JINSI YA KUKOMESHA TABIA YA UVIVU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2021
  • Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kukomesha tabia ya uvivu ambalo ni adui wa maendeleo. Na huu ni muendelezo wa topic za mwanzo kuhusu uvivu.
    Kama hukuona tafadhali tazama katika link hizi hapa chini:
    .
    CHANZO CHA TABIA YA UVIVU
    • CHANZO CHA UVIVU KWENY...
    .
    ISHARA 8 WEWE NI MVIVU
    • ZIJUE ISHARA HIZI 8 KA...
    .
    UVIVU NA MADHARA YAKE
    • UVIVU NA MADHARA YAKE ...
    .
    GROUP LANGU LA VITABU (WHATSAPP):
    (SPN BOOK CLUB):
    Karibu ujiunge ikiwa wewe:
    - Unapenda kupata faida toka kwenye vitabu
    - Ni mvivu kusoma na ungependelea kusikiliza (Audio) zaidi.
    - Unataka kufahamu/ kupata vitabu vizuri vya mafanikio.
    Utapata AUDIO CLIPS kwenye simu yako zilizosomwa kwa ufasaha na hazichoshi kusikiliza.
    Ili kujiunga tuma ujumbe "whatsapp" andika: SPN BOOK CLUB kwenda namba 0759191076
    .
    ADA NI SHILINGI 2,000/= TU KWA WIKI
    .
    SUBSCRIBE - COMMENTS - LIKE - SHARE
    .
    UNGANA NAMI MITANDAONI:
    INSTAGRAM (SPN): / successpath. .
    INSTAGRAM : / ezdenjumanne
    FACEBOOK : / ezdenjumanne
    TWITTER : / ezdenjumanne
    LINKEDIN : / ezdenjumanne
    CZcams : / ezdenjumanne
    .
    BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
    EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
    WHATSAPP : (+255)759191076
    .
    SUBSCRIBE CHANNEL YA HAMASA YA LEO HAPA:
    / hamasayaleo
    .
    .
    #tabia #ya #uvivu

Komentáře • 71

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Před 2 lety +5

    Hujawahi kuniangusha, na niwe muwazi tu umekuwa ni sehemu kubwa sana ya mafanikio yangu kupitia masomo unatokuwa unatufundisha au kutukumbusha. Naomba Usije ukaacha kufanya hivi na Mungu atazidi kukubariki sana.

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Před 2 lety +3

    Hapa nimejifunza kuwa kuna mambo ya haraka na muhimu lakini kuna mambo ya haraka ila siyo ya mhimu kwa mda huo, na lazima ujiulize kuwa kina faida kwa mda huo AMA kitu gani utapoteza kwa mda huo, ahsante mkuu kwa Elimu hii Ubarikiwe sana 🙏🥋🥊👉🏆

  • @ramadhaniferuzi
    @ramadhaniferuzi Před rokem +2

    Allah akuzidishie maana mafunzo napata kwako nimuhimu kabisa

  • @kainibachungege3430
    @kainibachungege3430 Před 2 lety +4

    Tunakupata vizuri J4 tupo Pamoja. Tunajifunza mengi kupitia Chaneli yako Bravo Sana Kaka!

  • @user-hw3qd7cr3f
    @user-hw3qd7cr3f Před 7 měsíci +2

    Thanks brother sina la Zaid maana unanigusa Sana kwa kila video yako

  • @izraelsniper533
    @izraelsniper533 Před 2 lety +2

    Dua sana bro Ezden j4

  • @labanchayonga8103
    @labanchayonga8103 Před 2 lety +1

    Braza wangu ww unauelewa sana wa kufindisha na kuelekeza nitakua. Pamoja na ww siku zote ile nipate kuelewa dunia ina hitaji nn ahsante Mr edzen

  • @kuloladaudi8512
    @kuloladaudi8512 Před 11 měsíci +2

    Matangazo mengi Sana,nenda kwenye maada unamaliza mb zangu

  • @samwelmwita2431
    @samwelmwita2431 Před 9 měsíci +2

    Duuuh! Yan tangu nimeanza kusikiliza ushauri wako nimeona mabadiliko makubwa katika maisha yangu kwa kweli me nakushukuru sana na sana

  • @JohnPaul-ck6lz
    @JohnPaul-ck6lz Před 2 lety +2

    Kaka jmnee ezden Nimekubali xna na umeniamxha ubongo wangu xna naangalia video zako zote natafuta Ela ili nipate vitabu vyako ni ivi apa ELIMU YA BIASHARA NA ELIMU YA FEDHA AU NAMNA YA KUJIAJILI BIG UUUP BY JOHN FROM LINDI

  • @ayubusambala297
    @ayubusambala297 Před 2 lety +3

    Good mentor,,,bless sna.

