Part1_ALIYEKUFA MIAKA7 ILIYOPITA NA KUFANYWA MSUKULE KIGOMA ARUDISHWA KWA NGUVU YA MAOMBI KUTOKA DAR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Komentáře • 142

  • @sarahmsangi7243
    @sarahmsangi7243 Před 3 lety +4

    * tunashinda na zaidi ya kushinda katika yeye atutiaye nguvu* wachawi na waganga na mapepo na majini nawalipua katika jina la YESU

  • @myself4128
    @myself4128 Před 3 lety +7

    Huyu mama ukimsikiliza unajifunza Imani,Hakukimbilia kwa Nabii wala mtume alimkimbilia Mungu,Alimuamini Mungu anayemtumikia sio Watumishi wa Mungu, huyo binti alikuwa na maagano ya kimizimu ndio maana vita ilikuwa kubwa

  • @tinkansheka4754
    @tinkansheka4754 Před 3 lety +6

    Madam Mungu atakulipa kwa upendo wako juu ya huyo binti katika Jina la Yesu amen.

  • @nyendochamwela3031
    @nyendochamwela3031 Před 3 lety +10

    Eee Mungu wa Mbinguni unae ishi nipe Imani Kama ya huyu mtumishi wako.

  • @tabithajeremiah2657
    @tabithajeremiah2657 Před 3 lety +4

    Mtumishi Mungu akukumbuke katika ufalme wake.watumishi kama wewe Mungu anajivunia sana.

  • @jacklinealphoncemwacha772

    Hongera sana mtumishi unaujasiri wa ajabu ... Mungu anataka wtu km hawa jeshi kubwa

  • @riccahcate8126
    @riccahcate8126 Před 3 lety +5

    Mungu akubariki sana mama muinjilisti . Asante kaka Jactan kwa ushuhuda huu wa kubariki

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 Před 5 měsíci +1

    Mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwa kuomba na kufunga kwa ajili ya nafsi hizi

  • @langistany6811
    @langistany6811 Před 3 lety +8

    Hamjambo jeshi la Bwana, Nasema hongera sana kwa mwanajeshi huyu wa kike, kwa ujasiri, Zaidi juweni kwamba vita vina hendelea, Kila siku ni vita, ila kikubwa ni kwamba Tuko zaidi ya washindaji, ktk yeye awezae yote yaani Bwana wetu yesu kristo. Jeshi la Bwana tukaze boot. Shetani alisha shindwa. Bwana asifiwe

  • @user-tz9ic7jn4j
    @user-tz9ic7jn4j Před 3 lety +4

    Asante kwautukufu wake Yesu kristu unastahili kupewa sifa nautukufu

  • @florencendatila9183
    @florencendatila9183 Před 3 lety +2

    Ushuhuda unainua kiroho nimebarikiwa Sana ubarikiwe mtumishi

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Před 3 lety +3

    STRONG WOMAN OF GOD YESU NI BWANA.

  • @malaikamedia8323
    @malaikamedia8323 Před 3 lety +2

    eeeh Yesu wewe ni halisi
    Baba wewe ni halisi
    Hakike Yesu ni halis
    Asante Yesu kwa yote

  • @nicrosal4231
    @nicrosal4231 Před 3 lety +5

    Hongera sana mtumishi na mungu akubariki

  • @juniorkalinge5861
    @juniorkalinge5861 Před 11 měsíci +2

    Amen&Amen, our Lord JESUS CHRIST is still alive &really fights for us day in day out

  • @desderykarugaba1826
    @desderykarugaba1826 Před 2 lety +1

    Ubarikiwe sana mama Mwinjilist kwa kujitoa dhidi ya huyo bint.

  • @teddylaida3523
    @teddylaida3523 Před 3 lety +2

    Mungu akulinde mtumishi

  • @violethbagila905
    @violethbagila905 Před 3 lety +3

    Matendo makuu ya Mungu ubarikiwe mama mtumishi

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 Před 3 lety +1

    💃💃 Askari wa YESU😘.. Aksanti kwa shuuda.. Na kuleta maandiko ya vita kati ya biblia.. BWANA YESU asifiwe... Aksanti Mutumishi jacktan...

  • @drnow1528
    @drnow1528 Před 3 lety +5

    Hongera mama kwa ujasiri Mungu akubariki

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian9668 Před 3 lety +10

    Kwa ushuhuda huu tunasababu gani ya kutomtumikia Yesu?

