MASWALI 10 MUHIMU KWA MAFANIKIO YAKO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 02. 2020
  • The quality of questions you ask yourself on a daily basis determines the quality of answers you get.
    .
    Katika maisha yetu kuna maswali ambayo kama mtu akijiuliza maswali haya na akawa mkweli kabisa kwa nafsi yake basi majibu yake yanaweza kabisa kumuongoza mtu katika njia yake ya mafanikio na hata akaishi maisha ya furaha sana.
    .
    Maswali yenyewe ni haya hapa:
    1. Am I happy? - Je, mimi nina furaha?
    2. Am I grateful? - Je, mimi ni mwenye shukrani?
    3. Do I love my job? - Je, naipenda kazi yangu?
    4. Do I feel good? - Je, najisikia vizuri?
    5. What can I learn next? - Je, nijifunze nini kwenye maisha?
    6. Where is my career going? - Je, ujuzi, kazi yangu inanipeleka wapi?
    7. How meaningful is my work? - Je, kazi yangu ina maana kiasi gani?
    8. How can I get better at my work - Je, nawezaje kuwa bora zaidi katika kazi yangu?
    9. What task should I stop doing? - Je, ni kitu gani kimoja natakiwa kukiacha kufanya?
    10. What questions am I not asking myself? - Je ni maswali gani ambayo sijiulizi, sijajiuliza bado?
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #MaswaliMuhimu #Maswali10 #EachOneTeachOne

Komentáře • 87

  • @aminasalim6782
    @aminasalim6782 Před 4 lety +1

    Mwenyezi mungu akujaalia elimu ya hali ya juu uzidi kutufundisha

  • @allykasm3199
    @allykasm3199 Před 3 lety +1

    Nakubali maoni yako sana

  • @swaibajafari4427
    @swaibajafari4427 Před 3 lety +1

    Asantee bro toka nilipoanza kukufuatilia mafanikio yangu nayaona Allah akubarik sana

  • @muhammadahmedaliyyu3854

    Swadkit jazak Allah khayran

  • @rashidiseleman8920
    @rashidiseleman8920 Před 3 lety

    Nice na kukunali xn somo zuri sana..

  • @gmontaclassic5307
    @gmontaclassic5307 Před 4 lety +1

    Dah broo mm kwanza nikuponge kwa madini ambayo napata toka kwako mungu akubariki sana uzidi kuwapa wtu ufahamu chanya nimejifunza toka success path network

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 Před 4 lety

    Big Up Sana brother God bless you brother

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 Před 3 lety

    Shukran kaka Ezden

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 4 lety +2

    Shukran ❤❤

  • @jemairisparick7541
    @jemairisparick7541 Před 4 lety +1

    somo nzuri sana 🤔 hayo maswali nimeyatilia mkazo sana

  • @bahatijackison5737
    @bahatijackison5737 Před 3 lety

    Asante kwa mafundisho

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 4 lety +4

    HII NDIO MAANA YA NJIA YA MAFANIKIO KTK MTANDAO..
    #BARAKA LLAHU FI KAA AKHI EZDEN JUMANNE..USIRUDI NYUMA ALLAH ATAKULIPA KWA HIII ELIM UNAYOIPA JAMII

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Sana tu naipenda sana

  • @matirdamussa6343
    @matirdamussa6343 Před 3 lety

    Ahsante

  • @saimonemmanuel5293
    @saimonemmanuel5293 Před 3 lety

    Dah big up ezden kwa kweli umenipeleka mbali

  • @nelsonmpolochacha5035
    @nelsonmpolochacha5035 Před 3 lety

    Be blessed brother

  • @marykatamba4695
    @marykatamba4695 Před 4 lety +3

    Nice one. Big up bro.we are very proud of you.

  • @aishamussa3245
    @aishamussa3245 Před 3 lety

    Shukuran

  • @babukibwana9191
    @babukibwana9191 Před 4 lety

    Atakae,kuelewa,atakuwaamepatafaida,kubwa,bigup

  • @manyorijira9
    @manyorijira9 Před rokem

    Uko vizur broo

  • @babydayna3523
    @babydayna3523 Před 4 lety +1

    Asante sana kaka

  • @abelbenedicto5392
    @abelbenedicto5392 Před 4 lety +6

    My life not the same Brother, Ulishabadilisha kila kitu Kifikra ndani yangu. Just Blessings to You. Each one teach one.

