ALIA AKISOMA WASIFU - AACHA MAIKI na KUONDOKA JENEZA LENYE MWILI wa GARDNER LIKIWA MBELE YAKE...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 04. 2024
  • ALIA AKISOMA WASIFU - AACHA MAIKI na KUONDOKA JENEZA LENYE MWILI wa GARDNER LIKIWA MBELE YAKE...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 125

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 10 dny +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @dottomayala255
    @dottomayala255 Před 10 dny +29

    Nimejifunza kitu kikubwa hapa kwenye wasifu huu, tutaacha vyote na tutakuwa na Mungu tu, Hii ndiyo maana yakumtanguliza Mungu katika maisha yetu

  • @user-dk5ib1wb7y
    @user-dk5ib1wb7y Před 10 dny +10

    pole sana kipenzi changu careni mungu akutie nguvu katka safari ulionayo

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Před 10 dny +9

    Sauti nzuri km ya Garder kumbe sauti ya Ukoo

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q Před 10 dny +2

    Poleni sana ndugu zetu family yake G Captain Mungu akuraze Mahali pema peponi Amen 🙏😭 ishallaah

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 Před 10 dny +14

    Tunapaswa tuige mfano mzuri kwake captain kwa hayo mazuri aliyo watendea watu hakika mungu atampa pumziko lenye furaha akifurahi pamoja na malaika poleni sana wafiwa na familia nzima 😢😢😢

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 9 dny +4

    Rafiki wa kukupa Ada ya mtoto tena haraka jua huyo ni zaidi ya ndugu na zaidi ya rafiki 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @niggahassumwisye241
      @niggahassumwisye241 Před 8 dny +1

      Hakika anayekuthamini ni ndugu yako usimwache huyo mshikirile😭

  • @saraallen6341
    @saraallen6341 Před 10 dny +14

    Hii familia ina sauti na lafudhi tamu sana Mungu awatie nguvu na awape faraja ya kweli

  • @ElizabethMwandolela
    @ElizabethMwandolela Před 10 dny +4

    Poleni sana

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před 10 dny +2

    Poleni sana wanafamilia,mungu awape subir ktk kipindi hichi cha majonzi

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 Před 10 dny +2

    poleni jaman😢

  • @mosessanya5932
    @mosessanya5932 Před 10 dny +2

    pole sana bwana

  • @MzingaAhmedNgomuo
    @MzingaAhmedNgomuo Před 10 dny

    Poleni sana familia,tunamwombea kwa Mungu bustani ya pepo ikawe kwake.Nitamkumbuka alihudhuriaga yeye na Lady JD wakati huo bado wakiwa pamoja wenzi harusi ya mdogo wetu Magadu mesi Morogoro.Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi amen.

  • @PeninaMlay
    @PeninaMlay Před 10 dny +5

    Familia imeshasema n mmoja mbona mnaforce wawili mna uhakika na hilo? Huyo mwngne hajulikan sasa

  • @HeriMagwaza-cd4wg
    @HeriMagwaza-cd4wg Před 10 dny +3

    Poleni sana wanafaMilia

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 Před 10 dny +2

    Dada anasoma vizuri aise

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt Před 10 dny +10

    SubhanaAllah.InshaAllah.yuposehem.salama..lnnalilah.wainnailayh.rajion

    • @LilyWilie
      @LilyWilie Před 10 dny +1

      Yupo Salama Ndio unaweza ukawa unasali miaka 2000000 iliyopita lkn mungu asikupe mwisho mwema elewa ivyo…kma mlevi aliingia peponi….. kusali kwako sio tija mpendwa

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 Před 10 dny +7

    Nyinyi jamani kama ana mtoto mwingine nnje hayawahusu mambo ya familia za watu aziwahusu pumzika kwa amani baba gardner🙏

