JINSI YA KUUSHINDA UBISHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 11. 2019
  • JINSI YA KUUSHINDA UBISHI
    Ni mara ngapi katika maisha yako umeshaona watu waliokuwa marafiki wazuri, wapenzi, ndugu au wanajamii walioshibana hawazungumzi tena kisa chuki iliyotokana na ubishi uliotokea baina yao hata kupelekea kupigana na kukoseana heshima?
    Basi somo hili ni maalum sana kwako ili kukuepusha na jambo hili ambalo linaweza kupoteza nguvu kazi nzuri ambayo inaweza kuwaletea mafanikio sana katika maisha yenu.
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    #Ubishi #Malumbano #EzdenJumanne
  • Jak na to + styl

Komentáře • 87

  • @danlinetz2959
    @danlinetz2959 Před 4 lety +13

    Wakwanza gonga like kama zote ndugu

  • @reginakarema8584
    @reginakarema8584 Před 4 lety +6

    My quote is I'm at the stage of my life where i keep myself out of arguments.Even if you tell me 1+1=5 you're absolutely correct, enjoy! Yani kwa ufupi kubali yaishe

  • @hamisadodo453
    @hamisadodo453 Před 4 lety +1

    Nakuelewa sana kaka shukrani sana kwa elim unayotoa Allah Akubarik

  • @annickinamahoro4797
    @annickinamahoro4797 Před 4 lety +5

    Asante sana kaka unazungumuza maneno muhimu.

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 4 lety +3

    I never regret kukujuwa Bro daah unaufanya ubongo wangu unakula chakula sahihi kabisa keep inspiring other's Bro ALLAH will lift you up🙏🙏🙏🙏

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety +1

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

  • @sayyidtawaqal1754
    @sayyidtawaqal1754 Před 4 lety +2

    Thanks brother I appreciate your help

  • @mwitijustus8594
    @mwitijustus8594 Před 4 lety

    Asante sana kwa mafundicho haya nimechoma kitu

  • @yurmity
    @yurmity Před 4 lety

    Asante broo

  • @jeckosimfukwe7567
    @jeckosimfukwe7567 Před 4 lety

    Nashukulu sana

  • @shimenikavira6431
    @shimenikavira6431 Před 4 lety

    Ni kweli kabisa kaka
    Mungu akutumie zaidi umenijenga

  • @isackmosha4283
    @isackmosha4283 Před 4 lety

    Safi sana bro

  • @didachidy1325
    @didachidy1325 Před 4 lety

    Broo thanks so much nimejifunza mengi

  • @zawiyajumanne7285
    @zawiyajumanne7285 Před 4 lety +1

    #EachOneTeachOne... good job#Babiesheghele💕💕💕

  • @fredjaffu8903
    @fredjaffu8903 Před 4 lety +3

    Kila nnapoziskiza speech zako najifunza kitu kipya..big up bro!

  • @JRumanyika_Tech
    @JRumanyika_Tech Před 4 lety

    Dah kweli kaka hii video umenisaidia mimi nlikuwa mmoja wapo wakubisha sasa i got your points i think ni good medicine i learn aisee,Big up bro.

  • @gracerichard1326
    @gracerichard1326 Před 4 lety +1

    Kwel kabisa hujawahi nifelisha broo

  • @neematesha5947
    @neematesha5947 Před 4 lety +1

    As ante Sana kaka umenifundisha jins ya kuish na watu

  • @pauljr3730
    @pauljr3730 Před 4 lety

    Jah bless brooo

  • @fidodidotz3012
    @fidodidotz3012 Před 4 lety

    It is good my brother

  • @jumamjaka651
    @jumamjaka651 Před 4 lety +1

    Dah.. Shukraan saaana broo umetusadia saana kwa hiili maana wat hao wapo weng ila ss umenipa njia jins ya kuaepuka

