Video není dostupné.
Omlouváme se.

Part 1_USHUHUDA WA ALIYEKUWA WAKALA WA SHETANI KITENGO CHA DAMU KWA MIAKA 17

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 07. 2020
  • #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Komentáře • 105

  • @glorytoGod639
    @glorytoGod639 Před 4 lety +7

    Asnte ubarikiwe mno mmi huwa naongeza sana kitu kwa safari yangu ya mbinguni kwa hizi shuhuda,Amen

  • @miltonjohn1402
    @miltonjohn1402 Před 2 lety +7

    Tanzania kuna wachawi Sana sijui KWA nn! Hawa ni wachache wanaoamuwa kuja Kwa yesu, lkn wapo maelfu ambao hawataki kuokoka wakiwemo ile dini nyingine ambao wanaamini wapo sahihi kumbe wao ndio wamepotea kupita maelezo.

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Před 11 měsíci

    Asante mtumishi kila kitu anayosema ni 💯%Mwenyezi Mungu akufiche chini ya uvuli wake.❤🎉

  • @sadikimtega4135
    @sadikimtega4135 Před 4 lety +11

    Ushuda mzuri ila tunaomba muenaangalia mda amabao no tulivu. Hizo kelele zinasumbua masikio

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před rokem +1

    Uzuri wake huwa mnatuambia ukweli tupu asante. Mwenye masikio na asikie

  • @davidmatthew1715
    @davidmatthew1715 Před 4 lety +8

    Wakamshinda shetani kwa nguvu ya damu ya Yesu na ushuhuda wao.

  • @kennedynjoroge8742
    @kennedynjoroge8742 Před 3 lety +5

    Awesome message but hiyo kelele ya back ground inachukiza

  • @horemow9832
    @horemow9832 Před 4 lety +10

    Amen napenda sana jinzi anavyo quote scriptures barikiwa sana i say hapo kuna makelele sana

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 2 lety +1

    JACTAN UKO VIZURI KUKUSANYA SHUHUDA ZA UKWELI NA UWAZI SEMA MB HAZITOSHI HADI MWISHO TENGEZA BASI VITABU TUSOME WAKATI WOTE. UNAYO NGUVU NA FEDHA ZITUMIE HIVYO JACKTAN. ASANTE SAAAANA MTUMISHI

  • @ahmedyally3088
    @ahmedyally3088 Před 4 lety +8

    Dah ushuhuda mzuri ila iyo adhana imeharibu

  • @barnabasmboya7688
    @barnabasmboya7688 Před 4 lety +12

    Mtumishi Jacktan Msafiri Huduma yako ni njema mno. Mungu azidi kukutumia

  • @tulibumisalu8812
    @tulibumisalu8812 Před 4 lety +7

    Mungu atusaidie sana tusiwe walokole wa asilimia arobaini

  • @hamisiali8494
    @hamisiali8494 Před 3 lety +2

    Mimi huwa nafurahia ushuhuda na nko Kenya Mombasa mungu akubariki

  • @barakamanu1514
    @barakamanu1514 Před 4 lety +4

    Baba yetu aliyeumba vyote akubariki na akulinde, nabarikiwa sana na shuhuda zako. Nipo Mombasa, Kenya

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 Před 4 lety +2

    Kweli Mungu Roho mtakatifu anazungumza nasi kuptia ushuhuda huu"
    Nanyi mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru"
    Lipo kusudi kubwa sana la Mungu juu ya huyu mtumishi

  • @LOGOSNew
    @LOGOSNew Před 4 lety +3

    Mungu asaidie watu wake! Huwa wanafurika kwenye miujiza bila kufikiria.

  • @bettynino7354
    @bettynino7354 Před 3 lety +4

    God bless you presenter, you are doing a great job

  • @mamanchuchu7969
    @mamanchuchu7969 Před 2 lety +2

    MUNGU nimwema sanakwetu ubarikiwe sana baba

  • @cartassenga3515
    @cartassenga3515 Před 3 lety +2

    Barikiwa sana

  • @anethynyirenda9231
    @anethynyirenda9231 Před 4 lety +3

    Ninainuliwa kiroho kupitia huu ushuhuda.mungu baba nnakshkr

  • @f.alovely6419
    @f.alovely6419 Před 4 lety +4

    From Kenya🇰🇪

  • @mackynicky5832
    @mackynicky5832 Před 4 lety +6

    Kweli Mungu akikusudia anakuokoa hata uwe umefanya mambo mengi mabaya kiasi gani

  • @hashimuchambuso9741
    @hashimuchambuso9741 Před 4 lety +8

    Dah.... iko haja ya kurudia kurekodi hii. Msikiti umeharibu usikivu.

