Kifo cha Rais wa Iran, Ebrahim Raisi: Ni Ajali ya kawaida ya Helikopta au kilipangwa? Tunachambua

Sdílet
Vložit

Komentáře • 637

  • @user-fx3sk9kh1s
    @user-fx3sk9kh1s Před 25 dny +22

    Mwenyezi mungu anajua jambo kabla alijatokea kama kweli binadamu ameusika mwenyezi mungu atalipa

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 23 dny

      Mungu keshalipa kwa juu ya mauaji ya kunnyonga na kuchinja wairani wenzake, alishazoea kufanya kawaida kaka kugusa pabaya 😂😂

    • @festokivuyo7121
      @festokivuyo7121 Před 23 dny

      Huyu alie kufa aliuwa watu wengi sana km ni mtu kafanya hifo si mbaya

  • @ggohf7004
    @ggohf7004 Před 25 dny +60

    Allah alipanga kifo chake kiwe ktk ajali .Inalilahi wainailayhirajiun..Allah ampe hatma njema

  • @IsayaMwanyajile-iw8jf
    @IsayaMwanyajile-iw8jf Před 25 dny +11

    Mungu awarehemu.

  • @rabomunde3550
    @rabomunde3550 Před 25 dny +15

    Innaalillahi wainnaa ilayhir Rajioun mwamba mwendo kaumaliza sisi tulio baki kazi iendelee

  • @humoudali530
    @humoudali530 Před 25 dny +11

    Pumzika kwa amani❤❤

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před 25 dny +4

    🙌🙌 Siku ikifika ata ulale siku nzima kitandani utasepa 2 😢 kazi ya mungu haina makosa wapumzike kwa amani 🙏🙏🙏

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před 24 dny +3

    Sky upo vizuri sana nakupa maua yako ww pamoja na dj smaa..

  • @ibrahimthani6685
    @ibrahimthani6685 Před 23 dny +2

    Innalilahi wainna ilahiy rajioun ALLAH awalaze mahala pema peponi Awajaalie pepo ya firdaus

  • @traitorzedon5352
    @traitorzedon5352 Před 25 dny +24

    Tuombe dua Mungu ampe hatma njema aendako

    • @chikusangalala7759
      @chikusangalala7759 Před 25 dny +3

      Waombee ndungu zako duwa hapo ulipo huja wahii kuwaimbea ndungu zako duwa toka watangulie mbere za haki😂

    • @SarahShao-jw1up
      @SarahShao-jw1up Před 25 dny +1

      HATMA njema kwa ukatili wake!!!! Tafuta kazi za kufanya ...achana na comments za kijinga kama hizi!!

    • @abdillahiharuna0029
      @abdillahiharuna0029 Před 25 dny

      ​@@SarahShao-jw1upukatiri gani alishaa wahi fanya au nichuki zako binafsi2

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md Před 25 dny

      ​Ukuwa Kwa upanga wauwawa Kwa upanga ​@@abdillahiharuna0029

    • @user-qy7he6cl8w
      @user-qy7he6cl8w Před 25 dny +2

      Baada ya Kufa Hukumu hamna cha Dua wala nini

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 Před 25 dny +35

    Nimesikitika nakifo charais mungu awape nguvu wana nchi lran

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya Před 25 dny +2

      Amiin

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Před 25 dny +1

      Amiiiin🙏

    • @joellongidare8280
      @joellongidare8280 Před 25 dny +3

      Mungu wa isiraeli achezewi ebrahimu mbabe alitukana taifa la mungu majmbu ndio hayo

    • @fadhilngalanda7520
      @fadhilngalanda7520 Před 24 dny

      ​@@joellongidare8280kwahiyo wewe mbongo Mungu wako ni yupi inaonekana wewe huna Mungu

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 Před 24 dny

      ​@@joellongidare8280kuna mungu wa israeli? Miungu wako wangapi? Acha ushirikina wa kijinga

