Wana Ibrahim hao ukilaani inatarudi kwako ni ahadi ya Mungu kwao ya milele Mwanzo 12:3 nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
zaidi na zaidi ni kama lebanon israel walitoa southern lebanon under security reason Hezbollah wanaviolate hakuna mtu anayewa warn Hezbollah israel amesema vita inakuja lebanon na watachukua tena southern lebanon lakini makosa ni ya walebanoni sio wengine coz wanaona kunawatu wanaleta shida haiwaambii
Islael anaenda kushinda hii vita,ila Islael na Palestina wote wamefanya makosa, Palestina pia lengo lao halikuwa jema kwa maana waliua laia,wakafanya ubakaji,wakachinja watu na kuchoma wengine wakiwa hai. Mungu ni upendo,sasa wao wanamuwakilisha Mungu yupi anaekubaliana na hayo?
@@jamesraphaelmdima4729 ulikuwepo wakati wakibakwa 😳nyie mumeona tukio la tarehe 7 la hamas wazayun walianza kuwaua wapalestina muda mrefu hakuna alie sema leo hamas wamejitolea kuwasaidia wengine wasio weza kujitetea kila mtu mdomo mrefu kama kuua watoto wanawake ndio ushindi basi wacha tuone nusra ya ALLAH itafika tuu hajaghafilika na madhwalim hata kama makafiri mutakasirika lkn ushindi utakuja na Masjid Aqswa itakua mikononi mwa waislam ALLAH hana ahadi za uongo
Watu kitu wa fahamu ni kwamba vita ya Isael na Gaza hitoisha hata siku moja kwa sababu hata kwenye vitabu vitakatifu vimo kwamba hata wakufe wote mtoto atakae kuwa ataendelea na vita mpaka siku ya kiama,kweli ukitaka kusikia news za kweli tembelea SnS kupata ufafanuzi wa kweli bila uongo hongela SNS maana tuna pata vigongo vya kweli hata content zenu hakuna uongo ni ukweli hongela sana ❤❤❤❤
JAMANI . MUSISAHAU MANENO YA MU IRANI. ANASEMAA ANAE MUAMINI MMARECANI NI MWENDAWAZIM PPEKEAKE. HIYO GATI INAYOJENGWA NA HIYO GAZA NI MITEGOYAO TAYARI WASHAITEGA.
Kipindi nipo Advance nilikuwa Napenda Sana history 2.. kipindi hiko form six 2014 JITEUTE.. yaani JITEGEMEE JKT HIGH SCHOOL.. Mwalimu wa History alikuwa Mwalimu Mlemeta.. mungu amlaze mahali pema peponi Mzee alikuwa na madini Sana plus Mwalimu mwingine alikuwa anaitwa Mavunde nae alikuwa hatari the way alivyokuwa anatufundishaga historia ya cold war.. na kuanziahwa kwa taifa la Israel na haya yanayotokea ndio vitu vinavyo nifanya nipende kufuatilia Geopolitics.. Asante Sana brother skyy na Team yako kwa kuendelea kutupa habari na darasa pia mungu awatie nguvu na maarifa kila kukicha..
Wamehangaika miaka mingi hawajafanikiwa na hawatafanikiwa lini mwizi alishinda na akawa na raha warudi huko Europe na ndio maana Europe imewashinda imewatafutia mji kuishi walichaguliwa uganda wakaikataa wakaona haina uchumi kama Palestine ina mali nyingi
Tunachosahau ni kwamba siku zote mungu ana mipango yake na binaadamu wana mipango yao, Na kama mungu hajapitisha binadamu hawezi kufanikiwa na hawa viongozi wengi huona wakishapanga mipango yao ndio wameshapanga hakuna wakupangua wanasahau kama kuna mungu na mungu siku zote haongozi watu kwenye dhulma kamwe na dhulma haidumu kwaio hawatofanikiwa kwa hilo. Free Palestine 🇵🇸🇵🇸
elewa Mungu si mjomba yako useme kuwa anakuangalia ww tu Mungu ni wa wote waovu na watenda mema na anawajalia wote kadiri atakavyo apangiwii so haimanishi coz ww unaona Hamas anaonenwa Mungu atawaacha waisrael akaee upande wa Hamas kinachotokea ni mambo ya kibinadamu si mambo ya kiMungu so anaacha mambo yakibinadamu yaendelee mbele na atamjalia aliyefanikiwa iko hivyo na itabaki hivyo na cha kujifunza kwenye maisha yako pambana usisubirie Mungu akuletee coz hataleta