  • @patricklochoto-bx1sr
    @patricklochoto-bx1sr Před rokem +2

    Ushuhuda wako umenijuza mengi

  • @millicentayangokunting3728

    Ufunuo nzuri sana👏👏👏👏👏

  • @FamousBerry139
    @FamousBerry139 Před 4 lety +4

    Watching from Kenya

  • @tevercaretv2479
    @tevercaretv2479 Před 2 lety +3

    Jamani wakati mwingine jaribu kuboresha tukio LA kurekodo....tafuta mahali tulivu

  • @sarahmichael7538
    @sarahmichael7538 Před 4 lety +3

    Tunashukuru Mungu kwa yote anayoyaruhusu ili sisi tulio wafuasi wa Kristo tupate kitu cha kujifunza na kupata kuwa na maarifa ya rohoni

  • @tevercaretv2479
    @tevercaretv2479 Před 2 lety +4

    Surely makelele ya msikiti hamngetafuta maeneo fasaha jamani

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 2 lety

      Asante, ndio maana tukaomba radhi kwa maandishi, kama haujaona tunaomba radhi kwa hilo🙏.Unaweza kufuata link hii ili utazame toleo ambalo halina tatizo hilo czcams.com/play/PLhesxBGiXy1_TP6_tY7GSowYnWRY1n-7q.html

  • @josphatfondo6499
    @josphatfondo6499 Před 3 lety +2

    Jina la bwana lipewe sifa

  • @diphinahnanjala7584
    @diphinahnanjala7584 Před 3 lety +2

    Mtumishi wangu ihiyo ni ulimwengu wa Visa ama wa shetani sio wakiroho kabisa.

  • @thehopetv6299
    @thehopetv6299 Před 4 lety +3

    Aiseee

  • @allandonna_2640
    @allandonna_2640 Před 4 lety +6

    mtumishi mimi nashauri siku moja uwatafte watu kama hawa watatu au zaidi tulinganishe nawatwambie wakati mwingine walikuwaga wanakutana...?

  • @Star-qf7ls
    @Star-qf7ls Před 2 lety +1

    Too much noise at the background

  • @costacarlosgomes1387
    @costacarlosgomes1387 Před 4 lety +1

    Asante kwa hushunda

  • @neemamwalende304
    @neemamwalende304 Před 4 lety +4

    Doctor wa roho tupe mwendelezo.

  • @giftielinganga3128
    @giftielinganga3128 Před 4 lety +3

    YESU ATUSAIDINAHILA ZASHETANI.

  • @dicksondavid9897
    @dicksondavid9897 Před 3 lety +1

    Barikiwa san

  • @PastorPhilipMbaabu.
    @PastorPhilipMbaabu. Před 5 měsíci

    Ask important questions. Example, anachukua damu za watu aje??

  • @bwikondefockas3726
    @bwikondefockas3726 Před rokem +1

    usiludi huko Ni hatar

  • @salehfarid1003
    @salehfarid1003 Před 4 lety +1

    Subhanallah jina la ALLAH NA QUR AN INASIKIKA

  • @brigithadidas5128
    @brigithadidas5128 Před 4 lety +4

    Vinafsi sipendagi kuona hizi picha za kutisha unazozitumiaga kwa nn usiache kutumia yan adi unastuka ukiwa umeshka sm

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 4 lety +2

      Tunaomba radhi kwa hilo,tutaziondoa

    • @paulines.3631
      @paulines.3631 Před 4 lety +1

      Kweli usiweke hizo picha aisee, ila huduma yenu ni njema sana, kwa Yesu kuna uhakika

  • @samuelmnada5878
    @samuelmnada5878 Před rokem

    Kuzimu hiyo alikua anaimanisha Wafu yaani walioko kabulini

  • @andrewmajita6437
    @andrewmajita6437 Před 4 lety +2

    Jacktan ushuhuda mzuri tena unafundisha ila hizo sauti za msikiti

  • @WillyWhiskey-hw7qy
    @WillyWhiskey-hw7qy Před 3 měsíci

    Akili kid 1:05

  • @charleschisawillo464
    @charleschisawillo464 Před 4 lety +4

    SAUTI YA AZANA IMEHARIBU USIKIVU UWE UNAREKODIA SEHEMU YENYE UTULIVU

    • @estasage5506
      @estasage5506 Před 4 lety

      Thanks, I was soo disappointed too.

