PART4.MREMBO AFICHUA MASHARTI MAGUMU YA UTAJIRI,MALI NA PESA NIMEPATA KWA MAUMIVU MAKALI ILA...

Sdílet
Vložit

Komentáře • 121

  • @angle3600
    @angle3600 Před měsícem +20

    Kumbe ni wengi wanao ishi na nyoka ,Yarabi Wewe ni tajiri wa kila kitu,ulivyo niumba kila kitu wakiweza,naomba unipe riziki iliyo ya haki,itokanayo na kazi ya mikono na uzima na afya unaonijalia,na kizazi kitokanacho na tumbo langu kiepushe na haya yote,wewe ulietuumba unauwezo wa kila kitu,Nakupenda sana Mungu

    • @nuhukenny7183
      @nuhukenny7183 Před měsícem

      😂😂😂😂😂😂

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 29 dny

      Na hilo joka labda ni jini

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Před 29 dny

      ​@@trophywilson7211hivi una amini story hizi nizauongo 😂😂😂

    • @MuniraHassann
      @MuniraHassann Před 29 dny

      Uo ni mtihani tuu

    • @ZuhuraBarack
      @ZuhuraBarack Před 11 dny

      Yarabi atunusuru jamani tuwe watu wema mbele yako kama utajiri upatwa hivi wacha nikuitaji kila Mara yarabi alah amiin

  • @gracejohnpallangyo4257
    @gracejohnpallangyo4257 Před měsícem +12

    Jamani huo sio utajiri ila ni mateso. Yesu yupo jamani, njoo kwake atakuweka huru. Mwisho wa hayo yote ni kuangamia. Bora uwe mikononi mwa YESU KRISTO, mche Mungu then fanya kazi kwa bidii. Baraka za Mungu hazina majuto.

  • @arya-star53
    @arya-star53 Před 20 dny +1

    Eeeeh MUNGU turehemu sisi watoto wako hatujui tulitendalo🙏😭, mama huyu hata ufahamu wake ushatekwa kwa akili ya kawaida huwez sema et nataka niendelee kuishi maisha haya haya

  • @BettyJoram-td1jb
    @BettyJoram-td1jb Před 11 dny

    Mungu atusaidie jamn huo ni ushetan kukaa na joka dah

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před měsícem +4

    Yesu wangu waepushe hawa watu

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před měsícem +5

    Tamaa ndio chanzo Mama sio kuzaliwa maskini unaokupa ukatili huo wa kufanya ushetani tamaa hukupa ujasili mwingi. Na wengi huamuwa kuuwa ujambazi nk kisa tamaa

  • @Rasta-ys9lz
    @Rasta-ys9lz Před dnem

    Sasa uyo dada ana umaharufugani yeye na yesu nani maharufu acheujinga nyoka nishetani anaishi na shatani kama hajui

  • @AlfaMtulo
    @AlfaMtulo Před 8 dny

    Shambani fuluu ututajili kwa nchiyetuyaTANZANI
    Hakunagauchawihukowalamashaliti.

  • @user-xo5lq7mw3n
    @user-xo5lq7mw3n Před měsícem +2

    Allah tupe Stara ya Duniani na Akhera🤲Dah!Sio lazima uwe Tajiri kwa kufuga Nyoka?Sasa Maisha gani ya Mtihani?kwan ni lazima tuwe matajiri kwa kufuga nyoka?kesho

  • @EvelynNatasha-yj5vg
    @EvelynNatasha-yj5vg Před měsícem +2

    Jesus is caming soon

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 Před měsícem +2

    Duh kumbe wapo wengi eeh??

  • @salisali3738
    @salisali3738 Před měsícem +2

    Sio umaskini ni IMANI DHAIFU

  • @mercylinekerubo6883
    @mercylinekerubo6883 Před 25 dny

    Umaskini sio ugonjwa jameni Bora ugonjwa ipite mbali Mungu wangu nashkru sana kwa kunifanya nikanyage nyayo zako

  • @Oderabrenda
    @Oderabrenda Před měsícem +2

    Dada yote.ni mateso njoo kwa Mungu

  • @FatumaAmisi
    @FatumaAmisi Před 14 dny

    Jaman kubali haliyako tuache tamaa

  • @Cyrile-yv1er
    @Cyrile-yv1er Před měsícem +1

    Sasa masherti hayo umetajilika bila kusaidia jamaa Yako niutajiri gani? Pole sana Mungu akuwezeshe

  • @phiahofficialtv7140
    @phiahofficialtv7140 Před měsícem +2

    Hii channel ya mganga nyoka

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 Před měsícem +1

    He kumbe wengi wenye Mali wanaishi na nyoka did jamani Mungu turehemu isee so sad