Sawa ila Putin akionesha muonekano wa miji aliyochukua mnasema dictator anawaonea waukraini,,,,sio Africa tunasema Putin asirudishe mji hata Mmoja Ili NATO wajifunze kitu,,,,Gaza watu wameondolea maeneo Yao ,,Dunia IPO kimya ,,,Putin akirudisha maeneo yake ambayo alipewa Ukraine kwa masharti watu wanapiga ukunga
Mmelala sana usingizi wabongo hao wazungu wote Lao ni moja , wanacheza na akili za wapumbavu ninyi mmejikita katika udini na wale wanapigana kwasababu ya uchumi nakutaka kutawala maeno kwamaslai mapana
@@raymrash iko hivi kwanini hekalu kujengwa NI kwakuwa wayahudi watataka kubudu Ibada zao pale na pia mpingakristo atakuja pale akijifanya Yesu .na pia Yesu hawezi kurudi Kama hekalu halitajengwa pale ule msikiti WA Alaaksa utavunjwa nakwambia utaona mwenyewe Kwa macho yako .na ndio maana ukiangalia pale kwenye mchoro kuna jengo la hekalu pale kwahyo kinachotafutwa NI hekalu kujengwa wayahudi warudishe Ibada zao . kwahiyo hekalu likikamilika ndio vita vya 3 na atakaye kuja kuamua hivyo vita ni yesu peke yake .japo ataanza kutokea mpinga kristoo Kwanza na umoja ea mataifa ndio atatokea huyo mpinga kristo atakuja akijifanya msuruishaji ni mtu atakae kuwa na ushawishi WA ajabu Sana watu watamkubali sana
Israel washaidraft ya kuwa gaza wataijenga kisasa zaidi .sw lkn hoja ni vipi wapalestina watafaidika na hazina ya mali ktk ardhi yao na matunda ya future yao? Coz mipango ya israel km ulivyoeleza inamaanisha wapalestina watakuwa km wafalme waliofungiwa ndani ya palace kila kitu wanapata but is nothing.niseme tu israel na hao UAE baba mmoja mama mmoja
Haiwez kua habari mzuri kwa wapelestina, inawezekanaje mtu akubomolee nyumba yako ya kawaida then akujengee ghorofa ya kisasa bure,!!! Hii inaingia akilini hii ni changa la macho, kuna mkakati bado chini ya kapeti.
What nani kakwambia Hivi Hujui marecani niya myahudi namarahisi wa woote wamarecani niwayahudi Pia Hii Dunia kwasasa anaongoza myahudi ambaye ndyo marecani 😮
@@annasolomon9855 Bora Uzima,Atakayekuwepo Atasimulia !.ila Rekebisha Hizo Hasilimia Zako Sio 96 ni Wayahudi.NB:Mwaka wa 2021 Walikuwa 7.5 Milioni Sawa na Asilimia 2.5.Matusi Hayajengi !!!
Hizo ni ndoto za 6 mchana... wanatudanganya kweupeee .. yaan huo wakat ukifika wa Gaza kuwa hivyo bas mfalme wao atakua yahya sinwar na nitapaka ashakua chakula ya funza vitabaki historia mbaya vitendo vyke vya kinyama
Washafeli kwenye vita hadi sasa hawajafanikiwa hamas wako kwenye mahandaki watafanikiwa vp? hiyo ni ndoto yao ardhi ni ya warabu na inaitwa Palestine hakuna taifa linaloitwa Israel!
Kwa bajeti hiyo wanayosaidiwa na marekani?? Pesa yao ya kula kila mwaka inatokana na kodi za wananchi atafika???akili yake yote ipo kone Land la palestina panga lako na mungu ameshakupangia analotaka yy
Israel hawajashindwa Bali asilimia 97 ya nchi hio ni ya makumbusho ya utalii .. na hio ndio inayosababisha kutokubomoa majengo mengi kwa ajili ya kuwaingizia fedha ndefu Sana... Jeresalemu na sehemu zingine Kila mwaka wanaingiza matrilion ya fedha kwa ajili ya nchi nyingi Duniani kuingia pale, kuona YESU alipozaliwa, Yesu alipobatizwa, , Yesu alipofikisha miaka 30 na kuanza kazi rasmi, Yesu alipopita na mahekalu alipokuwa akifundisha , na mengine Mengi..
