EXCLUSIVE: Jack wa Gardner Afunguka Ukweli Kuhusu Baba yake | Amwaga Machozi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 08. 2020
  • Mtoto wa Gardner ameelezea kwa mara ya kwanza kupitia The Break kuwa tayari ana mtoto na kufunguka mengi kuhusu namna walivyokutana na Gardner na maisha yake kwa ujumla
  • Zábava

Komentáře • 93

  • @angelrukyaa5598
    @angelrukyaa5598 Před 3 lety +5

    Jamani huyu dada naye kasomea uandishi wa habari ila hajui kabisa kujieleza yani anaongea ongea tu kwa kweli

  • @belak999
    @belak999 Před 3 lety +8

    Mdada anaeleza vitu visivyo na maana

  • @TheTemba1
    @TheTemba1 Před 3 lety +2

    Safi Sanaa Boyfriend umetisha, ukiona mwanamke mzuri Kama huyu anaekuita boyfriend Tena umezaa naye ujue una ngekewa

  • @user-zl5mt6lk4n
    @user-zl5mt6lk4n Před 22 dny +2

    pole mdg wangu😢 nmelia sana.......nakuelewa msrmehe huyo careen siku akiamua kukutafta muwe pamoja sio makosr yenu ni wazazi na maisha nr wazazi muwasamehe

    • @anociatafungameza
      @anociatafungameza Před 22 dny +1

      Huyu dada ana uwezo kubwa wa kufikiri. Safi sana.

    • @anociatafungameza
      @anociatafungameza Před 22 dny

      22:07 22:07 22:07

    • @user-zl5mt6lk4n
      @user-zl5mt6lk4n Před 22 dny

      @@anociatafungameza tena namuona sura na Roho ya upendo Kama marehemu Baba yake hata anavoongea yaan kwa undan ana roho nzur kama Gadner .....

  • @khalidhamis5811
    @khalidhamis5811 Před 3 lety +8

    Napat ukakasi wa jack jinsi alivyokutan na baba yake binafs yang sijaelewa hapo Yan ilitokeaje mpak gadna kujuwa Kam Ni dam yake

  • @lilyanmongi1946
    @lilyanmongi1946 Před 3 lety +6

    Kwa haya majibu sidhani kama ni baba mzazi ni baba wa hiyari

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před 3 lety +1

    Mzuri

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 16 dny

    Muongo bhana! Kwa Wachagga tena,yaani m2 haachi mtoto,angempeleka kwa kwa waxaxi wake,mamake alikuwa anatembea na wanaume tofauti,sasa hakujua baba mtoto,akawa anabahatisha.Muache Careen wa wa2.

  • @salaita2829
    @salaita2829 Před 24 dny +2

    Kwanini baba yako unamuita Gadner,na mbona hukuonekana kwenye msiba wake?

  • @khalifa_wayy1979
    @khalifa_wayy1979 Před 3 lety

    Wamefanana sana

  • @mwaaang
    @mwaaang Před 20 dny

    Someni code, Gardner ni baba yake ie sponspor alikuwa anapiga mzigo na hizi pisi ndio mambo yake. Ndio maana alimwambia you are so cute 😂😂

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Před 3 lety +2

    Had hapo kwenye mambo yakushut video sijui kusomea uandishi hii ni kikipyuaaaa sina haja yakuendelea kukusikiliza shoga kumbe unatafuta kk🤔🙄🙄🙄🙄🙄🙄

  • @sarahemmanuel3455
    @sarahemmanuel3455 Před 3 lety +4

    Haka nako kaongo sana interview ya kwanz alisema gadna alikuwa anamlipia ada

    • @drrahaburubago6303
      @drrahaburubago6303 Před 3 lety +1

      Ni kweli Sarah, anajaribu tu kuficha aibu ya mzazi na wakati unafanya hivyo baada anakumbuka kuhusu baba yake mlezi, anatamani kuwaridhisha wote na hata aliyemuumiza anajaribu kufichia coz wote ni wazazi na ni family na wakati huohuo anajitahidi kuturidhisha sisi, tumsamehe na tumuombee tuu kabeba mzigo mzito sana.

  • @athumanii
    @athumanii Před 3 lety +2

    Hawezi kum "fuck"😟 ndio maana mnafungiwa😟

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před 21 dnem

    CAREN .yupo sahihi yupo pekeake .na mjukuu wake

  • @user-ct4jp1ux1z
    @user-ct4jp1ux1z Před 24 dny +1

    Mbona yeye Gardner anasema wewe Jacqu ndio ulimfuata ukamwambia wewe ni mtoto wake.

