HIKI NI KIPIMO KUWA SASA UMEKUA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 10. 2021
  • Hiki ni kipimo kuwa sasa umekua.
    Nimeandaa point kadhaa za kuchambua topic hii ili ziweze kufahamika kirahisi kwa kila mtu. Karibu sana!
    .
    Usiache kuniambia hapo chini kwenye comments nini umepata kwenye somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tusome kuashia sasa umekua, karibu!
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    WHATSAPP GROUP
    Kujiunga na whatsapp group la vitabu (SPN BOOK CLUB)
    Tuma ujumbe whatsapp andika "SPN BOOK CLUB"
    Kwenda whatsapp number: 0759191076
    (Ada: 2,000 TZS kwa wiki)
    .
    KUNUNUA VITABU:
    Tuma ujumbe wenye jina au majina ya vitabu utakavyo na mahali ulipo kwenda namba 0759191076.
    1. Biashara ndani ya ajira (20,000 TZS)
    2. Elimu ya msingi ya fedha (20,000 TZS)
    3. Elimu ya msingi ya biashara (20,000 TZS)
    4. Una nguvu ya kutenda miujiza (20,000 TZS)
    5. Epuka utumwa wa kidigitali (20,000 TZS)
    6. Mfundishe mtoto wako kuishi (30,000 TZS)
    7. Mambo 100 kwa mwanafunzi wa kiafrika (15,000 TZS)
    .
    SUBSCRIBE kwenye channel yetu ya HAMASA YA LEO
    / hamasayaleo
    .
    KWA VOICE-OVER, KUTENGENEZA MATANGAZO YA BIASHARA NA KUTANGAZA BIASHARA YAKO KWENYE CHANNEL HII
    Tuwasiliane hapa:
    0759191076
    ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #Kipimo #Sasa #Umekua

Komentáře • 62

  • @ummyqassim2907
    @ummyqassim2907 Před 2 lety +6

    Amkeni Amkeni niwambie alichonitendea huyu kijana.
    Nawaambia hivi vipindi vyake vyote anavyoandaa toka mwaka2017 Hadi Leo ni kwa ajili yangu.
    Nimejifunza kusamehe Na kupuuzia mambo yasiyo Na tija kwangu.
    Niseme asante kwa mda wako.
    Allah akujalie umri mrefu Na kheri duniani.
    Umetenda miujiza ktk maisha yangu.
    Ukiwa tayari kupokea ushuhuda wangu.
    ASANTE SAAAANA

  • @kobokothemilan2025
    @kobokothemilan2025 Před 2 lety +10

    Nimejifunza kutokulazimisha mapenzi that is big point today for me i respect you brother

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      itakusaidia sana hii ukiiweka katika matendo kwa maana ya kuifuatilia vizuri. nashukuru kwa kujifunza

  • @sarahabdi6175
    @sarahabdi6175 Před 2 lety +4

    Nitajitahidi hapo kwenye kukaa kimya in shaa Allah

  • @djfigarofelix9001
    @djfigarofelix9001 Před 2 lety +2

    Bro île niukweli tena asante sana ilakuna kunakitu nakio unaonesha kama unakuwa kama kunawakati unawza gisi yakupata kazi kwajili yakusaidia familia aiza mtu mwengi nakujuwa matumizi yapesa

  • @munahashim8898
    @munahashim8898 Před 2 lety +3

    Shukran kwa somo zr

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 Před 2 lety +2

    Asante Sana kaka, pia kutolalamika naamani inaashiria kwamba mtu amekua.

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Před 2 lety +3

    Kutafta suruhisho kwa kumsingizia mtu mwingine ambaye hayupo , na nashukuru pia kwa Elimu hii mkuu Ubarikiwe sana 🙏🥋🥊👉🏆

  • @esrompatrick3748
    @esrompatrick3748 Před 2 lety +2

    Hakika ukubwa sio muonekano, Wala umri Bali ni busara na hekima aliyo nayo mtu yeyote katika kuyakabili Mambo mbali mbali katika maisha. Nimejifunza Sana kaka mungu akubariki kwa kazi yako.