  • @Issambaruk11
    @Issambaruk11 Před 4 lety

    good job brother

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Nitajifunza mengi sana

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Před 4 lety

    Thanks alot my brother Ezden

  • @listonehoya3430
    @listonehoya3430 Před 4 lety

    salute

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 2 lety +1

    KAKA ASANTE MUNGU AKUZIDISHIE 🤲

  • @katemajr9374
    @katemajr9374 Před 4 lety

    Thanks brother 🙏🏾

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Inamaana sana kwajamii yangu nakwakila mtu

  • @_loseyi
    @_loseyi Před 4 lety +1

    God bless you Brother

  • @hatimsalum5587
    @hatimsalum5587 Před 4 lety

    Dah!!!! Thanks broo.

  • @viatorycotton1811
    @viatorycotton1811 Před 4 lety +1

    dah fundisho zur ahsante kak

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Ndiooo

  • @khalidalsinany893
    @khalidalsinany893 Před 4 lety +1

    Keep it up bro.. Maa shaa Allah

  • @liberatussylvanus9952
    @liberatussylvanus9952 Před 4 lety

    Success path network shukran nyingi kwenu maana baadayakusikiliza nikufanyiakaz

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 Před 4 lety

    God blessing u brother

  • @Oman-xq4nm
    @Oman-xq4nm Před 4 lety

    Mashallah somo la leo limenipa changamota ahsante sana ubarikiwe

  • @ggohf7004
    @ggohf7004 Před 4 lety

    Maa shaaa Allah

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Labisa vipo vingi

  • @muniradaudi440
    @muniradaudi440 Před 4 lety +1

    Jamn leo nimefungukaa

  • @fatmaabubu3383
    @fatmaabubu3383 Před 3 lety

    Swali la pili na latano kama lina husika ivi shuklan, sana allah akutangulie ila apo je .... kama unatakiwa kuiacha mbona kama .... s. more

  • @leilamohamed7445
    @leilamohamed7445 Před 4 lety

    Asante kaka

  • @fatmahussein8180
    @fatmahussein8180 Před 4 lety +5

    Asalaam aleykum naitwa fatma kutoka kenya ,niko uae kwa sasa lakini napenda kuskiza videos zako ,nataka kuanzisha na yangu pia...Allah akuongezee Bro

    • @chondebabatz5477
      @chondebabatz5477 Před 4 lety +1

      Waaleykumh salam ya Bi Fatmaa, samahani Bi Fatmaa naomba nitafute kwa Namba yangu ya whatsap +255786600828 nataka nikuulize kuhusu Kenya kibisness zaid plz Bi Fatmaa search me

  • @mudyhangahanga144
    @mudyhangahanga144 Před 4 lety

    thanks

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Kweli sistahili kuwa hapa nilipo

  • @mahirfauz1993
    @mahirfauz1993 Před 4 lety

    Ma asha Allah
    Allah akubariki sana . nafatilia sana vdeo zako na zinazidi kuniongeza maarifa siku hadi siku.
    BIG UP BROO👏🏼👏🏼

  • @habibabora3404
    @habibabora3404 Před 4 lety

    Ok tunakuelewa sana kaka Ezden

  • @mwasitiathumani4626
    @mwasitiathumani4626 Před 4 lety +2

    Hahahah Umenifanya Nimefurah na swali la kwanza wakat una present... Kaka uliwahi kuwa mwalimu? Cz unaeleweka vzr sana m/mungu akupe kheir zaid

  • @wemamussa480
    @wemamussa480 Před 4 lety

    maswali mazuri sn haya, ngoja nianze kujiuliza😊

  • @kombowaziri5269
    @kombowaziri5269 Před 4 lety +1

    Ezden nimeipenda sana hiyo flana vp siwezi kupata

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Před 4 lety

    Pamoja sana

  • @kijangwazay7711
    @kijangwazay7711 Před 4 lety

    Shukran bro nimejifunza kitu kizur mno pls naomba niunge kwenye group lako

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 Před 4 lety

    Umenifungua sana kaka

  • @allymfaume8707
    @allymfaume8707 Před 4 lety

    Safi kaka nipo nyuma yako

  • @zawiyajumanne7285
    @zawiyajumanne7285 Před 4 lety

    #EachOneTeachOne♥️♥️

  • @tabithaerastoshukrani.90

    👍

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 Před 4 lety

    God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother God bless you brother

