EPUKA UTUMWA WA MITANDAO
Vložit
- čas přidán 14. 09. 2021
- Epuka utumwa wa mitandao (kidigitali) ni kitabu kilichoandikwa na Coach Dr. Makirita Amani kuhusiana na uhalisia uliopo sasa kwamba watu wengi wamezama sana katika uraibu (addiction) wa kutumia mitandao.
.
Sasa ni muhimu sana kusoma kitabu hiki ili uwez kujinasua katika tatizo hilo ambalo bila kuwa makini huwezi ona kama ni tatizo lakini linachukua muda mwingi sana wa maisha yako na kamwe hautaweza kukamilisha mambo ya msingi.
.
Kitabu kinauzwa shilingi 20,000 TZS. Tunatoa FREE DELIVERY kwa wakazi wa Dar es salaam na tunatuma nje ya Dar kwa gharama kidogo ya usafiri.
Kupata kitabu hiki niandikie ujumbe "VITABU" kwenda namba 0759-191-076
.
KUJIUNGA GROUP LANGU LA VITABU LA WHATSAPP:
(SPN BOOK CLUB):
Karibu ujiunge ikiwa wewe:
- Unapenda kupata faida toka kwenye vitabu
- Ni mvivu kusoma na ungependelea kusikiliza (Audio) zaidi.
- Unataka kufahamu/ kupata vitabu vizuri vya mafanikio.
Utapata AUDIO CLIPS kwenye simu yako zilizosomwa kwa ufasaha na hazichoshi kusikiliza.
Ili kujiunga tuma ujumbe "whatsapp" andika: SPN BOOK CLUB kwenda namba 0759191076
.
ADA NI SHILINGI 2,000/= TU KWA WIKI
.
SUBSCRIBE - COMMENTS - LIKE - SHARE
.
UNGANA NAMI MITANDAONI:
INSTAGRAM (SPN): / successpath. .
INSTAGRAM : / ezdenjumanne
FACEBOOK : / ezdenjumanne
TWITTER : / ezdenjumanne
LINKEDIN : / ezdenjumanne
CZcams : / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
SUBSCRIBE CHANNEL YA HAMASA YA LEO HAPA:
/ hamasayaleo
.
.
#Utumwa #wa #Mitandao
A alykm MashAllah grest video. Pls give more of this. Athari ya sociL addictions for the youth. Likes and ❤ from 🇰🇪
Hongera san bro from zanzibar
Shukrrani sana
Mpambanaji, nakukumbuka kupitia kipindi cha the one show, nilikuwa nakipenda Sana,...!!!!
Shukrani sana
Kaka barikiwa zaidi
Kitabu kizuri sana broo
Penda sana wewe kaka ALLAH akuzidishie ufahamu zaid yan unanijenga sana mungu akinirudisha lazma niyafanyie kaz yote unayofundisha
Nashukuru sana ndugu yangu
Big up bro
mara nyingine sana tu jaameni shukran dear br
Soft copy naweza kupata
Hongera bro
I Appreciate
Congratulations 👏👏👏 bro I'm from Kenya and I really appreciate you💯💯💯
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Thanks brother
Ezden toka the1show to now 🔥🔥🔥
Naam safari inaendelea
Good job.
Fact bro
Shukran kaka kwa kutuelimisha uwe na mwisho mwema
Shukran
karibu
Mr nakufuatilia sana kupitia masomo nakitu kimebadilika kwa Maisha yangu so Vzur, Mwessa kutoka Temeke Dsm
Mashallah tabarakallah
Allah akubariki
ongera sana from Bujumbura
Allahumma ameen 🤲🏾🤲🏾🤲🏾
🙏🙏
Fact
sure... make sure you share the link to whatsapp groups.
Kweli kaka niliona mda super .man
Nakuelewa sana mkuu
Pamoja sana...
@@successpathnetwork Wee mwalimu kweli
Bro ezden uko vizur Sana mungu akupe maisha marefu zaid uzidi kutufungua
nashukuru sana kaka kwa dua njema
Nataman nikufuate wassap kuna kitu kimenikwaza mno nahis kama uenda ukanipa wazo likaniondoa stress japo hii c mada yake
Karibu sana namba unayo hapo
Ezden ni mtu aliye nifanya nianze kusoma vitabu na tangu hapo maisha yamebadilika kwa sehem
Hiki kitabu nakipata wap?
Guud topic
ILI KUPATA VITABU IBRAHIM BASHE
Tuma Ujumbe neno “KITABU” kwenda
Namba yangu ya 0759 191 076
.
VITABU VILIVYOPO:
1. Elimu ya msingi ya Fedha - (Tshs. 20,000)
2. Elimu ya msingi ya Biashara - (Tshs. 20,000)
3. Biashara ndani ya ajira - (Tshs. 20,000)
4. Una nguvu ya kutenda miujiza - (Tshs. 20,000)
5. Epuka Utumwa wa kidigitali - (Tshs. 20,000)
6. Mfundishe Mtoto wako Kuishi - (Tshs. 30,000)
7. Mambo 100 ya Mwanafunzi wa Kiafrika (Tshs. 15,000)