  • @JaneMutuga-xi4jq
    @JaneMutuga-xi4jq Před 6 dny

    Nyoka sasa ilichukuliwa jee na wenyewe?na mtoto wako Ako wapi?na familia wapo salama wote na watoto wako wote wapo salama

  • @khadijab7066
    @khadijab7066 Před 25 dny

    Jamani mama asani kanenepq atari mashallaah

  • @abuqusay8912
    @abuqusay8912 Před 29 dny +1

    😂😂😂😂😂😂😂Mfanyabiashara na mtu anayelala chini ya kofia

  • @user-dy9ht1on7y
    @user-dy9ht1on7y Před měsícem

    😂😂😂😂😂 yani jamani mko wengi kwery dy

  • @arjunmutotowadzaleka
    @arjunmutotowadzaleka Před 20 dny

    Maswali mengee Sana brother

  • @LatiphaSalim
    @LatiphaSalim Před 21 dnem

    We mam upumbavu nani akupe utaji bure utaponza

  • @Zenygoldsuperwoman
    @Zenygoldsuperwoman Před měsícem

    Y'a Allah bora nifishe maskini kuliko kunipa utajiri wa shirki kama hizi
    Innalillah wa inna ilayhi rajiun
    Subhanallah

  • @user-gr6dm6qi6v
    @user-gr6dm6qi6v Před 27 dny

    Duuuh iyi dunia ina siri kubwa ya Allah ongoza waja wako Aamiin. Iyi tena duuuh kali

  • @phiahofficialtv7140
    @phiahofficialtv7140 Před měsícem

    Ndege ndege

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před 27 dny

    Tamaa mbaya ndio maana dini yetu ya kiislam inasema kama unataka uishi bila wasi wasi mwangalie wa chini sio wa juu utakufuru ndio kinachowakuta watu kama huyu mama...Sasa kiko wapi unataka kuwafurahisha binadamu badala umfurahishe mungu...Hope umeshajifunza

  • @RehemaMasalu
    @RehemaMasalu Před 18 dny

    Je, hizo mali alizokuwa nazo zinaendelea kumsaidia au ipoje hiyo?

  • @user-th4xd8cb5t
    @user-th4xd8cb5t Před 21 dnem

    Nani anamjua huyu mama jamani

  • @user-fd8ce8ct2m
    @user-fd8ce8ct2m Před měsícem

    Subuhanallah mtihani kweli ndo Pana faida gani tena jamani

  • @user-fx6hp5wt4r
    @user-fx6hp5wt4r Před 18 dny

    nyinyi n wapuuz mtakufa vibaya ety unachukia umaskini innalillah wainaileh rajiun 😢😢

  • @gastosalehe3658
    @gastosalehe3658 Před měsícem +1

    Mama Hasani.

  • @BrackWolf-el6bt
    @BrackWolf-el6bt Před 22 dny

    Da kweli ngoj namim niend nikachukue mazingir hay

  • @Maria-dg6ik
    @Maria-dg6ik Před měsícem +2

    😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Sasa ivi kula mwanamke Anajitia Anaishi na nyoka bibi mzee sula kama babuni😂

  • @user-kp7cd9ei6j
    @user-kp7cd9ei6j Před měsícem +1

    Meacham ne ni ibuokwasa babuibinafaida ukuzumiliya umasikini dipomungu anakubariki

  • @LucasTimotheo-xw7ik
    @LucasTimotheo-xw7ik Před 23 dny

    Hiyo ni sawa nakumsadiki shetani. Tuacheni mambo hayo. Jamani

  • @ashuranahoda2564
    @ashuranahoda2564 Před 23 dny

    Subuhannallah

  • @LatiphaSalim
    @LatiphaSalim Před 21 dnem

    Hee mshakosa kazi za kufanya kila siku nyoka na mim namiliki chura

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 Před měsícem +2

    Kumbe ni ya kweli haya mauzauza mmmh, Allah nishibishe na iki napata 😢😢

  • @AsnatSaid-zp2kr
    @AsnatSaid-zp2kr Před měsícem

    mmh! bora ugar dagaa kwenye aman..

  • @erickndelwa6975
    @erickndelwa6975 Před 5 dny

    ndio utajiri wa hivyo upo ila hii story imetengenezwa af interviewer mwenyewe yuko hapo bahati mbaya hajui namna ya kupangilia maswali story ndefu ila hamna cha maana

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn7645 Před měsícem

    Jamani Jamani Jamani. Sasa nitanza kuwaangalia Kwa jicho pembeni nikiwakuta Dada Zangu wamepaki magari kwenye hoteli nzuri.

