GAZA 2035: NETANYAHU aonesha MUONEKANO wa GAZA itakavyojengwa baada ya VITA kumalizika

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 05. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Zábava

Komentáře • 220

  • @user-zm8nq6xv8o
    @user-zm8nq6xv8o Před 28 dny +21

    Wameuwa watu wengi sana laana ya mungu iwe juu yao

    • @raymrash
      @raymrash Před 28 dny

      Hamas je!?

    • @hassanmsangi4149
      @hassanmsangi4149 Před 28 dny

      @@raymrash israel wameshauwa watu 35000 hujui

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 28 dny


      🤔

    • @bokimmwamba2322
      @bokimmwamba2322 Před 28 dny

      Wana Ibrahim hao ukilaani inatarudi kwako ni ahadi ya Mungu kwao ya milele
      Mwanzo 12:3
      nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 Před 28 dny

      Sawa, Hamas je​@@hassanmsangi4149

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před 28 dny +6

    Dj smaa upo vizuri sana kwenye Geopolitics

  • @allykwaya
    @allykwaya Před 29 dny +16

    Huyu Dj Sma anachambua kwa maono na Fact sana. Kila nikifuatilia naona vitu vingi sana alivyosema mwanzo

    • @ramagwama
      @ramagwama Před 29 dny +1

      Kabsaa

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 28 dny +1

      ​@@ramagwama🎉

    • @thomassalvatory8303
      @thomassalvatory8303 Před 28 dny +1

      zaidi na zaidi ni kama lebanon israel walitoa southern lebanon under security reason Hezbollah wanaviolate hakuna mtu anayewa warn Hezbollah israel amesema vita inakuja lebanon na watachukua tena southern lebanon lakini makosa ni ya walebanoni sio wengine coz wanaona kunawatu wanaleta shida haiwaambii

    • @allykwaya
      @allykwaya Před 28 dny

      @@thomassalvatory8303 big knowdge.

  • @CKMO
    @CKMO Před 16 dny

    Hio tutauwita blood city 😢na mungu awalani wasiweze kufanikisha malengo yao Amin

  • @gasparmpoma3860
    @gasparmpoma3860 Před 28 dny +1

    Big Up Dj SMA all time favorite Analyst

  • @mussafaki5865
    @mussafaki5865 Před 29 dny +14

    Hiii kitu hakiwezekana ,maana hata hao watoto wanaozaliwa hatakaubalina na waliofanyiwa na wayahudi.

    • @Awatee
      @Awatee Před 28 dny +3

      Daima hawatakubali na ndio kutakua zaidi ya hamas

    • @abdullahmanalex2306
      @abdullahmanalex2306 Před 28 dny +1

      Hata niwe Mimi siwezi kukuabali

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e Před 28 dny

      Pamoja​@@abdullahmanalex2306

    • @jamesraphaelmdima4729
      @jamesraphaelmdima4729 Před 26 dny

      Islael anaenda kushinda hii vita,ila Islael na Palestina wote wamefanya makosa, Palestina pia lengo lao halikuwa jema kwa maana waliua laia,wakafanya ubakaji,wakachinja watu na kuchoma wengine wakiwa hai.
      Mungu ni upendo,sasa wao wanamuwakilisha Mungu yupi anaekubaliana na hayo?

    • @Awatee
      @Awatee Před 26 dny

      @@jamesraphaelmdima4729 ulikuwepo wakati wakibakwa 😳nyie mumeona tukio la tarehe 7 la hamas wazayun walianza kuwaua wapalestina muda mrefu hakuna alie sema leo hamas wamejitolea kuwasaidia wengine wasio weza kujitetea kila mtu mdomo mrefu kama kuua watoto wanawake ndio ushindi basi wacha tuone nusra ya ALLAH itafika tuu hajaghafilika na madhwalim hata kama makafiri mutakasirika lkn ushindi utakuja na Masjid Aqswa itakua mikononi mwa waislam ALLAH hana ahadi za uongo

  • @abdallahnamuha3357
    @abdallahnamuha3357 Před 28 dny +1

    Big up sns,,,, brother Sky kwa kuongezea nguvu ya geopolitics analysis, pia dj sma nakukubali kwasababu unaniongezea kitu

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi6059 Před 29 dny +1

    Big up Dj Sma nimekuelewa vizuri sana. Pale amani haitopatikana milele.

