JINSI YA KUKOMESHA TABIA YA UVIVU
Vložit
- čas přidán 11. 09. 2021
- Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kukomesha tabia ya uvivu ambalo ni adui wa maendeleo. Na huu ni muendelezo wa topic za mwanzo kuhusu uvivu.
Kama hukuona tafadhali tazama katika link hizi hapa chini:
.
CHANZO CHA TABIA YA UVIVU
• CHANZO CHA UVIVU KWENY...
.
ISHARA 8 WEWE NI MVIVU
• ZIJUE ISHARA HIZI 8 KA...
.
UVIVU NA MADHARA YAKE
• UVIVU NA MADHARA YAKE ...
.
GROUP LANGU LA VITABU (WHATSAPP):
(SPN BOOK CLUB):
Karibu ujiunge ikiwa wewe:
- Unapenda kupata faida toka kwenye vitabu
- Ni mvivu kusoma na ungependelea kusikiliza (Audio) zaidi.
- Unataka kufahamu/ kupata vitabu vizuri vya mafanikio.
Utapata AUDIO CLIPS kwenye simu yako zilizosomwa kwa ufasaha na hazichoshi kusikiliza.
Ili kujiunga tuma ujumbe "whatsapp" andika: SPN BOOK CLUB kwenda namba 0759191076
.
ADA NI SHILINGI 2,000/= TU KWA WIKI
.
SUBSCRIBE - COMMENTS - LIKE - SHARE
.
UNGANA NAMI MITANDAONI:
INSTAGRAM (SPN): / successpath. .
INSTAGRAM : / ezdenjumanne
FACEBOOK : / ezdenjumanne
TWITTER : / ezdenjumanne
LINKEDIN : / ezdenjumanne
CZcams : / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
SUBSCRIBE CHANNEL YA HAMASA YA LEO HAPA:
/ hamasayaleo
.
.
#tabia #ya #uvivu
Hujawahi kuniangusha, na niwe muwazi tu umekuwa ni sehemu kubwa sana ya mafanikio yangu kupitia masomo unatokuwa unatufundisha au kutukumbusha. Naomba Usije ukaacha kufanya hivi na Mungu atazidi kukubariki sana.
Hapa nimejifunza kuwa kuna mambo ya haraka na muhimu lakini kuna mambo ya haraka ila siyo ya mhimu kwa mda huo, na lazima ujiulize kuwa kina faida kwa mda huo AMA kitu gani utapoteza kwa mda huo, ahsante mkuu kwa Elimu hii Ubarikiwe sana 🙏🥋🥊👉🏆
Allah akuzidishie maana mafunzo napata kwako nimuhimu kabisa
Tunakupata vizuri J4 tupo Pamoja. Tunajifunza mengi kupitia Chaneli yako Bravo Sana Kaka!
Thanks brother sina la Zaid maana unanigusa Sana kwa kila video yako
Dua sana bro Ezden j4
Braza wangu ww unauelewa sana wa kufindisha na kuelekeza nitakua. Pamoja na ww siku zote ile nipate kuelewa dunia ina hitaji nn ahsante Mr edzen
Matangazo mengi Sana,nenda kwenye maada unamaliza mb zangu
Duuuh! Yan tangu nimeanza kusikiliza ushauri wako nimeona mabadiliko makubwa katika maisha yangu kwa kweli me nakushukuru sana na sana
Karibu sana kaka.
Kaka jmnee ezden Nimekubali xna na umeniamxha ubongo wangu xna naangalia video zako zote natafuta Ela ili nipate vitabu vyako ni ivi apa ELIMU YA BIASHARA NA ELIMU YA FEDHA AU NAMNA YA KUJIAJILI BIG UUUP BY JOHN FROM LINDI
Good mentor,,,bless sna.