  • @user-xw5uq4fr8x
    @user-xw5uq4fr8x Před 25 dny +28

    Roho yangu imeuma sana Kwa president Huyu mungu amlaze mahali pema

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před 25 dny +3

      Inakuuma nini una undugu nae au ndo ule utumwa wa kifikra wewe ukifa mtu gani kutoka Iran ataumia acha izo fikra

    • @abdillahiharuna0029
      @abdillahiharuna0029 Před 25 dny

      ​@@ramadhanmahongole9293duh kwer kua uyaone

    • @Official83640
      @Official83640 Před 25 dny +2

      ​@@ramadhanmahongole9293 Umetusahau Wabongo kwa shobo za kushobokea Nchi za watu😂😂😂😂😂

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 Před 25 dny +1

      Pole sana, una undugu naye?

    • @josephmwabange9633
      @josephmwabange9633 Před 25 dny +1

      Mahala pema , nani kakwambia , soma yohana 14:1... , ukiwa nje ya hapo unafikiri utaenda mbingu ipi

  • @user-rt1wf6se5f
    @user-rt1wf6se5f Před 25 dny +9

    Dj sma upo vzur unasimamisha ukweli usimame na ndio unachokiongea huwa kinakuja vile vile nakufuatilia sana kweny fues simamia ukweli bro usweke uvungu hata siku moja mungu akubariki na aly masubi pia mungu akubarik bila kusahau sky.

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 Před 25 dny +2

    Sns mnaizidi dw wallah..allah awatie nguvu zaidi inshallah

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 25 dny +11

    Kaka Sky . Karibu crown media. Uwe mtangazaji

  • @user-ox5jc6oq6s
    @user-ox5jc6oq6s Před 24 dny +1

    Poleni sana tuko pamoja kwenye maombolezo ya kifo cha Rais tuache vyombo vya usalama vya Iran vitoe taarifa ila zipo sababu za kufanya uchunzi juu ya kifo cha Rais

  • @user-tf7sp4qe6t
    @user-tf7sp4qe6t Před 25 dny +10

    Mbona mnatoa mawazo ya kufikirika enyi wachambuzi ajali inaweza kumpata mtu yeyote. Tunawapa pole wananchi wa Iran.

  • @Gerardirankunda2885
    @Gerardirankunda2885 Před 25 dny +16

    Sns nawakubali san🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤🙏🙏

  • @nguyamtwartz5413
    @nguyamtwartz5413 Před 25 dny +4

    Innalillah wainailaih rajioun,,
    Sisi niwa mwenyezi mungu nakwake tutarejea,,

  • @mkorinto7629
    @mkorinto7629 Před 25 dny +4

    SnS mmekua professional sana, nimefurahi kusikia uchambuzi kutoka kwa watu 3 tofauti ukilinganisha na mwanzo.Kudos

  • @halimaramadhan2000
    @halimaramadhan2000 Před 25 dny +6

    Inalillah wainnailayhi rajiuun

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale Před 23 dny +2

    Sorry sky naona mnayapa uzito mataifa ya Europe na Asia but Africa mnaisahau congo tunaomba uchambuzi pia🙏

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 Před 24 dny +1

    Pole pole naona Millard Ayo ameanza kupotea kwenye rada.
    SnS ndiyo kila kitu kwa sasa.
    Hii ndiyo shida ya kuwa CHAWA

  • @FestusJchunya-hc3hv
    @FestusJchunya-hc3hv Před 25 dny +4

    Yes wameua ua sana wengine na wao wameuawa!!

  • @ngokaomary5123
    @ngokaomary5123 Před 25 dny +4

    lnna lillahy wainna illahy rajiun ..mbele yake nyuma yetu!!!

  • @bonifacesauly1909
    @bonifacesauly1909 Před 25 dny

    Big up to you guys mmetishaaaa

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo Před 25 dny +12

    Mungu wa ibrahimu isacka na yakobo

    • @mohamedmanga8391
      @mohamedmanga8391 Před 24 dny +1

      Utaelewa vizuri iwapo hao panya wenu wamehusika na yakobo hausikani na hawa wenye kuanzisha uhanisi.

