HIKI NI KIPIMO KUWA SASA UMEKUA
Vložit
- čas přidán 6. 10. 2021
- Hiki ni kipimo kuwa sasa umekua.
Nimeandaa point kadhaa za kuchambua topic hii ili ziweze kufahamika kirahisi kwa kila mtu. Karibu sana!
.
Usiache kuniambia hapo chini kwenye comments nini umepata kwenye somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tusome kuashia sasa umekua, karibu!
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WHATSAPP GROUP
Kujiunga na whatsapp group la vitabu (SPN BOOK CLUB)
Tuma ujumbe whatsapp andika "SPN BOOK CLUB"
Kwenda whatsapp number: 0759191076
(Ada: 2,000 TZS kwa wiki)
.
KUNUNUA VITABU:
Tuma ujumbe wenye jina au majina ya vitabu utakavyo na mahali ulipo kwenda namba 0759191076.
1. Biashara ndani ya ajira (20,000 TZS)
2. Elimu ya msingi ya fedha (20,000 TZS)
3. Elimu ya msingi ya biashara (20,000 TZS)
4. Una nguvu ya kutenda miujiza (20,000 TZS)
5. Epuka utumwa wa kidigitali (20,000 TZS)
6. Mfundishe mtoto wako kuishi (30,000 TZS)
7. Mambo 100 kwa mwanafunzi wa kiafrika (15,000 TZS)
.
SUBSCRIBE kwenye channel yetu ya HAMASA YA LEO
/ hamasayaleo
.
KWA VOICE-OVER, KUTENGENEZA MATANGAZO YA BIASHARA NA KUTANGAZA BIASHARA YAKO KWENYE CHANNEL HII
Tuwasiliane hapa:
0759191076
ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Kipimo #Sasa #Umekua
Amkeni Amkeni niwambie alichonitendea huyu kijana.
Nawaambia hivi vipindi vyake vyote anavyoandaa toka mwaka2017 Hadi Leo ni kwa ajili yangu.
Nimejifunza kusamehe Na kupuuzia mambo yasiyo Na tija kwangu.
Niseme asante kwa mda wako.
Allah akujalie umri mrefu Na kheri duniani.
Umetenda miujiza ktk maisha yangu.
Ukiwa tayari kupokea ushuhuda wangu.
ASANTE SAAAANA
Niandikie kwenye whatsapp story yako #0759191076
Nimejifunza kutokulazimisha mapenzi that is big point today for me i respect you brother
itakusaidia sana hii ukiiweka katika matendo kwa maana ya kuifuatilia vizuri. nashukuru kwa kujifunza
Nitajitahidi hapo kwenye kukaa kimya in shaa Allah
Bro île niukweli tena asante sana ilakuna kunakitu nakio unaonesha kama unakuwa kama kunawakati unawza gisi yakupata kazi kwajili yakusaidia familia aiza mtu mwengi nakujuwa matumizi yapesa
Shukran kwa somo zr
Asante Sana kaka, pia kutolalamika naamani inaashiria kwamba mtu amekua.
Kutafta suruhisho kwa kumsingizia mtu mwingine ambaye hayupo , na nashukuru pia kwa Elimu hii mkuu Ubarikiwe sana 🙏🥋🥊👉🏆
Hakika ukubwa sio muonekano, Wala umri Bali ni busara na hekima aliyo nayo mtu yeyote katika kuyakabili Mambo mbali mbali katika maisha. Nimejifunza Sana kaka mungu akubariki kwa kazi yako.
Asantee san kaka ezden nimejifunza kukaa kimy unapokuwa namtu ambae simuelew pia kumusikiluza mwenako nayo unakurmta inakaa vizur ubarikiw sana
Thanks Kaka
Sikuwahi kukoment kweny videos zako hii ndo ya kwanza ila juwa nakufuatilia sanaaa kweny masomo yako🙌🙌🙏🙏
Ahsante sana kiongozi umetupa madini kinoma!
Nimeikubal sna pointi ya 9 .. kuhusu kuamini kwamba furaha yangu ni jukumu langu.. hivyo Sina budi kupunguza expectations! Asante Kaka. 💪🏾
Nimejifunza kwanza kujitambua
Nmejifunza kuwa na hekma
Nimejinza sana kufikiria kabla ya kufanya uamuz sahihi .