    • @rosecruiz4348
      @rosecruiz4348 Před 3 lety

      Ninayo sababu ya kumtukuza bwana maisha mwangu

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 Před 3 lety +2

    Duuuh!!!! Yani natamani sana na mimi nimrudishe baba yangu kifo chake si cha kawaida

  • @prayerwomen3444
    @prayerwomen3444 Před 3 lety +1

    MUNGU akuinuwe mama nakulinde wewe nafamilia yako naakupe nguvu katika jina la YESU

  • @leonardanzurunipombi2499
    @leonardanzurunipombi2499 Před 3 lety +2

    MUNGU azidi kukutumia nakukutia nguvu Mama ubarikiwe Sana kwa ushuhuda.

  • @bensonlangat640
    @bensonlangat640 Před 3 lety +2

    Ubarikiwe Sana.Yesu akuwatie nguvu saidi

  • @user-ox6zb8gz9n
    @user-ox6zb8gz9n Před 11 měsíci +1

    Ubarikiwe mtumishi nimejifunza sana

  • @prayerwomen3444
    @prayerwomen3444 Před 3 lety +3

    umenifanya nitambuwe vita nilivyo navyo kumbe ni kwasababu nimearibu mambo ya wachawi MUNGU nipe nguvu nishinde vita ivyo asante mama mutumishi

  • @blessingmalaika4045
    @blessingmalaika4045 Před 3 lety +4

    Yesu yu hai. Mtumishi naomba namba ya huyo mama mtumishi.

  • @malengamsombwa3115
    @malengamsombwa3115 Před rokem

    Mungu atukuzwe sana kwa kazi kubwa alizotenda juu ya mtumishi wake pamoja na binti huyo

  • @safinaasifiwe9895
    @safinaasifiwe9895 Před rokem +1

    :mtaiyambia milima ngoka ikajitupe baharin nayo itatii hakika mwenye haki atajiponya kwaimani yake bila mafuta ya upako mama amewezaa

  • @anneafrica939
    @anneafrica939 Před 3 lety +4

    So this world full craz evil things YESU tupe mwisho mwema.

  • @sayunicasmiry4365
    @sayunicasmiry4365 Před 3 lety +2

    Utukufu kwa BWANA YESU dada nimejufunza nguvu ya maombi ndani ya NENO.

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 Před 3 lety

    Ubarikiwe sana mama shujaa kwa kazi yake Bwana wetu Yesu Kristo.

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 Před 3 lety +1

    Asante Yesu hongera mama

  • @aonicamichael4765
    @aonicamichael4765 Před 3 lety +2

    Amina

    • @alexrukundo6048
      @alexrukundo6048 Před 3 lety

      Amen ubarikiwe sana mtumishi wa BWANA unapatikana vipi

  • @revinaabela4281
    @revinaabela4281 Před 3 lety

    Hongera mama mchungaji kwa ujasiri mkubwa, ubarikiwe na Bwana Yesu

  • @eunicemsigo9677
    @eunicemsigo9677 Před 3 lety

    Mama we ni mtumishi mkubwa wa mungu
    Be blessed

  • @myself4128
    @myself4128 Před 3 lety +4

    Mama wewe ni Mtu uliyeokoka sio wale wakristo wa Jumapili,Aisee mmebakia wachache sana wenye Ujasiri katika Roho na Mnaoishi kitakatifu,inajulikana dhahabu Safi baada ya kupita katika moto

  • @annambezi6226
    @annambezi6226 Před 3 lety

    Hongera mama. Wewe nondo wa Yesu. Bwana Mungu wa Israel azidi kukubariki

  • @Oneofhiskind123
    @Oneofhiskind123 Před 3 lety

    Mungu akubariki sana mama mwijirisiti na aendelee kukutia nguvu na huyo binti pia🙏🙏🙏🙏🙏

  • @angie346
    @angie346 Před 2 lety +1

    Mungu anzidisha roho mtakatifu amen

  • @efesosanga652
    @efesosanga652 Před 3 lety +1

    Hongera sanaaaa tuvae ujasiri huo sote

  • @damas5665
    @damas5665 Před 3 lety +1

    Mungu ni mwema ubarikiwe mamangu 🙏🙏

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari8160 Před 2 lety +1

    Kwa hushuhuda Mungu akubariki mama

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 Před 3 lety +2

    Amen

  • @thomasmwakatobe8207
    @thomasmwakatobe8207 Před 3 lety +1

    Haleluyaaaaaaaaaaaaah Yesu ni Bwana

  • @AllyOmali-rh8pf
    @AllyOmali-rh8pf Před měsícem

    Kwan mtu akifufuka anakua na umuri ule ama inakuaje❤

  • @blessedlovedandfavoured4129

    Asifiwe Bwana Yesu Mkuu wa vita

  • @shamim6606
    @shamim6606 Před 3 lety +1

    Mungu mbariki sana huyu mama

  • @christinaalexander1213
    @christinaalexander1213 Před 3 lety +1

    Mungu akibariki mama.

