MASWALI 10 MUHIMU KWA MAFANIKIO YAKO
Vložit
- čas přidán 18. 02. 2020
- The quality of questions you ask yourself on a daily basis determines the quality of answers you get.
.
Katika maisha yetu kuna maswali ambayo kama mtu akijiuliza maswali haya na akawa mkweli kabisa kwa nafsi yake basi majibu yake yanaweza kabisa kumuongoza mtu katika njia yake ya mafanikio na hata akaishi maisha ya furaha sana.
.
Maswali yenyewe ni haya hapa:
1. Am I happy? - Je, mimi nina furaha?
2. Am I grateful? - Je, mimi ni mwenye shukrani?
3. Do I love my job? - Je, naipenda kazi yangu?
4. Do I feel good? - Je, najisikia vizuri?
5. What can I learn next? - Je, nijifunze nini kwenye maisha?
6. Where is my career going? - Je, ujuzi, kazi yangu inanipeleka wapi?
7. How meaningful is my work? - Je, kazi yangu ina maana kiasi gani?
8. How can I get better at my work - Je, nawezaje kuwa bora zaidi katika kazi yangu?
9. What task should I stop doing? - Je, ni kitu gani kimoja natakiwa kukiacha kufanya?
10. What questions am I not asking myself? - Je ni maswali gani ambayo sijiulizi, sijajiuliza bado?
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#MaswaliMuhimu #Maswali10 #EachOneTeachOne
Mwenyezi mungu akujaalia elimu ya hali ya juu uzidi kutufundisha
Nakubali maoni yako sana
Asantee bro toka nilipoanza kukufuatilia mafanikio yangu nayaona Allah akubarik sana
Swadkit jazak Allah khayran
Nice na kukunali xn somo zuri sana..
Dah broo mm kwanza nikuponge kwa madini ambayo napata toka kwako mungu akubariki sana uzidi kuwapa wtu ufahamu chanya nimejifunza toka success path network
Big Up Sana brother God bless you brother
Shukran kaka Ezden
Shukran ❤❤
somo nzuri sana 🤔 hayo maswali nimeyatilia mkazo sana
Asante kwa mafundisho
HII NDIO MAANA YA NJIA YA MAFANIKIO KTK MTANDAO..
#BARAKA LLAHU FI KAA AKHI EZDEN JUMANNE..USIRUDI NYUMA ALLAH ATAKULIPA KWA HIII ELIM UNAYOIPA JAMII
Sana tu naipenda sana
Ahsante
Dah big up ezden kwa kweli umenipeleka mbali
Be blessed brother
Nice one. Big up bro.we are very proud of you.
Shukuran
Atakae,kuelewa,atakuwaamepatafaida,kubwa,bigup
Uko vizur broo
Asante sana kaka
My life not the same Brother, Ulishabadilisha kila kitu Kifikra ndani yangu. Just Blessings to You. Each one teach one.
Likewise Abel
This brother is playing a very important role of changing people's life
good job brother
Nitajifunza mengi sana
Thanks alot my brother Ezden
salute
KAKA ASANTE MUNGU AKUZIDISHIE 🤲
Thanks brother 🙏🏾
Inamaana sana kwajamii yangu nakwakila mtu
God bless you Brother
Dah!!!! Thanks broo.
dah fundisho zur ahsante kak
Ndiooo
Keep it up bro.. Maa shaa Allah
Success path network shukran nyingi kwenu maana baadayakusikiliza nikufanyiakaz
God blessing u brother
Mashallah somo la leo limenipa changamota ahsante sana ubarikiwe
Maa shaaa Allah
Hongera kwaerimuyako
Labisa vipo vingi
Jamn leo nimefungukaa
Swali la pili na latano kama lina husika ivi shuklan, sana allah akutangulie ila apo je .... kama unatakiwa kuiacha mbona kama .... s. more
Asante kaka
Asalaam aleykum naitwa fatma kutoka kenya ,niko uae kwa sasa lakini napenda kuskiza videos zako ,nataka kuanzisha na yangu pia...Allah akuongezee Bro
Waaleykumh salam ya Bi Fatmaa, samahani Bi Fatmaa naomba nitafute kwa Namba yangu ya whatsap +255786600828 nataka nikuulize kuhusu Kenya kibisness zaid plz Bi Fatmaa search me
thanks
Kweli sistahili kuwa hapa nilipo
Ma asha Allah
Allah akubariki sana . nafatilia sana vdeo zako na zinazidi kuniongeza maarifa siku hadi siku.