  • @SharonEmmanueli
    @SharonEmmanueli Před 10 dny +1

    Pole sana 😢

  • @tukupasyamwanjasi1738
    @tukupasyamwanjasi1738 Před 10 dny +1

    Pole sana jamani

  • @clementinalotary4913
    @clementinalotary4913 Před 10 dny +1

    Poleni sana kwa msiba mkubwa. R.I.P

  • @MwanaheriAbdallah
    @MwanaheriAbdallah Před 10 dny

    Polen sana

  • @allymganga5901
    @allymganga5901 Před 10 dny +2

    Tangulia mwamba

  • @JaneMwamkinga
    @JaneMwamkinga Před 10 dny

    Polen sana familia

  • @KavisheEvents
    @KavisheEvents Před 6 dny

    Poleni sana wapendwa

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před 10 dny +1

    Inna lillah wanna ilayh rajiuun..mungu amueke. Mahali panapo stahili..😭💔

  • @mamamwajei8789
    @mamamwajei8789 Před 10 dny +14

    gadna si alisema ana watoto wawili mwingine alijitokeza ukubwani na yeye alijiridhisha kua ni mwanae🙄🙄🙄🙄🙄

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 Před 10 dny +1

      Ndo nashangaa ndugu wanapingana na marehemu

    • @user-is4xo4pp8v
      @user-is4xo4pp8v Před 10 dny +7

      Hapana huyu msichana Ali omba asemema Gardner aseme hivyo ili msichana apate kama Kiki flani mjini. Ni kama ww uombe diamond awe ndugu yako ili ukileta biashara mjini ifike fasta

    • @user-kd6qq3fh7w
      @user-kd6qq3fh7w Před 10 dny

      Mimi nikajua niwewe😅😅😅😅

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 Před 9 dny

      kiki tu ni dem wa rafiki yake

    • @zepinashatibu5149
      @zepinashatibu5149 Před 6 dny

      Wenda walikuwa wakiigiza😢

  • @Economically-Growth-Musicians

    😢😢😢😢 RIP😢😢 BRO😢😢😢

  • @ZAITUNIKILEMELA
    @ZAITUNIKILEMELA Před 10 dny

    Polen sana sana, natambua kipindi kigumu mnachopitia.

  • @ValmoreMidora
    @ValmoreMidora Před 10 dny +2

    😢😢😢

  • @sophybenedict5706
    @sophybenedict5706 Před 10 dny +9

    This is good news
    If you were able to rescue him.......
    Zile habari zakuombea marehemu ifike mahali waseme kitu cha kweli ili watu wajiandae

  • @barackdinda790
    @barackdinda790 Před 8 dny

    Pumzika kwa Amani mwendo umeumaliza bro

  • @user-ej4el1kt6g
    @user-ej4el1kt6g Před 10 dny +1

    Dah imeniuma😢

  • @1stladyafrica402
    @1stladyafrica402 Před 10 dny +4

    Gardner alisema anawatoto wawili mbona hapa wanamtaja mmoja???

  • @mwajumampokileomckapela7541

    Mungu awape nguvu familia😢😢😢

  • @bosiborimomanyi5592
    @bosiborimomanyi5592 Před 10 dny

    Mama kareen ako wapi?

  • @janecolleter
    @janecolleter Před 8 dny

    😢😢

  • @user-pi8vf2vp3i
    @user-pi8vf2vp3i Před 5 dny

    Pole baba

  • @asiatenga710
    @asiatenga710 Před 10 dny

    😢😢😢😢

  • @jumaMohammedi-rt2ys
    @jumaMohammedi-rt2ys Před 10 dny

    Polen san kwa msib mzit

  • @user-oj1hr4gq9k
    @user-oj1hr4gq9k Před 4 dny

    Rest in peace bro.