Unaota ndoto za mchana huku ukiwa umekaa kwenye kochi, Marekani ndio haohao Wayahudi kama humjui mjomba 😂😂.. yaani Marekani ukisikia wamegundua chombo Fulani au wamefanya jambo Fulani la kiteknolojia ndio Wayahudi hao na ni wabunifu wa Hali ya juu Sana na pia ndio wamiliki wakubwa wa technology ndio maana wanakibur maana wajua vitu vingi Hadi mabenk makubwa ni Yao.. hata asilimia 95 ya Wamerekani ni Wayahudi kwa taarifa Yako.. , huyu joe Biden anavyowazuga hatutoi silaha Tena kuisaidia Israel anawazuga tu hamna kitu.. Tena mmrekani Moyo wake wote upo hapo Israel asikudanganye mtu😅
Wapalestina wapambanie nchi yao,waisrael sio watu wakiubali tu,itakuwa ndo anguko lao,israel wanaweza watilia sumu au kitu chochote ambacho wakawa idadi yao isiongezeke ili wapotee kwenye dunia hii vizazi vya badae wakasoma kulikuwaga na wapalestine sababu israel ndo inasapply huduma zote muhimu kwa wapalestina...M.mungu awasaidie hamas wapambanie nchi yao mipango ya israel ishindwe
Sasa Wajenge Gaza Ni Kwao..? Alaf Dunia Ipo Kimya Tu Hvi Leo Hawa Ambao Walipewa Hifadhi Tu Wanapewa Mamlaka Ya Kujenga Katika Nchi Ya Watu Wao Ni Nani
Mbona umesahau awesome houth yote, Lebanon pia wale wana uchungu wa kumegwa Ardhi yao. Hv hujui kuna kundi kubwa Yemen kutoka sehem u mbali2 wamejitolea tayari.
Ikiwa hivyo ndivyo wakimalizana huko waje huku nyumbani waturipuwe kidogo😂! Maana ni mabadiliko ya Miaka 9-10 hadi kufikia 2035! Anyways Free Palestine 🇵🇸
Nihatari kweli. Propaganda imezidi. Yani mtu anaekupiga mabomu 24 masaa anakuambia kua baada ya kukupiga atakujengea hivyo. Wakati hata Israel hawana miji hiyo
Ndio lengo lao wapate ardhi ili wawajee watu wao km walivyofanya ktk eneo lile la mwanzo walilolichukua wamejenga magorofa lakni wanakaa wayahud ndio chanzo hamas kuvamia ila wat hawafatilii wanakua na mihemko tu.
Netanyanhu, Biden na wengine hususa viongozi wa kiarabu wanaowaunga mkono ,wanatakikana wajue kwmba hawawezi kuwaangamiza HAMAS kamwe,na haya si maoni wala maneno yngu,bali mtume Muhammad s.a.w na yeye hadanganyi,ila IZRAEL mwisho wake upo karibu tu.
Wameuwa watu wengi sana laana ya mungu iwe juu yao
Hamas je!?
@@raymrash israel wameshauwa watu 35000 hujui
🤔
Wana Ibrahim hao ukilaani inatarudi kwako ni ahadi ya Mungu kwao ya milele
Mwanzo 12:3
nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
Sawa, Hamas je@@hassanmsangi4149
Dj smaa upo vizuri sana kwenye Geopolitics
Huyu Dj Sma anachambua kwa maono na Fact sana. Kila nikifuatilia naona vitu vingi sana alivyosema mwanzo
Kabsaa
@@ramagwama🎉
zaidi na zaidi ni kama lebanon israel walitoa southern lebanon under security reason Hezbollah wanaviolate hakuna mtu anayewa warn Hezbollah israel amesema vita inakuja lebanon na watachukua tena southern lebanon lakini makosa ni ya walebanoni sio wengine coz wanaona kunawatu wanaleta shida haiwaambii
@@thomassalvatory8303 big knowdge.
Hio tutauwita blood city 😢na mungu awalani wasiweze kufanikisha malengo yao Amin
Big Up Dj SMA all time favorite Analyst
Hiii kitu hakiwezekana ,maana hata hao watoto wanaozaliwa hatakaubalina na waliofanyiwa na wayahudi.
Daima hawatakubali na ndio kutakua zaidi ya hamas
Hata niwe Mimi siwezi kukuabali
Pamoja@@abdullahmanalex2306
Islael anaenda kushinda hii vita,ila Islael na Palestina wote wamefanya makosa, Palestina pia lengo lao halikuwa jema kwa maana waliua laia,wakafanya ubakaji,wakachinja watu na kuchoma wengine wakiwa hai.
Mungu ni upendo,sasa wao wanamuwakilisha Mungu yupi anaekubaliana na hayo?