  • @mohammedshali6926
    @mohammedshali6926 Před 2 lety +2

    Shukurani mugu akuzidi shiye

  • @abaenya6671
    @abaenya6671 Před 2 lety +2

    Kazi nzuri ya kutu kumbusha vijana

  • @amemeabdulrazak1397
    @amemeabdulrazak1397 Před 2 lety +3

    Asalam alykum hujambo mwalimu shukran kwa faida😍

  • @williamraphael102
    @williamraphael102 Před 2 lety +1

    Somo zuri Sana kaka nimejifunza vitu vingi hapa

  • @mashabizzy9284
    @mashabizzy9284 Před 2 lety +2

    Asante sana Kaka ujumbe nzuri ni wakati wa kubadilika

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 2 lety +3

    Shukran kwa somo 💜

  • @rukiamwambogela2759
    @rukiamwambogela2759 Před 10 měsíci +2

    Ahsante kwa kuniamsha

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před 2 lety +1

    Ubarikiwe kwa somo zuri ki ukweli masomo yako yamenibadirisha

  • @user-gy1lb9fo2b
    @user-gy1lb9fo2b Před 9 měsíci +2

    Somo zuri sana

  • @rungumajohn8790
    @rungumajohn8790 Před 2 lety +2

    Thanks bruh great lesson for us to raise up toward our destiny

  • @amemeabdulrazak1397
    @amemeabdulrazak1397 Před 2 lety +2

    Nikweli kabisaa

  • @hamisomary4004
    @hamisomary4004 Před 5 měsíci +1

    Brother Asante sana kwa somo

  • @asiliyetuafrika9542
    @asiliyetuafrika9542 Před 2 lety +1

    Hongera sana nddugu

  • @aminaalid9745
    @aminaalid9745 Před 2 lety +1

    Shukran

  • @abuhaydatomar8607
    @abuhaydatomar8607 Před 2 lety +1

    Good bro you are right

  • @romanasilvan2963
    @romanasilvan2963 Před 9 měsíci +2

    Asante kaka

  • @ngikatheboytz
    @ngikatheboytz Před rokem +1

    Hongera sana🙏

  • @princesessy8549
    @princesessy8549 Před 2 lety +1

    Ur too guud brooh..am enjoying de class

  • @m-tatu1050
    @m-tatu1050 Před 2 lety +1

    Asante sana

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 2 lety +1

    Bro uko vizur Sana bro nimejifunza mengi na nimeyafanyia kazi

  • @amemeabdulrazak1397
    @amemeabdulrazak1397 Před 2 lety +1

    Asalam aleykum shukran kwa faida

  • @nancycleopa1149
    @nancycleopa1149 Před 2 lety +1

    I like it

  • @evandosimboro1364
    @evandosimboro1364 Před 2 lety +1

    Binafsi hua najikuta kila nikikuskiliza nakua sichoki kukuerewa umekua ni somo kwangu kaka mkubwa balikiwa sana 🙏🏾🙏🏾

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před 2 lety +1

    Sure bro

  • @user-lh1gt6hr8z
    @user-lh1gt6hr8z Před 7 měsíci +1

    Nimefunguka kiubongo

  • @godknowsbetter.6352
    @godknowsbetter.6352 Před 2 lety +1

    Barikiwa Sana mkuu

  • @joshuarasian4020
    @joshuarasian4020 Před 2 lety +1

    I get a point

  • @jayromantic390
    @jayromantic390 Před 2 lety +1

    Somo kubwa sanaaaa

  • @ahadimogha5814
    @ahadimogha5814 Před 2 lety +1

    Unajua

  • @aissacjulius6385
    @aissacjulius6385 Před 2 lety +1

    💪💪

  • @EvodiusDastan
    @EvodiusDastan Před měsícem

    Mm nina changamoto ya kutowek akiba y pexa mfuko maan naiwekez kwenye kikund il natmn andan kwenyenye niweke anglau akba