  • @mussadismass9306
    @mussadismass9306 Před 2 lety +2

    Asantee san kaka ezden nimejifunza kukaa kimy unapokuwa namtu ambae simuelew pia kumusikiluza mwenako nayo unakurmta inakaa vizur ubarikiw sana

  • @medsonstarlon1781
    @medsonstarlon1781 Před 2 lety +3

    Thanks Kaka

  • @bregadiakamote3604
    @bregadiakamote3604 Před 2 lety +7

    Sikuwahi kukoment kweny videos zako hii ndo ya kwanza ila juwa nakufuatilia sanaaa kweny masomo yako🙌🙌🙏🙏

  • @aminiellukumay7869
    @aminiellukumay7869 Před 2 lety +2

    Ahsante sana kiongozi umetupa madini kinoma!

  • @amazingmocky
    @amazingmocky Před 2 lety +3

    Nimeikubal sna pointi ya 9 .. kuhusu kuamini kwamba furaha yangu ni jukumu langu.. hivyo Sina budi kupunguza expectations! Asante Kaka. 💪🏾

  • @aminaalid9745
    @aminaalid9745 Před 2 lety +2

    Nimejifunza kwanza kujitambua
    Nmejifunza kuwa na hekma
    Nimejinza sana kufikiria kabla ya kufanya uamuz sahihi .
    Lkn bado nmejifunza kupuuza kabsaa yan nlkua mtu aanzishe ugonvi kwangu nmuangalie labda sio mie....alahmdulillah Allah azidishe kila kizuri kwako na kwetu sote.

  • @matridachatila6839
    @matridachatila6839 Před 2 lety +2

    Somo zuri zaidi nimeelewa kuwa totegemea fulaha yangu kotoka kwa watu wengine asante

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe Před 2 lety +3

    Brother Alhamdulillah nimekua kupitia CZcams yako saiv nipo hivyo uliyo yataja yote Alhamdulillah

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 2 lety +4

    Ujawahi tuangusha broo kwa kutufungua akili zaidi broo unathamani kubwa sana kwa watnzania mungu akupe maisha marefu zaidi uzidi kutuerimisha tulolala ktk Mambo ya mhimu.

  • @wiliamplatnumz3080
    @wiliamplatnumz3080 Před 2 lety +3

    Good content huwa napata funzo ambazo unijenga kaka Allah akuzidishie nguvu na pia akubariki

  • @stevenernest2502
    @stevenernest2502 Před 2 lety +2

    Don't force them to love you hiyo najua sana brother ezden

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před 2 lety +2

    Nakuali sana

  • @mdl6463
    @mdl6463 Před 2 lety +4

    Kuanzia leo nimekua sibishani na mtu

  • @rangaipendo3252
    @rangaipendo3252 Před rokem +2

    Yaaah najikuta tu mambo yote unayo fundisha Ina husu maisha yangu kaka nimeelewa masomo Yako maungu akupe maisha marefu uzidi kutufundisha mengi zaid

  • @charlesmollel1845
    @charlesmollel1845 Před 2 lety +3

    Somo zuri sana. Vipi kwa wale walio kuwa but bado wanamambo ya kitoto

  • @jiwahassan
    @jiwahassan Před 2 lety +2

    Safi sana my brother

  • @shamykisauty4681
    @shamykisauty4681 Před 2 lety +3

    Bro

  • @chrismatt9174
    @chrismatt9174 Před 2 lety +4

    Kaka shukran sana kila siku nkua ntu mpya kadili nnavyo pata darasa toka kwako God bless you 🙏🙏🙏

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Před 2 lety +2

    Nimekuwa Alkhamndulillah zote dalili umeongea Niko hivyo kabisa 🙏

  • @lesportetlanutritionpourla9956

    Yoooote hayo kidogo niyatimize Ila sasa kwa hilo la ku juge umenishika maana mimi nikimuona mtu ni domokaya,mvivu hapohapo namchukia maisha yake yote