BIG UP BROO👏🏼👏🏼
Ok tunakuelewa sana kaka Ezden
Hahahah Umenifanya Nimefurah na swali la kwanza wakat una present... Kaka uliwahi kuwa mwalimu? Cz unaeleweka vzr sana m/mungu akupe kheir zaid
maswali mazuri sn haya, ngoja nianze kujiuliza😊
Ezden nimeipenda sana hiyo flana vp siwezi kupata
Pamoja sana
Shukran bro nimejifunza kitu kizur mno pls naomba niunge kwenye group lako
Umenifungua sana kaka
Safi kaka nipo nyuma yako
#EachOneTeachOne♥️♥️
👍
God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother
Sinafuraha ezden nasema ukweli
Yapo kweli kwamfano kwanini huachi kulala .nanikitubambacho hakiwezekani kuacha kufanya
Yes, thank you for the lessons. Good job👍
And I have a question. From the first question I suppose to ask my self. “Am I happy?” / “Je, mimi nina furaha?”
Inaweza kuwa naipenda kazi yangu na nina furaha lakini furaha ile haidumu, ghafla inatibuliwa hadi ikanifanya nikusikie vibaya na niichukie kazi yangu. Najua kama kwenye hayo maswali tisa yaliyobakia naweza kupata jibu, lakini nataka kujua, nifanye nini ili kuokoa hali hiyo ya kukosa furaha ghafla. Na mara tu inapotokezea nimekereka hadi nikaichukia kazi yangu ili nisije nikachukua maamuzi ya haraka nikaacha kazi yangu kisha nikaja nikajutia maamuzi yangu?
Hapana
Good sir!!icho kitabu napata kwa shngp!?ulichoshika na kurusha chini
A,alaikum naitwa ithna othmani swali LA 8 nawezaje kuwa bora ktk kz yngu? Nimekuelewa vyeeema bro good mungu akuzishie kwa uwezo ulo nao wa kutufanya tujigundue
Nifanya mengune
Ninataka niende nacho mbali
Asanet nime jingundu nilipo sipo mahali sahihi
Ninatamani niwe huko nashule yangu hata nisilipwe ili nitoe matangazo yangu huko
Yaan kwa hapa nilipo najiuliza hivi zile definition ,what is history??😂zinahusika nn nakazi za ndan hapa Oman hata Majibu cpati😂😂😂😂😂😂😂...lakin naipenda kazi yang ALHAMDULILLAH..
Safi vizuri sana by the ni masomo yalikuwa ya kukuchangamsha akili hasa ktk ufahamu na kumbukumbu that is history
@@alafatyjangale6596 ShukrAn
@@baylamkandwa3895 Afuwani
maswali mazur ya kujiuliza na nimuhim ila samahn kk hii video umetoa hupo Sirius
shamsia thalith hata mwalimu wa somo la hesabati akiwa serious mwanzo mwisho darasani basi hata namba hazipandi kichwani, hii sio hesabati lakini ni zaidi ya hesabati ☺️
Ili niingie you tubu garama zao zakjiunga
Binafsi naichukia kazi yangu😭😭
Kwa nini mu
Mkubwa swali NAMBA 7 linaniusu Sana Sana
Jamani tukajifunze uzalishaji wa bidhaa mbali mbali za viwandani huku kwenye channel yetu RABAONE TV
Mafunzo ni BURE KABISAAA akuna malipo
Tunafundisha BURE utengenezaji wa sabuni aina zote, Lotion na Cream, mifuko mbadala, batiki na mengine mengi.
Mm,naitaji,vitabu,Nita ipataje!?wap
Shukrani Sana kaka ezden naombo niungu kwa group yako ya whatssp (0777935798
Group la vitabu 0789477910
Am not happy at all
Mr Kuku tafadhali nimechukuwa namba zako sikupati kwa whatsapp nahitaji kujiunga na mradi wa kuku but sipo Tz please niunge kwenye whatssap yako +968 96196873
Safi kaka nipo nyuma yako