SERIKALI YATOA TAMKO ZITO HALI YA KIMBUNGA HIDAYA/MSEMAJI AFUNGUKA MKOA HUU KUANZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 05. 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • Zábava

Komentáře • 37

  • @lusianguno6434
    @lusianguno6434 Před 17 dny +11

    Yesu mtuliza dhoruba na mawimbi apishirie mbali. Kama kimbuga cha Jobo kilivyonyamazishwa. Na hiki Hidaya, ikawe hivyo kimya, kwa Jina la Yesu. Ameenn. Hatuogopi. Tutavuka salama. Ebr. 12;24 Tunaiita Damu ya Yesu itulinde, itutetee. Haleluya. 👍👍💪💪

    • @JumaNjiku-df1fd
      @JumaNjiku-df1fd Před 17 dny

      Maumbile hayabadilishwi kwa imani. Yesu ni Nani hata abadilishe yaliyoumbwa na muumbaji wake yeye mwenyewe?! Hii Ni habari ya upotofu!

    • @KukuWaMayai
      @KukuWaMayai Před 16 dny

      Wewe ndio uliyepotoka​@@JumaNjiku-df1fd

  • @martinajoel3666
    @martinajoel3666 Před 17 dny +7

    Niombi langu kwa watanzania wote kila mtu amrejee Mungu kwa ukamilifu.

  • @merygodfrey3709
    @merygodfrey3709 Před 17 dny +5

    Hata Viongozi wa Dini wanalipokeaje hilo.Mungu ni mkuu kuliko huo Upepo.Alipasua bahari Waisraeli wakapita na majeshi ya Farao na waendesha mahari ya vita wakafa.Damu ya Yesu inene mema juu ya Taifa letu.Amen

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 Před 17 dny +9

    Tunakubali taarifa lakini tunafuta maneno yote kuhusu kimbunga hicho kwa Jina la Yesu. Tunataka usalama kwenye maeneo yote yaliyotajwa hakuna kimbunga hilo pepo lirudi kuzimu kwa hiyo hiyo iliyojia kwa jina la Yesu

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 17 dny +5

    Wewe Hidaya tokomea kwa jina la Yesu Kristo aliehai!

  • @martinajoel3666
    @martinajoel3666 Před 17 dny +2

    Mawazo ya Mungu hayachunguziki.Hivyo tunao aamini katika Mungu hicho kimbunga kitazidi kudhoofika.Katika jina la Yesu Amen.

  • @calistusmahombo-ty8ni
    @calistusmahombo-ty8ni Před 17 dny +3

    TMA should give an update every 30 minutes and all media should be used to inform the populase and what precaution everybody should take

  • @danielkanso
    @danielkanso Před 16 dny

    Amen Mungu ni mwema

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Před 16 dny

    Mungu Mwema Mbarikiwe Sana Mungu Ametusaidia Atatusaidia Zaidi Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai

  • @moketuponake5270
    @moketuponake5270 Před 15 dny

    Mungu atusaidie jamani Tanzania tunalia mvua nyingi lakini huku Zimbabwe Mahindi yamekauka kwa kukosa mvua Mungu anajua kilichopo mbele yetu kwakweli

  • @AgnessChambo-mx6rd
    @AgnessChambo-mx6rd Před 17 dny +2

    Km aishivyo
    Mungu huyo hidaya aishie hukohuko kwa watengenezaji tunamwamwamini
    Mungu wala si mwanadamu anayeitamani nchi yetu kuiangamiza kwa magonjwa

  • @JumaNjiku-df1fd
    @JumaNjiku-df1fd Před 17 dny +1

    Niliandika mapema kuwa Tanzania haitapigwa na kimbunga hata siku moja! Vimbunga vina maeneo yake, sisi hatumo, pili mwenendo wake unakwenda kulia kwa upande wetu, matokeo yake kinazidi kwenda mashariki zaidi. Mashariki mwa pwani ya Msumbiji Kuna mkondo joto wa bahari, eneo la mgandamizo mdogo wa hewa. Hii husaidia kuvuta kimbunga kuelekea huko. Hivyo Ni vigumu kimbunga kufika pwani ya Tanzania. Kama una hoja ya kijiografia itoe!

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz Před 17 dny +1

    Pole sana

  • @AgnessChambo-mx6rd
    @AgnessChambo-mx6rd Před 17 dny +1

    Kwa mamlaka ya jina la
    Yesu ninaharibu ninaanngamiza ninamtiisha hidaya katika nchi yetu kwa jina kuu la
    Yesu toka ktk mikoa.toka katika wilaya tarafa kata vijiji mitaa vitongoji kwa jina la
    Yesu huna nafasi hidaya pepo mchafu wewe

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 Před 17 dny +2

    Waafrica ni shida haya majina ya vimbunga vinabatizwa na nani hawa wazungu

  • @LwidikoLwenge
    @LwidikoLwenge Před 17 dny +1

    Tunachezewa akili tu hapa tumetoka kwenye muuza madafu tumeamia kimbunga hidaya ivi hamuoni kbs 😅ni vituko juu ya vituko

  • @KelvinAmos-ow7pf
    @KelvinAmos-ow7pf Před 17 dny

    Jamani yesu atuokowe

  • @hamadothmanomar6104
    @hamadothmanomar6104 Před 17 dny

    Nye mnamchezea Mungu

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Před 16 dny

    KIMBUNGA Hidaya hilo ni Pepo au jini jike linalo tafuta kunywa damu,hivo hatuna budi kulikataa na kulikemea ktk Jina kuu la Yesu,kama kuna Walokole ktk Eneo hilo ombeni kwa kulikemea hilo jini jike litakimbia maana tumepewa Mamlaka juu ya nguvu zote za giza nyie mnafeli wapi😅😅😅

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před 17 dny +1

    yaan siku hizi nawaamini mko vizur

  • @davidkilajaga8842
    @davidkilajaga8842 Před 17 dny

    Msiogope Ndugu zangu, tunae Mungu Anae badilisha mambo, lakini tuyaonapo haya tusi jisahau maana hz ni dalili za kurudi kwa Bwana Yesu Kristo, kumbuka kila kilicho tabiliwa lazima kitimie, utake usitake

  • @user-ss8iu3mx4q
    @user-ss8iu3mx4q Před 16 dny

    Kumbukeni kushaurr watu wamwombe mungu

  • @DamasiEriasi
    @DamasiEriasi Před 12 dny

    Zidi kusambaza matukio

  • @frankwarembosaloon5316

    Kwaniayo majina yanatoka wapi izo hila zashetani

  • @Amina-rg2xb
    @Amina-rg2xb Před 17 dny

    Hee

  • @marthapeter8246
    @marthapeter8246 Před 17 dny

    Mtatuuwa kwa hofu jamani

  • @kingmzebez7786
    @kingmzebez7786 Před 17 dny

    🇹🇿❤📿