Lkn bado nmejifunza kupuuza kabsaa yan nlkua mtu aanzishe ugonvi kwangu nmuangalie labda sio mie....alahmdulillah Allah azidishe kila kizuri kwako na kwetu sote.
Somo zuri zaidi nimeelewa kuwa totegemea fulaha yangu kotoka kwa watu wengine asante
Brother Alhamdulillah nimekua kupitia CZcams yako saiv nipo hivyo uliyo yataja yote Alhamdulillah
Ujawahi tuangusha broo kwa kutufungua akili zaidi broo unathamani kubwa sana kwa watnzania mungu akupe maisha marefu zaidi uzidi kutuerimisha tulolala ktk Mambo ya mhimu.
Good content huwa napata funzo ambazo unijenga kaka Allah akuzidishie nguvu na pia akubariki
Kwa 70%nimekua
Don't force them to love you hiyo najua sana brother ezden
Nakuali sana
Kuanzia leo nimekua sibishani na mtu
Yaaah najikuta tu mambo yote unayo fundisha Ina husu maisha yangu kaka nimeelewa masomo Yako maungu akupe maisha marefu uzidi kutufundisha mengi zaid
Somo zuri sana. Vipi kwa wale walio kuwa but bado wanamambo ya kitoto
Hawa wapo wengi sana, wanakua mwili lakini akili bado!
Safi sana my brother
Bro
Kaka shukran sana kila siku nkua ntu mpya kadili nnavyo pata darasa toka kwako God bless you 🙏🙏🙏
Nimekuwa Alkhamndulillah zote dalili umeongea Niko hivyo kabisa 🙏
Yoooote hayo kidogo niyatimize Ila sasa kwa hilo la ku juge umenishika maana mimi nikimuona mtu ni domokaya,mvivu hapohapo namchukia maisha yake yote
Nimedownload🙏
Nimejifunza ya kuwa kujitambua ni suruhu ya mambo yote
Allah akuzidishie ujasiri kala
Ezden mawaidha yako mazuri yanapiga ujinga teke nakuutoa tunakuskiliza sana kutoka Kenya
Shukrani sana kaka Kennedy. Wape salamu huko
Good
❤
Dah
Naam
Asante sana kka ezden ,umenifny nibadilike naomba nisaidie jinsi ya kupanga malengo madogo na makubwa
Njoo whatsapp 0759191076
bro hongera kwa kazi nzuri
Kweli kabisa kamukubwa
Asante sana
Nipo Moz
Asante NAMI nimejifunza ni
Shukran san kaka kwadarasa
Kaka Ezden, jambo lingine la kukuonesha umekua ni kufanya unaloweza Ili wenzako wawe bora, Kwa maana unapojiandaa namna ya kuwasilisha mchango wako Huo Kuna namna roho Yako inakwambia Anza wewe kuwa Bora katika hicho unachotaka kuelekeza wenzako hivyo unajikuta unazidi kuwa Bora kifikra, kimaneno na kivitendo pia. Mfano ni wewe mwenyewe Ezden, hauwezi kutupatia madini kama haya wakati wewe hauyazingatii, kwanza utaona aibu🙋🙋🙋🙋🙋
Nmecheka hapo kwa kuhukumu .
Hahaha et wahehe wote siwanakula mbwa tuu
hahaha yaaap, stori za zamani hizo! we Muhehe nini?
Duh nahitaji kukua
Mtu akianza kusali na kumrudia Muumba wake hata kama ni kwa kiwango kidogo
Nimeelewa nimejifunza kitu
shukrani sana
Wafanye nini ili wakue.
Swali zuri sana, hii ni topic ya muendelezo inakuja. Kaa karibu
Broo unanipa motivation sana but nilikua naitaji namba yako plz
Mshahara wako unaweza kukufanya uonekane umekuwa???naomba jibu broo au elezea utofauti huo
Mshahara na kukua hakuna uhusiano...ila, tutaona kama umekua jinsi utakavyoutumia Mshahara huo. Hapo tu, kwenye matumizi kila kitu kitadhihirika.
Good content huwa napata funzo ambazo unijenga kaka Allah akuzidishie nguvu na pia akubariki