FAHAMU JINSI UNAVYOJIZUA KUPATA FEDHA ZAID

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 03. 2021
  • Kama unapitia changamoto za kifedha basi wa kulaumiwa ni wewe mwenyewe na habari njema ni kwamba unaweza kubadilisha hali hiyo. Basi ungana nami katika safari hii ya kujifunza ili tuweze kupata matokeo mazuri kiuchumi.
    .
    Kununua kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA cha Dr. Makirita Amani tuma ujumbe hapa 0759191076
    .
    Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
    Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE pia kwa wengine.
    .
    TUFUATE INSTAGRAM:
    SPN CHANNEL: / successpath_network
    EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
    .
    BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
    EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
    WHATSAPP : (+255)759191076
    .
    TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
    ⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
    ⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
    ⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
    ⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
    ⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
    ⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...

Komentáře • 84

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 Před 3 lety +12

    Nimejifunza kitu apo brother ezden.. 1) Nijifunze kuwa na nidhamu ya Fedha
    2) Nizidi kutafuta Vyanzo vya kifedha ila LAZIMA VIWE VYA HALALI.. 🔥 🤝🏻
    ✍️ ABDULHALĘÉM FROM ZANZIBAR.. 🤝🏻

  • @noahgeorge0174
    @noahgeorge0174 Před 3 lety +7

    Asant sana kaka Ezden MUNGU akubariki

  • @shebbyclass8361
    @shebbyclass8361 Před 3 lety +8

    Kaka ezden ninaswali,kwamfano mimi nimejiajili ninaendesha bodaboda kiwango changu chasasa kwaweek ni elfu70,sasa nimeamua kuzidisha kiwango hiki malakumi nakuta kazi inanikataa ktk kufikia sasa hapa inabidi nifikili kubadili nakazi iliniweze kufikia au nifanyeje?

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel Před 3 lety +4

    Mungu akubariki Edzen.. jamii yangu inataka sana maarifa haya

  • @gpictures7528
    @gpictures7528 Před 3 lety +1

    Shukran bro ezden

  • @benjaminjeremiah9407
    @benjaminjeremiah9407 Před 3 lety +3

    Kaka upo vizur Sana aiseee

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 Před 3 lety +1

    Shukran sana mwalimu

  • @joycezawadirose9897
    @joycezawadirose9897 Před rokem

    Asante mwalimu kwaelimu nzuri kama hii.ilanikuwaswali .kuna mtu ambaye anaweza soma ndiyo.ila asipofundishwa anashindwa kuelewa

  • @nasramallya5320
    @nasramallya5320 Před 3 lety +4

    Naombeni mniunge kwenye group la success path network

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety +1

      Asante sana NASRA MALLYA kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
      Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
      kwenda namba 0759191076.
      .
      Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076

    • @nasramallya5320
      @nasramallya5320 Před 3 lety

      @@successpathnetwork sawa naomba mniunge kwak number hizi 0682864011

  • @thania822
    @thania822 Před rokem +1

    Kaka ezden jumanne nimejifunza kuwa mimi mwenye ndio chanzo chamatatizo kwasababu sina nidhamu Kwenye pesa ninayo ipata

  • @MiaMia-ze5lp
    @MiaMia-ze5lp Před rokem

    Thanks my brother for your idea I wish all the best and succeed on your life

  • @janemanang6816
    @janemanang6816 Před 3 lety +3

    Elim yako nimuhim sna kwetu,endelea kutuimarisha zaid

  • @godlistenminja4765
    @godlistenminja4765 Před 3 lety +3

    Thanks brother : nakufwatilia sana na mafundisho yako mazury. Me no mwanafunzi wa chuo na ninandoto kubwa sana naomba ushauri wako

    • @johariphilemon8630
      @johariphilemon8630 Před 3 lety

      samahan kuingilia ndoto yako kwanza hongera kwakujitambua mapema but angalia unacho kipenda anza Sasa haijalishi uko bize na masomo lakin kumbuka kuwai mda ili utimize malengo yako naimanin kaka ata kushauli zaidi

    • @richvetty3243
      @richvetty3243 Před 3 lety

      Soma sanaaa mtaa una kiu ile mbaya

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před 3 lety +1

    Bro, daah! Somo zuri.