  • @nduwimanahafsa4611
    @nduwimanahafsa4611 Před 27 dny

    Maashallah inshallah Allah aweke wepesii inshallah ❤

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley5632 Před 29 dny +14

    Halaf wataweza kuwarudisha waliowauwa kikatili au??

    • @JoalAlma-ci1hi
      @JoalAlma-ci1hi Před 23 dny

      Namie najiuliza iv hamas wataludisha wale watu waliwauwa uku wakirecord kikatili et

    • @mohamedaley5632
      @mohamedaley5632 Před 23 dny

      @@JoalAlma-ci1hi na ww usharogwa na propaganda za mayahud

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 29 dny +6

    Allahu yaalam..mwenyezimungu ndo anayejuwa ...haitakuwa

  • @amazitv2899
    @amazitv2899 Před 28 dny +1

    Watu kitu wa fahamu ni kwamba vita ya Isael na Gaza hitoisha hata siku moja kwa sababu hata kwenye vitabu vitakatifu vimo kwamba hata wakufe wote mtoto atakae kuwa ataendelea na vita mpaka siku ya kiama,kweli ukitaka kusikia news za kweli tembelea SnS kupata ufafanuzi wa kweli bila uongo hongela SNS maana tuna pata vigongo vya kweli hata content zenu hakuna uongo ni ukweli hongela sana ❤❤❤❤

  • @AdamKondo-so3cn
    @AdamKondo-so3cn Před 19 dny

    Mnapotosha sema vita wameazisha Gaza sasa vita imebadilika.

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 Před 27 dny +2

    Majambaz tu hao Allah awalaani

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 28 dny +3

    Wajisumbuwa inshallah kwa uwezo wa allah watadidimia mayahudi wote yarab amen 🙏 😢😢😢😢😢😢

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 28 dny

      Wangeshadidimia kitambo na Palestine ingesalimika .. hukokudidimia lini😅😅?

    • @user-fx7ig1uy6t
      @user-fx7ig1uy6t Před 27 dny

      ​@@annasolomon9855...we nae Sisi Imani yetu imeshaeleza yote hayo ...muone vile fistula we

    • @crayonmaze9970
      @crayonmaze9970 Před 27 dny

      ​@@annasolomon9855unacheka na wakati wakristo wenzako wanauliwa kila siku huko Gaza, au unafkiri ni waislam tu ndo wanauliwa?😃

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 27 dny

      @@crayonmaze9970 Mimi sijui Hilo isipokuwa wafilisist ( Palestine) wote ni walewale tu.. acha waoneshwe adabu

    • @crayonmaze9970
      @crayonmaze9970 Před 27 dny

      @@annasolomon9855 kweli acha waoneshwe adabu maana Wapalestine ndo walimuwa hata Yesu, Acha na wa wauliwe au sio?😃

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 Před 26 dny

    Hasbi allah waneema lwakil

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk

    JAMANI . MUSISAHAU MANENO YA MU IRANI. ANASEMAA ANAE MUAMINI MMARECANI NI MWENDAWAZIM PPEKEAKE. HIYO GATI INAYOJENGWA NA HIYO GAZA NI MITEGOYAO TAYARI WASHAITEGA.

  • @19ddr
    @19ddr Před 28 dny +2

    Kmmmk netanyahu. Hutoweza

  • @zuricakes6817
    @zuricakes6817 Před 28 dny

    Gaza 2035....really looking good!

  • @Mr_smart.code_10
    @Mr_smart.code_10 Před 28 dny

    Kipindi nipo Advance nilikuwa Napenda Sana history 2.. kipindi hiko form six 2014 JITEUTE.. yaani JITEGEMEE JKT HIGH SCHOOL.. Mwalimu wa History alikuwa Mwalimu Mlemeta.. mungu amlaze mahali pema peponi Mzee alikuwa na madini Sana plus Mwalimu mwingine alikuwa anaitwa Mavunde nae alikuwa hatari the way alivyokuwa anatufundishaga historia ya cold war.. na kuanziahwa kwa taifa la Israel na haya yanayotokea ndio vitu vinavyo nifanya nipende kufuatilia Geopolitics.. Asante Sana brother skyy na Team yako kwa kuendelea kutupa habari na darasa pia mungu awatie nguvu na maarifa kila kukicha..