  • @user-qg1tr8ub5p
    @user-qg1tr8ub5p Před 10 dny +6

    Mbn ana wtt wawili😊

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 Před 6 dny

    Mtoto mmoja na mjukuu mmoja yule mwingine aliye mtambulisha kumbe siyo mtoto wake 😢

  • @veronicahlusekelo5205

    Samahani lkn me naomba niulize kuna yule mtoto alijitokeza aksema Gadner ni baba ake mbn hapa wanasema alikuwa na mtoto mmoja na mjukuu samahani lakini kma nimewakwaza semeni

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před 10 dny +1

    Pumzika Gadner

  • @user-fp8zi9ru8q
    @user-fp8zi9ru8q Před 10 dny

    Pumzika kaka angu

  • @vailetyclement7255
    @vailetyclement7255 Před 9 dny

    Tutaonana badae G

  • @victoriabayo7704
    @victoriabayo7704 Před 10 dny +1

    Yule mtoto mwingine sio sio wa kwake? Au ni mtoto wa hiari ambaye anaitwa Jakline?

    • @madamedna123
      @madamedna123 Před 10 dny

      Kwa wachaga kama mtoto hakuwahi kupelekwa nyumbani kutambulishwa rasmi babake akiwa hai, hata akifa hatambuliki.

  • @ashurahatibu5069
    @ashurahatibu5069 Před 9 dny

    😭😭😭😭😭

  • @user-sr4rn1uj2n
    @user-sr4rn1uj2n Před 9 dny

    MUNGU nipe neema na mim ya kuyaishi magizo yako😢

  • @MashaMbwana
    @MashaMbwana Před 10 dny +1

    Kwani Yule mtoto wake mwengine yuko wapi namuona careen tu

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 Před 9 dny

      Mambo ya ndani ya familia hayo jamani, labda wanahesabu aliezaliwa na mwanamke wa ndo, hujui sheria za kanisa labda zinataka hivyo,

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 Před 9 dny

      Mambo ya ndani ya familia hayo jamani, labda wanahesabu aliezaliwa na mwanamke wa ndo, hujui sheria za kanisa labda zinataka hivyo,

    • @alfinmbilinyi5985
      @alfinmbilinyi5985 Před 8 dny

      Huyo mtoto kama hajafika kwenye msiba wa baba yake basi hana sifa za kuwa mtoto wa pili wa gardner poleni sana wafiwa mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu.

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni Před 10 dny

    Mbona yy.alisema anao watoto zaid ya mmoja

    • @antybabybintrashid2333
      @antybabybintrashid2333 Před 10 dny +1

      Hao vijana wote wanaosema walisaidiwa na gardna kuingia studio au kupata kazi ya wanahabari ama kuomba pia ni watoto sio lazima awe amewazaa

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Před 10 dny

    Tuishi na watu vzr jamani

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Před 10 dny

    Gardner sauti ya ukoo ndio sauti zao

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 9 dny

    Ndoa alifunga nabani

  • @elizabethcharles4712
    @elizabethcharles4712 Před 9 dny

    Amefariki?

  • @user-ke8fq4rk8z
    @user-ke8fq4rk8z Před 8 dny

    Mkewe yuko wapi? Mbona waliogunduà anaumwa ni watu baki? Kwani mkewe hakuona siku zote?

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 Před 10 dny

    Mtoto mwingine mbona hatajwi?

  • @LovenessFedrick-cy9fh
    @LovenessFedrick-cy9fh Před 10 dny +3

    Kuna binti mwingine nimesikia mtoto mmoja na mjukuu basi

  • @PeninaMlay
    @PeninaMlay Před 10 dny +1

    Huyo MTT mwngne mbona haonekan msibani kama n baba ake

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 10 dny +4

    Aombewe nini sasa kama hakujiombea yeye enzi za uhai ndo imetoka hiyo

  • @MaryMmole-en9qz
    @MaryMmole-en9qz Před 10 dny +3

    Poleni sana

  • @MwanaheriAbdallah
    @MwanaheriAbdallah Před 10 dny +1

    Polen sana

  • @user-cd8pq6bu8q
    @user-cd8pq6bu8q Před 10 dny +2

    😢😢😢😢