  • @janemuthoni723
    @janemuthoni723 Před 3 lety +2

    Tz imejaa uchawi mbona Kenya hatuna mambo hizi za watu kufa na kuchukuliwa misukule

    • @ngwanafabian9668
      @ngwanafabian9668 Před 3 lety +2

      Shetani huwa hasumbuki na wakristo jina bali wenye moto, Kenya yamkini hawamsumbui sana Ibilisi ndiyo sababu huoni matukio mengi. Wakenya wengi wanaishi ki magharibi zaidi ambao tayari ni mateka wa shetani licha ya utajiri wao.

    • @tigerchristmas5491
      @tigerchristmas5491 Před 3 lety

      Muombe Mungu Roho mtakatifu akupe macho ya rohoni utafunuliwa mengi ya ya rohoni

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 Před 3 lety +2

    Hakika hakuna kinacho mshinda Mungu,

  • @elliceylameck2149
    @elliceylameck2149 Před 3 lety

    Ubalikiwe San mam kwa kazi nzurii

  • @pudensianamhasi5364
    @pudensianamhasi5364 Před rokem

    Wewe ni shujaaa wa IMANI

  • @alicepatrick3481
    @alicepatrick3481 Před 3 lety +1

    Mungu azidi kukutumia mamy

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 Před 5 měsíci +1

    Wanawake ni Jeshi kubwa

  • @hasanipoy3976
    @hasanipoy3976 Před 3 lety +1

    MUNGU ni mkuu Amen

  • @isayahjovin4076
    @isayahjovin4076 Před 3 lety +1

    Hakika mapepo na Mungu laxima pepo wanakufa

  • @zawadikambale
    @zawadikambale Před 6 měsíci

    M😊

  • @blessedlovedandfavoured4129

    Mungu atume Malaika wa vita zaidi.. Wakuwalinda hadi mwisho wa vita...

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 Před 3 lety

    Dar! Hongera, mungu yupo

  • @asiasalim4634
    @asiasalim4634 Před 3 lety

    Hongera mama ubarikiwe

  • @solomonbett
    @solomonbett Před 3 lety +8

    God bless Promover Tv and Jactan for your dedicated efforts to bring us inspiring testimonies.

  • @oscarkibate1913
    @oscarkibate1913 Před 3 lety +1

    Nahisi Ushuhuda huu ukiwa mzito kweli. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @latifahramadhan3456
    @latifahramadhan3456 Před 3 lety

    Mungu anatenda amina

  • @forjesus1382
    @forjesus1382 Před 3 lety

    Hongera mama kwa bidii katika maombi

  • @apostleoscarnyakungachuma3510

    Mungu awalinde wote wanaojitaidi kusaidia Wengne kupona hasa sisi tulio ufalme wa Mungu YESU KRISTO AZIDI KUTENDA KILA MTU AMKILI YEYE YAKUWA NI BWANA
    HALLELUYAAAAAAAAAAA.

  • @hasanipoy3976
    @hasanipoy3976 Před 3 lety +1

    mama watu Mia hai pole sana mama yangu

  • @powerplus1933
    @powerplus1933 Před 3 lety +7

    Ushuhuda mkali.wakati ujao naomba muwe mukipeana nafasi ya Sala ya toba watu waokoke mwishoni mwa video.

    • @mdasad2148
      @mdasad2148 Před 3 lety

      Meambie huyo mama aje huko dar umuombee

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian9668 Před 3 lety +2

    Mapambo ni hatari wanawake sikieni kama mna masikio ya kusikia.

  • @beatricenyiro5913
    @beatricenyiro5913 Před 3 lety

    Mungu akubariki mtumishi

  • @tantinemwemendi8790
    @tantinemwemendi8790 Před 3 lety

    Amena

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 Před 3 lety

    Ameeen utukuzwe bwana wa majeshi

  • @margaretokuku5990
    @margaretokuku5990 Před 3 lety

    Mu gu.akupe.maisha.marefu.na.mtumainie.mungu.amekutoa.mbali

  • @saeedalharthi4128
    @saeedalharthi4128 Před 3 lety

    Amina yesu kristo n bwana

  • @HappyAnton-yv4ms
    @HappyAnton-yv4ms Před rokem

    jaman na Mama yangu kumbe angerudi jaman ningejua mapema

  • @FUNNYANIMALIA7
    @FUNNYANIMALIA7 Před 2 lety +1

    Jeremiah 30 21 leader is Kenyan Gikuyu more information in Jeremiah 30 9 king called by his name like Cyrus in Isaiah

  • @jennysamuel5404
    @jennysamuel5404 Před 3 lety

    Kweli huyu mama ni mtumishi wa mungu..