  • @rajabufundy2680
    @rajabufundy2680 Před 4 lety

    You are right

  • @sarahabdi6175
    @sarahabdi6175 Před 4 lety

    Ujumbe mzuri

  • @devothadonaldsimbi3499

    Shukrani kwa yote

  • @pascaltzamosi1905
    @pascaltzamosi1905 Před 4 lety +2

    Kwel bro ezden nakubal

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety +1

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo187 Před 4 lety

    kweli kabisa kusikiliza huongeza busara na hekima

  • @Anitamum
    @Anitamum Před 2 lety

    Asante

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 4 lety +1

    Shukran BaBa❤❤

  • @ngendakumanasalumdiki4885

    Kwa hiyo video itasaidia wengi wenye busara. Saafi sana.

  • @jasminemachake1033
    @jasminemachake1033 Před 4 lety

    Nimeipenda

  • @kanikijosephkaniki0290

    nivizu sana kaka

  • @ezrantaluka1035
    @ezrantaluka1035 Před 4 lety +1

    Brother unajua sana. Natamani kupata nafasi yakuongea na ww face to face

  • @saidisaidi4341
    @saidisaidi4341 Před 4 lety +1

    Ujawai kosea ezden

  • @mateosiwale1897
    @mateosiwale1897 Před 4 lety

    Endelea kuelimisha mungu akupe siku nyingi hapa duniani.

  • @didachidy1325
    @didachidy1325 Před 4 lety

    Allah akupe mwisho mwema

  • @ananiakibona6362
    @ananiakibona6362 Před 4 lety

    Each one teach one

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 3 lety +1

    Jambo jema

  • @hamoudking6219
    @hamoudking6219 Před 3 lety

    Likely

  • @aishamaulidi4679
    @aishamaulidi4679 Před 4 lety +2

    Kaka nimependa sana hii
    Shukrani sana
    Na mungu akubariki

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

  • @shabanireonard5085
    @shabanireonard5085 Před 4 lety

    each one teach one p1 broo Ezden

  • @mojagutz6293
    @mojagutz6293 Před 4 lety

    Asant imenijenga

  • @jemairisparick7541
    @jemairisparick7541 Před 4 lety +2

    Pia Sasa niko na swali itakuwaje kama mutu amekukosea lakini ukamwelewa Kisha kumsamee lakini utaki kujiusisha sana na yeye bt still anakuzungukia akitaka mausiano ya karibu sana but vile wamuona ni kuku kwanza tena someone like that waeza fanyaje? Please help me what can I do

  • @leilamohamed7445
    @leilamohamed7445 Před 4 lety

    Asalam aleikum. Kaka basi Mimi uwa nanyamaza badae yeye ananiomba msama sawa

  • @pascaljohn8922
    @pascaljohn8922 Před 4 lety +1

    Ezden ako kandege kamemziba mdomo mwenzake kamenifurahisha sana, pia umeniongea kitu hongera sana

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Před 4 lety

    Hi nimependa sana maoni yako

  • @martinmaami5853
    @martinmaami5853 Před 4 lety

    Thankx brother leo umenipa maarifa ya nguv,,,ntaxhnda ubxhan from nw

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

    • @eliaslucas6192
      @eliaslucas6192 Před 4 lety

      Kuna watu wengine wanakera kaka,hekima hapa inahitajika sana.maana unafanya Yote hayo lkn bado MTU anakupandishia tuu.

  • @producermachai9128
    @producermachai9128 Před 4 lety

    Bro MUNGU akubaliki Sana

  • @silveliussebastian6579

    I like you

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 Před 4 lety

    Ezidern ilisomo limenisaidia bro

  • @brothermams28
    @brothermams28 Před 4 lety +3

    Bro tangu nianze kukufatilia life yangu imechange sana

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

  • @jemairisparick7541
    @jemairisparick7541 Před 4 lety +1

    😂😂😂 Bwana ewe uniambie kitu nimecheka it's so funny hahaha 🤦‍♀️ some people need help sure Sasa kweli mutu kama huyo mimi sibishani naye kabisa . Asante sana brother ujumbe mazuri sana bless you

  • @producermachai9128
    @producermachai9128 Před 4 lety +1

    Samahan rakini bro hiyo Studio records music

  • @ndarojuma5128
    @ndarojuma5128 Před 4 lety +2

    Nimependa Sana ulivyosema kumchukulia mtu kuwa hapo ndo uwezo wake ndipo umeishia hivyo we ndo unajua kuliko yeye And kuongea kitu unachokijua ni kufanya revision na kuckiliza juu ya chenye mwingin anazungumza ni kuongeza/kujifunza kitu kipya. Gattchuuuu you bro.

