BARNABA AMLIZA MALKIA KAREN na B DOZEN MSIBANI MWILI wa GARDNER UKIAGWA LEADERS...
Vložit
- čas přidán 21. 04. 2024
- BARNABA AMLIZA MALKIA KAREN na B DOZEN MSIBANI MWILI wa GARDNER UKIAGWA LEADERS...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Kama unataka mawaidha, bas MSIBA unatosha (MTUMIE MUHAMMAD S.A.W)
😢😢😢 nikimuona tu caren machozi mengi machoni mwangu
😭😭nimepoteza mama na baba hata hawajaumwa so maumivu yake Mungu ndie anajua pole wafiwa wote
Mama Careen na Careen poleni sana kwa msiba Mungu awatie nguvu na amuweke pahala pema peponi
It's hard Mungu amtetee Careen na mtoto wake
Baranaba hata huko uliko lkn bado Yesu anakupenda na anakutumia kama chombo
Huyu kaka jamaan.....❤
Kweni kama aneslim hawezi kumwimbia mungu hawezi acha asili yake ya ukristo ache maswali
Alumzike kwa amani,inauma jmn jmn duuuu,bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe😭😭😭😭😭😭
wimbo wa pili baraka zako kuanzia kweny verse ya pili barnaba beat imeuacha but safi umeflow nayo vizuri.....umefuata melody vizuri
Daaah🎉❤ nimelia na nmecheza kwa hisia Barnaba you made my day nmependa san ufaliji wa wimbo huuu daaah❤❤❤❤😢😢😢😢😊
Nimelia huku nacheza yaani. Katuumize
Poleni Sasa family na crauds FM KWA ujumla bwana ametoa bwana ametwaa.jina la mungu litukuzwe..
Amina😢😢
Mungu ailaze roho yake mahala pemapeponi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole malkia kareen kw kipindi iki kugumu unachopitia
Daah kweli kila nafsi itaonja mauti..mungu tupe mwisho mwema 🙏😭
Amiin thuma Amiin
Ameen thuma ameen 🤲🤲🤲😭
🙏
Ameen
Amiin 🙏😢
Mwenyezi Mungu wape NGUVU, Uvumilivu Familia ya Marehemu G.Habash na Wafanyakazi wa CMG. Pumzika Kwa Amani G. Habash mwendo umeumaliza.
Poleni sana familia msiba hauzoeleki ila ni safari yetu wote tujirahidi kumjua mungu zaidi
Pole sana Careen
Pole sana Malkia Caren na family nzima ya Marehemu,Mungu awatie nguvu na awe mfariji kwa kipindi hiki ,kufiwa kunauma sana,😭😭😭
Mungu ampe faraja mtoto caren
Mungu mwenyewe unajuwa pakumuweka mja wako huyu😢ata sisi tulohai hatujijuwi😢
Nalia tu mimi nashindwa kujizuwia😭😭😭😭😭
Je ss camerounaise j'aime tellement la Tanzanie et toute ce qui y va toutes mes condoléances à la famille attristé 😭😭😭😭😭😭😭
Welcome to Tz dear
We will miss you Gadner nenda salama
Poleni watoto wote wa marehemu gardner hayupo careen pekee nawajukuu zake poleni
Pumzika kwa amani 😢😢
Pumzika kwa Aman Mwanga wamilele ukuangazie
😭😭😭🙏Allah tupe mwish mwema 😭😭
Pole mno kareen na jd
R.i.p mum 😢😢😢😢😢,pole sana Karen mungu akutiye nguvu 😢😢😢
Duh nime kumbuka kitu ivi wale wachungaji mmoja wa kenya na mwingin wa Nigeria walo sema kua Tanzania inakwenda kupicha mtu mkubwa 🤔🤔🤔 wali manisha Gardner au kuna mwingin anakuja nyuma ya hu legend 😢😢😢😢😢 rest in peace
Huyu mpiga piano sio kabisa, katudanganya mno, salama yake ni kua mwimbaji anajielewa na anaujua Muziki!!
Tatizo ni muimbaji
Hapana barnaba anajuwa hudhuni tu ilimpata akawa anashindwa kuimba
Pole sana Caren
R.i.p Dunia sio sehem salama 😢😢😢
Poleni sana mungu ampumzishe kwa amani😢😢😢😂😂😂
Alhamdulillah kwa kuwa muislamu hasa majimbo ya kazi gn zaid kuumizana ziada tu.
Acha udini wewe Tanzania si wamoja mambo ya kujaji dini yanatoka wap
Kafilane mbele huko
Choko ww kawa mwislamu wap uyo anamjua yesu chizi fresh ww
Sasa msibani kwa wakristo umefata nini kafiri wewe! Ebu uko pambafeee
Acha stress
Dah🙏🏻💔😭
R I P captain 😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭ewe mola nilindia babangu umpe maisha marefu
Dah maisha haya😢😢😢
Pole careen
Rip kapten mbele yak nyuma yetu
Nikupe pole kareen najua maumivu unayopitia maana namm yalishawahi kunifika tena nilifiwa na mme wangu lakin muombee apumzike kwa aman
Apumzike kwa amani😭😭😭
Rest in peace Gardner 💔
Pita msechu ananyimbo Ya gudiner
Sasa hizi nyimbo zinasaidia nn
R.I.P BROTHER G
R.i.p.gadnar g abash
R.I.P My young G
Rest in peace
mbinguni hakuna beer , ndio maana tuko hapa tunakunywa beer, na siku ukiondoka pia, rafiki zako tutakunywa zako beer.