  • @francismtaki5979
    @francismtaki5979 Před 2 lety +4

    Nimedownload🙏

  • @medsonstarlon1781
    @medsonstarlon1781 Před 2 lety +2

    Nimejifunza ya kuwa kujitambua ni suruhu ya mambo yote

  • @aminaalid9745
    @aminaalid9745 Před 2 lety +2

    Allah akuzidishie ujasiri kala

  • @kennedynzioka8189
    @kennedynzioka8189 Před 2 lety +3

    Ezden mawaidha yako mazuri yanapiga ujinga teke nakuutoa tunakuskiliza sana kutoka Kenya

  • @pizorlokiskune869
    @pizorlokiskune869 Před rokem +1

    Good

  • @dedeElly-ml8wm
    @dedeElly-ml8wm Před 2 měsíci +1

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Před rokem

    Dah

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 Před 2 lety +2

    Naam

  • @annazwiligermanus203
    @annazwiligermanus203 Před rokem +3

    Asante sana kka ezden ,umenifny nibadilike naomba nisaidie jinsi ya kupanga malengo madogo na makubwa

  • @smartkileetv3906
    @smartkileetv3906 Před 2 lety +2

    bro hongera kwa kazi nzuri

  • @twofivefive906
    @twofivefive906 Před rokem +1

    Kweli kabisa kamukubwa

  • @maulideabdala3832
    @maulideabdala3832 Před rokem +2

    Asante sana
    Nipo Moz

  • @fatumajafari9779
    @fatumajafari9779 Před 2 lety +1

    Asante NAMI nimejifunza ni

  • @abubakarhussein1676
    @abubakarhussein1676 Před 2 lety +2

    Shukran san kaka kwadarasa

  • @jaredmondo1477
    @jaredmondo1477 Před 2 měsíci

    Kaka Ezden, jambo lingine la kukuonesha umekua ni kufanya unaloweza Ili wenzako wawe bora, Kwa maana unapojiandaa namna ya kuwasilisha mchango wako Huo Kuna namna roho Yako inakwambia Anza wewe kuwa Bora katika hicho unachotaka kuelekeza wenzako hivyo unajikuta unazidi kuwa Bora kifikra, kimaneno na kivitendo pia. Mfano ni wewe mwenyewe Ezden, hauwezi kutupatia madini kama haya wakati wewe hauyazingatii, kwanza utaona aibu🙋🙋🙋🙋🙋

  • @aminaalid9745
    @aminaalid9745 Před 2 lety +3

    Nmecheka hapo kwa kuhukumu .
    Hahaha et wahehe wote siwanakula mbwa tuu

  • @upendo6009
    @upendo6009 Před rokem +1

    Duh nahitaji kukua

  • @nelicekarashani4213
    @nelicekarashani4213 Před rokem +1

    Mtu akianza kusali na kumrudia Muumba wake hata kama ni kwa kiwango kidogo

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Před 2 lety +3

    Nimeelewa nimejifunza kitu

  • @charlesmollel1845
    @charlesmollel1845 Před 2 lety +3

    Wafanye nini ili wakue.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +3

      Swali zuri sana, hii ni topic ya muendelezo inakuja. Kaa karibu

  • @geofreyedward8190
    @geofreyedward8190 Před 2 lety +2

    Broo unanipa motivation sana but nilikua naitaji namba yako plz

  • @stevenernest2502
    @stevenernest2502 Před 2 lety +3

    Mshahara wako unaweza kukufanya uonekane umekuwa???naomba jibu broo au elezea utofauti huo

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +1

      Mshahara na kukua hakuna uhusiano...ila, tutaona kama umekua jinsi utakavyoutumia Mshahara huo. Hapo tu, kwenye matumizi kila kitu kitadhihirika.

  • @wiliamplatnumz3080
    @wiliamplatnumz3080 Před 2 lety +2

    Good content huwa napata funzo ambazo unijenga kaka Allah akuzidishie nguvu na pia akubariki