  • @ayoubmax9565
    @ayoubmax9565 Před 3 lety +1

    Thank you..

  • @timamahendo4172
    @timamahendo4172 Před 3 lety +2

    Ahsante sana kaka nimejifunza yani .....always aim higher do not under estimate your success.....u work for the best the rest u liv it to Almighty

  • @richardmugwe9009
    @richardmugwe9009 Před 2 lety

    Shukran sana bro..nimejifunza mengi kupitia video zako.

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika7538 Před 3 lety +1

    Asante kwa ujumbe mzuri kaka

  • @valencmosha5214
    @valencmosha5214 Před 2 lety

    Thanks broo

  • @zelfatsaleh6432
    @zelfatsaleh6432 Před 3 lety

    Upo gud 👍

  • @shebbyclass8361
    @shebbyclass8361 Před 3 lety +1

    Asante sana kaka ezden

  • @nasramallya5320
    @nasramallya5320 Před 3 lety +3

    Thank you brother ezden

  • @vicentpaschary1154
    @vicentpaschary1154 Před 2 lety

    Uko poa sana emden jumanne unatupatia elimu ubarikiwe sana

  • @mossesezekiel7862
    @mossesezekiel7862 Před 2 lety

    Ahsante kwa mafunzo

  • @mwanakherimohamed6779
    @mwanakherimohamed6779 Před 2 lety +1

    Nashukuru elimu yako imenipa mafanikio miezi michache kwa mafanikio makubwa

  • @ssos037
    @ssos037 Před rokem

    Asante kaka

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Před 3 lety

    Ahsante mkuu kwa Elimu hii

  • @ashirafuhakimumndeme1592

    Kitabu kizuri sana nimejifunza kitu kupitia kitabu hicho

  • @sadalahsadalah6661
    @sadalahsadalah6661 Před 3 lety

    Nakubalii kwa maono yako

  • @toyclaude776
    @toyclaude776 Před 3 lety

    Dah,nimejifunza kabisa mwalimu

  • @omarysabih507
    @omarysabih507 Před 3 lety

    Fact

  • @bizmansalim8777
    @bizmansalim8777 Před 2 lety

    Niukwel Mtupu👍

  • @makamgimba5795
    @makamgimba5795 Před 2 měsíci +1

    Shukrani nimejifiza kitu

  • @josephmwinami
    @josephmwinami Před rokem

    💯🤔

  • @ihsaanyusuf8309
    @ihsaanyusuf8309 Před 3 lety +2

    Nina swali bro nawezaje kukabili matatizo yakifedha kama kupata fedha ya kusoma mm mwenyewe na kuhudumiya familia?

  • @ibrahimshaibu3934
    @ibrahimshaibu3934 Před 3 lety

    Napata mafunzo makubwa kupitia kumbe zako....MUNGU akubariki

  • @stanleygeoffrey8264
    @stanleygeoffrey8264 Před 3 lety +1

    Nakihitaji kitabu cha basic financial education nakipateje??

  • @madamas1202
    @madamas1202 Před rokem

    Nmejifunza

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 Před 3 lety +1

    Nilikuwa naisubiri kwa hamu hii

  • @pedabaofficial6912
    @pedabaofficial6912 Před 2 lety +1

    Mmekuwa wakimya Sana siku hizi

  • @sixmundstephen8042
    @sixmundstephen8042 Před 3 lety +2

    Thanks

  • @petererukudi6246
    @petererukudi6246 Před 7 měsíci

    Naitaji iyo kitabu

  • @mohamadnangonga7732
    @mohamadnangonga7732 Před 3 lety

    Nahtaji kitabu bro!!