  • @pastorzakariatv1786
    @pastorzakariatv1786 Před 28 dny

    Kumbe Hamas alijichanganya kuivamia islael ili ampe sababu

  • @nsabimanaabedi541
    @nsabimanaabedi541 Před 28 dny +1

    DJ SM tupe simulizi ya fuiz

  • @radjabusuleiman6486
    @radjabusuleiman6486 Před 25 dny

    Vipi Iraq ilijengwa? Libya ilijengwa? Yemen ilijengwa? Syria ilijengwa? Afghanistan ilijengwa?

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 Před 27 dny

    Mayahud

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před 28 dny

    Mmh, ati wajiongoze wenyewe!! 😢 daah!

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před 28 dny

    Anaota Netanyahu

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji Před 27 dny

    Israel ni wizi tu na wauwaji

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Před 26 dny

    Netanyau kichaankashindwa kuijenga hivyo Israel , aje ajenge Gaza

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 Před 29 dny +4

    Inge jengwa irag Libya na Syria

  • @mohamseyf6243
    @mohamseyf6243 Před 26 dny

    Netamwehu uuwe watu ujenge mji.

  • @user-fx7ig1uy6t
    @user-fx7ig1uy6t Před 27 dny

    Huyo nyau sijui nani...hafiki hyo2030 lishakufa zamn

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j Před 28 dny +1

    huo ni wizi wa akili

  • @user-rm4co7pj1d
    @user-rm4co7pj1d Před 29 dny +1

    Hata wajenge vp hawatoweza kufuta damu ya watu waliowaua bila makosa wala kuwasahaulisha maumivu ya watoto waliopotelewa na wazazi wao

  • @iddiramadhani5111
    @iddiramadhani5111 Před 27 dny

    Netanyau ni Muongo sana, hata tel aviv haipo hivyo.

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 Před 28 dny

    MUNGU AWAPE AMANI JAMANI 🙏🏿🙏🏿Sio poa kuuana na wote hapa tuwasafiri, anyway iam no body 🥹

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Před 28 dny +1

    Hiya labda wakiichukuwa gaza ikiwa yao mali yao

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche Před 28 dny

    Yani kama tanzania kuondoa wa tanzania wakenya wajenge iwe yao kweli.kwani kwani kwao wamejinga.ila mtanzamo mdolgo ujuwi mipango ya vita ya milele

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g Před 29 dny

    Ushenzi

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před 29 dny

    Atakuwepo huko

  • @asmaalghafri449
    @asmaalghafri449 Před 28 dny +1

    Wamehangaika miaka mingi hawajafanikiwa na hawatafanikiwa lini mwizi alishinda na akawa na raha warudi huko Europe na ndio maana Europe imewashinda imewatafutia mji kuishi walichaguliwa uganda wakaikataa wakaona haina uchumi kama Palestine ina mali nyingi

    • @FatmaMohamed-jw2lc
      @FatmaMohamed-jw2lc Před 26 dny

      Walichaguliwa Uganda kweli? Kma kweli hawa mbwa watakuja Zanzibar

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 Před 26 dny

    mtu anaye mbagua na kumulia familia yake halafu niwe na imani na ww

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 Před 29 dny +7

    Mtu akichora hivyo manayake Gaza itakuwa Mali Yao ila hawatoweza

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze Před 28 dny

    Habari waislamu soote tunataka hamasi ishike palesteina maana kwanza isrili itatiya akili

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau Před 29 dny

    Dk45 kipindi cha kwanza huyu mpinzani mwepesi sana🤔🤝

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 Před 27 dny

    Nyie wehu islael ni nchi teulee

  • @MAHAN-099
    @MAHAN-099 Před 28 dny +1

    Tunachosahau ni kwamba siku zote mungu ana mipango yake na binaadamu wana mipango yao, Na kama mungu hajapitisha binadamu hawezi kufanikiwa na hawa viongozi wengi huona wakishapanga mipango yao ndio wameshapanga hakuna wakupangua wanasahau kama kuna mungu na mungu siku zote haongozi watu kwenye dhulma kamwe na dhulma haidumu kwaio hawatofanikiwa kwa hilo. Free Palestine 🇵🇸🇵🇸

