SABABU 10 KWANINI UNASHINDWA KULALA VIZURI
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- Hizi ni sababu kumi (10) kwanini unashindwa kulala vizuri usiku:
Usingizi mzuri ni kitu cha muhimu sana kwa kila mtu kupata kwa maendeleo mazuri ya ukuaji na utendaji mzuri wa mwanadamu. Sasa maisha yanavyokwenda nyakati hizi watu wengi sana huenda hata walishasahau usingizi mzuri huwa ukoje yaani kila siku wao wanaamka wamechoka sana haijalishi wamelala masaa mangapi.
.
Sasa hili ni eneo muhimu sana kama unampango wa kuwa na mafanikio ya aina yoyote kwenye maisha yako, sababu mtu aliyechoka mara zote hawezi kuwa na ufanisi mkubwa katika utendaji wa shughuli zake na haiishii kumuathiri yeye peke yake bali hata wale anawaohudumia lazima itaharibu mahusiano yao.
.
Ungana na Ezden Jumanne akifafanua kwa undani somo hili muhimu sana mambo 10 yanayokuzuia kupata usingizi mzuri usiku.
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entrepreneur
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
Website: www.swahilivoiceovers.com
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ @learn2earnclass
.
VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
swahilivoiceove...
.
KUJIUNGA GROUP LA VITABU:
- Pata faida za kwenye vitabu kila wiki.
- Jifunze kwa audio zenye quality nzuri.
- Kama huna muda wa kusoma "jiunge fasta"
Tuma ujumbe huu "SPN BOOK CLUB"
Kwenda whatsApp No. 0759 191 076
Ada ya group hili: 2,000 TZS kwa wiki.
.
KUPATA MATANGAZO:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: voiceoverswahili@gmail.com
.
.
#kupata #usingizi #mzuri
Waiting.....
enhee...baada ya kutazama, umejifunza nini?
Nisinywe kahawa mda mchache kabla ya kulala
Kunywa maji ndio mambo yangu daah najitahidi kuwacha lakini siwezi
Point 🤔
Point ya tatu kaka Ezden ,nimekuwa nikigombana sanaa na mke wangu ,anapenda kuangalia movie sanaaa ,akiamka anasikia uchovu sanaaa!!
Broh about phone umenigusa sana l have problem ya kuchezea cm sana night 😱😱
Bro nimejifunza kitu maana nimekua fundi wakuchezea simu usku nakuamka Niko siko sawa