@@jamesraphaelmdima4729 ulikuwepo wakati wakibakwa 😳nyie mumeona tukio la tarehe 7 la hamas wazayun walianza kuwaua wapalestina muda mrefu hakuna alie sema leo hamas wamejitolea kuwasaidia wengine wasio weza kujitetea kila mtu mdomo mrefu kama kuua watoto wanawake ndio ushindi basi wacha tuone nusra ya ALLAH itafika tuu hajaghafilika na madhwalim hata kama makafiri mutakasirika lkn ushindi utakuja na Masjid Aqswa itakua mikononi mwa waislam ALLAH hana ahadi za uongo
Big up sns,,,, brother Sky kwa kuongezea nguvu ya geopolitics analysis, pia dj sma nakukubali kwasababu unaniongezea kitu
Big up Dj Sma nimekuelewa vizuri sana. Pale amani haitopatikana milele.
Maashallah inshallah Allah aweke wepesii inshallah ❤
Halaf wataweza kuwarudisha waliowauwa kikatili au??
Namie najiuliza iv hamas wataludisha wale watu waliwauwa uku wakirecord kikatili et
@@JoalAlma-ci1hi na ww usharogwa na propaganda za mayahud
Allahu yaalam..mwenyezimungu ndo anayejuwa ...haitakuwa
Watu kitu wa fahamu ni kwamba vita ya Isael na Gaza hitoisha hata siku moja kwa sababu hata kwenye vitabu vitakatifu vimo kwamba hata wakufe wote mtoto atakae kuwa ataendelea na vita mpaka siku ya kiama,kweli ukitaka kusikia news za kweli tembelea SnS kupata ufafanuzi wa kweli bila uongo hongela SNS maana tuna pata vigongo vya kweli hata content zenu hakuna uongo ni ukweli hongela sana ❤❤❤❤
Mnapotosha sema vita wameazisha Gaza sasa vita imebadilika.
Majambaz tu hao Allah awalaani
Wajisumbuwa inshallah kwa uwezo wa allah watadidimia mayahudi wote yarab amen 🙏 😢😢😢😢😢😢
Wangeshadidimia kitambo na Palestine ingesalimika .. hukokudidimia lini😅😅?
@@annasolomon9855...we nae Sisi Imani yetu imeshaeleza yote hayo ...muone vile fistula we
@@annasolomon9855unacheka na wakati wakristo wenzako wanauliwa kila siku huko Gaza, au unafkiri ni waislam tu ndo wanauliwa?😃
@@crayonmaze9970 Mimi sijui Hilo isipokuwa wafilisist ( Palestine) wote ni walewale tu.. acha waoneshwe adabu
@@annasolomon9855 kweli acha waoneshwe adabu maana Wapalestine ndo walimuwa hata Yesu, Acha na wa wauliwe au sio?😃
Hasbi allah waneema lwakil
JAMANI . MUSISAHAU MANENO YA MU IRANI. ANASEMAA ANAE MUAMINI MMARECANI NI MWENDAWAZIM PPEKEAKE. HIYO GATI INAYOJENGWA NA HIYO GAZA NI MITEGOYAO TAYARI WASHAITEGA.
Kmmmk netanyahu. Hutoweza
Gaza 2035....really looking good!
Kipindi nipo Advance nilikuwa Napenda Sana history 2.. kipindi hiko form six 2014 JITEUTE.. yaani JITEGEMEE JKT HIGH SCHOOL.. Mwalimu wa History alikuwa Mwalimu Mlemeta.. mungu amlaze mahali pema peponi Mzee alikuwa na madini Sana plus Mwalimu mwingine alikuwa anaitwa Mavunde nae alikuwa hatari the way alivyokuwa anatufundishaga historia ya cold war.. na kuanziahwa kwa taifa la Israel na haya yanayotokea ndio vitu vinavyo nifanya nipende kufuatilia Geopolitics.. Asante Sana brother skyy na Team yako kwa kuendelea kutupa habari na darasa pia mungu awatie nguvu na maarifa kila kukicha..
Kijna wa afande kumaliga😂
@@munyumunyama8365 hatari Sana 😂😂 braza
@@munyumunyama8365 hatari Sana ndugu yangu ila kama nakukumbuka vile..
Kumbe Hamas alijichanganya kuivamia islael ili ampe sababu
DJ SM tupe simulizi ya fuiz
Vipi Iraq ilijengwa? Libya ilijengwa? Yemen ilijengwa? Syria ilijengwa? Afghanistan ilijengwa?
Mayahud
Mmh, ati wajiongoze wenyewe!! 😢 daah!
Anaota Netanyahu
Israel ni wizi tu na wauwaji
Netanyau kichaankashindwa kuijenga hivyo Israel , aje ajenge Gaza
Inge jengwa irag Libya na Syria
Huko mbali Sana wao wanaitaka Gaza 😂
@@annasolomon9855 lk wao c ndio walio zipiga
Netamwehu uuwe watu ujenge mji.