    • @thomassalvatory8303
      @thomassalvatory8303 Před 28 dny

      elewa Mungu si mjomba yako useme kuwa anakuangalia ww tu Mungu ni wa wote waovu na watenda mema na anawajalia wote kadiri atakavyo apangiwii so haimanishi coz ww unaona Hamas anaonenwa Mungu atawaacha waisrael akaee upande wa Hamas kinachotokea ni mambo ya kibinadamu si mambo ya kiMungu so anaacha mambo yakibinadamu yaendelee mbele na atamjalia aliyefanikiwa iko hivyo na itabaki hivyo na cha kujifunza kwenye maisha yako pambana usisubirie Mungu akuletee coz hataleta

  • @jerrychiswa2494
    @jerrychiswa2494 Před 29 dny +2

    Sky umeishiwa

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw Před 29 dny +2

    Itajengwa kweli maana NI Biblia ili tabili hekalu kujengwa NI lazma pia

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před 29 dny

      Bibilia yako imetabiri mmarekani atajenga mitambo kwenye nchi ya gaza tutawaona. Nakuhakikishia hawatoboi

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 28 dny

      ​@@mwawekomiuda9779😂😂😂😂

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw Před 28 dny

      @@mwawekomiuda9779 watatoboa maana NI mpango WA unabii Kaka

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před 28 dny

      @@GeorgeChitemo-kt8sw Endelea kufikiri hivyo

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 Před 29 dny +2

    Wayahudi ni majiz xan

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 Před 28 dny +1

    Sawa ila Putin akionesha muonekano wa miji aliyochukua mnasema dictator anawaonea waukraini,,,,sio Africa tunasema Putin asirudishe mji hata Mmoja Ili NATO wajifunze kitu,,,,Gaza watu wameondolea maeneo Yao ,,Dunia IPO kimya ,,,Putin akirudisha maeneo yake ambayo alipewa Ukraine kwa masharti watu wanapiga ukunga

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 20 dny

      Mmelala sana usingizi wabongo hao wazungu wote Lao ni moja , wanacheza na akili za wapumbavu ninyi mmejikita katika udini na wale wanapigana kwasababu ya uchumi nakutaka kutawala maeno kwamaslai mapana

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw Před 29 dny +2

    Jamaa katoa unabii kabisa Yani dah

    • @paulntalima6998
      @paulntalima6998 Před 28 dny

      N yeah wachache tunaelewa n wakati wa matengenezo kabsa

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw Před 28 dny

      @@paulntalima6998 ni kweli watu wapo kwenye siasa hawajui kinaendelea pale na kinachotokea miaka hii mpaka 2030 kina Jambo litaweza kutokea

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht Před 27 dny

    the truth nikwamba israel hawatawahi onyesha completely namna gani wanaumizwa hiyo ni stragit ya kivita na propaganda tu

  • @aishaally6602
    @aishaally6602 Před 28 dny

    Dhulma tu ila wajue hii dunia tunapita tu hata wajenge vp dunia tutaiwacha

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 28 dny

    Wasitutanie

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 29 dny +2

    😂😂😂😂 hawa wayahudi akili zao cjui ziko chooni ktk lindi.

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo Před 28 dny +2

    Hamas waliyataka wenyewe

    • @Bahati47
      @Bahati47 Před 28 dny

      Huna akili ndiomana unasema hivyo

  • @salummohamedi5562
    @salummohamedi5562 Před 28 dny

    nyuma ya pazia wanamuandalia mazingira masihi dajjal/mpinga kristo

  • @marvelmovier545
    @marvelmovier545 Před 28 dny

    Ungoo ni ushetani

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw Před 29 dny +3

    Kama hujui unabii WA biblia hutaelewa hapa

    • @raymrash
      @raymrash Před 28 dny

      Du kaka tupe elimu 😢

    • @Maua-pg5gl
      @Maua-pg5gl Před 28 dny

      hekalu kashajenga saidina ommary utataka hekalu gn wakt omary aliujenga msikti al aqsa