  • @marksafaritz8076
    @marksafaritz8076 Před 27 dny

    Jichanyeni mtapeliwe 😂

  • @user-vz5gv3lo5f
    @user-vz5gv3lo5f Před měsícem +1

    Mimi nirifikiri unazo Mari hizo
    mpaka Sasa

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 Před 25 dny

    Dada ameongeza mpaka mwili walisikika yaarabi

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 23 dny

    Dah kumbe wengi wanaishi na nyoka ili wapate pesa hizi tamaa mbaya sana

  • @ApollinaireBalolage
    @ApollinaireBalolage Před měsícem

    Mungu awalaani

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 Před 23 dny

    ndo mm husema usione mtu tajiri ukadhani inatoka kwa Mungu sio wote wa Mungu

  • @omarikiringo260
    @omarikiringo260 Před měsícem +3

    Acheni ku brand u free Mason tumche mungu hela hizo hazina maana huwezi kusaidia mtu wala sadaka yake haikubaliki. Na kuna siku ya hukumu tuta mjibu nini Allah. Mali ni vitu vya dunia.

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 Před měsícem +1

      😂😂 Awa hawana pesa pomo tu za utapeli anaeweza kupata pesa za ndagu hawezi kujitangaza kuweni sasaivi kunamichezo mingi ya utaftaji

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Před 29 dny

      ​@@jumapiliissa4835hizi media za hovyo hupotosha watu, wana wanatengeneza story za uongo

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před měsícem +1

    Jesus christ

  • @phaustineokitwi7043
    @phaustineokitwi7043 Před 27 dny

    Nduniani mambo ni mengi masaa ndio machache 😢😢

  • @user-fd8ce8ct2m
    @user-fd8ce8ct2m Před měsícem

    Pole kwa majukumu Yako

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před měsícem

    😢😢

  • @user-xo5lq7mw3n
    @user-xo5lq7mw3n Před měsícem +1

    Kesho kwa Allah mtajibu mashitaka, Sasa ni Life gani ya Utumwa?Hawa sasa wanajielezea kama wamefanyiwa Alal badir ya Mbayana,wakaa na nyoka wote wanajieleza kama vichaa

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 29 dny

      Na Muhamadi aliyemsilimisha Shetani na Majini ndiye atajibu wa kwanza

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před 29 dny

    Huyu mama hata hafanani na utajiri, Mmesahau kumfanyia shopping kwanza ya mavazi kabla ya interview ili story ifanane nae 🤗🤗🤣🤣🤣

    • @user-fm8sv6yk3c
      @user-fm8sv6yk3c Před 29 dny +1

      😂😂😂😂😂😂Kuna wengine wamefunikwa hawaoni hilo pesa hata ukipoteza lugha Yake ipo mtu anabaki n vidalili

  • @germainndayishimiye8684
    @germainndayishimiye8684 Před měsícem

    Alajuela awana aibu kusema

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 29 dny

    Anakula nini 😢

  • @baruanikalenga2246
    @baruanikalenga2246 Před měsícem

    Huyo basi ni kinyonga😅😅😅 makubwa jamani munajua kujitrndisha

  • @Zenygoldsuperwoman
    @Zenygoldsuperwoman Před měsícem

    Na hasara kubwa ipo kwawatu wenye kufanya kitu unajuwa ni kosa kwa mola wako
    Fana awuzubillah minazalika

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 Před 29 dny

    Ehh mwingine tena wa 3

  • @user-ge9cp6yn5w
    @user-ge9cp6yn5w Před měsícem +2

    Mtangazaji unaongea sana kushinda yule unalfanyie interview punguza

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Je inakuaje ukisafiri

  • @user-xf9or5cv1d
    @user-xf9or5cv1d Před měsícem

    Nyinyi waongo hayo mnayo sema ni ushirikina

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid8200 Před měsícem

    Allah ananguvu zaid nayeye ndio mwenyekupeana namwenye kunyanganya

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Před měsícem

    😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @LilianMbele
    @LilianMbele Před 23 dny

    Kulala na ngoja una maana gani,

  • @AndrewMartin-yr8rh
    @AndrewMartin-yr8rh Před 27 dny

    Nahitaji namba yake dada na mm aniunge

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu Před měsícem

    Timu hamamu tuendelee kusungua hamamu tupate oesa halali

  • @paramaa5839
    @paramaa5839 Před měsícem

    Ulikuwa unalala naye vp heb nyoosh vzr

  • @veroclement-xv7kx
    @veroclement-xv7kx Před měsícem

    mama hasani wewe na huyo jamaa niwaongo mnatafuta kiki

  • @salamarashid3687
    @salamarashid3687 Před měsícem +2

    Yajayo yanafurahisha

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 29 dny

    Chatu Huyo 😢

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Sasa kama kichwa hukioni unaml8sha vipi

  • @kiriistaicy183
    @kiriistaicy183 Před 27 dny

    Alijitoa ki vipi?

