Huyu dada mzuri afu ana nizamu, ingekuwa Mwingine angekuwa anamshibokea mond but kwa yeye she's so mute mond ndo anasema kwa mazuri yake MashaAllah❤❤❤❤@@FaudhiaMiduma-hh6sv
Huyu ni mstaarabu sana na hashoboki na hana tamaa, angeamua kutumia nyota yake basi wakati anatajwa tajwa angejionyesha tu toka zamani kwamba yeye ndio sara mwenyewe, hujiulizi mpaka leo ameamua kumtangaza Dai mwenyewe.
Safi Sana baki hivyo wewe Mzuri tena Tamba ulipendwa kihalali kwanza hujui kujipendekeza ingekua mwingine tungekuona Kila Show ya Mondi haki unajiheshimu Kongole kwako ❤❤🔥🔥🌷🌷🌷🙏🙏
Zuchu anatakiwa kujua mchango w Sarah ndo maana Nassibu sasa hivi ndio Diamond ambae nae amempenda akiwa diamond Kwa hiyo zuchu aache ubinafsi. Sara ameshiriki kumould Nassibu Kwa hiyo arudishe mabeg yake tu labda kingine
I love you Sarah!Napenda ustaarabu wako,upole na ukarimu wako.kwa kwel uko tofauti kabisa na wanawake zake diamond wote alio tembea nao.ww ni mwanamke mwenye stara.
Sara yuko vzuri hashoboki alafu yuko natural sana hajajichubua na pia hana lile tako la kuchua kama wengine 😂😂😂😂 hata maneno yake yamejipangilia hajishetui.
Mond Nani nyie ni mzalilishaji tu wa wanaweke nandiomaana mpaka Léo ajaoa na amebakiza miaka michache kuiaga Dunia najua Ina uma na vigumu kuamini Rip Diamond
Sarah alipendwa kihalali lakini zuchu anamroga diamond ndio mana diamond anapelekeshwa na zuchu naona zuchu amekua ndio boss diamond amekua ni mfanyakazi si marogo hayo yanaonesha wazi😊😊😊
Sasa si warudiane jmn lbd walipangiwa wao kuoana jmn ila pua ya sarah jmn😅au mm naiona mwnyew duu maana kama mond alimpenda uyu kuliko yan wote wema,,tanasha akina zari na n.k why uyu sarah mpk leo anamuongea kuna kitu bado wanacho
@@SharifaOmary-ui8vs watu wngne ovyo uyo MUNGU unaemtaja apa kafkaje CZcams uwege na akili Anza wewe kumuuliza kwann umekupa kichwa kikubwa Kama gesi unatumia jina lake kwenye upuuzi wa mitandaoni mfyuuu
Il va la chercher alors qu'elle lui avait dit qu'elle partait parcequ'il n'y avait plus d'argent ; Quand une femme dit ça l'homme n'aura plus le courage d'aller te chercher car vous l'avez abandonné au pire moment ; Avec ou sans elle Diamond allait réussir car c'était son destin et c'était écrit et Dieu avait voulu que Diamond passe par ce chemin.....
Team sarah tukutane hapa jamani hii ocoun ya inster mbona haiji❤❤
Yuko privet nmempata😂
Tupo
Tupo,namufurai kweli
Niko hapaaa
Anatumia jina lipi
Very shy, very elegantly pretty, very natural looking best of luck girl na jamii ikuzidishie neema kwa unyenyekevu ulojaliwq.
Ki ukweli dada uko vizuri ingawa cjui kiwango Cha elimu ,unajiamini,uwezo mkubwa wa kujieleza hivo.big up sana.
Kbx dada anakutajaga san diamond alikupendag kweli🎉
Kelele Moja kwa sarah akeeee nimekupenda Bure madam Sarah
Namim pia nimemupend huyo dada
Mrembo simple Amefanana na shamsa ford
Hata sauti
Kwel
Huyu dada mzuri afu ana nizamu, ingekuwa Mwingine angekuwa anamshibokea mond but kwa yeye she's so mute mond ndo anasema kwa mazuri yake MashaAllah❤❤❤❤@@FaudhiaMiduma-hh6sv
Au lina sanga
@@user-pw2sw1sk1b sana vijirangi vyao vizuri mashallah
Toa iyo davin king eka sara kamwambie....