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw Před 28 dny

      @@raymrash iko hivi kwanini hekalu kujengwa NI kwakuwa wayahudi watataka kubudu Ibada zao pale na pia mpingakristo atakuja pale akijifanya Yesu .na pia Yesu hawezi kurudi Kama hekalu halitajengwa pale ule msikiti WA Alaaksa utavunjwa nakwambia utaona mwenyewe Kwa macho yako .na ndio maana ukiangalia pale kwenye mchoro kuna jengo la hekalu pale kwahyo kinachotafutwa NI hekalu kujengwa wayahudi warudishe Ibada zao . kwahiyo hekalu likikamilika ndio vita vya 3 na atakaye kuja kuamua hivyo vita ni yesu peke yake .japo ataanza kutokea mpinga kristoo Kwanza na umoja ea mataifa ndio atatokea huyo mpinga kristo atakuja akijifanya msuruishaji ni mtu atakae kuwa na ushawishi WA ajabu Sana watu watamkubali sana

  • @pastorzakariatv1786
    @pastorzakariatv1786 Před 28 dny

    Nyie mna vichwa vya panzi netanya katika hotuba yake alisema operesheni ya gaza itachukua mwaka mzima sasa mnasemaje hamjui operesheni itaisha rini.

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 Před 29 dny +2

    Wache ujinga wtoto wanao wangamiza ndio hamas😢

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 Před 28 dny

      Watazaliwa wengne ata ikipita miaka mia watarud

    • @Awatee
      @Awatee Před 28 dny

      ​@@omytifa6403una uhakika gani itafika iyo miaka iyo 😳

  • @piusrweyemamu3900
    @piusrweyemamu3900 Před 28 dny

    𝕄𝕦𝕟𝕘𝕦 𝕚𝕓𝕒𝕣𝕚𝕜𝕚 𝕀𝕤𝕣𝕒𝕖𝕝

  • @user-zm8nq6xv8o
    @user-zm8nq6xv8o Před 28 dny +1

    Yaani hiyo mipango yote ndo wauwe watu hovyo ? Ama kweli waisrail akili zao mungu mwenyewe ndie anae juwa

    • @thomassalvatory8303
      @thomassalvatory8303 Před 28 dny

      tunakufa coz of Adam ++ Eve so wanakufa coz of Hamas +++ Islamist so tusiilamu israel tulaumu matendo ya waliosababisha haya

    • @thomassalvatory8303
      @thomassalvatory8303 Před 28 dny

      and if so tulipaswa tumlaumu Mungu kwanini tunakufa kama hatuwezi basi tulaumu aliyesabisha haya ya kufa and is Adam +++ Eve

  • @assateke7199
    @assateke7199 Před 27 dny

    Na wakiambiwa wanafanya uharibifu duniani... Wao usema sisi ni wajengaji~Quran

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 29 dny

    Wasitunie hao mayaudi bro gaza ni plo sio Israel wafanye adabu zao plz

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 Před 28 dny

    Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇷🇺🇷🇺

  • @delgalshan6318
    @delgalshan6318 Před 28 dny

    Hyu mpuuzi

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 28 dny

    Wao wnapanga yao na mungubanapanga yake anatoka mchana aende akajenge alikotoka Europe 🇪🇺

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 Před 28 dny

      Akili huna mzee!! Hata kitabu chako Cha kukopi na kupesti kinakili mayahudi walikuwepo kabla ya mohamedi kuja

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 Před 28 dny

    Israel washaidraft ya kuwa gaza wataijenga kisasa zaidi .sw lkn hoja ni vipi wapalestina watafaidika na hazina ya mali ktk ardhi yao na matunda ya future yao? Coz mipango ya israel km ulivyoeleza inamaanisha wapalestina watakuwa km wafalme waliofungiwa ndani ya palace kila kitu wanapata but is nothing.niseme tu israel na hao UAE baba mmoja mama mmoja

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 Před 28 dny

    Je mrusi atakubali? Maana mrusi akikubali gas and oil itoke Gaza inamaana gas yake itakosa soko.