  • @njochelanim
    @njochelanim Před 2 měsíci

    🎉🎉🎉

  • @jackytonny1257
    @jackytonny1257 Před rokem +1

    Asant sana umenisaidia sana love much much bro

  • @florianmalle6038
    @florianmalle6038 Před 2 lety

    Shukrani Kaka ninazidi kujifunza mengi zaidi na zaidi, pamoja sana

  • @danielgabriel915
    @danielgabriel915 Před 2 lety

    Asante sana kaka EZDEN nimejifunza mengi sana kutoka kwako mpaka naamua kukuita mwalimu Mimi naitwa Daniel Gabriel nilipata ajali iliyopelekea mwili mzima kupooza lakini na ndoto ya kua motivational speaker niweze kuwa inspire wenye ulemavu kama wangu au wanao pitia changamoto mbalimbali naomba nisaidie support yako mwalimu

    • @user-zl5mt6lk4n
      @user-zl5mt6lk4n Před 10 měsíci

      Pole sana Allah atakughafu na namuomba akuzdishie subra

  • @sylviacornely4688
    @sylviacornely4688 Před rokem

    umenigusa bro, ivi kwanini huwa nikianzia kujisomea nahisi kupoteza mood na kuhisi kuacha kusoma na kuendelea na shughuli nyingine?

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op Před 2 lety

    Bismillah

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 2 lety +2

    Waiting

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu5718 Před 2 lety +1

    Bro ningepata namba yako ingekua vizur sana, huenda ukanipa japo ushauri kwakina , mm ni Tailoring, nimekusanya vipesa vyangu ila sijui nianzishe biashara gani , mm sio mvivi alhamdulillah kazi kazi

  • @rasheedrada3268
    @rasheedrada3268 Před 2 lety

    Kaka ezden kama ipo link ya grup la wasapu niliomba uniunganishe kama nimekuwa nakufuatilia Sana na nimejifunza vingi na mabadiliko nimeyaona ubalikiwe sana kaka

  • @shushu8105
    @shushu8105 Před 2 lety

    Tunaomba ushauri wa kuondowa wivu kwamwenza plz

  • @jacktitucjames395
    @jacktitucjames395 Před 2 lety

    Nimekuelewa kaka ila nahitaji vitabu na kwa huku kwetu havipatikani kirahisi naweza kuvipata kwa WhatsApp?

  • @enockboss3522
    @enockboss3522 Před 2 lety

    Nitapata aje iyo kitabu

  • @paulonjozi1638
    @paulonjozi1638 Před 2 lety +2

    Unachelewa kwenda kwenye point weijisikilis 2

  • @FakiBakarimakame
    @FakiBakarimakame Před 2 měsíci

    pp

  • @suleymoo967
    @suleymoo967 Před 2 lety +1

    Ezden namna gani naweza kupunguza matumizi katika kipato changu ili nitunze zaidi!??

    • @umruqayya9569
      @umruqayya9569 Před 2 lety +1

      Mambo amabayo siyo ya muhimu kwako achana nayo kutumia. Tumia ambayo unayahitaji kwa umuhimu

    • @suleymoo967
      @suleymoo967 Před 2 lety

      @@umruqayya9569 thanks I'll try

  • @ayubusambala297
    @ayubusambala297 Před 2 lety +1

    Vitabu napata WAP npo irng twn.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      ILI KUPATA VITABU Ayubu Sambala
      Tuma Ujumbe neno “KITABU” kwenda
      Namba yangu ya 0759 191 076
      .
      VITABU VILIVYOPO:
      1. Elimu ya msingi ya Fedha - (Tshs. 20,000)
      2. Elimu ya msingi ya Biashara - (Tshs. 20,000)
      3. Biashara ndani ya ajira - (Tshs. 20,000)
      4. Una nguvu ya kutenda miujiza - (Tshs. 20,000)
      5. Epuka Utumwa wa kidigitali - (Tshs. 20,000)
      6. Mfundishe Mtoto wako Kuishi - (Tshs. 30,000)
      7. Mambo 100 ya Mwanafunzi wa Kiafrika (Tshs. 15,000)

  • @fabioranewchapa9704
    @fabioranewchapa9704 Před 2 lety +1

    Point

  • @salmakey601
    @salmakey601 Před 2 lety +1

    Shukran