Dj sma upo vzur unasimamisha ukweli usimame na ndio unachokiongea huwa kinakuja vile vile nakufuatilia sana kweny fues simamia ukweli bro usweke uvungu hata siku moja mungu akubariki na aly masubi pia mungu akubarik bila kusahau sky.
Poleni sana tuko pamoja kwenye maombolezo ya kifo cha Rais tuache vyombo vya usalama vya Iran vitoe taarifa ila zipo sababu za kufanya uchunzi juu ya kifo cha Rais
Do not trust the media. Learn to balance issues. Try to think for yourself, decide(have a conclusion for yourself)for yourself . The world is full of evil. What is true can tell you its a lie and vise versa. 🙏
Hizo siraha zenyewe wanazounda wa iran, ni wa iran, wenye asili ya Israel. iran atafeli, siku zote,, unategemea raisi ajae atakua na misimamo kama huyu aliekufa? Lazima atakua muoga tu.
Acheni ukuma nyie mbuzi mbona magufuli alikufa amkuongea kifo kipo ata wewe utakufa kwan uyu ndo rais wakwanza kufa kwenye mataifa makubwa kama iran? Acheni ushoga nyinyi
taifa la Mungu hata tz ni taifa la Mungu itagemea na uelewa wako wa kuchakata mambo binafsi siamini coz Mungu gani huyo anaruhusu kuua watu wasio kuwa na hitia watoto wadogo wamama na wazee huyo sio Mungu wakweli!
@@sadikathumani1003akuanzae mmalize 😂😂 walianza wao Israel inasafisha! Kwani Kule Israel Hamasi waliua kuku? Waliua raia na watu wasiokuwa na hatia pia.. mama na watoto , wanawake hata wazee.. unapocoment Rudi nyuma ufikir mara mbili, na hao Hamasi ndio waliolianzisha. Israel wakaenda mpaka Asubuhi 😅😅😅😅😅😅😅
Ndani ya serikali ya iran, mabingwa wa technology mbalimbali, Ni wa iran wenye asili ya Israel, mababu zao walihamia miaka mingi sana, ndio maana myahudi anaifahamu vizuri iran, kuliko iran anavoifahamu Israel. Na tukumbuke kua! Mkuu wa majeshi wa Israel, daniel hagar, alisema Israel watalipiza kisasi cha juu! Kwa wakati sahihi, yale mashambulizi walofanya Israel ndani ya iran, ilikua danganya toto tu! Shambulizi lenyewe ni hilo, na bado mengine yanakuja.
Hakuna wasaliti ni ujinga raisi mzima kusafiri Kwa helicopter ya miaka ya 70 huko ,hao watengenezaji wenyewe walishaacha zitumia muda ,Tena unapita kwenye hali mbaya ya hewa ,taifa kubwa lakini hata helicopter za kisasa hakuna
Muda wao kuishi hapa duniani umefika mwisho same to us, muda ukifika tutaondoka pia!! But suspicious zipo kbsaa only time will tell.. poleni sana watu wa Iran, OIC, BRICS, SCO na global south kwa ujumla...
Hii dunia ina shida sanaa ukweli huwa hakuna blabla tu hiyo helicopter sio ndogo hata kuna hali ya hewa mbaya itakujulisha hali ya hewa ni hatari hilo tulijue sawa na baharini utajulishwa hali mbaya .
Innalilahy wainnalilah rajiuun! Mwenyezimungu awajalie kauli thabiti! Poleni Sana Wana Iran wote Mwenyezimungu awasimamie msiba mzito huu, yalitukuta Sisi tuliondokewa na Rais wetu kipenzi cha wengi JPM! Mwenyezimungu awarehemu Marehemu wote awaondolee adhabu ya kaburi! Ameen!
Mwenyezi mungu anajua jambo kabla alijatokea kama kweli binadamu ameusika mwenyezi mungu atalipa
Mungu keshalipa kwa juu ya mauaji ya kunnyonga na kuchinja wairani wenzake, alishazoea kufanya kawaida kaka kugusa pabaya 😂😂
Huyu alie kufa aliuwa watu wengi sana km ni mtu kafanya hifo si mbaya
Allah alipanga kifo chake kiwe ktk ajali .Inalilahi wainailayhirajiun..Allah ampe hatma njema
Amiin
Amina
Hata sisi tunajua Mungu kafanya hivyo
Amiin
Amiin
Mungu awarehemu.