  • @user-jj3os9bx6m
    @user-jj3os9bx6m Před 25 dny +10

    Malipo hapahapa islaeli ni taifa la mungu Iran inafadhili hezbola na hammas

    • @KalimagiFeruzi
      @KalimagiFeruzi Před 25 dny +1

      Siokweli

    • @gleadchitela4334
      @gleadchitela4334 Před 25 dny

      Kweli kabisa wanafadhiri magaid

    • @user-yn6yu9zl1p
      @user-yn6yu9zl1p Před 25 dny +1

      Sio kweli duniya mzima ni ya MUNGU awo waiziraili wanawauwa watu wasio na hatiya

    • @mohamedally1594
      @mohamedally1594 Před 24 dny

      Do not trust the media. Learn to balance issues.
      Try to think for yourself, decide(have a conclusion for yourself)for yourself .
      The world is full of evil.
      What is true can tell you its a lie and vise versa.
      🙏

    • @mozasultan1676
      @mozasultan1676 Před 24 dny +1

      Mashoga wenzenu

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z Před 25 dny +1

    Nakubali sana uchambuzi wenu sns.

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Před 25 dny +10

    Inalillahi waina ilayhi rajioun.
    Allah amlaze pahala pema kwenye wema.
    Amiin ya Rab 🤲

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya Před 25 dny

      Amiin🤲🤲🤲🤲

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md Před 25 dny

      Kwa hakika hawekwi wala hatalazwa pema popote mungu atamweka anapostahili kulingana na matendo yake

  • @baytom
    @baytom Před 25 dny +4

    Jehovah ndiye Mungu

    • @yohana1242
      @yohana1242 Před 23 dny +1

      iyo ni luha tu kiyahudi yehova kwa kizungu God kwa kiswahili mungu kwa kiarabu Allah kwaio mungu ni mmoja tu ndo muumbaji wa kilakitu

    • @yohana1242
      @yohana1242 Před 23 dny

      Usituletee udini apa

    • @user-qv3rf9mc7g
      @user-qv3rf9mc7g Před 22 dny

      Jehovah ni mume wa mama yako

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f Před 25 dny +6

    Raisi pia nae ni binadamu anaweza kupatwa na lolote saa yoyote.. na ajali zimeshatokea nyingi sna. Raisi sio Mungu

  • @KhamisMohd-sj7ij
    @KhamisMohd-sj7ij Před 24 dny +1

    INNALILLAH WAINNA ILAYHI RAJIUN

  • @saddykambonanaungamkonobas2539

    Nmeumia sana KIFO Cha baba ibrahim

  • @SaidyMwajeka-tr7oj
    @SaidyMwajeka-tr7oj Před 24 dny

    Very nice guys

  • @billskeez92
    @billskeez92 Před 25 dny +1

    Combination yakibabe sana🔥👌

  • @SamweliJacob-bm2ij
    @SamweliJacob-bm2ij Před 23 dny +1

    Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @abdullahchabukila6686
    @abdullahchabukila6686 Před 25 dny

    Dah 😢

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n Před 24 dny +1

    Allah help

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y Před 25 dny +8

    Hii mbaya saana unajisifu unajua kutengeneza silaha kalii arafu Haujui kujirinda mwenyewe niaibu ilioje wanakuminya tuu Kama kakuku frani Hivi 😞😞😞

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před 25 dny +1

      Hizo siraha zenyewe wanazounda wa iran, ni wa iran, wenye asili ya Israel. iran atafeli, siku zote,, unategemea raisi ajae atakua na misimamo kama huyu aliekufa? Lazima atakua muoga tu.