Shukurani mugu akuzidi shiye
Kazi nzuri ya kutu kumbusha vijana
Asalam alykum hujambo mwalimu shukran kwa faida😍
Somo zuri Sana kaka nimejifunza vitu vingi hapa
Asante sana Kaka ujumbe nzuri ni wakati wa kubadilika
Shukran kwa somo 💜
Ahsante kwa kuniamsha
Ubarikiwe kwa somo zuri ki ukweli masomo yako yamenibadirisha
Somo zuri sana
Thanks bruh great lesson for us to raise up toward our destiny
Nikweli kabisaa
Brother Asante sana kwa somo
Hongera sana nddugu
Shukran
Good bro you are right
Asante kaka
Hongera sana🙏
Ur too guud brooh..am enjoying de class
Asante sana
Bro uko vizur Sana bro nimejifunza mengi na nimeyafanyia kazi
Asalam aleykum shukran kwa faida
I like it
Binafsi hua najikuta kila nikikuskiliza nakua sichoki kukuerewa umekua ni somo kwangu kaka mkubwa balikiwa sana 🙏🏾🙏🏾
Sure bro
Nimefunguka kiubongo
Barikiwa Sana mkuu
I get a point
Somo kubwa sanaaaa
Unajua
💪💪
Mm nina changamoto ya kutowek akiba y pexa mfuko maan naiwekez kwenye kikund il natmn andan kwenyenye niweke anglau akba
🎉🎉🎉
Asant sana umenisaidia sana love much much bro
Thank you
Shukrani Kaka ninazidi kujifunza mengi zaidi na zaidi, pamoja sana
Asante sana kaka EZDEN nimejifunza mengi sana kutoka kwako mpaka naamua kukuita mwalimu Mimi naitwa Daniel Gabriel nilipata ajali iliyopelekea mwili mzima kupooza lakini na ndoto ya kua motivational speaker niweze kuwa inspire wenye ulemavu kama wangu au wanao pitia changamoto mbalimbali naomba nisaidie support yako mwalimu
Pole sana Allah atakughafu na namuomba akuzdishie subra
umenigusa bro, ivi kwanini huwa nikianzia kujisomea nahisi kupoteza mood na kuhisi kuacha kusoma na kuendelea na shughuli nyingine?
Bismillah
Thank u broo
Waiting
Bro ningepata namba yako ingekua vizur sana, huenda ukanipa japo ushauri kwakina , mm ni Tailoring, nimekusanya vipesa vyangu ila sijui nianzishe biashara gani , mm sio mvivi alhamdulillah kazi kazi
WhatsApp 0759191076
Kaka ezden kama ipo link ya grup la wasapu niliomba uniunganishe kama nimekuwa nakufuatilia Sana na nimejifunza vingi na mabadiliko nimeyaona ubalikiwe sana kaka
Tunaomba ushauri wa kuondowa wivu kwamwenza plz
Nimekuelewa kaka ila nahitaji vitabu na kwa huku kwetu havipatikani kirahisi naweza kuvipata kwa WhatsApp?
Nitapata aje iyo kitabu
Unachelewa kwenda kwenye point weijisikilis 2
pp
Ezden namna gani naweza kupunguza matumizi katika kipato changu ili nitunze zaidi!??
Mambo amabayo siyo ya muhimu kwako achana nayo kutumia. Tumia ambayo unayahitaji kwa umuhimu
@@umruqayya9569 thanks I'll try
Vitabu napata WAP npo irng twn.
ILI KUPATA VITABU Ayubu Sambala
Tuma Ujumbe neno “KITABU” kwenda
Namba yangu ya 0759 191 076
.
VITABU VILIVYOPO:
1. Elimu ya msingi ya Fedha - (Tshs. 20,000)
2. Elimu ya msingi ya Biashara - (Tshs. 20,000)
3. Biashara ndani ya ajira - (Tshs. 20,000)
4. Una nguvu ya kutenda miujiza - (Tshs. 20,000)
5. Epuka Utumwa wa kidigitali - (Tshs. 20,000)
6. Mfundishe Mtoto wako Kuishi - (Tshs. 30,000)
7. Mambo 100 ya Mwanafunzi wa Kiafrika (Tshs. 15,000)
Point
Blessed Brother
Unatuimarisha sna ktk madarasa yako yote pongezii kubwa
Asante
Shukran