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Sinafuraha ezden nasema ukweli

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Yapo kweli kwamfano kwanini huachi kulala .nanikitubambacho hakiwezekani kuacha kufanya

  • @rukiahamdan22
    @rukiahamdan22 Před 4 lety +1

    Yes, thank you for the lessons. Good job👍
    And I have a question. From the first question I suppose to ask my self. “Am I happy?” / “Je, mimi nina furaha?”
    Inaweza kuwa naipenda kazi yangu na nina furaha lakini furaha ile haidumu, ghafla inatibuliwa hadi ikanifanya nikusikie vibaya na niichukie kazi yangu. Najua kama kwenye hayo maswali tisa yaliyobakia naweza kupata jibu, lakini nataka kujua, nifanye nini ili kuokoa hali hiyo ya kukosa furaha ghafla. Na mara tu inapotokezea nimekereka hadi nikaichukia kazi yangu ili nisije nikachukua maamuzi ya haraka nikaacha kazi yangu kisha nikaja nikajutia maamuzi yangu?

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Hapana

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 Před 4 lety

    Good sir!!icho kitabu napata kwa shngp!?ulichoshika na kurusha chini

  • @ithnaothmani4991
    @ithnaothmani4991 Před 4 lety

    A,alaikum naitwa ithna othmani swali LA 8 nawezaje kuwa bora ktk kz yngu? Nimekuelewa vyeeema bro good mungu akuzishie kwa uwezo ulo nao wa kutufanya tujigundue

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Nifanya mengune

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Ninataka niende nacho mbali

  • @mariamngumbaokiponda552

    Asanet nime jingundu nilipo sipo mahali sahihi

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Ninatamani niwe huko nashule yangu hata nisilipwe ili nitoe matangazo yangu huko

  • @baylamkandwa3895
    @baylamkandwa3895 Před 4 lety +5

    Yaan kwa hapa nilipo najiuliza hivi zile definition ,what is history??😂zinahusika nn nakazi za ndan hapa Oman hata Majibu cpati😂😂😂😂😂😂😂...lakin naipenda kazi yang ALHAMDULILLAH..

  • @shamsiathalith942
    @shamsiathalith942 Před 4 lety +1

    maswali mazur ya kujiuliza na nimuhim ila samahn kk hii video umetoa hupo Sirius

    • @rukiahamdan22
      @rukiahamdan22 Před 4 lety +2

      shamsia thalith hata mwalimu wa somo la hesabati akiwa serious mwanzo mwisho darasani basi hata namba hazipandi kichwani, hii sio hesabati lakini ni zaidi ya hesabati ☺️

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 Před 4 lety

    Ili niingie you tubu garama zao zakjiunga

  • @aishaomary7384
    @aishaomary7384 Před 4 lety

    Binafsi naichukia kazi yangu😭😭

  • @rabaonetv
    @rabaonetv Před 4 lety

    Mkubwa swali NAMBA 7 linaniusu Sana Sana
    Jamani tukajifunze uzalishaji wa bidhaa mbali mbali za viwandani huku kwenye channel yetu RABAONE TV
    Mafunzo ni BURE KABISAAA akuna malipo
    Tunafundisha BURE utengenezaji wa sabuni aina zote, Lotion na Cream, mifuko mbadala, batiki na mengine mengi.

  • @babukibwana9191
    @babukibwana9191 Před 4 lety

    Mm,naitaji,vitabu,Nita ipataje!?wap

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 Před 4 lety

    Shukrani Sana kaka ezden naombo niungu kwa group yako ya whatssp (0777935798

  • @pastorymziba1683
    @pastorymziba1683 Před 3 lety

    Group la vitabu 0789477910

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 Před 4 lety

    Am not happy at all

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 Před 4 lety

    Mr Kuku tafadhali nimechukuwa namba zako sikupati kwa whatsapp nahitaji kujiunga na mradi wa kuku but sipo Tz please niunge kwenye whatssap yako +968 96196873

  • @allymfaume8707
    @allymfaume8707 Před 4 lety

    Safi kaka nipo nyuma yako