  • @MwanaidhMary
    @MwanaidhMary Před 26 dny

    Umasikini uwo mnao nyie tuu sio umasikini majiendekeza tuu

  • @user-vz5gv3lo5f
    @user-vz5gv3lo5f Před měsícem

    Tuereze kwa Sasa wazazi wako wanakuchukuriaje tuambia,

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 Před měsícem

    Fanya kazi nenda gulf uone kama utakua maskini mjinga ww uko nakila kitu mwili wako

  • @AronzakariaLuchanganya
    @AronzakariaLuchanganya Před měsícem

    Nawapata wapi!!! Namm nitajirike

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před 27 dny

    Tatizo lenyewe ??nikwamba mnatoa kafara za watoto wazenu na wamajirani mna waua mna chinja ili kutoa kafara za nyoka zenu hâta wazazi wenu mna toa kafara ili mpate utajiri washetani nakuabudu shetani hapa duniani tunapita lakini mambo Yako huko Siku yakiama mbele yamungu

  • @janesaru9377
    @janesaru9377 Před měsícem

    Hakai tajiri ata

  • @user-vz5gv3lo5f
    @user-vz5gv3lo5f Před měsícem

    Je unaerewana na wazazi wako mbona husemi habari za wazazi wako,

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d Před měsícem

    Ivi watu mnaaamini hizi story za nyoka? Ni mchongo wa mganga huu

  • @marthamvanga8028
    @marthamvanga8028 Před 29 dny

    Usitamani mali ya mtu mwingine

  • @NabosJuma
    @NabosJuma Před 27 dny

    Watengeneza content hawa hamn lolote wew unazan mtu anaye miliki nyoka anaweza kujitangaza?

  • @user-fm8sv6yk3c
    @user-fm8sv6yk3c Před 29 dny

    Mbona hii Chanel jamny imekuwa inapenda Kiki maana munazingua kila siku story anarudia pale pale hakuna cha Zaid. Awe pole tyu. Umaskini sio kilemaaa n fungu la riziki Lina mda maalum. Jitahidini muwe munanyoosha maelezo maana mara alikuwa akiweka kwenye ndoo ss video hii alikuwa n briefcase 😂😂😂munatuchanganyaaa

  • @user-vz5gv3lo5f
    @user-vz5gv3lo5f Před měsícem

    Hiro joka urikuwa uripa chakura aina gan

  • @phiahofficialtv7140
    @phiahofficialtv7140 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂😂karanga

  • @user-vz5gv3lo5f
    @user-vz5gv3lo5f Před měsícem

    Je ririkuwa rinakunya mavi aina gani

  • @user-tp7bz9ep2l
    @user-tp7bz9ep2l Před měsícem

    Ss uyo asan yapo wapi

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před měsícem

    Huyu mwanamke ni mwongo! Freemasoni hawatoi utajiri wa nyoka, freemason ni chama kikubwa duniani na nguvu yake sio yakitoto namna hio! Utajiri wa nyoka utatolewa kuzimu!

    • @JacklneManonga
      @JacklneManonga Před měsícem

      Ila amesema kuwa nyoka akupewa na frimason

    • @esteroseollotu6119
      @esteroseollotu6119 Před měsícem

      We nae hujasikiliza story unakurupuka

    • @MagdalenaMatiko
      @MagdalenaMatiko Před měsícem

      Uchawi wowote ni freemason

    • @MagdalenaMatiko
      @MagdalenaMatiko Před měsícem

      Ukitaka kuijua freemason vizuri mfatilie Gwajima alipowaelezea mwanzo mwisho,toka ilipoanza ni akina nani wanafanyaje kazi

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 29 dny

      mmh hata akina Putini wanasema wamefuga majoka na Akina Chris wa Nigeria

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před 29 dny

    😂😂😂😂,hivi kwanini mnatengeneza story za uongo?huuu ni uongo wa wazi mnahadaa watu wasio na upeo na fikra, hivi hamuoni aibu kudanya watu? Media za hovyo kabisa, mnapotosha watu ili. Waamini ushirikina?wakapate pesa kwa nyoka?pesa ni kufanya kazi wajinga ninyi Serikali ipo kweli?mnafaa kuchukuliwa hatua kwa kupotosha watu mbwa ninyi