  • @chumuali9468
    @chumuali9468 Před 18 dny

    Yeye mwenyewe na mama yake ndio wanaomjua baba, Mw engine yeyote atatuongopea

  • @user-py1rs9nc3s
    @user-py1rs9nc3s Před 20 dny

    Muongo bwana aseme ni baba ake wa Hiyari tu mh careen ni mtoto pekee kwa gadner kwanza hata familia naona haikutambui hata msibani hujatambulishwa

  • @Veni584
    @Veni584 Před 2 lety +1

    Du! Hajapita nae kweli?

  • @barackhuncho2432
    @barackhuncho2432 Před 3 lety

    Oooooh....mtotrooo

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Před 3 lety +2

    Gardner alikuwa anakutamani

  • @gabrielambaruku5452
    @gabrielambaruku5452 Před 3 lety +1

    Pisi kali saana

  • @RosemaryFrancis-cc6jp
    @RosemaryFrancis-cc6jp Před 15 dny

    Hata kujieleza hajui sa kasomea uandishi wa habari upi??????

  • @michaeldjunior1023
    @michaeldjunior1023 Před 3 lety +3

    Coments full of hates, cjui kwann jmn mbna pisi iko pw 😎😎

  • @cydrahope5251
    @cydrahope5251 Před 3 lety +1

    Nakuelewa maskini pole sana

    • @cydrahope5251
      @cydrahope5251 Před 3 lety +1

      inavoelekea baba yake bado hajamkubali au hataki ukaribu so hataki kulazimisha kuwa accepted binti wa watu inauma sana

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 Před 19 dny

    umesoma Sehem za moshi shule ip?

  • @zuleajuma7697
    @zuleajuma7697 Před 3 lety +1

    Kwann msimfuate huyo baba ili tujuwe ilikuwaje mpaka tukajuwa

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 Před 3 lety +5

    Mmmhu yaani huyu simuelewielewi .

    • @EmmanuelJoseph-nn2zg
      @EmmanuelJoseph-nn2zg Před 22 dny

      Huwezi kumuelewa kwasabau wew ni jeuri, watoto hawanaga makosa siku zote wazazi ndio wamekosea.Akili inakosekana pale unapo elezwa kitu alafu hutaki kuelew. Mtoto anajieleza vinzur kabisa

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před 19 dny +1

    Huyu ni mwanae tena ndiye aliyefanana naye kuliko huyo carene

  • @hawamussah2370
    @hawamussah2370 Před 3 lety +7

    Shida za wanaume izi kulala/au Kua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti kwa wakati mmoja...aende kila mkoa uyo mzee baba pengine wako fyuuu🙄🙄🙄🙄🙄🙄watoto ndio wanaoteseka kwa upumbavu wa wanaume

    • @stevenick1204
      @stevenick1204 Před 3 lety +1

      Naona umeamua kutukana kabsa😆😆

    • @hawamussah2370
      @hawamussah2370 Před 3 lety +1

      @@stevenick1204 😅Aki for sure it is disgusting

    • @stevenick1204
      @stevenick1204 Před 3 lety +1

      @@hawamussah2370 Yeah kweli coz playboys weng ndo inakuwa hivyo lakin hiz mambo bhana behind scene yawzekana kna inshu hatuzifahamu pia inaonekana kma kweli au sio kweli

    • @hawamussah2370
      @hawamussah2370 Před 3 lety

      @@stevenick1204 💯

    • @mussachief1024
      @mussachief1024 Před 3 lety

      Idea ya kuzaa mpk upelek picha kituo cha polis iko gud imekaa vyema🤣🤣

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 Před 19 dny

    Uandishi wa habari baba ake akumpa shavu😂😂😂 ila bongo

  • @halimarahma7450
    @halimarahma7450 Před 20 dny

    Kwan huyo gadna hakua na kizalio yeye c ndo anawajua wanae

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 Před 24 dny +1

    Anafabana mbona

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Před 22 dny

    Wanefanana na g sana

  • @salaita2829
    @salaita2829 Před 24 dny

    Huyu hajielewi huyu.

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před 21 dnem

    Mbona hukutajwa .kwenywe kuwa GADNA kaacha mtoto mmoja na .ni Malkia CAREN na mjukuu mmoja tuu wewe jack hujatanjwa.