    • @allyawadh8492
      @allyawadh8492 Před 3 lety

      Harafu wakristo wengi wanaonekana wanapenda sana mambo ya majini na mambo ya kichawi sababu kila anaetoa shuhuda zake utamkuta baada ya kufundisha mambo ya mungu atakuwa anafundisha uchawi au habari za majini,Sasa mnapataga nafasi yakujifunza mambo ya mungu na uwezo wake kweli?tena kwa hadith hiyo anayoeleza hapo wakisto wanamuona anaelimu kubwa ataakiamua kujiita yeye ni mtume au nabii watamuamini huyo ni msanii tu hana lolote ni hadithi tu anazozitoa kichwani kwake na sio mafundisho ya mungu,huyo ni wakala wa shetani anatafuta kujiaminisha kwa wakristo ili apige hela.

  • @rafaelolemoono6830
    @rafaelolemoono6830 Před 4 lety +3

    Damu ya wanawake inachukuliwaje? Na wachukua au wavuna damu unajikingaje dhidi yao?

  • @estasage5506
    @estasage5506 Před 4 lety +3

    Oh no. Ushuhuda Safi lakini hiyo background za pepo za ki islam katukwaza. Kwa nini ulichagua mazingira hayo?

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 Před 4 lety +1

      "Wewe ndio Shetani na Pepo Mkubwa,chunga ulimi wako usije ukalaaniwa"

    • @estasage5506
      @estasage5506 Před 4 lety

      @@shenjamamzingi7950 ikurudiliye laana wewe kwa jina la yesu kristo wa Nazarethi. Mimi Si pepo wala shetani. Nafichwa na damu takatifu ya Yesu Kristu wa Nazarethi. Sikutaja mtu, nilitaja mazingira. Kwa hiyo, laana hiyo irudi kwako 100%

    • @isakahissa4130
      @isakahissa4130 Před 3 lety

      Naiman mbingun tutakuwa wote motoni, maana yesu halikua hamdhiaki mtu na Iman yake..ila halikua anatumia busara watu kumuamin...kwahio sidhan Kama hutakuwa kondoo wa kwer wa yesu maana mwenye damu ya yesu lazma afate nyayo zake sio Kama wwe una ngozi ya kondoo lkn sikondoo wa bwana, esta🙏

    • @monicabh1668
      @monicabh1668 Před 3 lety

      Kweli yaudhi kelele tuu na hizo nyimbo zao za kishetani wa kuzimu .

  • @hassankombo4475
    @hassankombo4475 Před 4 lety +1

    Uyu mtumishi naisi kama namjua anatokea simike mbeya

  • @susansenga754
    @susansenga754 Před 4 lety +2

    Vp mbona azana ???????

  • @PeninahMwendwa
    @PeninahMwendwa Před 10 měsíci

    Ni marundio?

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 Před 4 lety +1

    Duuh!! Unapewa kazi usingizini

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 Před 3 lety +1

    Ko nihai huku dam yako inatumika kuzimu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 2 lety

    Hizo kelele sauti za islamic why. Meaning what.

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Před 4 lety +2

    Hiyo saut km mashambuliz ili tusisikie vzr

  • @angelmtisi4611
    @angelmtisi4611 Před 4 lety +2

    Alikuwa akichukua damu kwa njia gani kwa kuwauwa watu au?

