Kimbunga Hidaya: Tanzania Bara, Zanzibar zasitisha usafiri wa baharini
Vložit
- čas přidán 3. 05. 2024
- Mamlaka za usafiri wa majini za Tanzania Bara na Zanzibar zimesitisha usafiri wa baharini kwa meli na boti zinazofanya safari zake kati ya visiwa vya Unguja, Pemba, Dar es Salam, Mtwara na Lindi kutokana na tahadhari ya kimbunga Hidaya ambacho kinazidi kuikaribia pwani ya Bahari ya Hindi.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Dah sio poa kabisa 😔
Bere bere bere
Hapa serikali tunapongeza kwa kutoa maamuzi ili kulinda usalama wa raia
Kimbunq hiya
Hivyo vimajina vyakishetwani ndiomnawapa watoto. Eti hidaya
Ungekuwa unajua maana ya hilo jina usingesema la kishetani, ukitaka kutoa kasoro ya kitu au kutoa sifa ya kitu ni vyema ukawa na elimu ya hicho kitu uskurupuke tu, nenda baraza la kiswahili wakwambie nini maana ya neno hidaya.
Wanyamwezi asaa mna mashaka mkubwa na ndio maana hatuendan zenji na tanganyika