Innaalillahi wainnaa ilayhir Rajioun mwamba mwendo kaumaliza sisi tulio baki kazi iendelee
Jamaa alikua mwamba kwa wazungu
Pumzika kwa amani❤❤
🙌🙌 Siku ikifika ata ulale siku nzima kitandani utasepa 2 😢 kazi ya mungu haina makosa wapumzike kwa amani 🙏🙏🙏
Sky upo vizuri sana nakupa maua yako ww pamoja na dj smaa..
Innalilahi wainna ilahiy rajioun ALLAH awalaze mahala pema peponi Awajaalie pepo ya firdaus
Tuombe dua Mungu ampe hatma njema aendako
Waombee ndungu zako duwa hapo ulipo huja wahii kuwaimbea ndungu zako duwa toka watangulie mbere za haki😂
HATMA njema kwa ukatili wake!!!! Tafuta kazi za kufanya ...achana na comments za kijinga kama hizi!!
@@SarahShao-jw1upukatiri gani alishaa wahi fanya au nichuki zako binafsi2
Ukuwa Kwa upanga wauwawa Kwa upanga @@abdillahiharuna0029
Baada ya Kufa Hukumu hamna cha Dua wala nini
Nimesikitika nakifo charais mungu awape nguvu wana nchi lran
Amiin
Amiiiin🙏
Mungu wa isiraeli achezewi ebrahimu mbabe alitukana taifa la mungu majmbu ndio hayo
@@joellongidare8280kwahiyo wewe mbongo Mungu wako ni yupi inaonekana wewe huna Mungu
@@joellongidare8280kuna mungu wa israeli? Miungu wako wangapi? Acha ushirikina wa kijinga
Roho yangu imeuma sana Kwa president Huyu mungu amlaze mahali pema
Inakuuma nini una undugu nae au ndo ule utumwa wa kifikra wewe ukifa mtu gani kutoka Iran ataumia acha izo fikra
@@ramadhanmahongole9293duh kwer kua uyaone
@@ramadhanmahongole9293 Umetusahau Wabongo kwa shobo za kushobokea Nchi za watu😂😂😂😂😂
Pole sana, una undugu naye?
Mahala pema , nani kakwambia , soma yohana 14:1... , ukiwa nje ya hapo unafikiri utaenda mbingu ipi
Dj sma upo vzur unasimamisha ukweli usimame na ndio unachokiongea huwa kinakuja vile vile nakufuatilia sana kweny fues simamia ukweli bro usweke uvungu hata siku moja mungu akubariki na aly masubi pia mungu akubarik bila kusahau sky.
💯
Bingwa wa Logic
Sns mnaizidi dw wallah..allah awatie nguvu zaidi inshallah
Kaka Sky . Karibu crown media. Uwe mtangazaji
Dotto bwana
Wew unavituko kinyama mzee wa china
Doto magari naomba mawasiliano yako Nina prouduct yangu
@@juliethkatabwa5306 product Gani iyo
😂😂😂
Poleni sana tuko pamoja kwenye maombolezo ya kifo cha Rais tuache vyombo vya usalama vya Iran vitoe taarifa ila zipo sababu za kufanya uchunzi juu ya kifo cha Rais
Mbona mnatoa mawazo ya kufikirika enyi wachambuzi ajali inaweza kumpata mtu yeyote. Tunawapa pole wananchi wa Iran.
Hawa hamna kitu
Pole
@@victaboy7273 umefata nini sasa 😂😂
Sns nawakubali san🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤🙏🙏
Innalillah wainailaih rajioun,,
Sisi niwa mwenyezi mungu nakwake tutarejea,,
SnS mmekua professional sana, nimefurahi kusikia uchambuzi kutoka kwa watu 3 tofauti ukilinganisha na mwanzo.Kudos
Inalillah wainnailayhi rajiuun
Sorry sky naona mnayapa uzito mataifa ya Europe na Asia but Africa mnaisahau congo tunaomba uchambuzi pia🙏
Pole pole naona Millard Ayo ameanza kupotea kwenye rada.
SnS ndiyo kila kitu kwa sasa.
Hii ndiyo shida ya kuwa CHAWA
Yes wameua ua sana wengine na wao wameuawa!!
lnna lillahy wainna illahy rajiun ..mbele yake nyuma yetu!!!
Big up to you guys mmetishaaaa
Mungu wa ibrahimu isacka na yakobo
Utaelewa vizuri iwapo hao panya wenu wamehusika na yakobo hausikani na hawa wenye kuanzisha uhanisi.