  • @timekombo3991
    @timekombo3991 Před 3 lety +1

    Asante sana kaka nataka hicho kitabu

  • @elihurumapanga5270
    @elihurumapanga5270 Před 2 lety

    broo ivi kuna ukweli wowote kuhusiana na online bussnes or network money mbali na izi online trade like forex

  • @isayakivuyo9834
    @isayakivuyo9834 Před rokem

    🇰🇪🇰🇪

  • @allyalmasi-fi1uz
    @allyalmasi-fi1uz Před 3 měsíci

    ASSALAM aleykum warahmatullah wabarakatuh

  • @moshiponola4718
    @moshiponola4718 Před 3 lety +1

    Asante kwa ushauri

  • @rangaipendo3252
    @rangaipendo3252 Před rokem +1

    Nime jifunza kitu hapa kaka

  • @joycezawadirose9897
    @joycezawadirose9897 Před rokem

    Alafu kuna mtu ambaye anahitaji kujuwa zaidi lakini haja soma unamusaidia vipi?

  • @AliyHajji
    @AliyHajji Před 2 měsíci

    Mm kwasiku naefutatu 3000 kuna nauliumo kunapesayachaiumo nifanini nifakiwa jamai

  • @richvetty3243
    @richvetty3243 Před 3 lety +1

    Braza kwenye mfano wa mtu anae lala nje apo hauna uhalisia kiiivo ulivo ongeoa we mtaaa huujui mtu yupo mtaani usione anakula ukajua ata kutafuta na sehemu apange labda ni lahisi kama ulivo rahisisha

    • @Coachsamwel
      @Coachsamwel Před 3 lety

      Huo nao ni mtazamo wako rafiki unaweza kuchagua kuamini hivyo... Ila mkufunzi amezungumza point kubwa sana. Huwezi kufanya nje ya self concept yako kifedha

    • @richvetty3243
      @richvetty3243 Před 3 lety

      @@Coachsamwel kwaiyo we unaamua nini kinjunga wewe

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Před 2 lety

      Sasa mtaa hhaujuhi kivipi wakati dar wanaolala nje wanaonekana tuu

  • @simonkatulanda6604
    @simonkatulanda6604 Před 3 lety +1

    Very nice and i like it congratulation bro. I need that book please

  • @mosessarafina4844
    @mosessarafina4844 Před 2 lety +1

    Ezdene kitabu tunakipata je? Mana umesema namba zasimu zitapita hapo mwishoni lakini hazijaonekana

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Okay naomba niandikie KITABU tuma ujumbe katika namba hii 0759191076

  • @dracotheholyone7844
    @dracotheholyone7844 Před 3 lety +1

    Nakupenda jamaa

  • @allyalmasi-fi1uz
    @allyalmasi-fi1uz Před 3 měsíci

    Kaka samahani kwa usumbufu hii crip sauti imemezwa na instrument

  • @dynam1488
    @dynam1488 Před 3 lety +1

    🙏🙏🙏

  • @meshackmollel2567
    @meshackmollel2567 Před 2 lety

    Naomba mniunge Whatsapp kw memes za kujifunza au kupata audio, 0759332602

  • @ramadhannyigana8883
    @ramadhannyigana8883 Před 3 lety +1

    Nimekuelewa kaka naanza kuchukua hatua saizi

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 Před 3 lety +1

    Nataka hicho kitabu

  • @enockaward7346
    @enockaward7346 Před 3 lety +1

    Saana kaka

  • @sadalahsadalah6661
    @sadalahsadalah6661 Před 3 lety

    Kama mm napata 40000 kwa siku ila kwanini sifanikiwi nachotaka why kwanini

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 Před 3 lety +1

      Yawezekana,Unaishi bila bajeti ,unaishi maisha yaliyojuu ya uwezo wako hadi unajikuta unamaliza pesa yote hadi unakosa ya kuweka akiba. Au unaishi bila kuweka malengo, unajikuta unatumia pesa bila mpangilio, unanunua vitu ovyo visivyokua na ulazima wakati huo.

    • @kingsimbahh8458
      @kingsimbahh8458 Před 3 lety +1

      Khadija umeeleza vyema san

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 Před 3 lety

      @@kingsimbahh8458 pamoja