Hii kitu sikia kwa watu tu isikukute
Ee mwenyezi MUNGU mtie nguvu uyu mtoto!!
Mhhh ais tujitaidi snaa kuzaa ndan ya ndoa sivyo utabaki kuwa na jina la ukoo tu urithi
Why
😭😭😭😭
Barnaba Ahaaaa umejua kutuliza kifooooo😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭
Allah akinichukua naomba nisiimbiwe hivi nisaliwe nizikwe muda huohuo,maana hizi nyimbo shetani anachekelea tu na malaika wanaondoka hapo
Lini unakufa leo au kesho shetani anaanzia wapi kama ulijizatiti uko na mwenyezi mungu basi utakuwa wa baridi wewe mbinguni haupo na duniani upo upo ti ila kama una mungu huwezi tetereka hata wakuchome.wakutupe chooni wakumwagie pombe wakuimbie kaswida sikio la kufa kama umekufa vibaya hata waombee maiti vipi moto moja kwa moja
@@tanzcanmediatv4473 Utakavopigiwa mziki nikulingana na wewe ulivojiweka kwenye maisha yko ya dunia ulishawahi kukuta sheikh au muislamu akifa anapigiwa qaswida au mziki????
Baada ya kifo Ni hukumu ndugu, usitegemee Sala za wazima
😢😢😢😢Rip
😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🙏🙏🙏🙏🙏💔
Polen cna wafiw😭😭
Peters Msechu ingekuwa mtu wa serekali angeshatoa nyimbo lakini kwa wadau wa mziki wake wala hajisumbui
🙆🏻♂️
Linafiki tu hilo, kujipendekeza kwingi
Ni kweli ila bora hajatoa maana kidini hazina tija
Natamani kucheka ila basi kwakuwa ni msiba Binadamu saluti kwenu akitoa mnamsema asipotoa mnamsema
Kuwa mpole nipo msiban camera nyingi ujue wataniona
Kwa hiyo hizo nyimbo ndo maombi ya kumuombea marehemu??? Yatamsaidia nn hayo wanayoimba?? Vifo hivi wala havitoi funzo kwa bashiru ya watu, mwendo ni ule ule wa kupotea njiaaaa😮😮
Wewe umeitwaa hapa kwaanii si kiranga chako hujaona kaswida huukoo
Wewe mbona unamakasiriko kwamini usichikue kamkeka utandike umuombee umeitwa huku? Hivi unajua maana ya maombi wewe kibaka.hata wewe ni binadamu ukiona wao wamekosea wewe sahihisha kwa kumuombea lazime uongee kashfa wengine ndio tunapenda mti akuimbie kawimbo.mxiu mijitu mingine itwaliwe tu hasara tupu duniani
jaman mtoto mwingine mwingine yuko wapi
Mtoto Ni mmoja tu anajulikana careen hata kwenye usia wake wamemsoma careen na mtoto wake na mtoto WA nje WA ndoa Sio mtoto
Caren hapo ndo atatamani uwepo wa baba mtt wake
Kwan Eliza na nani
Na anaujauzito tena naon tumbo kubwa
Karen sio yule muigizaji kwny pazia alikuwa anaitwa tunu nisaidieni
Yule ni caren simba mzaz mwenz na baraka da Prince.. Huyu ni caren gadner wako tofaut
Huyu si nimuislam subuhanallah hii ni mitihani kwa kweli
😂😂utajui ujui, muislam wa kufuata mke, sio kufuata dini
Kosa lake nini apo ikiwa ni dini aliyokulia nayo mpk kuoa kosa nikuimba ebu acheni unafki wa kiimani kwa kosa gani hasa na aliyekuambia kua dini ni tiketi ya kuiona pepo nani. Linda sana matendo yako
Msiba usikie kwa mwenzio tu jamani
Da nashangaa huyu si ameslim amekua muislam? Innarilah wainnailaih rajiun.
Mambo ya unaarufu hayo ata alislimu ili aoe tu
Si kwa ubaya lkn huyu barnaba si alisilimu ama
So haruhusiwi kuimba nyimbo za dini
Yes, hapo kuimba haibadili uislam wake, hapo yupo kama msaanii tu
Ndo aache nymbo zake
Kuna mahali na muda wa kuongea vitu,heshima ni kitu cha bure na wote tumsifu Mungu.
So unatesekea wapi ndugu?!si anaimba nyimbo za kufariji😮
Huyu jamaa si ka slim vipi na gosple tena🥱 back to your root bro
Hivi kwani gospal ni dhambi? Mnavyoshangaa au amekosea nn nyie vip,, kaslim kaslim
Jide kipenzi pile rafiki yako kaondoka mungu akutie nguvu
Karen sio yule muigizaji kwny pazia alikuwa anaitwa tunu nisaidieni
Cyo huyo, huyu ni malkia caren anaimba bongo flavor
Huyo alikuwa kwenye divas and husttras
Heleni