JINSI YA KUUSHINDA UBISHI
Vložit
- čas přidán 17. 11. 2019
- JINSI YA KUUSHINDA UBISHI
Ni mara ngapi katika maisha yako umeshaona watu waliokuwa marafiki wazuri, wapenzi, ndugu au wanajamii walioshibana hawazungumzi tena kisa chuki iliyotokana na ubishi uliotokea baina yao hata kupelekea kupigana na kukoseana heshima?
Basi somo hili ni maalum sana kwako ili kukuepusha na jambo hili ambalo linaweza kupoteza nguvu kazi nzuri ambayo inaweza kuwaletea mafanikio sana katika maisha yenu.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
#Ubishi #Malumbano #EzdenJumanne - Jak na to + styl
Wakwanza gonga like kama zote ndugu
My quote is I'm at the stage of my life where i keep myself out of arguments.Even if you tell me 1+1=5 you're absolutely correct, enjoy! Yani kwa ufupi kubali yaishe
Nakuelewa sana kaka shukrani sana kwa elim unayotoa Allah Akubarik
Asante sana kaka unazungumuza maneno muhimu.
I never regret kukujuwa Bro daah unaufanya ubongo wangu unakula chakula sahihi kabisa keep inspiring other's Bro ALLAH will lift you up🙏🙏🙏🙏
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Thanks brother I appreciate your help
Asante sana kwa mafundicho haya nimechoma kitu
Asante broo
Nashukulu sana
Ni kweli kabisa kaka
Mungu akutumie zaidi umenijenga
Safi sana bro
Broo thanks so much nimejifunza mengi
#EachOneTeachOne... good job#Babiesheghele💕💕💕
Kila nnapoziskiza speech zako najifunza kitu kipya..big up bro!
Thanks
Dah kweli kaka hii video umenisaidia mimi nlikuwa mmoja wapo wakubisha sasa i got your points i think ni good medicine i learn aisee,Big up bro.
Kwel kabisa hujawahi nifelisha broo
As ante Sana kaka umenifundisha jins ya kuish na watu
Jah bless brooo
It is good my brother
Dah.. Shukraan saaana broo umetusadia saana kwa hiili maana wat hao wapo weng ila ss umenipa njia jins ya kuaepuka
You are right
Ujumbe mzuri
Shukrani kwa yote
Kwel bro ezden nakubal
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
kweli kabisa kusikiliza huongeza busara na hekima
Asante
Shukran BaBa❤❤
Hello
Kwa hiyo video itasaidia wengi wenye busara. Saafi sana.
Nimeipenda
nivizu sana kaka
Brother unajua sana. Natamani kupata nafasi yakuongea na ww face to face
Ujawai kosea ezden
Endelea kuelimisha mungu akupe siku nyingi hapa duniani.
Allah akupe mwisho mwema
Each one teach one
Jambo jema
Likely
Kaka nimependa sana hii
Shukrani sana
Na mungu akubariki
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
each one teach one p1 broo Ezden
Asant imenijenga
Pia Sasa niko na swali itakuwaje kama mutu amekukosea lakini ukamwelewa Kisha kumsamee lakini utaki kujiusisha sana na yeye bt still anakuzungukia akitaka mausiano ya karibu sana but vile wamuona ni kuku kwanza tena someone like that waeza fanyaje? Please help me what can I do
Asalam aleikum. Kaka basi Mimi uwa nanyamaza badae yeye ananiomba msama sawa
Ezden ako kandege kamemziba mdomo mwenzake kamenifurahisha sana, pia umeniongea kitu hongera sana
hahahahaaaa
Hi nimependa sana maoni yako
Thankx brother leo umenipa maarifa ya nguv,,,ntaxhnda ubxhan from nw
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Kuna watu wengine wanakera kaka,hekima hapa inahitajika sana.maana unafanya Yote hayo lkn bado MTU anakupandishia tuu.
Bro MUNGU akubaliki Sana
I like you
Ezidern ilisomo limenisaidia bro
Bro tangu nianze kukufatilia life yangu imechange sana
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
😂😂😂 Bwana ewe uniambie kitu nimecheka it's so funny hahaha 🤦♀️ some people need help sure Sasa kweli mutu kama huyo mimi sibishani naye kabisa . Asante sana brother ujumbe mazuri sana bless you
Bigap bro
@@erickdauda1387 Mmm wewe Erick daudi mimi sister not brother
Samahan rakini bro hiyo Studio records music
Nimependa Sana ulivyosema kumchukulia mtu kuwa hapo ndo uwezo wake ndipo umeishia hivyo we ndo unajua kuliko yeye And kuongea kitu unachokijua ni kufanya revision na kuckiliza juu ya chenye mwingin anazungumza ni kuongeza/kujifunza kitu kipya. Gattchuuuu you bro.
pamoja sana kaka
UMEONGEA KWELI MKUBWA
Mtume saw amemuahidi nyumba peponi mtu ambaye anaepuka mabishano hata kama yupo sahihi..
2ko 2gethee
Hivi kaka Ezden haya maudhui or speech unazotoa we ndo uwa unaziandaa individually ama vp eeh!!
Naomba nijiunge whasap kaka nipe mwongozo
Kikubwa nikuongea na moyo wako ili kuyashinda.......najua ubishi niushindani yakizidi achia point 3
Shukrani sana br ili suala la ubish linatukumba wengi
Bro somo zuri ila rudi GM unaota kitambi samahani kwailo mimi nimeona na nilikuwa nakufatilia sana adi GM ulikuwa
Daah kwelii hataa mm nmelionaa hilooo
umezaliwa kwa ajili ya watu ila broh uwa unafanya nazoezi
Nashukuru sana kwa maoni yako ndugu yangu. Nitalifanyia kazi jambo hili ili kuboresha masomo haya. - Each One Teach One!
Poa
Namimi naomba uniaad kwa group lenu 0623242586
Ili kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza link hii: chat.whatsapp.com/DItixqT7GB0486zPkyZMmx
Niunge mkubwa namba yangu 0714160175
Kujiunga na group tuma WHATSAPP MESSAGE isemayo "NIUNGE NA GROUP LAKO" kwenye namba 0759 191 076. Zingatia. Usipige, Usibeep, Usiandike text ya kawaida.
Naomba uniunge kwenye group 0766835686
Kujiunga na group tuma WHATSAPP MESSAGE isemayo "NIUNGE NA GROUP LAKO" kwenye namba 0686 172 206 Zingatia. Usipige, Usibeep, Usiandike text ya kawaida.
Safi xana
0758736120
Naomba uniunge kaka kwa group
Kujiunga na group tuma WHATSAPP MESSAGE isemayo "NIUNGE NA GROUP LAKO" kwenye namba 0759 191 076. Zingatia. Usipige, Usibeep, Usiandike text ya kawaida.
Asant imenijenga
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!