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Před 24 dny +4

    Wanasema ana Mtoto mmoja Malkia Caren Na Msibani Sijamuona

  • @zuhurakilua7163
    @zuhurakilua7163 Před 3 lety +2

    Huyu dada sio mkweli anaongea ongea2 like haji elewi eti kasomea uandishi wa habari mmh

  • @ibramollel4196
    @ibramollel4196 Před 3 lety

    Safi sana Dada

  • @robertyossia8211
    @robertyossia8211 Před 3 lety +1

    Wa kwanza

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Před 3 lety +1

    Nimependa nywele yake..sijui wjuzi mtujuze inaitwaje hiyo rasta

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Před 3 lety +3

    ujasoma bana usitufukeeeeee

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 Před 3 lety

      Wewe kama ujasoma una ona nikila mtu aja soma

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 Před 3 lety +1

    Hajasoma muheza Muslim amesoma Mbaramo sec 2008-2011

    • @singanoally4407
      @singanoally4407 Před 3 lety +1

      Muheza Muslim amesoma tena nimesoma nae darasa moja anaitwa jack George kinimba

    • @singanoally4407
      @singanoally4407 Před 3 lety +1

      Nimesoma nae Muheza Muslim anaitwa Jack George Kinimba

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 Před 23 dny

      Mbaramo ilikuwa imesha kufa huo mwaka, hajaikuta mbaramo sec ,

    • @jackietogwa7957
      @jackietogwa7957 Před 15 dny

      Basi na muheza muslim kasoma nimesoma nae

  • @drrahaburubago6303
    @drrahaburubago6303 Před 3 lety +5

    Huyu binti ana wakati mgumu sana, Kuna vitu hataki kuweka wazi vinahusu familia, au huenda vitamdhalilisha baba au mama lakini hasa pia analinda heshima ya baba mlezi, hivyo anashindwa kuvipangilia vizuri anakuwa na mzigo mzito ambao hakuutengeneza yeye. Ila ukimsikiliza utangundia anapata shida kusema jina la baba yake kwa sababu alipoingia shule aliandikisha Jina la baba mlezi sasa leo anasemaje jina la Gardiner, ni mjasili sana huyu binti na anaumia sana. Hongera binti mtangulize Mungu yote yatapita.

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 Před 3 lety +4

      Wewe die ulie muelewa kama mimi na ukizingatia baba mlezi die kamsomesha kapambana nae hadi hapo ameaza kujulikana kuna baba mwengine ni kanzi nayo ningum kutamka jina la babayake mzazi

    • @user-jn6ec7qv5p
      @user-jn6ec7qv5p Před 24 dny

      Sio baba ake mzazi acha kujifanya mjuaji kwenye familia za watu

    • @jibabaramadhan1712
      @jibabaramadhan1712 Před 22 dny

      Je baba alikutambua vipi kama wewe nimtoto wake
      Namama yako aliwahi kukwambia gardner nibabako

    • @mwaaang
      @mwaaang Před 20 dny

      Huyu binti anataka kwenda mjini sikia background yake. Angekuwa anajali kuhusu baba mlezi asingethubutu hata kuliongelea hili kwenye media. Anaweza kuwa mtoto wake au sio.

  • @CyimSky
    @CyimSky Před 3 lety

    KISA CHA MTU ALIYEUWA WATU 6 WA FAMILIA YAKE KISA KAOTA NDOTO
    czcams.com/video/fk-ypuJrAgw/video.html

  • @nurudovino288
    @nurudovino288 Před 3 lety +1

    Mtoto wake wa hiyari sio damu yake ila Leo tumeerewa

  • @teddymutani856
    @teddymutani856 Před 22 dny

    Mashauzi mengi sana alishindwa kujieleza vzr sasa kaumbuka baba hauyupo tena duniani

  • @VIVIANEMAKOTO-rl8lt
    @VIVIANEMAKOTO-rl8lt Před 21 dnem +1

    Huna lolote hujasoma mbona husemi baba yako ni nani wewe fara tu amekufa ndiyo unajidai mbona ana mtoto 1 Kareen

  • @praisekavy
    @praisekavy Před 3 lety +1

    O level umemalza 2015??? Na advance?? Na kumaliza chuo kiaje?? Mbona sielewi?? Alafu certificate ni mwaka mmoja diploma miaka miwili ujue mbona sielew hapo??

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty Před 3 lety +3

      Inawezekana inategemea kam unapesa kuna shule za jion kwa mwaka mmoja na vyuo miezi sita

    • @praisekavy
      @praisekavy Před 3 lety

      @@allthingdranabeauty kuna QT najua ni miaka miwili, ila kasema 2015 ndo amemalza na wapi kuna advance ya mwaka mmoja ulisikia wapi ndugu??? Alafu pia diploma ni miaka miwili sio mwaka mmoja kama certificate fuatilia vzr utajua

    • @linahmaxha9005
      @linahmaxha9005 Před 3 lety

      Certificate n miaka miwil afu wa tatu ndo wa diploma

    • @praisekavy
      @praisekavy Před 3 lety

      @@linahmaxha9005 anhaa atleast hapo sawa

    • @dorislema2465
      @dorislema2465 Před 23 dny

      ​@@praisekavywew uelew ata, anasema alisoma mwaka mmoja shule ya masista o-level and not h-level means alirudia lasaba nilivoelewa.but h-level ya mwaka mmoja ipo kama ulikua ujui