Huyo nyau sijui nani...hafiki hyo2030 lishakufa zamn
huo ni wizi wa akili
Hata wajenge vp hawatoweza kufuta damu ya watu waliowaua bila makosa wala kuwasahaulisha maumivu ya watoto waliopotelewa na wazazi wao
Netanyau ni Muongo sana, hata tel aviv haipo hivyo.
MUNGU AWAPE AMANI JAMANI 🙏🏿🙏🏿Sio poa kuuana na wote hapa tuwasafiri, anyway iam no body 🥹
Hiya labda wakiichukuwa gaza ikiwa yao mali yao
Yani kama tanzania kuondoa wa tanzania wakenya wajenge iwe yao kweli.kwani kwani kwao wamejinga.ila mtanzamo mdolgo ujuwi mipango ya vita ya milele
Ushenzi
Atakuwepo huko
Wamehangaika miaka mingi hawajafanikiwa na hawatafanikiwa lini mwizi alishinda na akawa na raha warudi huko Europe na ndio maana Europe imewashinda imewatafutia mji kuishi walichaguliwa uganda wakaikataa wakaona haina uchumi kama Palestine ina mali nyingi
Walichaguliwa Uganda kweli? Kma kweli hawa mbwa watakuja Zanzibar
mtu anaye mbagua na kumulia familia yake halafu niwe na imani na ww
Mtu akichora hivyo manayake Gaza itakuwa Mali Yao ila hawatoweza
Na iwe hivyo
AMEN
Habari waislamu soote tunataka hamasi ishike palesteina maana kwanza isrili itatiya akili
Dk45 kipindi cha kwanza huyu mpinzani mwepesi sana🤔🤝
Nyie wehu islael ni nchi teulee
Tunachosahau ni kwamba siku zote mungu ana mipango yake na binaadamu wana mipango yao, Na kama mungu hajapitisha binadamu hawezi kufanikiwa na hawa viongozi wengi huona wakishapanga mipango yao ndio wameshapanga hakuna wakupangua wanasahau kama kuna mungu na mungu siku zote haongozi watu kwenye dhulma kamwe na dhulma haidumu kwaio hawatofanikiwa kwa hilo. Free Palestine 🇵🇸🇵🇸
elewa Mungu si mjomba yako useme kuwa anakuangalia ww tu Mungu ni wa wote waovu na watenda mema na anawajalia wote kadiri atakavyo apangiwii so haimanishi coz ww unaona Hamas anaonenwa Mungu atawaacha waisrael akaee upande wa Hamas kinachotokea ni mambo ya kibinadamu si mambo ya kiMungu so anaacha mambo yakibinadamu yaendelee mbele na atamjalia aliyefanikiwa iko hivyo na itabaki hivyo na cha kujifunza kwenye maisha yako pambana usisubirie Mungu akuletee coz hataleta
Sky umeishiwa
Matoko yako
Mjinga kweli wewe ndio umeishiwa ujuwi ulisemalo acha kufatilia ujalazimishwa
Itajengwa kweli maana NI Biblia ili tabili hekalu kujengwa NI lazma pia
Bibilia yako imetabiri mmarekani atajenga mitambo kwenye nchi ya gaza tutawaona. Nakuhakikishia hawatoboi
@@mwawekomiuda9779😂😂😂😂
@@mwawekomiuda9779 watatoboa maana NI mpango WA unabii Kaka
@@GeorgeChitemo-kt8sw Endelea kufikiri hivyo
Wayahudi ni majiz xan
Sawa ila Putin akionesha muonekano wa miji aliyochukua mnasema dictator anawaonea waukraini,,,,sio Africa tunasema Putin asirudishe mji hata Mmoja Ili NATO wajifunze kitu,,,,Gaza watu wameondolea maeneo Yao ,,Dunia IPO kimya ,,,Putin akirudisha maeneo yake ambayo alipewa Ukraine kwa masharti watu wanapiga ukunga
Mmelala sana usingizi wabongo hao wazungu wote Lao ni moja , wanacheza na akili za wapumbavu ninyi mmejikita katika udini na wale wanapigana kwasababu ya uchumi nakutaka kutawala maeno kwamaslai mapana
Jamaa katoa unabii kabisa Yani dah
N yeah wachache tunaelewa n wakati wa matengenezo kabsa
@@paulntalima6998 ni kweli watu wapo kwenye siasa hawajui kinaendelea pale na kinachotokea miaka hii mpaka 2030 kina Jambo litaweza kutokea
the truth nikwamba israel hawatawahi onyesha completely namna gani wanaumizwa hiyo ni stragit ya kivita na propaganda tu
Dhulma tu ila wajue hii dunia tunapita tu hata wajenge vp dunia tutaiwacha
Wasitutanie
😂😂😂😂 hawa wayahudi akili zao cjui ziko chooni ktk lindi.
