SERIKALI YATOA TAMKO ZITO HALI YA KIMBUNGA HIDAYA/MSEMAJI AFUNGUKA MKOA HUU KUANZA
Vložit
- čas přidán 2. 05. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Zábava
Yesu mtuliza dhoruba na mawimbi apishirie mbali. Kama kimbuga cha Jobo kilivyonyamazishwa. Na hiki Hidaya, ikawe hivyo kimya, kwa Jina la Yesu. Ameenn. Hatuogopi. Tutavuka salama. Ebr. 12;24 Tunaiita Damu ya Yesu itulinde, itutetee. Haleluya. 👍👍💪💪
Maumbile hayabadilishwi kwa imani. Yesu ni Nani hata abadilishe yaliyoumbwa na muumbaji wake yeye mwenyewe?! Hii Ni habari ya upotofu!
Wewe ndio uliyepotoka@@JumaNjiku-df1fd
Niombi langu kwa watanzania wote kila mtu amrejee Mungu kwa ukamilifu.
Hata Viongozi wa Dini wanalipokeaje hilo.Mungu ni mkuu kuliko huo Upepo.Alipasua bahari Waisraeli wakapita na majeshi ya Farao na waendesha mahari ya vita wakafa.Damu ya Yesu inene mema juu ya Taifa letu.Amen
Tunakubali taarifa lakini tunafuta maneno yote kuhusu kimbunga hicho kwa Jina la Yesu. Tunataka usalama kwenye maeneo yote yaliyotajwa hakuna kimbunga hilo pepo lirudi kuzimu kwa hiyo hiyo iliyojia kwa jina la Yesu
Wewe Hidaya tokomea kwa jina la Yesu Kristo aliehai!
Tena akafie huko huko kwa jina la yesu
Tiwashtue au tuwaache ache kwanza jamn
Mawazo ya Mungu hayachunguziki.Hivyo tunao aamini katika Mungu hicho kimbunga kitazidi kudhoofika.Katika jina la Yesu Amen.
Nenda kaseme ww
Acha ujinga
Ipoelimu ya Dunia na akhera
TMA should give an update every 30 minutes and all media should be used to inform the populase and what precaution everybody should take
Amen Mungu ni mwema
Mungu Mwema Mbarikiwe Sana Mungu Ametusaidia Atatusaidia Zaidi Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai
Mungu atusaidie jamani Tanzania tunalia mvua nyingi lakini huku Zimbabwe Mahindi yamekauka kwa kukosa mvua Mungu anajua kilichopo mbele yetu kwakweli
Km aishivyo
Mungu huyo hidaya aishie hukohuko kwa watengenezaji tunamwamwamini
Mungu wala si mwanadamu anayeitamani nchi yetu kuiangamiza kwa magonjwa
Niliandika mapema kuwa Tanzania haitapigwa na kimbunga hata siku moja! Vimbunga vina maeneo yake, sisi hatumo, pili mwenendo wake unakwenda kulia kwa upande wetu, matokeo yake kinazidi kwenda mashariki zaidi. Mashariki mwa pwani ya Msumbiji Kuna mkondo joto wa bahari, eneo la mgandamizo mdogo wa hewa. Hii husaidia kuvuta kimbunga kuelekea huko. Hivyo Ni vigumu kimbunga kufika pwani ya Tanzania. Kama una hoja ya kijiografia itoe!
Pole sana
Kwa mamlaka ya jina la
Yesu ninaharibu ninaanngamiza ninamtiisha hidaya katika nchi yetu kwa jina kuu la
Yesu toka ktk mikoa.toka katika wilaya tarafa kata vijiji mitaa vitongoji kwa jina la
Yesu huna nafasi hidaya pepo mchafu wewe
Waafrica ni shida haya majina ya vimbunga vinabatizwa na nani hawa wazungu
Tunachezewa akili tu hapa tumetoka kwenye muuza madafu tumeamia kimbunga hidaya ivi hamuoni kbs 😅ni vituko juu ya vituko
Jamani yesu atuokowe
Nye mnamchezea Mungu
KIMBUNGA Hidaya hilo ni Pepo au jini jike linalo tafuta kunywa damu,hivo hatuna budi kulikataa na kulikemea ktk Jina kuu la Yesu,kama kuna Walokole ktk Eneo hilo ombeni kwa kulikemea hilo jini jike litakimbia maana tumepewa Mamlaka juu ya nguvu zote za giza nyie mnafeli wapi😅😅😅
yaan siku hizi nawaamini mko vizur
Msiogope Ndugu zangu, tunae Mungu Anae badilisha mambo, lakini tuyaonapo haya tusi jisahau maana hz ni dalili za kurudi kwa Bwana Yesu Kristo, kumbuka kila kilicho tabiliwa lazima kitimie, utake usitake
Kumbukeni kushaurr watu wamwombe mungu
Zidi kusambaza matukio
Kwaniayo majina yanatoka wapi izo hila zashetani
Hee
Mtatuuwa kwa hofu jamani
🇹🇿❤📿