Yaaaani huyu Dada hata hatumii nguvu nyingi...very simple elegant classy gal
Mwelewa sana
Kumbe huyu dada ndo alimwimba hata UKIMWONA ❤
Maisha safari ndefu sana tena isio eleweka dada tumia nyota yako alio isafisha dai tafuta wataalamu wakupe mikakati diamond amesha kupeleka mjini
Imani zetu noma sana.
@@malikeyndotopopote😂😂😂😂😂
Huyu ni mstaarabu sana na hashoboki na hana tamaa, angeamua kutumia nyota yake basi wakati anatajwa tajwa angejionyesha tu toka zamani kwamba yeye ndio sara mwenyewe, hujiulizi mpaka leo ameamua kumtangaza Dai mwenyewe.
Hakuna mtaalam zaid ya Mungu unataka kumpeleka Kwa shetan tena ili apolomoke
Uko sahihi..huyo dada hafanani kabisa na mahusiano anayojisifia..kwanza hakuna anachoambulia
Mbona anafanana na queen darling wife yake😂😂
Zuchu mshamba tu ajiaminu Sara mzuri wew
Mmh unafik tu
Sara anapendwa jomoniii❤comment zote hapa ni MASHA ALLAH 🎉
Moyo wangu mbona unampenda Sara hivi tena nimemuona siku mbili tu❤
mbn ww km mm jmn nimempenda sn
Nimependa bule tu uyu dada jamn
😂😂😂😂
Ana hekima
@@aminaali792nakupenda pia ukipenda ❤😘🫂👋
Safi Sana baki hivyo wewe Mzuri tena Tamba ulipendwa kihalali kwanza hujui kujipendekeza ingekua mwingine tungekuona Kila Show ya Mondi haki unajiheshimu Kongole kwako ❤❤🔥🔥🌷🌷🌷🙏🙏
Alafu ata mond ukimuangali vizuri Bado anampendam
Alitamba pande zake aache kujishaua enzi za wenzie Sasa 😮😮😢
Yea very true
Sasa huyu uzuri wake nn puwa au
Wabongo hamna wanawke wazuri njoo Zanzibar ikiwa huyu mboni ndo alidata kwa sura ile na puwa km ngumiiii hahahahaha
Huyo Dada Ana nidham Sana. Sijuwi Kama Amepata Mume.. 🤲
She is real
Yuko na familia
Diamond chukua chombo hicho Ni wife material Safi,Ni mke waujana wako❤ lovely sana
Naona kama kafafana na queen darlin
Dada anajua kuongea sana bigup sarah
She’s better than all of emm😍❤️
I agree
😂😂😂 Huyu dada anajua kuongea vizuri kwakweli.
Mtangazaji tafadhali jifunze Kwa Miladiayo. Huyu dada kakosa maswali mazuri. Kwani alikuwa yupo vizuri,wazi nk.
Hyu dada apate matunzo ni mzuri sanaa dai amsaidie jamn
mzuri sanaa mashallah 😍
Kwani amekwambia anahitaji msaada??
Acha kiherehere umeambiwa anahitaji msaada? Wewe mwenyewe hapo ulivochunda unahitaji masada kuliko huyo sara
Kakuambia ana shida?
Diamond amsaidie kwa kipi? huku alimuacha mondi kwa kumwambia hawezi kuendelea kuishi na wanaume ambaye hana pesa
Zuchu anatakiwa kujua mchango w Sarah ndo maana Nassibu sasa hivi ndio Diamond ambae nae amempenda akiwa diamond Kwa hiyo zuchu aache ubinafsi. Sara ameshiriki kumould Nassibu Kwa hiyo arudishe mabeg yake tu labda kingine
I love you Sarah!Napenda ustaarabu wako,upole na ukarimu wako.kwa kwel uko tofauti kabisa na wanawake zake diamond wote alio tembea nao.ww ni mwanamke mwenye stara.
Mrudiyane❤
Sara yuko vzuri hashoboki alafu yuko natural sana hajajichubua na pia hana lile tako la kuchua kama wengine 😂😂😂😂 hata maneno yake yamejipangilia hajishetui.
