FAHAMU JINSI UNAVYOJIZUA KUPATA FEDHA ZAID
Vložit
- čas přidán 25. 03. 2021
- Kama unapitia changamoto za kifedha basi wa kulaumiwa ni wewe mwenyewe na habari njema ni kwamba unaweza kubadilisha hali hiyo. Basi ungana nami katika safari hii ya kujifunza ili tuweze kupata matokeo mazuri kiuchumi.
.
Kununua kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA cha Dr. Makirita Amani tuma ujumbe hapa 0759191076
.
Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE pia kwa wengine.
.
TUFUATE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: / successpath_network
EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...
Nimejifunza kitu apo brother ezden.. 1) Nijifunze kuwa na nidhamu ya Fedha
2) Nizidi kutafuta Vyanzo vya kifedha ila LAZIMA VIWE VYA HALALI.. 🔥 🤝🏻
✍️ ABDULHALĘÉM FROM ZANZIBAR.. 🤝🏻
Exaclty
Asant sana kaka Ezden MUNGU akubariki
Kaka ezden ninaswali,kwamfano mimi nimejiajili ninaendesha bodaboda kiwango changu chasasa kwaweek ni elfu70,sasa nimeamua kuzidisha kiwango hiki malakumi nakuta kazi inanikataa ktk kufikia sasa hapa inabidi nifikili kubadili nakazi iliniweze kufikia au nifanyeje?
Mungu akubariki Edzen.. jamii yangu inataka sana maarifa haya
shukrani sana kaka
Shukran bro ezden
Kaka upo vizur Sana aiseee
Shukran sana mwalimu
Asante mwalimu kwaelimu nzuri kama hii.ilanikuwaswali .kuna mtu ambaye anaweza soma ndiyo.ila asipofundishwa anashindwa kuelewa
Naombeni mniunge kwenye group la success path network
Asante sana NASRA MALLYA kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
@@successpathnetwork sawa naomba mniunge kwak number hizi 0682864011
Kaka ezden jumanne nimejifunza kuwa mimi mwenye ndio chanzo chamatatizo kwasababu sina nidhamu Kwenye pesa ninayo ipata
Thanks my brother for your idea I wish all the best and succeed on your life
Elim yako nimuhim sna kwetu,endelea kutuimarisha zaid
pamoja sana
Thanks brother : nakufwatilia sana na mafundisho yako mazury. Me no mwanafunzi wa chuo na ninandoto kubwa sana naomba ushauri wako
samahan kuingilia ndoto yako kwanza hongera kwakujitambua mapema but angalia unacho kipenda anza Sasa haijalishi uko bize na masomo lakin kumbuka kuwai mda ili utimize malengo yako naimanin kaka ata kushauli zaidi
Soma sanaaa mtaa una kiu ile mbaya
Bro, daah! Somo zuri.
Thank you..
Ahsante sana kaka nimejifunza yani .....always aim higher do not under estimate your success.....u work for the best the rest u liv it to Almighty
exactly...
Shukran sana bro..nimejifunza mengi kupitia video zako.
Asante kwa ujumbe mzuri kaka
Thanks broo
Upo gud 👍
Asante sana kaka ezden
Thank you brother ezden
karibu sana
Uko poa sana emden jumanne unatupatia elimu ubarikiwe sana
Ahsante kwa mafunzo
Nashukuru elimu yako imenipa mafanikio miezi michache kwa mafanikio makubwa
Asante kaka
Ahsante mkuu kwa Elimu hii
Kitabu kizuri sana nimejifunza kitu kupitia kitabu hicho
Nakubalii kwa maono yako
Dah,nimejifunza kabisa mwalimu
Fact
Niukwel Mtupu👍
Shukrani nimejifiza kitu
Karibu sana...kitumie vizuri
💯🤔
Nina swali bro nawezaje kukabili matatizo yakifedha kama kupata fedha ya kusoma mm mwenyewe na kuhudumiya familia?
Napata mafunzo makubwa kupitia kumbe zako....MUNGU akubariki
Nakihitaji kitabu cha basic financial education nakipateje??
Nmejifunza
Nilikuwa naisubiri kwa hamu hii
Mmekuwa wakimya Sana siku hizi
Thanks
Naitaji iyo kitabu
Nahtaji kitabu bro!!
Asante sana kaka nataka hicho kitabu
broo ivi kuna ukweli wowote kuhusiana na online bussnes or network money mbali na izi online trade like forex
🇰🇪🇰🇪
ASSALAM aleykum warahmatullah wabarakatuh
Waleykum saalam
Asante kwa ushauri
Nime jifunza kitu hapa kaka
Safi...mfundishe mwingine, EACH ONE TEACH ONE
Alafu kuna mtu ambaye anahitaji kujuwa zaidi lakini haja soma unamusaidia vipi?
Mm kwasiku naefutatu 3000 kuna nauliumo kunapesayachaiumo nifanini nifakiwa jamai
Braza kwenye mfano wa mtu anae lala nje apo hauna uhalisia kiiivo ulivo ongeoa we mtaaa huujui mtu yupo mtaani usione anakula ukajua ata kutafuta na sehemu apange labda ni lahisi kama ulivo rahisisha
Huo nao ni mtazamo wako rafiki unaweza kuchagua kuamini hivyo... Ila mkufunzi amezungumza point kubwa sana. Huwezi kufanya nje ya self concept yako kifedha
@@Coachsamwel kwaiyo we unaamua nini kinjunga wewe
Sasa mtaa hhaujuhi kivipi wakati dar wanaolala nje wanaonekana tuu
Very nice and i like it congratulation bro. I need that book please
Ezdene kitabu tunakipata je? Mana umesema namba zasimu zitapita hapo mwishoni lakini hazijaonekana
Okay naomba niandikie KITABU tuma ujumbe katika namba hii 0759191076
Nakupenda jamaa
Kaka samahani kwa usumbufu hii crip sauti imemezwa na instrument
Sawa nitarekebisha
🙏🙏🙏
Naomba mniunge Whatsapp kw memes za kujifunza au kupata audio, 0759332602
Nimekuelewa kaka naanza kuchukua hatua saizi
Nataka hicho kitabu
Saana kaka
Ahsante sana kaka kwa kutufungua vichwa
Kama mm napata 40000 kwa siku ila kwanini sifanikiwi nachotaka why kwanini
Yawezekana,Unaishi bila bajeti ,unaishi maisha yaliyojuu ya uwezo wako hadi unajikuta unamaliza pesa yote hadi unakosa ya kuweka akiba. Au unaishi bila kuweka malengo, unajikuta unatumia pesa bila mpangilio, unanunua vitu ovyo visivyokua na ulazima wakati huo.
Khadija umeeleza vyema san
@@kingsimbahh8458 pamoja