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 Před 4 lety +1

    UMEONGEA KWELI MKUBWA

  • @mwafrikaelcapitano6669

    Mtume saw amemuahidi nyumba peponi mtu ambaye anaepuka mabishano hata kama yupo sahihi..

  • @allfachollob5596
    @allfachollob5596 Před rokem

    2ko 2gethee

  • @dismasdotto3697
    @dismasdotto3697 Před 4 lety

    Hivi kaka Ezden haya maudhui or speech unazotoa we ndo uwa unaziandaa individually ama vp eeh!!

  • @christophermartin664
    @christophermartin664 Před 2 lety

    Naomba nijiunge whasap kaka nipe mwongozo

  • @babamily1780
    @babamily1780 Před 4 lety +2

    Kikubwa nikuongea na moyo wako ili kuyashinda.......najua ubishi niushindani yakizidi achia point 3

    • @nuruyassin3047
      @nuruyassin3047 Před 4 lety +1

      Shukrani sana br ili suala la ubish linatukumba wengi

  • @arafatiswai2913
    @arafatiswai2913 Před 4 lety

    Bro somo zuri ila rudi GM unaota kitambi samahani kwailo mimi nimeona na nilikuwa nakufatilia sana adi GM ulikuwa

    • @deotv503
      @deotv503 Před 4 lety

      Daah kwelii hataa mm nmelionaa hilooo

  • @salimshalifu9293
    @salimshalifu9293 Před 4 lety

    umezaliwa kwa ajili ya watu ila broh uwa unafanya nazoezi

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety

      Nashukuru sana kwa maoni yako ndugu yangu. Nitalifanyia kazi jambo hili ili kuboresha masomo haya. - Each One Teach One!

  • @nailasaed2249
    @nailasaed2249 Před 4 lety

    Poa

  • @mohamedmakungu1609
    @mohamedmakungu1609 Před 4 lety +1

    Namimi naomba uniaad kwa group lenu 0623242586

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety

      Ili kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza link hii: chat.whatsapp.com/DItixqT7GB0486zPkyZMmx

  • @omarihassan7656
    @omarihassan7656 Před 4 lety +1

    Niunge mkubwa namba yangu 0714160175

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety

      Kujiunga na group tuma WHATSAPP MESSAGE isemayo "NIUNGE NA GROUP LAKO" kwenye namba 0759 191 076. Zingatia. Usipige, Usibeep, Usiandike text ya kawaida.

  • @neematesha5947
    @neematesha5947 Před 4 lety

    Naomba uniunge kwenye group 0766835686

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety

      Kujiunga na group tuma WHATSAPP MESSAGE isemayo "NIUNGE NA GROUP LAKO" kwenye namba 0686 172 206 Zingatia. Usipige, Usibeep, Usiandike text ya kawaida.

    • @thobiascharles998
      @thobiascharles998 Před 4 lety

      Safi xana

  • @isackmosha4283
    @isackmosha4283 Před 4 lety

    0758736120
    Naomba uniunge kaka kwa group

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety

      Kujiunga na group tuma WHATSAPP MESSAGE isemayo "NIUNGE NA GROUP LAKO" kwenye namba 0759 191 076. Zingatia. Usipige, Usibeep, Usiandike text ya kawaida.

  • @mojagutz6293
    @mojagutz6293 Před 4 lety +1

    Asant imenijenga

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!