  • @jaysonmwangi6571
    @jaysonmwangi6571 Před 3 lety +2

    Ushuuda wa Ajabu

  • @sylviatatu7046
    @sylviatatu7046 Před 7 měsíci

    Mbona huyo mtumishi ameweka wigi na wigi ni chukizo mbele za Mungu

  • @susynjambi
    @susynjambi Před 3 lety +1

    Mm mambo ya misukule/msukule niliishikia na hii channel sikuwahi sikia kitu kaa hicho kwetu kenya aki kumbe iko nikufahamu hatufahamu but huwa napenda kufuatilia sana hizi stori sijui Mungu yuaniadaa kwa nini but na hinsi kuna sababu...

  • @teddylaida3523
    @teddylaida3523 Před 3 lety

    Nimechelewa lakini naomba umwite huyo mama ili kumwimarisha katika bwana yesu ubarikiwe mtumishi

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Před 5 měsíci

    Naombeni namba ya huyu mama please

  • @nicrosal4231
    @nicrosal4231 Před 3 lety +3

    Jacktan naweza kupata number za mtumishi Tafadhali

    • @ngwanafabian9668
      @ngwanafabian9668 Před 3 lety

      Namba ya mtumishi ili iweje?

    • @nicrosal4231
      @nicrosal4231 Před 3 lety

      @@ngwanafabian9668 sababu ya maombi ndugu nina matatizo

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 3 lety +1

      Namba zake ni +255622974195

    • @nicrosal4231
      @nicrosal4231 Před 3 lety +1

      @@PromovertvTz ASANTE sana tena sana kwa number mungu akubariki sana Kwani nina matatizo ndugu na naitaji msahada wa maombi

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 3 lety +1

      @@nicrosal4231 Amen Upone kwa jina la Yesu

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 Před 3 lety +3

    Jacktani msafiri ,tumezimiss shuhuda za mbinguni na kuzimu,

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari8160 Před 2 lety +1

    Kwakweli ndugu zetu wame wekwa kuwa misukule

  • @ibrahimmasinga9013
    @ibrahimmasinga9013 Před 3 lety +2

    Jactani kumbe uko dar naomba nikuone tafazali

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 Před 3 lety

    Naomba namba yako mama uni saidie kimaombi

  • @lianareonce4996
    @lianareonce4996 Před 3 lety

    Hakika Mungu ni mkuu mno

  • @davidmaina797
    @davidmaina797 Před 3 lety +2

    Nataka kujiunga na what sap

  • @jamesabuga5744
    @jamesabuga5744 Před 8 měsíci

    Number ya huyu pastor ni hipi?

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 Před 3 lety +1

    Dollar 300 ni laki saba kasoro. Sasa haifikii hiyo uliyoitaja milioni sita.. au labda ulikosea badala ya laki sita ukasema milioni sita

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 Před 2 lety +1

    Huyu mama abarikiwe

  • @Majison-qm2sv
    @Majison-qm2sv Před 2 měsíci

    Jackchani

  • @iweningogoofficial3733

    Mungu akubariki mtumishi nisaidie namba ya huyo mama

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 3 lety

      Ipo kwenye part 2 .link👇 czcams.com/video/-iYacVkm4nE/video.html

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Před 3 lety +1

    Jamani ushuhuda wa mama ya huyo Binti utaletwa hewani lini

  • @bentesha
    @bentesha Před 2 lety

    Bibi alikua anaimba kwaya kuu

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Před 3 lety +1

    Jaktan naomba namba ya huyo mama

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Před 3 lety +1

    Naomba number ya mama mtumishi uyu please

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 3 lety

      Ipo kwenye part 2 .link👇 czcams.com/video/-iYacVkm4nE/video.html

  • @rukiafredy2819
    @rukiafredy2819 Před 3 lety +1

    Tunaomb namb ya mama huyu

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 3 lety

      Ipo hapa kwenye part 2 .link👇 czcams.com/video/-iYacVkm4nE/video.html