Dah! Yani Mondi anakuosha nyota kwa dakika mbili tu
Chezea mond
Kabisa
Mond Nani nyie ni mzalilishaji tu wa wanaweke nandiomaana mpaka Léo ajaoa na amebakiza miaka michache kuiaga Dunia najua Ina uma na vigumu kuamini Rip Diamond
@@RobathcarlosM2mbadyyAcha kufuru hakuna atakayeishi millennium ni swala la muda tu
Sarah mrembo sema matunzo harafu anaonyesha mstarabu
Kweli kabisa
Hapa mond angeoa tu
Dada kapoa
ANAJIBU vzur maswali
Ila mzuri ni life tu
Yaani huyu nimemfuatilia intavyu zake zote hamjui diamond anamjua Nasibu tu, wadandiaji wengine walikuta tayari alishabadilika kuwa diamond
Usimsahau @wema pia humuita Nasibu na hiki n kitmblisho cha anawake walipendwa na Nasibu bila kumvuta na madawa kama zuchu
Safi sana ❤❤❤❤❤❤❤mke wa Nasibu
Mrembo jamani ❤
Nzuri pia anamzid zuchu ndomana kapt wivu
Mondi siku ukija kuoa kabisa kwa ndoa muoe Sara mzuri mno jamani
Duuuh aisee maisha ni safari ndefu sana
Unaishi kwenye moyo wa nasibu ijapo kilamtu anamaishayke
Nakupendasarawake aise wakwawewe2
Sarah unaakili sana DADA angu sana
Napenda watu wa hivi wana move on na hawana habari na mtu sio mtu mkiachana akiona umejipata tayar anataka kurudi dada jasiri sana
BORA MAISHA YA KAWAIDA YA SMANI KULIKO MAISHA YA RAHA YA KARAHA NA KUDHALILIKA KILA SIKU NA MASHAKA
Huyo mtoto wa mjini alishamalizaga hayo
Sarah ni mrembo
Tena sana
Mtangazaji upo ovyo sana maswali Yana boa
Aisee weumegundua kama kama mimi jamaa fala kweli
Ata sura ya mtangazaji inaboa
Diamond alianza kumtaja sara kitambo sana
Hawa wanawake wa zamani wa simba wote hawana maisha mazuri tabu tupu hta hawakumbuki
Mke mwenye heshima Wa simba
Nimekapenda kabisa
Dada Sara 🎉🎉 Hana makosa,.Zuchu mbona hajiamini
Wewe ukijiamini inatosha
Ungekua wewe ungekubali ?
@AishaAisbinafs ningekufaha-yz3ns
@@AishaAisha-yz3ns binafsi ningekufa, je akimrudia.... Sarah mwenyewe bado single Bora Angela amemilikiwa
Zari alitongozwa Kwa ndege😂❤
Huna pupa maskin dai.akuwezeshe
Ila kufanana na kwin darl
Milard afanye interview ya diamond na sara kama ile ya nenga na nandi alafu booom tukaskia wamerudiana😂
❤❤Sarah nimekupenda bure yaàn
Sarah alipendwa kihalali lakini zuchu anamroga diamond ndio mana diamond anapelekeshwa na zuchu naona zuchu amekua ndio boss diamond amekua ni mfanyakazi si marogo hayo yanaonesha wazi😊😊😊
Ulikuwa unampeleka kwenye hayo marogo
😂😂😂😂
Mtangazaji bure kabisaa hajui kuuliza maswali😅😅
Hawa mioyo yao bado ipo pamoja
Huyu dada nimetokea kumpenda ni mkimya and mtulivu kwa majibu
Wanawake waliyo mfa diamond ni 2 tu, huyu apa Sarah na zarina Hassan tu.