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 Před 25 dny +1

      😅

    • @SamweliJacob-bm2ij
      @SamweliJacob-bm2ij Před 23 dny

      Acheni ukuma nyie mbuzi mbona magufuli alikufa amkuongea kifo kipo ata wewe utakufa kwan uyu ndo rais wakwanza kufa kwenye mataifa makubwa kama iran? Acheni ushoga nyinyi

  • @RaphaelJickson
    @RaphaelJickson Před 24 dny

    Daaah!! Nimeumia sana mungu amlaze Mahali pema peponi

  • @saidgumbo2529
    @saidgumbo2529 Před 22 dny

    Innalilah wainnilah rajiuna

  • @cyriluskaijage4227
    @cyriluskaijage4227 Před 25 dny

    @Henry is a very critical analyst 🔥

  • @johnndegwa67
    @johnndegwa67 Před 24 dny

    Mungu amurehemu, Allah ampe hatma Yake insha'Allah

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Před 23 dny

    Dah😢😢😢😢😢

  • @EmanuelMnubi
    @EmanuelMnubi Před 23 dny

    atari sana

  • @ZabronMarko
    @ZabronMarko Před 21 dnem

    Polen Sana kwa kifo cha Rais wa Iran mungu awatangulie katika hich kipnd kigum RIP

  • @abuuiqrimah1125
    @abuuiqrimah1125 Před 25 dny

    Kaka sky uko sawa

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před 25 dny +2

    Apumzike kwa amani

  • @AMENMUSHI-wt4li
    @AMENMUSHI-wt4li Před 24 dny

    Mmmmm

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před 25 dny +1

    Inna ilah waina ilah rajuin

  • @raymrash
    @raymrash Před 25 dny

    Henry nakukubali sana

  • @Gamba177
    @Gamba177 Před 25 dny +2

    Mungu awalaze pahala pema aminnn

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md Před 25 dny

      ,mungu sio boy wako hata unamtuma amweke pema yeye mwenyewe anajua wajibu wake anajua makao ya wauaji yalipo

  • @user-vd6fu6rv9r
    @user-vd6fu6rv9r Před 25 dny

    Ameen

  • @user-im1jg3rm3t
    @user-im1jg3rm3t Před 25 dny +5

    Israel ni Taifa la Mungu

    • @sadikathumani1003
      @sadikathumani1003 Před 25 dny

      taifa la Mungu hata tz ni taifa la Mungu itagemea na uelewa wako wa kuchakata mambo binafsi siamini coz Mungu gani huyo anaruhusu kuua watu wasio kuwa na hitia watoto wadogo wamama na wazee huyo sio Mungu wakweli!

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 Před 25 dny

      Atujakataa ni taifa teule la ushoga nauwaji

    • @salimshirr5561
      @salimshirr5561 Před 25 dny

      Kama Israel taifa la mungu ,je taifa lako ni lamajini ?

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 25 dny

      ​@@sadikathumani1003akuanzae mmalize 😂😂 walianza wao Israel inasafisha! Kwani Kule Israel Hamasi waliua kuku? Waliua raia na watu wasiokuwa na hatia pia.. mama na watoto , wanawake hata wazee.. unapocoment Rudi nyuma ufikir mara mbili, na hao Hamasi ndio waliolianzisha. Israel wakaenda mpaka Asubuhi 😅😅😅😅😅😅😅

    • @sadikathumani1003
      @sadikathumani1003 Před 25 dny

      @@annasolomon9855 umejibu kishabiki sana lkn hutumii lojik

  • @user-vs7vv7xd2f
    @user-vs7vv7xd2f Před 25 dny +2

    Inna lillah waina ilayhi rajiuun

  • @chachajulius4481
    @chachajulius4481 Před 25 dny

    Duuh 🔥🔥🔥🔥

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw Před 25 dny +5

    Safi sana hii huwezi kushindana na Israel ukashinda Israel taifa teule la Mungu

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 Před 24 dny

    Iya Y

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo Před 25 dny +4

    Cheza na mungu wa islael

  • @user-lt9yx2mh9k
    @user-lt9yx2mh9k Před 25 dny +7

    😢😢😢allah awarehem

  • @SAM_163
    @SAM_163 Před 24 dny +1

    DJ ASMA ANAUMIA NDANI KWA NDANI KWA NAMNA ALIVYOKUWA ANAMSIFIA HUYU JAMAA NA ULINZI WAKE LAKINI LEO AMEKUWA ASSASSINATED TOO EASY 😢