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Před 27 dny +1

    Hayo wanajikosha tu kuzima harakati koz wayahudi niwatu washenz sana hawafai pesa moja

  • @fadhilmandaliabdalla6736

    Haiwez kua habari mzuri kwa wapelestina, inawezekanaje mtu akubomolee nyumba yako ya kawaida then akujengee ghorofa ya kisasa bure,!!! Hii inaingia akilini hii ni changa la macho, kuna mkakati bado chini ya kapeti.

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 Před 29 dny +2

    Netanyahu mbona kama muongo muongo

  • @abdulhakimjuma9112
    @abdulhakimjuma9112 Před 28 dny

    Subutu propaganda tu hizo kwani hamasi nimaadui kwa wapalestina wenyewe

  • @thehomeoffootballskills4358

    Enyi mlio amini msiwafanye mayahudi na manaswala kuwa marafiki zenu kwani wao kwa wao ni marafiki

  • @ibba8082
    @ibba8082 Před 28 dny +1

    Yeye Mwenyewe NETANYAHU anategemea Misahada,Kweli Atafanikiwa kufanya hivyo😂

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před 28 dny +1

      What nani kakwambia Hivi Hujui marecani niya myahudi namarahisi wa woote wamarecani niwayahudi Pia Hii Dunia kwasasa anaongoza myahudi ambaye ndyo marecani 😮

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 28 dny +1

      Asilimia 96 ya Wamarekani ni Wayahudi 😅😅 msaada upi Sasa wakati wao ndio wanaingoza technolojia , hujui kitu wew

    • @ibba8082
      @ibba8082 Před 28 dny

      @@annasolomon9855 Bora Uzima,Atakayekuwepo Atasimulia !.ila Rekebisha Hizo Hasilimia Zako Sio 96 ni Wayahudi.NB:Mwaka wa 2021 Walikuwa 7.5 Milioni Sawa na Asilimia 2.5.Matusi Hayajengi !!!

    • @ibba8082
      @ibba8082 Před 28 dny

      @@user-nb6yh2bn9y Kwa Uhakika Upi Ulio nao Wewe Eti Marekani ni yawayahudi Na Maraïs wote Ni Wayahudi Dahh,Vipi OBAMA,TRUMP ni Wayahudi ?

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před 28 dny

      Uko Dunia yangapi wewe muulize Hata Huyo DJ asma uliza ulimwengu mzima utakwambia

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley5632 Před 29 dny

    Hizo ni ndoto za 6 mchana... wanatudanganya kweupeee .. yaan huo wakat ukifika wa Gaza kuwa hivyo bas mfalme wao atakua yahya sinwar na nitapaka ashakua chakula ya funza vitabaki historia mbaya vitendo vyke vya kinyama

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    HABARI MZURI KIVIPI WANAJESHI WA ISRAEL FREE KUINGIA KAMA NCHI YAO SIO HABARI MZURI HIYO😮

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Před 28 dny

    Uwongo na ni propaganda tuu za wa islael

  • @redtk2971
    @redtk2971 Před 29 dny

    GAZA IKIWA IVO TU IYO 2035 WANA GARAGAZWA TENA😂

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db Před 28 dny

    Ikiwa yahudi kasema hivo basi walio msikiliza bongo zao zimenock kabisa.

  • @XIZAAM188
    @XIZAAM188 Před 27 dny

    Washafeli kwenye vita hadi sasa hawajafanikiwa hamas wako kwenye mahandaki watafanikiwa vp?
    hiyo ni ndoto yao ardhi ni ya warabu na inaitwa Palestine hakuna taifa linaloitwa Israel!

  • @mnanasuly2585
    @mnanasuly2585 Před 27 dny

    Israel ni mbwa kabisa

  • @user-pt4jf7lg3z
    @user-pt4jf7lg3z Před 28 dny

    Hamasi ndio watoto wanaowauwa
    Hao wote ni wa Palestini..ni Sawa watanzania wapigwe halafu wakiamua kujibu wanakuwa sio watanzania.

