JAHAZI: Dereva TAXI afumaniwa na Mwanafunzi | Mwenye mtoto amuita | Anyang'anywa mwanamke.
Vložit
- čas přidán 15. 04. 2020
- Ichukue wewe nafasi ya huyu jamaa Dereva wa gari za usafiri za kuita kwenye mtandao halafu tuambie yapi yangekuwa maamuzi yako mbele ya jamaa Baba wa Mtoto wa Mwanamke uliyempenda!?
#MastoryYaTownJahazini #JahaziLaCloudsFM - Sport
pumzika kwa amani my brother ww mbele sisi nyuma yako 😢😢
Lala salama fundi wa sauti na nguli wa matamshi, Captain wa game.
Aiseeee watangazaji leo ndonawaona live tatizo nilikua sina sim mpaka nimemkaba mtu nimemupora sim iliniwaone live saluti nyingi munajua kazi
Daaah captain rest in peace here after captain passed away
Rest in peace bro Gardna Habash
Rest in peace 🕊️
Dereva tax wewe kiboko
Nitaikumbuka daima JAHAZ
Jahazi saafi sana nakipenda sana hiki kipindi 👏
Jamani tuekeeni haya Mastory kila cku 😀😀
Hapa jamani 4:41 mbona Fetty anetuwashia full sanaa
Rest in eternal peace you were a good story teller
Kunamtu nimemkumbuka sana ila ndo kazi ya mungu
Kila mtu lazima atapita njia hiyo leo tunakulilia kesho zamu yetu 😢😢
Jmn kifo ichi😭😭😭😭
Jahaziiii kwenye maji mpaka saa moja.... dah nawaza angekuepo Kibs hapo
kibs angenogesha sana mzee
nenda kwa amani ndu yangu
Naaaam! Haya ndo mastory ya town
Jamani jahazi mnanikosha sanaaaaaaaaa
Nice
Duh
Captain 😭 Rest in peace
G bash luv 😘
Rest in peace
Rip
Hizo Application zina fanya sivyo lazima abiria asibaki na namba ya dereva na na abiria asibaki na namba ya dereva na hivyo ndo inavyo takiwa. Hao watu wa hizo application lazima wabadilisha huo utaratibu.
Hii story balaa jamani
Rest in peace Gadner Mungu akurehemu naakupokee
Mamaaeee mguuu unabembeaaaa,,,mameeee
Captain 💔
RIP G.
rest in peace G bash
Feti uko bomba kinoma....
Du! Mapenzi bwana sasa kama jmaa alikua nje na mwanamke yuko huku,si lazima mwanamke awe na kipozeo
Pumzka kwa Amani broo
R I p😢😢😢
duuuuuuu shubamitiiiiiii yn dgo unge pigwa bastola
Piga kimya siyo lazima utangaze utaaribu mbona mambo yakawaida
RIP Gardner..
Hahaha Hy hatar
Wanaume uhanisi mtupu ebu waachieni wanawake izo au ni wanaume jina
Bantu akili yako unaijua mwenyewe😃😃😃😃
Hihihiiiiii doooh hataliiii
Huyo fety kweli
Sasa mdada umekuta ana mtoto,unadhani alizalishwa na nani?nyumba nzima kodi analipa na nani?hapo awali kabla yako alivaa vipi?Ww unakwea unakwea tu vya
bure?Ukifanywa vibaya tuseme kazi yake haina makosa?Ushauri kwa vijana wenzangu kama hauna uwezo wa kutafuta mke wako harali basi tulia na hali yako hadi ujahaliwe na mwenyezi mungu upate wa kwako!
Jahaz ninouma
captain jamanii umetuacha😭😭😭😭
😢😢
Mastor
R.i.p captain 😢
Mmh sas hiv mmepata akili ya kujiongeza vipindi ya redio mnaviweka na CZcams safi San washukuruni pia walio wafungua _ #upandewapili
@@hawasaid7879 boya wew
Nyiee mnafirwa na DOMO.... KUBABAZENUU
😂😂😂😂kula mama kula bia Gadner bhana hahahaaaa
Kula mwili ni nouumaa
winnie charles kumsubili mtu yuko mbali mpaka aludi inahitaji uvumilivu
Dah blaza pumzka kwa aman!!😭😭😭😭
😀😀😀😀
💔💔💔🕊️🕊️🕊️🕊️😁
MMEZIZALILISHA OFISHO TAXI,YAANI ZENYE MSTARI,HII STORY INAWAHUSU TAXI MTANDAO AMBAZO HUWA HAZINA MSTARI,MMETUKOSEA MADRIVER WA TAXI OFISHO
Mguu wa kuku bastola
🤣🤣🤣🤣🤣👍🤣
Hahaha ❤
Liko taitiiii
Kakakakapteeeni
🤣🤣🤣🤣mbna sauti kma mwanamke
Nami nimejiuliza hivyo sauti ya kikee!
Gusa link czcams.com/video/6dhYJpLCkew/video.html Kwa mahadisi
😂😂😂😂😂😂
Hahahaha