Kimbunga Hidaya: Tanzania Bara, Zanzibar zasitisha usafiri wa baharini

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 05. 2024
  • Mamlaka za usafiri wa majini za Tanzania Bara na Zanzibar zimesitisha usafiri wa baharini kwa meli na boti zinazofanya safari zake kati ya visiwa vya Unguja, Pemba, Dar es Salam, Mtwara na Lindi kutokana na tahadhari ya kimbunga Hidaya ambacho kinazidi kuikaribia pwani ya Bahari ya Hindi.
    #AzamTVUpdates
    Mhariri | John Mbalamwezi

Komentáře • 7

  • @chidi_don
    @chidi_don Před měsícem +1

    Dah sio poa kabisa 😔

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 Před měsícem

    Bere bere bere

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před měsícem

    Hapa serikali tunapongeza kwa kutoa maamuzi ili kulinda usalama wa raia

  • @IjumaaBakari
    @IjumaaBakari Před měsícem

    Kimbunq hiya

  • @user-cg6iy2et7q
    @user-cg6iy2et7q Před měsícem +2

    Hivyo vimajina vyakishetwani ndiomnawapa watoto. Eti hidaya

    • @batashqiraa9936
      @batashqiraa9936 Před měsícem +1

      Ungekuwa unajua maana ya hilo jina usingesema la kishetani, ukitaka kutoa kasoro ya kitu au kutoa sifa ya kitu ni vyema ukawa na elimu ya hicho kitu uskurupuke tu, nenda baraza la kiswahili wakwambie nini maana ya neno hidaya.

    • @ZubeirJuma-up7kb
      @ZubeirJuma-up7kb Před měsícem

      Wanyamwezi asaa mna mashaka mkubwa na ndio maana hatuendan zenji na tanganyika