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x Před 29 dny +1

    Netanyau ni noma

    • @kwaleboy6064
      @kwaleboy6064 Před 28 dny +1

      Noma gani mtu anapigwa hadi na nyuki.kitu anafanya ni kuuwa raiya na kubomoa majengo

    • @user-km1dm8et9x
      @user-km1dm8et9x Před 28 dny

      @@kwaleboy6064 kama kuua raia ni rahisi nenda na wew kauwe yani ile ndo kiburi yakua na nguvu

    • @user-km1dm8et9x
      @user-km1dm8et9x Před 28 dny

      @@kwaleboy6064 ulitaka aue nyani au ni kuua binadamu wanaoabudu kivuri cha aisha

    • @kwaleboy6064
      @kwaleboy6064 Před 28 dny +1

      @@user-km1dm8et9x naelewa wewe ni nani .wewe ni pagani anae abudu sanamu kanisani ukiona ni yesu

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 Před 28 dny

      ​@@kwaleboy6064achana nae my

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji Před 28 dny

    Kwa bajeti hiyo wanayosaidiwa na marekani?? Pesa yao ya kula kila mwaka inatokana na kodi za wananchi atafika???akili yake yote ipo kone Land la palestina panga lako na mungu ameshakupangia analotaka yy

  • @Ezeakutelevision
    @Ezeakutelevision Před 29 dny +1

    Wameshindwa kujenga Israeli hivyo

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před 28 dny +1

      Mbona marecani Haija jengwa Kama Dubai lakini ndyo wafarme Hapa Duniani 😏

    • @raymrash
      @raymrash Před 28 dny +2

      Umeshafika Tel Aviv!?

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 28 dny +2

      Israel hawajashindwa Bali asilimia 97 ya nchi hio ni ya makumbusho ya utalii .. na hio ndio inayosababisha kutokubomoa majengo mengi kwa ajili ya kuwaingizia fedha ndefu Sana... Jeresalemu na sehemu zingine Kila mwaka wanaingiza matrilion ya fedha kwa ajili ya nchi nyingi Duniani kuingia pale, kuona YESU alipozaliwa, Yesu alipobatizwa, , Yesu alipofikisha miaka 30 na kuanza kazi rasmi, Yesu alipopita na mahekalu alipokuwa akifundisha , na mengine Mengi..

  • @kafwimbimilambo8556
    @kafwimbimilambo8556 Před 29 dny

    Good news watu wenye kufa saana

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před 29 dny

      Good news hzi utakutana nazo tangu siku unanyofolewa Roho yako na kaburini na mpaka siku ya hesabu utakutana na jamaa zako.

  • @khamisidowany6262
    @khamisidowany6262 Před 29 dny

    Userkm israel aina nguvu.marekan asimpe sapot na nchi nyingne kama ujeruman uone

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před 28 dny +1

      Nisikilize mjomba Hiyo marecani ndyo Israel yenyewe marais woote wamarecani niwayahudi Hata Obama Baba ake mkenya Mama myahudi

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 28 dny +1

      Unaota ndoto za mchana huku ukiwa umekaa kwenye kochi, Marekani ndio haohao Wayahudi kama humjui mjomba 😂😂.. yaani Marekani ukisikia wamegundua chombo Fulani au wamefanya jambo Fulani la kiteknolojia ndio Wayahudi hao na ni wabunifu wa Hali ya juu Sana na pia ndio wamiliki wakubwa wa technology ndio maana wanakibur maana wajua vitu vingi Hadi mabenk makubwa ni Yao.. hata asilimia 95 ya Wamerekani ni Wayahudi kwa taarifa Yako.. , huyu joe Biden anavyowazuga hatutoi silaha Tena kuisaidia Israel anawazuga tu hamna kitu.. Tena mmrekani Moyo wake wote upo hapo Israel asikudanganye mtu😅

  • @missp1814
    @missp1814 Před 28 dny

    Wapalestina wapambanie nchi yao,waisrael sio watu wakiubali tu,itakuwa ndo anguko lao,israel wanaweza watilia sumu au kitu chochote ambacho wakawa idadi yao isiongezeke ili wapotee kwenye dunia hii vizazi vya badae wakasoma kulikuwaga na wapalestine sababu israel ndo inasapply huduma zote muhimu kwa wapalestina...M.mungu awasaidie hamas wapambanie nchi yao mipango ya israel ishindwe

