Sarah kafanana na mama dangote Mara QUEEN Darleen 😍😍 ao ni mimi 🥰? Mwanaume hua anapenda mwanamke anae kua na mfanano na mama ao dada ake kwa sura ao tabia.
Mm nlmpenda mdada wa kwanza anaitwa warda khamis ila dini zetu zilitofautiana wazazi wake walikataa mahusiano yetu dash....warda hujatoka moyoni mwangu poa lkn
hata mm mwanamke wa kwanza kumpenda alikuwa anaitwa Sarah alikuwa akiishi na bibi yake nyangoye bukoba way back zaid ya miaka 24 sasa sijawahi kumtia machoni
MDADA HANA MAMBO MENGI ANAONGEA FACT SHE'S VERY HUMBLE,AND NATURAL SKIN
She is very clever and smart in talking❤❤
Masha allah Sara mzuri kuanzia sura mpaka umbo ukweli ni huo
Angemuowa mwanamke mzuri mashallah
Very intelligent woman - from Uswahilini ... Yn huyu ndio mke Alitakiwa ' ... Mwanamke wa kazi
Sarah maashallah. as among the Tanzania 🇹🇿 beauty. maashallah ❤
I respect this woman sooooo much. Diamond, don't disappoint me, my guy.
She resembles Miss Trudy from Kenya
Huyo kweli wake WA kitambo maana anamzunguzia nasibu si diamond naupenda kumuitaji LA kihasili mashallah nimekupenda an sara
Anaongea vizuri sana sarah❤
Saafi Mond umeleta Dadaetu sara mjini 👊
Sarah anajikubali sana hatumii Mikorogo ya kishenzi mfn mekap
Anatumia vipodozi kiasi. Hakuwa hivo. Sio kujikoboa kama wadada wa siku hiz
Tafuta picha zake vzr Kuna Moja Yuko na diamond wamekumbatiana kwa stage alafu kwnye miguu anajichubua japo sio sana
Anaongea fact hana mambo mengi ❤
Daaaah! Wanangu mmepita mule muleee! Kiukwl sauti ya huyu dada hata mm inanivutia sanaaaaa! Anasauti ya mahaba Sana!
😂😂😂😂 ila wanaume nini mnataka
@@eshialabonita7736😂😂😂😂😂Hawaeleweki kabisa wanachotaka
Ila anasauti ya kimamlaka , angeenda na huyu naona labda asingekuwa huku , jaman MWANAMKE anayesema WANAWAKE zake jaman ANYWAY ALL THE BEST DEAR SARA
Mke wa boss
Sara ana sauti kama Gigy ❤
Dada anajibu vzuri hajataka kujiproud sana big up sana.
Nani amegundua huyu dada anasauti kdg inafanana na aunt Ezekiel
Au rose ndauka
Hata mie nilifananisha na ya aunt Ezekiel
Gigy money usisahau hapo😂😂😂😂😂
Na gigy
gigi
Ogopa dem mwenye sauti kama hii, wanajua mapenzi
Hii ni kweli kabisa kaka😂😂😂
Heheheeee
😂😂saut kama ya gig
@@nancyg8664 kabisa
Kumbe ndio maana diamond amekwama kwa zuchu maana na yeye zuchu ana sauti nzito kavu ndio maana simba anasema mambo anayopewa na zuchu ni balaa
Sema uyu sara yupo poah san afuu ana saut nzuri masha Allah ♥️
kwa alivyoongea huyu dada kama kuna ka ukweli vile maana hamumunyi maneno,,kasema adi fav food yake
Aamin
She’s very beautiful
She has no make up
True
Sara yupo natural ana mambo mengii yaani yupo na uzuri asilia ..
Kweli kabisa
Hana siyo ana…
Huyu jamaa akitaka kusafisha nyota yako ni sekunde Tu... Hata kama ni uongo, tayari Sarah kawa Star ⭐🤣
Ndio Cha msingi aanze kulinga asipatikane mala Kwa mala
@@user-yu3mf6em1v Kabisa..asiwe mbele ya camera Kila saa.
😂😂😂
Una uhakk gani kama atakua star acha kukalili maisha aisee dah wabongo bn
@@user-yu3mf6em1vkwaio akisharinga ndio nini?acheni ushamba wa bongo
Wow so nice🇿🇦🇧🇮
Nimempenda dada...Hana mambo mob ana sauti nzuri ❤❤
Bila Shaka hii n vita kubwa Sarah na mondi plus zuchu 😅
nime ipenda bala love munch somba❤❤🎉
Kiufupi ulikua una msuport for everything 💞🎉❤
Safi Sana mama , very beautiful watching from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️one love Sarah 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👌
Na kamaulaya anako 😂😂😂😂😂
Mm mwanamke wang wa kwanza kumpenda alikuwa anaitwa halima abass❤❤ ,,,. Napenda mpka leo Mpk kiyama ingawa sasa na family teyar
Move on saii
hongera
Sema anajuwasana kuongea
Dah kweli ktk maisha yk kuna mtu muhimu unaempenda..
Sara start mana ilikua hatumjui
Wajina yuko bomba mpaka sauti🙏🙏🙏🙏♥️♥️🔥🔥🔥😊
MZULI MASHALLAH ANA TAKO ANA MDOMO WA KUNYONYA KAMA WADAIMOND
Bonge la totolito kama mimi❤
ukweli mzuri lkn
Sara uko cute
Me napenda anavyotembea Wallah.