😂😂😂Kwa Kwel
Matahira hawajielewi
@@MiriamAbdallahunajisikiaje ukiwa mwerevu arafu ukapigwa na mjinga🤣🤣🤣
Yaani zinaelea pamoja na kinyesi
Hamas waliyataka wenyewe
Huna akili ndiomana unasema hivyo
nyuma ya pazia wanamuandalia mazingira masihi dajjal/mpinga kristo
Ungoo ni ushetani
Kama hujui unabii WA biblia hutaelewa hapa
Du kaka tupe elimu 😢
hekalu kashajenga saidina ommary utataka hekalu gn wakt omary aliujenga msikti al aqsa
@@raymrash iko hivi kwanini hekalu kujengwa NI kwakuwa wayahudi watataka kubudu Ibada zao pale na pia mpingakristo atakuja pale akijifanya Yesu .na pia Yesu hawezi kurudi Kama hekalu halitajengwa pale ule msikiti WA Alaaksa utavunjwa nakwambia utaona mwenyewe Kwa macho yako .na ndio maana ukiangalia pale kwenye mchoro kuna jengo la hekalu pale kwahyo kinachotafutwa NI hekalu kujengwa wayahudi warudishe Ibada zao . kwahiyo hekalu likikamilika ndio vita vya 3 na atakaye kuja kuamua hivyo vita ni yesu peke yake .japo ataanza kutokea mpinga kristoo Kwanza na umoja ea mataifa ndio atatokea huyo mpinga kristo atakuja akijifanya msuruishaji ni mtu atakae kuwa na ushawishi WA ajabu Sana watu watamkubali sana
Nyie mna vichwa vya panzi netanya katika hotuba yake alisema operesheni ya gaza itachukua mwaka mzima sasa mnasemaje hamjui operesheni itaisha rini.
Wache ujinga wtoto wanao wangamiza ndio hamas😢
Watazaliwa wengne ata ikipita miaka mia watarud
@@omytifa6403una uhakika gani itafika iyo miaka iyo 😳
𝕄𝕦𝕟𝕘𝕦 𝕚𝕓𝕒𝕣𝕚𝕜𝕚 𝕀𝕤𝕣𝕒𝕖𝕝
Yaani hiyo mipango yote ndo wauwe watu hovyo ? Ama kweli waisrail akili zao mungu mwenyewe ndie anae juwa
tunakufa coz of Adam ++ Eve so wanakufa coz of Hamas +++ Islamist so tusiilamu israel tulaumu matendo ya waliosababisha haya
and if so tulipaswa tumlaumu Mungu kwanini tunakufa kama hatuwezi basi tulaumu aliyesabisha haya ya kufa and is Adam +++ Eve
Na wakiambiwa wanafanya uharibifu duniani... Wao usema sisi ni wajengaji~Quran
Wasitunie hao mayaudi bro gaza ni plo sio Israel wafanye adabu zao plz
Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇷🇺🇷🇺
Hyu mpuuzi
Wao wnapanga yao na mungubanapanga yake anatoka mchana aende akajenge alikotoka Europe 🇪🇺
Akili huna mzee!! Hata kitabu chako Cha kukopi na kupesti kinakili mayahudi walikuwepo kabla ya mohamedi kuja
Israel washaidraft ya kuwa gaza wataijenga kisasa zaidi .sw lkn hoja ni vipi wapalestina watafaidika na hazina ya mali ktk ardhi yao na matunda ya future yao? Coz mipango ya israel km ulivyoeleza inamaanisha wapalestina watakuwa km wafalme waliofungiwa ndani ya palace kila kitu wanapata but is nothing.niseme tu israel na hao UAE baba mmoja mama mmoja
Je mrusi atakubali? Maana mrusi akikubali gas and oil itoke Gaza inamaana gas yake itakosa soko.
Hayo wanajikosha tu kuzima harakati koz wayahudi niwatu washenz sana hawafai pesa moja
Haiwez kua habari mzuri kwa wapelestina, inawezekanaje mtu akubomolee nyumba yako ya kawaida then akujengee ghorofa ya kisasa bure,!!! Hii inaingia akilini hii ni changa la macho, kuna mkakati bado chini ya kapeti.