Malipo hapahapa islaeli ni taifa la mungu Iran inafadhili hezbola na hammas
Siokweli
Kweli kabisa wanafadhiri magaid
Sio kweli duniya mzima ni ya MUNGU awo waiziraili wanawauwa watu wasio na hatiya
Do not trust the media. Learn to balance issues.
Try to think for yourself, decide(have a conclusion for yourself)for yourself .
The world is full of evil.
What is true can tell you its a lie and vise versa.
🙏
Mashoga wenzenu
Nakubali sana uchambuzi wenu sns.
Inalillahi waina ilayhi rajioun.
Allah amlaze pahala pema kwenye wema.
Amiin ya Rab 🤲
Amiin🤲🤲🤲🤲
Kwa hakika hawekwi wala hatalazwa pema popote mungu atamweka anapostahili kulingana na matendo yake
Jehovah ndiye Mungu
iyo ni luha tu kiyahudi yehova kwa kizungu God kwa kiswahili mungu kwa kiarabu Allah kwaio mungu ni mmoja tu ndo muumbaji wa kilakitu
Usituletee udini apa
Jehovah ni mume wa mama yako
Raisi pia nae ni binadamu anaweza kupatwa na lolote saa yoyote.. na ajali zimeshatokea nyingi sna. Raisi sio Mungu
INNALILLAH WAINNA ILAYHI RAJIUN
Nmeumia sana KIFO Cha baba ibrahim
Very nice guys
Combination yakibabe sana🔥👌
Mungu amlaze mahali pema peponi
Dah 😢
Allah help
Hii mbaya saana unajisifu unajua kutengeneza silaha kalii arafu Haujui kujirinda mwenyewe niaibu ilioje wanakuminya tuu Kama kakuku frani Hivi 😞😞😞
Hizo siraha zenyewe wanazounda wa iran, ni wa iran, wenye asili ya Israel. iran atafeli, siku zote,, unategemea raisi ajae atakua na misimamo kama huyu aliekufa? Lazima atakua muoga tu.
😅
Acheni ukuma nyie mbuzi mbona magufuli alikufa amkuongea kifo kipo ata wewe utakufa kwan uyu ndo rais wakwanza kufa kwenye mataifa makubwa kama iran? Acheni ushoga nyinyi
Daaah!! Nimeumia sana mungu amlaze Mahali pema peponi
Innalilah wainnilah rajiuna
@Henry is a very critical analyst 🔥
Mungu amurehemu, Allah ampe hatma Yake insha'Allah
Dah😢😢😢😢😢
atari sana
Polen Sana kwa kifo cha Rais wa Iran mungu awatangulie katika hich kipnd kigum RIP
Kaka sky uko sawa
Apumzike kwa amani
Mmmmm
Inna ilah waina ilah rajuin
Henry nakukubali sana
Mungu awalaze pahala pema aminnn
,mungu sio boy wako hata unamtuma amweke pema yeye mwenyewe anajua wajibu wake anajua makao ya wauaji yalipo
Ameen
Israel ni Taifa la Mungu
taifa la Mungu hata tz ni taifa la Mungu itagemea na uelewa wako wa kuchakata mambo binafsi siamini coz Mungu gani huyo anaruhusu kuua watu wasio kuwa na hitia watoto wadogo wamama na wazee huyo sio Mungu wakweli!
Atujakataa ni taifa teule la ushoga nauwaji
Kama Israel taifa la mungu ,je taifa lako ni lamajini ?
@@sadikathumani1003akuanzae mmalize 😂😂 walianza wao Israel inasafisha! Kwani Kule Israel Hamasi waliua kuku? Waliua raia na watu wasiokuwa na hatia pia.. mama na watoto , wanawake hata wazee.. unapocoment Rudi nyuma ufikir mara mbili, na hao Hamasi ndio waliolianzisha. Israel wakaenda mpaka Asubuhi 😅😅😅😅😅😅😅
@@annasolomon9855 umejibu kishabiki sana lkn hutumii lojik
Inna lillah waina ilayhi rajiuun
Duuh 🔥🔥🔥🔥
Safi sana hii huwezi kushindana na Israel ukashinda Israel taifa teule la Mungu
Taifa la mashoga
@@bakarirajabu3783 wewe ndio unasema
Munguu gani dajjal au?