Ahsante sana mtangazaji...una iq kubwa unatamani tujue kitu
Mstarab san huy Dada
Sasa si warudiane jmn lbd walipangiwa wao kuoana jmn ila pua ya sarah jmn😅au mm naiona mwnyew duu maana kama mond alimpenda uyu kuliko yan wote wema,,tanasha akina zari na n.k why uyu sarah mpk leo anamuongea kuna kitu bado wanacho
Pua lasara kama langu
Muulize Mungu
@@SharifaOmary-ui8vs watu wngne ovyo uyo MUNGU unaemtaja apa kafkaje CZcams uwege na akili Anza wewe kumuuliza kwann umekupa kichwa kikubwa Kama gesi unatumia jina lake kwenye upuuzi wa mitandaoni mfyuuu
😅 yani pua kama yangu utafikiri tumezaliwa mapacha
😂😂😂😂hongereni mapacha wa3
Nimempenda Sara
Sarah hata ugekuwa mkumbwa inawahusu Nini, ukiritiba utaisha lini,washamba
namwona shamsa ford
Yan Wanafanana mnoooo
Macho yko yameona kama mm
Kabisa kabisa yani😅
Wow huyo ndio Sarah
zuchu bana Yan unaacha kupat wivu kwa wazaz wenzak wanaukuj had nyumban kwak unapata wasiwasi.... kwa huyu ambae kamuita stejini tu
Kaona anatajwa kila interview, nilimpenda sarah bado nampenda,kamwambie niliimba kwa ajilieyake, 😂sasa anaona sarah akitoa tu nafasi kaisha
Next sacrifice in FM
❤❤ 3:26 nimekupenda dada mtimuwe huyo zuchu anayejishauwa sana
Ana fanana na kwini dalini to
Sara mzr kwa yuko mbali na dai...lkn akiwa pamoja atakua na matatizo...leo mzr kesho mbaya
TATIZO SARAH NI WA KIENYEJI NDIO MAANA HANA MAMBO MENGI
Waandishi wa miaka hii ni mtihani wallah, though ayo ni maisha ya zamani ila mnavyofanya sasa waandishi nyie doh
Sarah mwenzangu sasa😂😂
Zuchu mzuri huyu Sarah ana jipua kubwa kama la Baba levo
Jamani yamekua hayo tena
Yaan zamani raha mwanaume anakutongoza unamzungushaaa weeeee lakini sasa hv mmmh wanaume wanatogozwa waooo fasta yaan dakika tu hatar na nusu😂😂😂😂
Ila huyu Dada mkono yake mikubwa sana
Sara anakitu mwilini sana
Wakwanzaaaa
Naomba like 😂😂😂😂😂
Kaile hiyi😂😂
She is so pretty
Hhhhhh Nyie huko kwa Mama Samia hamna dogo kbs!!
Wanao taka kumjua rafiki yake mondi makitonto tujuane kwa like hapa
So this is crazy mas crazy so all these years he didn't look for this woman…. His Sarah.😂. The public amaze me😮
Hiyo miwani No
Il va la chercher alors qu'elle lui avait dit qu'elle partait parcequ'il n'y avait plus d'argent ; Quand une femme dit ça l'homme n'aura plus le courage d'aller te chercher car vous l'avez abandonné au pire moment ;
Avec ou sans elle Diamond allait réussir car c'était son destin et c'était écrit et Dieu avait voulu que Diamond passe par ce chemin.....
Kumekucha😂😂😂😂
Hunahekima sana unamajivuno
Ghafla ushkuw Maarufu Sarah
Mtangazaj hujui maswal yanajirudia
Sarah mbona kama anaujauzito🤔
Duuu
Watanzania hawana shughuli
Kaka mtunze huu mdada
Vi online tv bhana ,,sa ndo nn
Mmbaya
❤❤❤
Fanyen murdiane bhn saraa nimekupenda una mambo mengi màsikin
Huyu ni mzuri kushinda zuchu. Ana kiuno, ni mashalah guu we. Huyu akiwekwa ndani ni mzuri
Kumbe anakithethe
kwa bibi yake tenaaa!??si ameolewa n yuko na familia yake
Kasema tayari kuwa Ana kwake
Hajaolewa,alikuwa na mtu wakaachana ila ni mama wa mtoto mmoja
❤
Heee imekua nongwa
Kama mzito kujieleza
Huu ndo wakati wa kutangaza biashara yako ikasonga dada
😂😂😂
Haaaahaaa
Siyo mukubwa ni maisha Ndio Ina Inamufanya ivo
Kabsa