  • @josephinemumbua159
    @josephinemumbua159 Před 4 lety +3

    Maelezo mazuri lakini sauti io usiweke kipindi kingine

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 Před 3 lety +1

    Usemage ulimwengu wa kuzimu, sio wa kiroho,

  • @hamisiismail2577
    @hamisiismail2577 Před 3 lety +1

    Mbn awa watu japo wameshatoka uko lkn utagunduwa kuwa kuna bahaz ya maneno awasemi..utasikia sehem frahn awatoe maekezo kwa kina

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před rokem

      Si kila kitiuu uweke wazi hata hivyo wanajitahidi,zamani nikimsikia hivyo siwezi kusikiliza mahubiri yake,nilikuwa siamini kama kaokoka kweli

  • @harunigaitani2590
    @harunigaitani2590 Před 4 lety

    Aa

  • @ChancyLuhasa
    @ChancyLuhasa Před 3 lety +2

    Kelele ni nyingi sana za nyimbo za kiarabu.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 3 lety

      Bonyeza link hii kusikiliza iliyo safi
      ALIYEKUWA WAKALA WA SHETANI KITENGO CHA DAMU: czcams.com/play/PLhesxBGiXy1_TP6_tY7GSowYnWRY1n-7q.html

  • @mwamvuamkovizuriahsantenih8358

    Quran inanogesha uo ndoukweli ata mkichukia 🤣🤣

  • @estasage5506
    @estasage5506 Před 3 lety

    TB Joshua mnaijeria ni umoja wa false prophets

  • @millicentayangokunting3728

    Barikiwa sana

  • @forjesus1382
    @forjesus1382 Před 3 lety +1

    Hio kelele ya msikiti ishindwe

  • @paschalpaul5022
    @paschalpaul5022 Před 4 lety +2

    Naonba kuuliza kwanini watakatifu wanatofauitiana nguvu mwingine ndogo mwingine nyingi kwa nini na wote wameokoka

    • @kibalikikubwa804
      @kibalikikubwa804 Před 4 lety +4

      Kinacholeta Nguvu zaidi za kiungu kwa mtu ni uhusiano kati ya mtu na Yesu. Kadiri unavyo tafuta kuwa karibu zaidi na Yesu ndivyo Nguvu zake zinavyo ongezeka ndani yako.

    • @paulmzamy3320
      @paulmzamy3320 Před 4 lety

      @@kibalikikubwa804 barikiwa na mungu

    • @hassankombo4475
      @hassankombo4475 Před 4 lety +3

      Kumtafuta mungu ni pamoja na kufunga na kuomba mutumishi anaefunga sana na kuomba anakua na nguvu sana

    • @joylynenalija4795
      @joylynenalija4795 Před 4 lety +1

      Kadiri unavyoishi na kutenda sawa sawa na Neno,kufunga na kuomba,kufuata na kutii maagizo,sheria na amri za Mungu na kufanyazile kazi Yesu alifanya pamoja na kuishi maisha matakatifu yaan kukaa mbali na dhambi,hivi vyote ndivyo vinavyokupelekea kuwa na nguvu kubwa kiroho. Sasa unakuta mtu ameokoka lkn kwny uzinzi yumo, pombe anakunywa,kwny masengenyo yumo,anakopa halipi, kwa ujumla haishi maisha matakatifu huyu hawezi kuwa na nguvu kiroho,wachawi watamtesa tu maana ameokoka kimwili kiroho hajaokoka.

    • @joylynenalija4795
      @joylynenalija4795 Před 4 lety +3

      Mtu anasema ameokoka fungu la kumi hatoi, au km anatoa hatoi kwa ukamilifu anamwibia Mungu,na ibilis anawapenda sn hawa unakuta matatizo hayaishi magonjwa nk ukiingia rohon unakuta source ni 10%.
      Kaokoka anavaa nywele za bandia, kucha za bandia n other fake stufs,hafanyi maombi ya ucku.
      Kwa hyo lazima awe tofauti na yule aliyeamua kuwa mwaminifu kwa Mungu na kutimiza mapenzi ya Mungu.
      Shetan haogopi ww kuokoka,anaogopa maisha unayoishi baada ya kuokoka,maisha matakatifu,kujitenga mbali na dhambi.
      Neno linasema iweni watakatifu km mimi nilivyo mtakatifu. Afu Yesu akasema itakufaa nin kuupata ulimwengu huu wte kisha uukose uzima wa milele?.
      Ukitaka kumkomesha ibilis jitenge na mambo ya ulimwengu huu ndivyo unavyokuwa mtakatifu na ndivyo utakavyojitofautisha na walokole wengine walioamua kuuzoelea wokovu.
      Hope umepata mwanga kdgo🙏