Plus wawauwe pia
Netanyahu mbona kama muongo muongo
Nchi yke yenyewe haiko km hiyo ramani 😂😂
Marekan huyo ndio mipango yao
@@Nuru-zr2yv hhhhhahaa
Wameshazoea kuiba mali za watu kwa kumwaga damu za watu.@@MohamedAhmada-ie7ke
Subutu propaganda tu hizo kwani hamasi nimaadui kwa wapalestina wenyewe
Enyi mlio amini msiwafanye mayahudi na manaswala kuwa marafiki zenu kwani wao kwa wao ni marafiki
Swadakta
Nani kakwambia tunataka urafiki na nyie wenye dini ya majini?
Yeye Mwenyewe NETANYAHU anategemea Misahada,Kweli Atafanikiwa kufanya hivyo😂
What nani kakwambia Hivi Hujui marecani niya myahudi namarahisi wa woote wamarecani niwayahudi Pia Hii Dunia kwasasa anaongoza myahudi ambaye ndyo marecani 😮
Asilimia 96 ya Wamarekani ni Wayahudi 😅😅 msaada upi Sasa wakati wao ndio wanaingoza technolojia , hujui kitu wew
@@annasolomon9855 Bora Uzima,Atakayekuwepo Atasimulia !.ila Rekebisha Hizo Hasilimia Zako Sio 96 ni Wayahudi.NB:Mwaka wa 2021 Walikuwa 7.5 Milioni Sawa na Asilimia 2.5.Matusi Hayajengi !!!
@@user-nb6yh2bn9y Kwa Uhakika Upi Ulio nao Wewe Eti Marekani ni yawayahudi Na Maraïs wote Ni Wayahudi Dahh,Vipi OBAMA,TRUMP ni Wayahudi ?
Uko Dunia yangapi wewe muulize Hata Huyo DJ asma uliza ulimwengu mzima utakwambia
Hizo ni ndoto za 6 mchana... wanatudanganya kweupeee .. yaan huo wakat ukifika wa Gaza kuwa hivyo bas mfalme wao atakua yahya sinwar na nitapaka ashakua chakula ya funza vitabaki historia mbaya vitendo vyke vya kinyama
HABARI MZURI KIVIPI WANAJESHI WA ISRAEL FREE KUINGIA KAMA NCHI YAO SIO HABARI MZURI HIYO😮
Uwongo na ni propaganda tuu za wa islael
GAZA IKIWA IVO TU IYO 2035 WANA GARAGAZWA TENA😂
Ikiwa yahudi kasema hivo basi walio msikiliza bongo zao zimenock kabisa.
Washafeli kwenye vita hadi sasa hawajafanikiwa hamas wako kwenye mahandaki watafanikiwa vp?
hiyo ni ndoto yao ardhi ni ya warabu na inaitwa Palestine hakuna taifa linaloitwa Israel!
Israel ni mbwa kabisa
Hamasi ndio watoto wanaowauwa
Hao wote ni wa Palestini..ni Sawa watanzania wapigwe halafu wakiamua kujibu wanakuwa sio watanzania.
Netanyau ni noma
Noma gani mtu anapigwa hadi na nyuki.kitu anafanya ni kuuwa raiya na kubomoa majengo
@@kwaleboy6064 kama kuua raia ni rahisi nenda na wew kauwe yani ile ndo kiburi yakua na nguvu
@@kwaleboy6064 ulitaka aue nyani au ni kuua binadamu wanaoabudu kivuri cha aisha
@@user-km1dm8et9x naelewa wewe ni nani .wewe ni pagani anae abudu sanamu kanisani ukiona ni yesu
@@kwaleboy6064achana nae my
Kwa bajeti hiyo wanayosaidiwa na marekani?? Pesa yao ya kula kila mwaka inatokana na kodi za wananchi atafika???akili yake yote ipo kone Land la palestina panga lako na mungu ameshakupangia analotaka yy
Wameshindwa kujenga Israeli hivyo
Mbona marecani Haija jengwa Kama Dubai lakini ndyo wafarme Hapa Duniani 😏
Umeshafika Tel Aviv!?
Israel hawajashindwa Bali asilimia 97 ya nchi hio ni ya makumbusho ya utalii .. na hio ndio inayosababisha kutokubomoa majengo mengi kwa ajili ya kuwaingizia fedha ndefu Sana... Jeresalemu na sehemu zingine Kila mwaka wanaingiza matrilion ya fedha kwa ajili ya nchi nyingi Duniani kuingia pale, kuona YESU alipozaliwa, Yesu alipobatizwa, , Yesu alipofikisha miaka 30 na kuanza kazi rasmi, Yesu alipopita na mahekalu alipokuwa akifundisha , na mengine Mengi..
Good news watu wenye kufa saana
Good news hzi utakutana nazo tangu siku unanyofolewa Roho yako na kaburini na mpaka siku ya hesabu utakutana na jamaa zako.