  • @allymohammedfundi584
    @allymohammedfundi584 Před 25 dny +1

    Innaalilaah

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 Před 25 dny

    😢😢

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 Před 25 dny +9

    Iran wangejua ndani ya vyombo vyao vya ulinzi wanamayaudi wengi wangetulia

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před 25 dny +3

    Kila jambo baya au zuri ni mungu wachochezi hawakosekani toka enzi za mitume kikubwa kumuombea dua

  • @SwidikiKabemba
    @SwidikiKabemba Před 24 dny

    Inna lillahi wa Inna ilaihi rajiun

  • @fadhilisule
    @fadhilisule Před 25 dny +1

    Atollah aminey achukue iyo nchi haraka sana

  • @EmmanuelSima-qz1gd
    @EmmanuelSima-qz1gd Před 25 dny +3

    Sns 👊 wachambuz 🔥🔥🔥

  • @sautisevarino1656
    @sautisevarino1656 Před 25 dny +2

    Hii ngumu sana aisee

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr Před 25 dny +10

    Nakubali sana DJSma ndio ivo ivo mossad wamefanya yao

    • @BenardZephaniah
      @BenardZephaniah Před 25 dny

      😂😂😂😂😂

    • @user-wr6uz1rx1o
      @user-wr6uz1rx1o Před 25 dny

      😂😂😂😂bado unamin mosad wengewe wanamuogopa hizbullah

    • @user-io8hn1jb4d
      @user-io8hn1jb4d Před 25 dny

      ​@@user-wr6uz1rx1okwani hezibollah kafanya nini rafah inaangamizwa kule mbona hawafanyi hivyo

  • @mtemiwantobo2967
    @mtemiwantobo2967 Před 23 dny

    Sijapenda kabisa uchambuzi kupitia simu sauiti haitoki vizuri kwann msikae wote studio kama zaman shida nini bro

  • @abdulrahimali2639
    @abdulrahimali2639 Před 25 dny

    Innalillah wainna ilayrajiun

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 Před 25 dny +1

    Innalillahi waina illahimu rajiun

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Před 25 dny

    innalillahi wa innailayhi rajiun

  • @rahmahassan7510
    @rahmahassan7510 Před 25 dny +1

    Innalillah wainna ilayh rajiuun

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 Před 24 dny

    Sma ni bingwa wa ku read between the lines which wachambuzi wengi bongo hawana hiki kitu Sma ni genius

  • @amosstimamaroba1054
    @amosstimamaroba1054 Před 25 dny

    😮😮😮😮

  • @user-is7pj2fb4u
    @user-is7pj2fb4u Před 25 dny

    Inalillahi wainaillay rajium

  • @user-jj3os9bx6m
    @user-jj3os9bx6m Před 25 dny +1

    Ahadi ya mungu na wanadamu ni kifo

  • @user-xc6ls9xn8h
    @user-xc6ls9xn8h Před 25 dny

    Polen sana wairan uchunguz ufanyike

  • @awatifsubeit4007
    @awatifsubeit4007 Před 25 dny +4

    Waangalie vizuri inteligence yao huenda mnawasiliti

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před 25 dny

      Ndani ya serikali ya iran, mabingwa wa technology mbalimbali, Ni wa iran wenye asili ya Israel, mababu zao walihamia miaka mingi sana, ndio maana myahudi anaifahamu vizuri iran, kuliko iran anavoifahamu Israel. Na tukumbuke kua! Mkuu wa majeshi wa Israel, daniel hagar, alisema Israel watalipiza kisasi cha juu! Kwa wakati sahihi, yale mashambulizi walofanya Israel ndani ya iran, ilikua danganya toto tu! Shambulizi lenyewe ni hilo, na bado mengine yanakuja.