Subirini siku zenu zinakaribia
Hilo sahau
Iya Y
Cheza na mungu wa islael
😢😢😢allah awarehem
DJ ASMA ANAUMIA NDANI KWA NDANI KWA NAMNA ALIVYOKUWA ANAMSIFIA HUYU JAMAA NA ULINZI WAKE LAKINI LEO AMEKUWA ASSASSINATED TOO EASY 😢
Innaalilaah
😢😢
Iran wangejua ndani ya vyombo vyao vya ulinzi wanamayaudi wengi wangetulia
Kila jambo baya au zuri ni mungu wachochezi hawakosekani toka enzi za mitume kikubwa kumuombea dua
Inna lillahi wa Inna ilaihi rajiun
Atollah aminey achukue iyo nchi haraka sana
Sns 👊 wachambuz 🔥🔥🔥
Hii ngumu sana aisee
Nakubali sana DJSma ndio ivo ivo mossad wamefanya yao
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂bado unamin mosad wengewe wanamuogopa hizbullah
@@user-wr6uz1rx1okwani hezibollah kafanya nini rafah inaangamizwa kule mbona hawafanyi hivyo
Sijapenda kabisa uchambuzi kupitia simu sauiti haitoki vizuri kwann msikae wote studio kama zaman shida nini bro
Innalillah wainna ilayrajiun
Innalillahi waina illahimu rajiun
innalillahi wa innailayhi rajiun
Innalillah wainna ilayh rajiuun
Sma ni bingwa wa ku read between the lines which wachambuzi wengi bongo hawana hiki kitu Sma ni genius
😮😮😮😮
Inalillahi wainaillay rajium
Ahadi ya mungu na wanadamu ni kifo
Polen sana wairan uchunguz ufanyike
Waangalie vizuri inteligence yao huenda mnawasiliti
Ndani ya serikali ya iran, mabingwa wa technology mbalimbali, Ni wa iran wenye asili ya Israel, mababu zao walihamia miaka mingi sana, ndio maana myahudi anaifahamu vizuri iran, kuliko iran anavoifahamu Israel. Na tukumbuke kua! Mkuu wa majeshi wa Israel, daniel hagar, alisema Israel watalipiza kisasi cha juu! Kwa wakati sahihi, yale mashambulizi walofanya Israel ndani ya iran, ilikua danganya toto tu! Shambulizi lenyewe ni hilo, na bado mengine yanakuja.
Hakuna wasaliti ni ujinga raisi mzima kusafiri Kwa helicopter ya miaka ya 70 huko ,hao watengenezaji wenyewe walishaacha zitumia muda ,Tena unapita kwenye hali mbaya ya hewa ,taifa kubwa lakini hata helicopter za kisasa hakuna
@emma😂😂😂dora7848
@emmadora7848 umeongea katka uharisia kaka
Kweli kabisa
Innalillah wainna ilayh rajioun 😢😢😢
Nimependa Mwinuka kuongezeka 👏👏
Muda wao kuishi hapa duniani umefika mwisho same to us, muda ukifika tutaondoka pia!! But suspicious zipo kbsaa only time will tell.. poleni sana watu wa Iran, OIC, BRICS, SCO na global south kwa ujumla...
Inaa Lilah wainna ilaih Raajiuun
Watu mnaochangia hapa jueni yupo mungu na ndiye unjue kifo cha kila mmoja
INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
+254
Dj sma na mwenzie, honest the way mnavochambua hizi habar, mkipewa kitengo cha upelelez maalum wa kivita, 95% mnaimudu, na itakua mathubut
Rudi shule, kusifia ujinga tu
Innalilah wainnailahi Rajiun
Anawezaje kugombana na israel alisahau kama Israel ni nchi ya ahadi au?!
👊✌👍.
Inasikitisha sanaa jmn poleni sanaa ndugu zetu wa iran
Hii dunia ina shida sanaa ukweli huwa hakuna blabla tu hiyo helicopter sio ndogo hata kuna hali ya hewa mbaya itakujulisha hali ya hewa ni hatari hilo tulijue sawa na baharini utajulishwa hali mbaya .
Kwenye Kipindi Hicho Kipya tunaomba uchambuzi wa Kifo cha Magufuli 🫢
Nimesikitika sana kiukweli Allah amlaze mahala pema, nilimkubali sana huru mwamba
Innalilahy wainnalilah rajiuun! Mwenyezimungu awajalie kauli thabiti! Poleni Sana Wana Iran wote Mwenyezimungu awasimamie msiba mzito huu, yalitukuta Sisi tuliondokewa na Rais wetu kipenzi cha wengi JPM! Mwenyezimungu awarehemu Marehemu wote awaondolee adhabu ya kaburi! Ameen!
Uchambuzi mzuri Sma na Ali
Hairuhusiwi kuruka na parachute?
Munguu ni muweza wa yoteee
Imeniuma sana kama kuna mkono wa mtu mungu atalipa😢