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 29 dny +1

    Bundala unachezea simu hatumsikii Dj sma annapoongea unapiga na makofi kabsa

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před 29 dny +4

      Kumradhi, kulikuwa na disturbance kidogo wakati wa mazungumzo

    • @hemedjackson2261
      @hemedjackson2261 Před 29 dny

      @@SimuliziNaSauti Tuko pamoja👏👏

    • @hemedjackson2261
      @hemedjackson2261 Před 29 dny +2

      Ila kiukweli nafuatilia sana Sns kuliko awali Bundala , Dj sma na Aly Masubi napenda sana kazi yenu.

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před 29 dny

    Sasa Wajenge Gaza Ni Kwao..? Alaf Dunia Ipo Kimya Tu Hvi Leo Hawa Ambao Walipewa Hifadhi Tu Wanapewa Mamlaka Ya Kujenga Katika Nchi Ya Watu Wao Ni Nani

    • @raymrash
      @raymrash Před 28 dny

      Bado Palestine sio huru...kwa hiyo si ajabu ijengwe😂😂😂

    • @abdulhamis9825
      @abdulhamis9825 Před 28 dny

      @@raymrash Palestine Sio Huru Ila Israel Ni Huru..?

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n Před 29 dny

    Mimi nahona urumasana gaza yawatu ilikuwanzuli watoto wanaenda shule wanafulai leoii gaza kama makaz ya mmbwa kokokwe inasktisha watoto wanakulanyas

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 28 dny

      Ugaidi ni mbaya na ndo faida ya kukurupukia kufanya jambo 😂

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 29 dny

    Ss akishawauwa wapalestina awauwe na Iran yote ndio atengeze huo mji man kinyume ya hapo hayo makombora huo ujenz hautokamilika

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před 29 dny

      Mbona umesahau awesome houth yote, Lebanon pia wale wana uchungu wa kumegwa Ardhi yao. Hv hujui kuna kundi kubwa Yemen kutoka sehem u mbali2 wamejitolea tayari.

  • @hajjinyanya
    @hajjinyanya Před 28 dny

    Ikiwa hivyo ndivyo wakimalizana huko waje huku nyumbani waturipuwe kidogo😂! Maana ni mabadiliko ya Miaka 9-10 hadi kufikia 2035! Anyways Free Palestine 🇵🇸

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Před 29 dny

    Chochote kile watakachokifanya Israel hakita futa mauaji ya halaiki ya watu wasiokua na hatia wanayoyafanya hapo Gaza

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 28 dny

      Hamasi walivowaua Israel wasiokuwa na hatia .. Kuna methali inasema akuanzae mmalize! 😅😅😅

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před 28 dny +1

    Ewe bwana mungu embu mchukue uyo nyau Ili Dunia itulie familia zitulie 😢

    • @Awatee
      @Awatee Před 28 dny +1

      ALLAH hajaghafilika na madhwalim anawapa muda tuu

  • @TheBossOdhis
    @TheBossOdhis Před 28 dny +1

    Long live Israel

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 29 dny

    Nihatari kweli. Propaganda imezidi. Yani mtu anaekupiga mabomu 24 masaa anakuambia kua baada ya kukupiga atakujengea hivyo. Wakati hata Israel hawana miji hiyo

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před 28 dny

      Ndio lengo lao wapate ardhi ili wawajee watu wao km walivyofanya ktk eneo lile la mwanzo walilolichukua wamejenga magorofa lakni wanakaa wayahud ndio chanzo hamas kuvamia ila wat hawafatilii wanakua na mihemko tu.

  • @alihamisi8440
    @alihamisi8440 Před 29 dny

    Netanyanhu, Biden na wengine hususa viongozi wa kiarabu wanaowaunga mkono ,wanatakikana wajue kwmba hawawezi kuwaangamiza HAMAS kamwe,na haya si maoni wala maneno yngu,bali mtume Muhammad s.a.w na yeye hadanganyi,ila IZRAEL mwisho wake upo karibu tu.