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 25 dny

      Hakuna wasaliti ni ujinga raisi mzima kusafiri Kwa helicopter ya miaka ya 70 huko ,hao watengenezaji wenyewe walishaacha zitumia muda ,Tena unapita kwenye hali mbaya ya hewa ,taifa kubwa lakini hata helicopter za kisasa hakuna

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 25 dny

      ​@emma😂😂😂dora7848

    • @Rey_D669
      @Rey_D669 Před 25 dny +1

      @emmadora7848 umeongea katka uharisia kaka

    • @hamidamussa-sy4fm
      @hamidamussa-sy4fm Před 24 dny

      Kweli kabisa

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 Před 25 dny

    Innalillah wainna ilayh rajioun 😢😢😢

  • @mataluemmanuel4658
    @mataluemmanuel4658 Před 25 dny

    Nimependa Mwinuka kuongezeka 👏👏

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před 25 dny +2

    Muda wao kuishi hapa duniani umefika mwisho same to us, muda ukifika tutaondoka pia!! But suspicious zipo kbsaa only time will tell.. poleni sana watu wa Iran, OIC, BRICS, SCO na global south kwa ujumla...

  • @khamisjumazume8477
    @khamisjumazume8477 Před 25 dny

    Inaa Lilah wainna ilaih Raajiuun

  • @user-is7pj2fb4u
    @user-is7pj2fb4u Před 25 dny

    Watu mnaochangia hapa jueni yupo mungu na ndiye unjue kifo cha kila mmoja

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 Před 25 dny +1

    INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    +254

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před 25 dny +1

    Dj sma na mwenzie, honest the way mnavochambua hizi habar, mkipewa kitengo cha upelelez maalum wa kivita, 95% mnaimudu, na itakua mathubut

    • @JeanMalilo
      @JeanMalilo Před 25 dny

      Rudi shule, kusifia ujinga tu

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před 25 dny +1

    Innalilah wainnailahi Rajiun

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 24 dny +1

    Anawezaje kugombana na israel alisahau kama Israel ni nchi ya ahadi au?!

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 25 dny

    👊✌👍.

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 25 dny

    Inasikitisha sanaa jmn poleni sanaa ndugu zetu wa iran

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 25 dny +3

    Hii dunia ina shida sanaa ukweli huwa hakuna blabla tu hiyo helicopter sio ndogo hata kuna hali ya hewa mbaya itakujulisha hali ya hewa ni hatari hilo tulijue sawa na baharini utajulishwa hali mbaya .

  • @hamphr3y405
    @hamphr3y405 Před 21 dnem +1

    Kwenye Kipindi Hicho Kipya tunaomba uchambuzi wa Kifo cha Magufuli 🫢

  • @user-io3qu5zs8m
    @user-io3qu5zs8m Před 25 dny +2

    Nimesikitika sana kiukweli Allah amlaze mahala pema, nilimkubali sana huru mwamba

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 25 dny

    Innalilahy wainnalilah rajiuun! Mwenyezimungu awajalie kauli thabiti! Poleni Sana Wana Iran wote Mwenyezimungu awasimamie msiba mzito huu, yalitukuta Sisi tuliondokewa na Rais wetu kipenzi cha wengi JPM! Mwenyezimungu awarehemu Marehemu wote awaondolee adhabu ya kaburi! Ameen!

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 Před 24 dny

    Uchambuzi mzuri Sma na Ali

  • @Issaibrahim-cu1jl
    @Issaibrahim-cu1jl Před 25 dny +2

    Hairuhusiwi kuruka na parachute?

  • @iddikibwana9185
    @iddikibwana9185 Před 24 dny

    Munguu ni muweza wa yoteee

  • @jacobmathew475
    @jacobmathew475 Před 25 dny

    Imeniuma sana kama kuna mkono wa mtu mungu atalipa😢