Very beautiful even after having babies!
SAFI SANA SIFA NYINGI LAZIMA UMSIFIE MME WA KWANZA BWANA
Ngoja nikitoa namm Kuna kiumbe kilinitesa Sana
ndyo mm au😂
😂😂😂
😂😂😂😂
Mno
😂😂😂😂
Dada nimekukubali cjaskia skalele safi daah wengine sasa
🥰🥰
Sarah kafanana na mama dangote Mara QUEEN Darleen 😍😍 ao ni mimi 🥰? Mwanaume hua anapenda mwanamke anae kua na mfanano na mama ao dada ake kwa sura ao tabia.
In short amkuwa na focus😂😂
But this Sara is a mature lady nimempenda
Safi sana sara
😊
❤❤
Oooh Masha Allah mpenzi wangu wakwanza duh Swaibath na sijui yuko wapi kwakweli miaka 13 sasa
Kashasafishwa nyota Sara
Huyu msenge Toka zaman anakula mapini, hii inaonekana ilikuwa Mali kbx
Akupe hela
Mi wangu alikuwa Doris aseee
Duuh Sarah ndio angefaa kuwa mke halali wa Simba maana kwanza so beautiful ❤️ anajiamin Hana mambo mengi
Nimempenda mno hana mambo mengi
Wa kwanz hawa
Dada tayari kawa star⭐️⭐️
Sis wanaume tunapenda mara moja tu
Ni mzuri lakin hamzidi MKE wangu awee MKE wangu mzuri sana
😂😂😂😂😂😂
Mbn unajihami😅
😂😂😂
Hatumjui
Nimeipenda iyo ❤
Uyu Sarah cjakia ata sehem moja akimuita diamond ni nassibu nassibu tu
Hiyo ndo bond Wala sio diamond, diamond ni msanii, nasibu ndo mwenyew sasa
Sababu anamjua kweli kweli kabla ya kuwa staa
Yan kwel kabsa Anaonesha anamjuaa kinyamA aisee Ametisha kinoma Noma
Hadi rahaaa❤❤❤
Safi sana Dada unajua kuongea kwa Heshima dhidi ya X
Acha utani bi salaha chuma kweli kweli.Nassib ebu mfanyie cha maana.Umetokanaye mbali❤❤❤
Hajaida daimond kaita nasibu tu mpka mwisho huyu kweli ni mke halali
Umenena mana mwanamke akimpenda mwanaume lazima atamuita kwa jina lake
Original sio fake
Mm nlmpenda mdada wa kwanza anaitwa warda khamis ila dini zetu zilitofautiana wazazi wake walikataa mahusiano yetu dash....warda hujatoka moyoni mwangu poa lkn
Na Mimi Mwanamke wangu wa kwanza kumpenda...Neema!!!!!
Huyo Mchagga angekuuwa😂.. bora mliachana
@@vinny.morales kweli kabisa 😀😀😀😀😀🤔
😂😂😂😂mshaanza😅😅
Mie anaitwa zawadi akanikimbia😂😂😂
Mimi anaitw Giles?
Sarah Sudi Lino mtoto wa manzese.
Dai noma
huyu sarah sauti yake ni nzuri anaeza imba vizuri
Sana sauti ya zege
Only Nassibu not diamond safi sana
Huyo ni wa nasib leo
Huyu dada kweli ni yeye kama ana muita nasibu na sio diamond basi ni yeye
Nilikuwa bitszii😂😂😂😊
Nenda kamwambie😂😂
Nasibu nasibuuuuuu😅😅😅😅😅😅😅
mzuri zaidi hiyo pua😂
Uyu Sara ni mzuri kama angekua na pesa ana umbo zuri anasura nzury ana nywele yani ni mzury
uongoo
Duuh🤣👍🏽
kweli so mkubwa
Kwa hio huyu WA kwanza WA 2 ni Hawa nitarejea 🤔
Huyu anamjua naseebu hamjui diamond safi sana 😂😂
❤🎉❤
Eeeh jaman mkononi ana maokoto hatar hahaha😅😅😅
Mm bado kuna comment natafuta
Jina lake la instagram nani?? 😅😅😅
Sauti nzur jmn
"Anapitiwa" noted
ana sauti ya makelele huyo
hata mm mwanamke wa kwanza kumpenda alikuwa anaitwa Sarah alikuwa akiishi na bibi yake nyangoye bukoba way back zaid ya miaka 24 sasa sijawahi kumtia machoni
Someone to explain in English please
Watu pekee Tz wakikutambua unakuwa star ni Mama samia na Diamond
Duuu wakina Chama, Aziz kii na Bakharesa nao wametambuliwa na hao watu wenu.
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Pesa ndo kitu cha kwanza kukupa umarufu
Mmmh
Sauti kama mama dangote
Dada mzur
Nimependa alivyoongea
Jaman akiona zuchu atazimua😊
Jesica Manji 😁
Demu wangu wa kwanza kabisa anaitwa Sarah,ni mwalimu kwasasa,yupo Bunju😢😢😢namkumbuka
Kwahiyo unataka tukupe tuzo ya aliyekuzindua
Kamfate SI unajua alipo😂😂
Huyu tayari kawa staa
Nae mtu 😂