bado marehemu anawaloga au wajitambue wasiamini mushirikina
Hii interview inasisisimua kwa kweli.....pole Kitale...R.I.P Sharo...
Kitale napenda sana movie zako uko powa kaka kitale
Much love and blessings @kitale, your haters will always see you rising while they fail.
😱😱😱😱 jaman my kakaaa mahenge mwenzanguu ndomana nakupendagaa mishe zako kumbe damu mojaaaa
His eyes,,,,, says the truth,,,,
kitale his rill humble..yaani ukiagalia movie zake na yy mwenyewe vitu viwili tofauti...jst like u bro
konsorata na maria
Kitale mzuri kumbe my brother mashallah
Kumbe kitale akili zako timamu!!tena handsome boy!" Maneno ya kuambiwa"kitale hujaoga,'nimeoga"😆😆😆😆😆
Kuoga mm au kisigino🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha
Aisei hii movie bomba sana, hapakaliki tena!
Wow kitale kumbe no undsam boy.nakupenda bure❤️❤️
Umenenepa San kaka yng WA morogoro mwenzang mashaallah
Umeeleza hadi roho inaniuma uko vzr sana mkude
Nimelia sana mmmh
thanks millard ayo.....
Mwenyezimungu akubariki kitale
Umependeza halafu upon kimnya mashaallwa tafauti na move zako mungu akupe mafanikio mema ishallwa nakupenda bure
Cool Bro
pole sana kitale .. imenigusa sanaa .But Mungu tu ndiye mambo yote..R.i.p Sharo
ni vinzuri sana kazi nzuri
Nimemuelewa kitale inauma inatia uchungu na nimejifunza thenx millad
Kuna kitu nimejifunza kumbe maisha in uvumilivu sana.Broo KITALE kumbe upo ivo yaan pigup sana. So kind.
Nice kitale
happy new year kitale and Millard ayo kama nimkono wa mtu sharo kufa wajue njia ni hiyo hiyo hatawawo hawataishi milele MUNGU atakusaidia kitale usife moyo bro
Daaa kweli sio kilam2 atakupenda bila kujikubali mwenyewe usione m2 anatembea yamemjaa mengi moyoni 💗
inasikitisha sana nakumbuka kifo cha shark mpk kesho mungu amweke pema jmn tumepoteza watu muhimu sana akiwepo Kanumba hawa watu wangekwepo jmn mpk Leo
nakuelewa broo
Nice kaka bg up xnaa
Daaaaaaaah so sad interview!!!! Big up kitale live long........and r.i .p sharo
Ameen
nakukubali my kaka 😍😍😍😍😗😗😗
yani katika interview zote hakuna ilionigusa kama hii usijali Kitale haya ndio maisha sio wote watakaokupenda R.I.P SHARO
pia mimi hii imeningusa sana kitale mugu yupo
+Zuhura Ali yani hata yahuzunisha umchukie mwenzio kwa faida gani sijui
nilijikuta nalia coz kumbe kitale nimuelewa mtaratibu tofauti na akiwa kazini
+Zuhura Ali hahahahah pale anatafuta unga
+ahmed swaleh yaani namuongopa sana hata akinifolllow nahisi kama ananitokea ila tuwaombee waliotutangulia mbele
Mungu akubariki sana
he kitale ndo mzuri ivo jamani mashallah
Wangapi waliokua wanamchukia sharo ila ndo haohao tuliowaona wanamlilia sharo kumbe kinafki,,,doh binadamu jamn,,2022 Mungu wetu azidi kuturinda
ooyya unabonga kimamba bro big up
jumba la dhaha namkumbuka yule jini kabula she is so beautiful
Love you brother
wasanii wa kibongo wamejaa uswahili sana ndio maana hawaendelei, pole sana kiale lakini nna imani utapata mafanikio makubwa zaidi ya hao haters. kwanza hata hatuwasikii tena saivi.
pole sana broo kwayalio kukuta nakukubali sana
Nice enterview
Ata Kifo Chake Wamemfanyia Hao Lakini Mbona wenyewe hawa Vumi Kipaji Sio Ndumba Na Malipo Ni hapa Hapa
Una uhakika?
Dah inaskitisha Sana ila aikua na maana kumuongelea mtu ambaye ameshatoka dunian. @big up milady
kitale daaah nimekupenda bure unajielewa
Nimependa interview yako sana
Sana kaka mungu akubaliki
mkudee simba M ashaallah uko juu rip sharo
very nice
Kitale shikamoo hizo move nyingine sikusijua niliijua ya jumba la dhahabu kipindi hivyo tv kwa jirani😁😁😁😁👈
mungu wangu.....mzee kankaaaaaa kumbe amefariki mdaaaaa....Ka namuona vile..
My crush tho inahuzunisha duh!
So sad 😔😔😔😭😭😭😭😭 R.I.P sharo
Yani sharobaro Shikamoo bhana penda sana.
mungu yupamoja nawe my bro r.I.p sharo
Da!kitale unamoyo wapekee,pole
pole sana kaka dunia mapito r i. p sharoo
nakukubali mbaya mbovu kotale r.p.I sharo
Du Pole kitale R. I. P sharo
Nakupendaje kitale afunakuogopa kinyama kumbe ukopoa ivi
Nakubar
bonge la artist baba kazaaaaaaaaaaaaaa
Millard ayo fundi ukitaka kujua ufundi wke kuwa ni mtangazaji bora angalia hyo kofia alivyoweka watangazaji uchwara wanageuza kwa mbele
Kitale rahisi wa mateja juuu xana bro
Kumbe mkude mzuri ivi aise nime kupenda
Pole sana ni kutokana na ukaribu muliokuwa nao na kukueleza baazi ya mambo yake ndio maana yakakukuta hayo lkn we mtegemee Allah
kwer kitare umenimariza urivyo baba ongera
Kitale uko juu tu sana
i like more than a lion
Yup kitale