Userkm israel aina nguvu.marekan asimpe sapot na nchi nyingne kama ujeruman uone
Nisikilize mjomba Hiyo marecani ndyo Israel yenyewe marais woote wamarecani niwayahudi Hata Obama Baba ake mkenya Mama myahudi
Unaota ndoto za mchana huku ukiwa umekaa kwenye kochi, Marekani ndio haohao Wayahudi kama humjui mjomba 😂😂.. yaani Marekani ukisikia wamegundua chombo Fulani au wamefanya jambo Fulani la kiteknolojia ndio Wayahudi hao na ni wabunifu wa Hali ya juu Sana na pia ndio wamiliki wakubwa wa technology ndio maana wanakibur maana wajua vitu vingi Hadi mabenk makubwa ni Yao.. hata asilimia 95 ya Wamerekani ni Wayahudi kwa taarifa Yako.. , huyu joe Biden anavyowazuga hatutoi silaha Tena kuisaidia Israel anawazuga tu hamna kitu.. Tena mmrekani Moyo wake wote upo hapo Israel asikudanganye mtu😅
Wapalestina wapambanie nchi yao,waisrael sio watu wakiubali tu,itakuwa ndo anguko lao,israel wanaweza watilia sumu au kitu chochote ambacho wakawa idadi yao isiongezeke ili wapotee kwenye dunia hii vizazi vya badae wakasoma kulikuwaga na wapalestine sababu israel ndo inasapply huduma zote muhimu kwa wapalestina...M.mungu awasaidie hamas wapambanie nchi yao mipango ya israel ishindwe
Bundala unachezea simu hatumsikii Dj sma annapoongea unapiga na makofi kabsa
Kumradhi, kulikuwa na disturbance kidogo wakati wa mazungumzo
@@SimuliziNaSauti Tuko pamoja👏👏
Ila kiukweli nafuatilia sana Sns kuliko awali Bundala , Dj sma na Aly Masubi napenda sana kazi yenu.
Sasa Wajenge Gaza Ni Kwao..? Alaf Dunia Ipo Kimya Tu Hvi Leo Hawa Ambao Walipewa Hifadhi Tu Wanapewa Mamlaka Ya Kujenga Katika Nchi Ya Watu Wao Ni Nani
Bado Palestine sio huru...kwa hiyo si ajabu ijengwe😂😂😂
@@raymrash Palestine Sio Huru Ila Israel Ni Huru..?
Mimi nahona urumasana gaza yawatu ilikuwanzuli watoto wanaenda shule wanafulai leoii gaza kama makaz ya mmbwa kokokwe inasktisha watoto wanakulanyas
Ugaidi ni mbaya na ndo faida ya kukurupukia kufanya jambo 😂
Ss akishawauwa wapalestina awauwe na Iran yote ndio atengeze huo mji man kinyume ya hapo hayo makombora huo ujenz hautokamilika
Mbona umesahau awesome houth yote, Lebanon pia wale wana uchungu wa kumegwa Ardhi yao. Hv hujui kuna kundi kubwa Yemen kutoka sehem u mbali2 wamejitolea tayari.
Ikiwa hivyo ndivyo wakimalizana huko waje huku nyumbani waturipuwe kidogo😂! Maana ni mabadiliko ya Miaka 9-10 hadi kufikia 2035! Anyways Free Palestine 🇵🇸
Chochote kile watakachokifanya Israel hakita futa mauaji ya halaiki ya watu wasiokua na hatia wanayoyafanya hapo Gaza
Hamasi walivowaua Israel wasiokuwa na hatia .. Kuna methali inasema akuanzae mmalize! 😅😅😅
Ewe bwana mungu embu mchukue uyo nyau Ili Dunia itulie familia zitulie 😢
ALLAH hajaghafilika na madhwalim anawapa muda tuu
Long live Israel
Nihatari kweli. Propaganda imezidi. Yani mtu anaekupiga mabomu 24 masaa anakuambia kua baada ya kukupiga atakujengea hivyo. Wakati hata Israel hawana miji hiyo
Ndio lengo lao wapate ardhi ili wawajee watu wao km walivyofanya ktk eneo lile la mwanzo walilolichukua wamejenga magorofa lakni wanakaa wayahud ndio chanzo hamas kuvamia ila wat hawafatilii wanakua na mihemko tu.
Netanyanhu, Biden na wengine hususa viongozi wa kiarabu wanaowaunga mkono ,wanatakikana wajue kwmba hawawezi kuwaangamiza HAMAS kamwe,na haya si maoni wala maneno yngu,bali mtume Muhammad s.a.w na yeye hadanganyi,ila IZRAEL mwisho wake upo karibu tu.
Duuu